Tunamshukuru Mungu kwa hii siku aliyoifanya yeye, na tunawashukuru Waandaaji wa Tamasha hili la Twenzetu kwa Yesu,,,!! Mungu acha ajitwalie Utukufu Wake Kupitia Vipawa vyake@
Hawa Watumishi ndiyo tunawataka ktk kizazi hiki,, hakika Mungu azidi kuwatumia na kuwainua ili waweze kuhamasisha vijana wengi kutumia vipaji vyao kwa Mungu na siyo kwingine,, mm kiukweli Nawapenda sana Tumaini jipya
Eeh Mungu wa MAJESHI Bwana wangu Yesu Kristo unisaidie mimi; mawazo yako yawe kwangu ili nikuzalie matunda mema mimi mwana wako na Roho wako wa utambuzi ROHO MTAKATIFU msema kweli, aniepushe na mambo ya dunia hii ili niendelee kuwa wa Kama wewe . AMEN!!!
Tunamshukuru Mungu kwa hii siku aliyoifanya yeye, na tunawashukuru Waandaaji wa Tamasha hili la Twenzetu kwa Yesu,,,!! Mungu acha ajitwalie Utukufu Wake Kupitia Vipawa vyake@
Hawa Watumishi ndiyo tunawataka ktk kizazi hiki,, hakika Mungu azidi kuwatumia na kuwainua ili waweze kuhamasisha vijana wengi kutumia vipaji vyao kwa Mungu na siyo kwingine,, mm kiukweli Nawapenda sana Tumaini jipya
Eeh Mungu wa MAJESHI Bwana wangu Yesu Kristo unisaidie mimi; mawazo yako yawe kwangu ili nikuzalie matunda mema mimi mwana wako na Roho wako wa utambuzi ROHO MTAKATIFU msema kweli, aniepushe na mambo ya dunia hii ili niendelee kuwa wa Kama wewe . AMEN!!!
Tumaini jipya ni jewery of talent kila la kheri 🔥🔥🔥🔥
God give everything, lets use our talents to serve God.
Nice job and excellent
Nice job I love your performance Mungu awatunze
Mwakan tunawataka tena
Tunaomba muiweke iwe inadownload