Комментарии •

  • @KennedyChaula-ny9mu
    @KennedyChaula-ny9mu 6 месяцев назад

    Mungu Awape maishamarefu namdum katika Enjili kwa wongofu wa Taifa la Mungu.

  • @sadamurehani6121
    @sadamurehani6121 6 лет назад +3

    Mungu haachi kutuletea watenda kazi wake upendo wake kwetu hauna kikomo asante mungu kwaajiri ya kiongoz wetu mpenguvu naupeo mkuu akutumikie wew kupitia ss mungu wetu

  • @francisromney5487
    @francisromney5487 4 года назад +1

    Hongera sana TEC mungu awabariki sana

  • @austinmabele3132
    @austinmabele3132 4 года назад +3

    Hongera

  • @robertmzee1027
    @robertmzee1027 5 лет назад +3

    Hiyo wimbo ya kwanza inaitwa aje..iko juu ti sana

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile9606 4 года назад +1

    Kwa ukali na weledi wa Askofu Amani hauna tofauti sana na Rais wetu mpendwa Magufuli, wote wanapenda kusimamia maamuzi na ukamilifu wa shughuli zilizokusudiwa. Kwa wale wa Kaskazini na wa katoliki wanajua habari yake. Asante Askofu kwa kuinyoosha Moshi na sasa weka sawa Arusha pia.

  • @johanesmushumbusi541
    @johanesmushumbusi541 6 лет назад +3

    Amen, it was very wonderful

  • @tonnysindano-zx4jo
    @tonnysindano-zx4jo Год назад

    Amina

  • @marthamasue4009
    @marthamasue4009 6 лет назад +4

    Mungu akulinde askofu wetu Isaak Amani

  • @gilbathezekiel6119
    @gilbathezekiel6119 3 года назад

    Mungu akulinde Baba

  • @arnoldjohn3434
    @arnoldjohn3434 4 года назад +2

    Hongera sana Mhashamu Askofu Mkuu Isaac Aman

  • @johnmasatu7727
    @johnmasatu7727 6 лет назад +2

    amina

  • @reginamaneno1544
    @reginamaneno1544 6 лет назад +5

    Mungu akutangulie kuitangaza injil yake

  • @jackhanson3367
    @jackhanson3367 6 лет назад +2

    hongera sana

  • @yohanathadeo1447
    @yohanathadeo1447 2 года назад

    Mungu ni mwema