Комментарии •

  • @dramatz52
    @dramatz52 3 года назад +1

    Tunamshukuru Mungu kwa hii siku aliyoifanya yeye, na tunawashukuru Waandaaji wa Tamasha hili la Twenzetu kwa Yesu,,,!! Mungu acha ajitwalie Utukufu Wake Kupitia Vipawa vyake@

  • @bahatilubuva2714
    @bahatilubuva2714 2 года назад +1

    Hawa Watumishi ndiyo tunawataka ktk kizazi hiki,, hakika Mungu azidi kuwatumia na kuwainua ili waweze kuhamasisha vijana wengi kutumia vipaji vyao kwa Mungu na siyo kwingine,, mm kiukweli Nawapenda sana Tumaini jipya

  • @josephinemsekwahalidkijang5183
    @josephinemsekwahalidkijang5183 3 года назад

    Eeh Mungu wa MAJESHI Bwana wangu Yesu Kristo unisaidie mimi; mawazo yako yawe kwangu ili nikuzalie matunda mema mimi mwana wako na Roho wako wa utambuzi ROHO MTAKATIFU msema kweli, aniepushe na mambo ya dunia hii ili niendelee kuwa wa Kama wewe . AMEN!!!

  • @hassimorison4623
    @hassimorison4623 3 года назад

    Tumaini jipya ni jewery of talent kila la kheri 🔥🔥🔥🔥

  • @amazingsfine996
    @amazingsfine996 3 года назад

    God give everything, lets use our talents to serve God.

  • @agastinnjoka9404
    @agastinnjoka9404 2 года назад

    Nice job and excellent

  • @akimchale
    @akimchale 3 года назад

    Nice job I love your performance Mungu awatunze

  • @bahatilubuva2714
    @bahatilubuva2714 2 года назад

    Mwakan tunawataka tena

  • @priscarchifunda8053
    @priscarchifunda8053 2 года назад

    Tunaomba muiweke iwe inadownload