Jameni Eric alilia kidogo kajikaza asioneshe Dunia uso ya huzuni Ali iga tabia ya wazungu.kilio sana hufungia roho ya mtu kufika m inbinguni. Eric alipenda fred zaidi. Kifo hutenganisha mtu na watu wao. Dunia mtu hafi bila kuuliwa Jameni duuh. Kifo ni lazma
Sometimes what is has a reason you never know only that this is the end time and for those who hear the spirit continue fasting and praying that is all we have.
Asante Kaka nilikuwa nateseka miaka mingi Sana na Mtoto wangu kumbe ukitaka kuwaona hawa washezi wachawi kumbe inatakiwa ulale uchi nitajitahidi nifanye hivyo ili niwaone
We live everything to God..so binadamu nikuongea tu..isitoshe tumezoea na vitina vya nduni hatunanga upendo mungu mwenywe anajua and his just watching us...we live by the grace of God and nobody who is perfect in this world 🌎
Imagine even Eric did not mourn his brother?unawezaje kuwa na msiba na unaenda maandamano,like seriously??Hata nilishangaa mtu ndugu amekufa na Ako na nguvu ya kupanda juu ya farasi ati maandamano.
i wish some of people can test that feeling so that They can talk from experience its bad accusing someone without evidence so sad😢😢 since i don't know the truth 🤐💔
Hizi n ujinga tupu, Erick was very much heartbroken alikuwa akijicontrol... We shughulukia Tanzania ya Kenya hutaweza... Mama Lucy n hospital wa kufa n wa kufa nkt!!!
I like watching interviews of the big boss though I don't associate myself with any powers from anywhere I believe that through salvation I have is enough
Kweli kabisa, ivo ndivyo alivyo ,ataivo wacha nikufunguwe macho kwasababu ujuui, ayaa ikovi ndugu ya Eric aliuliwa na sirikali na mwenye alingonga wana miziki wa prince India uko kisii anajuuwa mwenye aliuwa frederick na wanajuwa wenye wanatowa break kwa magari ya abiriya naku sabasha ajali barabarani, kwaivo ndugu ninaomba yangu ninaomba ukapeleke wevuu na uchawi wako mbali na Erick tafatha
IN NYANZA THAT IS HOW THEY DO THEIR BURIAL, WITH ALL THAT, ASK ELSEWHERE AND WILL BE TOLD. Plus glass kupasuka ya sanduku is by mistake, though at this moment I cannot verify anything he is saying I don't know. Plus people mourn differently. What if he died a normal death, what if he was sacrificed by those who used to give him the hustle. anyway no one knows.... Life is spiritual
Hata Mimi,nulishangaa saana😢,kumsikia jamaa MP aka Babu Owino!!! Kwa hao mazishi,akisema" My friend Eric,damu YA ndugu yako Fred Omondi...haitaenda bure!!! Lazima upewe kiti!!!!????😢😢😢😮😮...huyu TBM/ TYARALA!!!... ni hatari,,,hawaogopi kitu kabisa!!!!
Sa unkwenda kwa mganga akuombe cha mganga si bure mwenzangu...untoka kwa mama kyler unkija kwa eric kakukosia nini . We si ulisema haujali kajifanya kiburi mno saa ya eric yakuashia ni
That's very true,Eric Omondi has put his hands somewhere else he knows what killed His brother ,How do you go about giving help to strangers yet as they say he has not built his home yet he has money.As for me siwezi taka msaada ya Eric Wacha ikae celebrating life at the expense of your loved ones let it be
Alot of people worship the devil,wamejificha sana kwa charity work,but us all tend to think,they are human friendly,when they are targeting the poor for they are in need of blood for sacrifice....be warned life is spiritual 🙏🙏🙏
@@raymondwadollare7767 nyinyi ndio wale amefunga kwenye his evil shrine. Ninakuombea damu ya Yesu ikusafishe na kukutoa huko kabla hujapotea. Siku macho yako yakifunguka utanielewa.
Sio wote wa watakubaliana na huyu but this is All about treu He said, kenya saa hii WATU wanatowa sadaka kila kona, na mumeona Pia vile kenya Ruto ametowa WATU, pia, ukiwa na YESU ndanii yako ndio utajuwa ni Nini kina endelea Kenya
Jameni Eric alilia kidogo kajikaza asioneshe Dunia uso ya huzuni Ali iga tabia ya wazungu.kilio sana hufungia roho ya mtu kufika m inbinguni. Eric alipenda fred zaidi. Kifo hutenganisha mtu na watu wao. Dunia mtu hafi bila kuuliwa Jameni duuh. Kifo ni lazma
Umbwa
Ni ukweli after mazishi ya bro wake ana stress anasandia anaye kufa kwa madamano surely na ata ajaeal bado
Ni kweli kabisa hapo naunga mkono hospitali ya mama luce si nzuri
Sio yeye alimpeleka huko
Sometimes what is has a reason you never know only that this is the end time and for those who hear the spirit continue fasting and praying that is all we have.
Pia nami akifa naweza furahi Sana watu wangu wa tz much love from Kenya guys like back❤😂
Life is spiritual. Spiritual realm controls physical world may God give us wisdom and discernment
Believe in God you will concur sis 💪🙏 one love ❤
Very true if you know you know
Kama kuna kitu kibaya kitachofanyika katika maisha ya Eric basi sio mwingine ila huyu nyani,sokwe mtu
Huyu ana roho chafu sana kama ya Lucifer
Uyo amesema ukweli
😂😂😂😂bure sana
Ukweli upon broo tulia utashuudia
Huyu jamaa ni mkweli hata Mimi nilijua TU alimtowa sadaka very true
Hahahaha
Sahihi Eric mondi kamtowa sadaka Hana hata uchungu na kifo Cha nduguye kabisa
Ata wewe toa ndugu Yako,mmewacha ya Brian Chira ....sokwee nyinyi🙈🙉🙊
😎😎😎😎
Upuzi tu
Eric Eric Eric how many times have i called you...3 times...kaa mbali na hawa vikulacho....mbona amekodisha nyumba nyali baada anunue nyumba..?😂
Asante Kaka nilikuwa nateseka miaka mingi Sana na Mtoto wangu kumbe ukitaka kuwaona hawa washezi wachawi kumbe inatakiwa ulale uchi nitajitahidi nifanye hivyo ili niwaone
Binadamu Binadamu, Yaarab. Dhana ni mbaya ndugu zangu. Kifo siri ya mungu.
If kuna venye eric aliusika my friend fred will not rest
Manabii wa siku izi ni wachawi. Ushindwe Mungu alinde Eric Omondi
😢😢😢😢😮bro mungu anakuona wewe ndo mchawi mkubwa vile Eric alilia ivi
@@ONEGB-q5b kapelekwa kw msitu ndie mchawi angesema kwa kanisa hata
True said accordingly to the spiritual life 😢😢😢😢...lakini wengi awajuwi ombeni mungu sana Mungu.
People mourn differently .
This guy should let the dead rest in peace .
When will all these nonsense stop .
When my mum whom I loved so much died , I went into autopilot . . . And stayed that way for 6 months . . .
@@Blessed591whaat?? So sorry may she continue resting in peace
Wewe buda ngoja ndugu yako afe ulie😮😮😮
Huyu afagie dar,za Kenya hataziweza.....
Hapo kwa rais kufariki mmmmwaaaa but Kwa Eric omondi shenzi sana
Pure Christian never cries when death ocars but believes in God for strength. Eric Omondi had alot of pain deep in him.
Haya n mawats😢😢😢 wacha zako bro,niuchungu sana,bado watu wanaomboleza nawe watokea huku n zingine eishhh
We live everything to God..so binadamu nikuongea tu..isitoshe tumezoea na vitina vya nduni hatunanga upendo mungu mwenywe anajua and his just watching us...we live by the grace of God and nobody who is perfect in this world 🌎
Ndoto yngu ni raisi akufe got me on the floor 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣omoshi One our uko wapi usikie hii
Akufi ngo shidwe
Ii ni shidwe
when I heard Fred died, sikua na 2nd thought! the bro was the 1st to hit my mind.
Like seriously
Imagine even Eric did not mourn his brother?unawezaje kuwa na msiba na unaenda maandamano,like seriously??Hata nilishangaa mtu ndugu amekufa na Ako na nguvu ya kupanda juu ya farasi ati maandamano.
@sharonmwika me too the bro hit my mind hardly
Waaah the comment AVE been looking for🤔🤔🤔
😂 @@esthernjokimwaura683
This is a wonderful interview with an intelligent clever interviewer boy. Kudos....!!!
Wow thank you so much
@shimsmedia doing good work 👏
Ukisha chunguza wafukue basi,usichafulie Omondi jina,mwana ume hulilia ndani ,kifo ni kichungu BANA kama kwenu hawafi shukuru Mungu.
i wish some of people can test that feeling so that They can talk from experience its bad accusing someone without evidence so sad😢😢 since i don't know the truth 🤐💔
Sio wengi wataamini bt this guy anasema ukweli kabisaa
Kama alihusika, Mungu atamuanika,for now langu jicho tu
Hawa majamaa wanafaa wafungwe juu ndio wanaharibu maisha ya wengine.😅
wee takataka sana,na wewe toa hiyo channel yko
Athari za kuweka maisha yako kwa mitandao.. everything is scrutinized..judged...
Mungu ndio shahidi for me no coment
Umeja kwenye umbeya lakini maisha Yako Iko vipi jua Yako ya Kenya itakua
Its. True some hospitals like eagles in kangemi utoa wagonjwa kafala i believe this 1oo%
Eagles maternity?
Erick can't kill his bro for fame he is a brand
Yeah i agree with u,,4 sure he can't kill his own brother
How well do you know him
Lazima atafte pesa ya kupeana na za campaign
You people are so evil
Secondly I started doubting him when he started to dress in women's clothes that's the sign of freemasonry
@@kiriistaicy183true💯
Potelea mbali na uchafu wako kwa jina la yesu Kristo mwana wa Mungu
Anybody who goes to Nigerian wachawi ni muchawi😅😅😅😅
In the name of views mnaenda far sana .
Yani shims kwani Erick aliwafanya vipi ivyo ndio umchokonoe ivo na maneno yasiyo kua ya kweli.
Big boss ni mwenyezi mungu pekee
Mimi n mkenya lakin sijawai amini huyu Eric hapa nchini, natena nkama a cheo kubwa sana
Wewe mtanzania ya kenya umeyajuaje kama sio umbea.nyooooooo chakubimbi kazi unayo.unapiganisha familia.mm mtanzania lakini sijapenda😂
Hebu atuambie mkono wa musando uko wapi ndio tumuamini
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hizi n ujinga tupu, Erick was very much heartbroken alikuwa akijicontrol... We shughulukia Tanzania ya Kenya hutaweza... Mama Lucy n hospital wa kufa n wa kufa nkt!!!
Huyo jamaa ndio anajua chenye kilimuua Fred, Eric alilia sana and he's going through alot, so kama hauna , kufangia kwa wenyewe.
I like watching interviews of the big boss though I don't associate myself with any powers from anywhere I believe that through salvation I have is enough
Kwani MTU asipolia surely ndiye akuwa behind the killing,
Wewe kwenda huko ya tanzania imekushinda ya kenya ndio wajifanya kujua!!!! Mbna usiambie diamond aache hizo kafara zake
@millsopiyo the truth hats Eric never looked like his brother WAS Dead jumping all over
@jav856 even though mwanaume nikujikaza kisabuni sio kumwaga machozi kama mwanamke pili hukuwa mama Lucy so usiongee mengi
Did you want him to jump n cry out loud people have their own ways of mourning , have brians@@jav856
Doesn’t matter
@@jav856 he said on one interview his brother was murder.
Ata mm shims media mm n comedian but ningependa unisuport ata mm na mungu akueshie hii shims media
Kwenda uko kanyonye kwa mamako kwani wewe ndio Mungu
Mpuuzi saana umekosa content.
Msenge huyu, lazima Angelia from day one Hadi azikwe
Nashindwa
Asante Sana big boss me natamani nikuone hata leo
Hiyu ndio mchawi sana kama wewe ni mtu wa mungu mbona ukusema before bro omondi died mshezi sana
This guy looks young but with an evil mind! May God save him from all evils.🙏
Yes
Huyu Mzee looking guy ni Murogi! Kichwa hakuna kitu na Shetani amemuteka nyala vibaya sana.
Kweli kabisa, ivo ndivyo alivyo ,ataivo wacha nikufunguwe macho kwasababu ujuui, ayaa ikovi ndugu ya Eric aliuliwa na sirikali na mwenye alingonga wana miziki wa prince India uko kisii anajuuwa mwenye aliuwa frederick na wanajuwa wenye wanatowa break kwa magari ya abiriya naku sabasha ajali barabarani, kwaivo ndugu ninaomba yangu ninaomba ukapeleke wevuu na uchawi wako mbali na Erick tafatha
Ok c kwa ubaya ata mimi nilishuku sana na huwa sikosei..but tunaambiwa tusihukumu tusjetukahukumiwa...Mash Allah wachatuachie God...haituhusu
IN NYANZA THAT IS HOW THEY DO THEIR BURIAL, WITH ALL THAT, ASK ELSEWHERE AND WILL BE TOLD. Plus glass kupasuka ya sanduku is by mistake, though at this moment I cannot verify anything he is saying I don't know. Plus people mourn differently. What if he died a normal death, what if he was sacrificed by those who used to give him the hustle. anyway no one knows.... Life is spiritual
Hata Mimi,nulishangaa saana😢,kumsikia jamaa MP aka Babu Owino!!! Kwa hao mazishi,akisema" My friend Eric,damu YA ndugu yako Fred Omondi...haitaenda bure!!! Lazima upewe kiti!!!!????😢😢😢😮😮...huyu TBM/ TYARALA!!!... ni hatari,,,hawaogopi kitu kabisa!!!!
Eeeeh hiyo mm pia naona n ukweli lakini kama eric alihusika mungu ako tu na nduguye atapumzika kwa amani ataishi kumuandama tu.
Wanaume sio rahisi kutoka machozi huyu jamaa hajui kitu anasema
Huyu si juzi alikua akiongea vibaya kuhusu pastor Ezekiel 😏
Kwenda ukowapi poteleya mbali mukunduwewe Jen z wakenya watakunyonga😂😂
What can you expect from a man with nywele ta kuma kwenye madevu
Ahahahaa this guy is i high priest in the Kingdom of darkness in the class of the late Kabwere and Majitu. He is a wizard
So what
Sa unkwenda kwa mganga akuombe cha mganga si bure mwenzangu...untoka kwa mama kyler unkija kwa eric kakukosia nini . We si ulisema haujali kajifanya kiburi mno saa ya eric yakuashia ni
Waja kuongea pst Ezakiel wivu,endelea kutangatanga pts Ezk akinawiri,shinda hapo na wivu wako😊
Luo men don’t mourn publicly. You need to understand people culture. even if you attend a million Luo funerals no man will cry into t of people
That's very true,Eric Omondi has put his hands somewhere else he knows what killed His brother ,How do you go about giving help to strangers yet as they say he has not built his home yet he has money.As for me siwezi taka msaada ya Eric Wacha ikae celebrating life at the expense of your loved ones let it be
@@fnfaithnyaundi111 ulimi Huna mfupa yanayojiandika kwenye mtandao haifutiki. Usije kachunwa ndewe
Ajengee Nani nyumba na Hana wazazi😢😏😏😏
@@Becky-Official99 Is he not a man,that's his home being an orphan doesn't mean that now the homestead to be forgotten
@@MillsOpiyo Sawa utangoja sana,Truth is painful at the end of the day
@@fnfaithnyaundi111 stop picking on me n tell us wat u know that we don't since u seem to know Eric better than i
Alot of people worship the devil,wamejificha sana kwa charity work,but us all tend to think,they are human friendly,when they are targeting the poor for they are in need of blood for sacrifice....be warned life is spiritual 🙏🙏🙏
Ata huyu big boss pia wew ni mchawi kwnz...
Nakubaliana nawe kabisa. Huyu pastor Ezekiel ni charlatan. Ninawahurumia sana watu wanaosali kwenye kabisa lake.
Musimuongelelee vibaya pastor wangu Iziekel he is a true man of God. tafuteni kiki mahali kwengine
@@raymondwadollare7767 nyinyi ndio wale amefunga kwenye his evil shrine. Ninakuombea damu ya Yesu ikusafishe na kukutoa huko kabla hujapotea. Siku macho yako yakifunguka utanielewa.
I believe so too
M maybe that why yule mtoto alisema atolewe tie na viatu
Maybe Fred sent him😢
Yes Hata Mimi nili shagaa akicheka sana nakuogoza mazishi NICU hizo aura zip at a wapi ????
Kwani kulia ndo inaonyesha kuwa mtu ako na huzuni ama amefiwa 😮😮😮😮😮aaaiii bona hakumuua akiwa mtoto
Uongooooo NKT wewe hajana na maisha ya watu, uko na chuka kwa watu coz wanefsnikiwa, wewe ni pastor mdomo mdomo NKT
Wewe acha upuuzi Bwana
Upuzi huu sasa
Big Boss veep Mambo samahani naomba nkuulize naeza pata number ya simu
Ukweri big boss Eric omondi ni freemasonry alimtoa nduguye kafala
Anaenda maandamano Bro yake akiwa mortuary.... thinking loudly
Kafala ama kafara 😂😂😂
Haya yote yametokea wapi za Fred na Eric
Inaweza kuwa ukweli but God knows about the dead of Fred omondi
Mbona huyu shims anafanana ya mganga mahewa he looks like you look for him or he's your brother??
Mimi nilishuku kifo chake si kawaida ila hapo kwa nduguye kumtoa kafara weuh sijui
Wanaume si rahisi walie, wanaumia kwa ndani nkt
Nkt! The internet is so toxic. Sasa hizi ni nini? Why say that about someone who is mourning?
@@NANGIOFFICIAL muuliza! Haki Mungu msamehe sana kutamka mabaya kwa Eric Omondi
Mtu yoyote mwenye kichwa hiki kirefu uwa ana shidaaaa ajabuuu
@@faridawere8764 Hahahaaa, ashindwee na anyongonyee. yatampata tu 1 day. Kifo ni Mary go round.
Shims contact me please before uondoke nigependa interview na wewe
Thats if its true you are in TZ
Nkts!!!peleka ujinga kwenuu kangojee watu wa kwenu wakufe ulie
Sio wote wa watakubaliana na huyu but this is All about treu He said, kenya saa hii WATU wanatowa sadaka kila kona, na mumeona Pia vile kenya Ruto ametowa WATU, pia, ukiwa na YESU ndanii yako ndio utajuwa ni Nini kina endelea Kenya
Kwani mpka mtu aliee ndo ujuwee ameumia jamani huyu ubwa ashawahii filiwa kweli
Wenye masikio wasikia Ruto ni mwana biyashara wa kenya sio rahisi anauza mwili wa watoto wa watu kenya wa kenya funguani macho hii ni ukweli kabisa 😢
Hukweli watu wengi walise, ati Eric halitoa brother yake kafaraa,,, 😢😢
Shindwe kabisa our preso will live long wether you like it or not!
😢😢kichwa ya huyu sio mzuri!!aki nyinyi what Nonsense is this kulia ndio inamaanisha nini,?
Huyu anatafua follows
Lakini big bosss nguvu za mungu ama za shetani unatumia
Wachawi wanajuana wao kwa wao😂
Anaongea ukweli huyu,congratulation
Tell us about Tanzania.Ya Kenya utayaweza??
Bless me sir niweze kufaulu in Jesus name.My name is Emilio.
Sipendi interviews zako. Awacho ayueyo
This man Shims has an issue with Erick he is all over his face in a bad way
@@marylucy1339very true yuko na kitu anatafuta Eric
Ubaya wetu hatupendi kuamini because we know nothing about spiritual world. But one day the truth will be out ndio wengine wataamini
Kwani mtu kulia ndio kumaanisha unamorn pelekeni ujinga huko and let erick morn his brother
Babangu alizikwa na tai na viatu...kwetu Sana Sana mwili hufikishwa Kwenye Boma usiku
Hapo kwa mama lucy kuna ujweli .kuna mgonjwa tulienda kumuona,tukaanza kuomba,tukafukuzwa nje.hapo nikagundua there is something fishy