#Live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • #arisendshinetanzania #2024mwakawambinguzilizofunguka #mwamposalive
    #tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania#dar#tanganyika#ubaloziwambinguni#kawe
    Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
    From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
    WATCH ARISE AND SHINE TV
    AZAM CHANNEL 469
    STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.

Комментарии • 93

  • @NajmaNajma-rn5pe
    @NajmaNajma-rn5pe 27 дней назад

    Mungu naomba nifanikiwe kujenga yumba yangu kirahisi na watoto wangu wafaulu kumpata misaanda ya. Kusoma kirahisi tu nimepokea baba amen 🙏🙏🇰🇪

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu moe moyo wa furaha mwenyekiti wangu aniandike barua bila wasiwasi mungu nisaidie aminaaa

  • @NajmaNajma-rn5pe
    @NajmaNajma-rn5pe 27 дней назад

    Najiuganisha na Ibada Baba naomba mungu anipe uzima nipone hi hali kwa jina la yesu amen

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu nakuomba naenda kwa mwenyekiti kuomba aniandikie batua na asiniwekee kinyonge na ninapo enda kuomba mko mungu nisimamie nioate leoleo nilioe madeni mungu nisaidie kwahilo amina

  • @ramonamukhandi8899
    @ramonamukhandi8899 27 дней назад

    Nakushukuru kwa ajili ya mchumba wa mtoto wangu Bwana Yesu kawapatanishe katika Jina la Yesu.

  • @sk-oe5lq
    @sk-oe5lq 27 дней назад

    Asante yesu kwa kunifungua kwa jina la yesu

  • @khadijaomari-h5s
    @khadijaomari-h5s 26 дней назад

    Mungu wangu nakuomba komboa familia yangu waolewe wote kwa jina la yesu emeen

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Nakuomba mungu najiandaa kwenda kazini kufungua biashara yangu naomba mungu niletee wateja mpaka wanizidi na niuze ela niyone mungu nisaedie

  • @NajmaNajma-rn5pe
    @NajmaNajma-rn5pe 27 дней назад

    Ashubui ya Leo mungu nione majibu makumbwa hapa kazini j nione mkono wako mungu amen

  • @JudithEvarist-w3t
    @JudithEvarist-w3t 26 дней назад

    Mungu nataka hunilinde na hunibariki nikapate kazi nzuri na nifunguliwe kimaisha

  • @EasterleonardShirima
    @EasterleonardShirima 26 дней назад

    Mungi naomba uinue uchimi wangu na amani yangu maisha yote kwajina yesu

  • @stantonpkinyamagoha755
    @stantonpkinyamagoha755 27 дней назад

    Mungu naomb simamia familia yangu tuishi kwa amani na niweze kujifungua salama mtoto wa kiume

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu nakuomba nisaidie kwa changamoto ninaxo pitia nipe kuvu na uvumilivu ns kua na subila yaisha tu naamini mungu upamoja nami mungu nisaidie

  • @JeremiahByatela-wi8cl
    @JeremiahByatela-wi8cl 27 дней назад

    Nakomboa familia yangu na mila kinachotutenga na kusudi la Mungu katika kina la Yesu

  • @AminahSamadu
    @AminahSamadu 27 дней назад

    Mungu wangu nakuomba utimize malengo yangu na ufungue familia yangu nakuomba uwafungulie njia wapendwa wangu naamini unaweza mungu wangu naomba nisaidie 🙏Nakuomba mungu wangu ukawe mlinzi wa maisha yetu,Amen

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu ppkes maombi yangu ya madeni na ya biashara ifungue na wateja wengi mungu nisaidie

  • @bakarymohamed5771
    @bakarymohamed5771 26 дней назад

    Ameen napokea mung nitende kwajina la yesu

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu naomba uniunganishe mm na rajabu tuwe mke na nume mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu naomba da razia umpe moyo wa kunivumilia yy na dada wa mashuka na mama sele mungubnisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu nampenda sana rajabu naomba na yy anioende kuua mume wangu mungu bisaidiee

  • @khadijaomari-h5s
    @khadijaomari-h5s 26 дней назад

    Mungu niokolewe magonjwa yote yanayo nitesa kwa miaka mingi nikombolewe magonjwa yote kwa jina la yesu emen

  • @JeremiahByatela-wi8cl
    @JeremiahByatela-wi8cl 27 дней назад

    Naikomboa familia ya baba yangu na mama yangu kila chemichemi zinazotutesa zikanyauke leo katika jina la Yesu

  • @editaruta4845
    @editaruta4845 27 дней назад

    Mungu naonba ubadirishe maisha yangu

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu naomba rajabu kesho aokote jiwe la zahabu mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu nakuomba nito hofu woga mawsxo ya kiroho niwe na moyo wa ujasiri kuogopa wadeni mungu nisaidie litoke pepo la madeni mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu nakuomba kesho nafugua biashara yangu wateja wanizidi niuze mpaka ela zikae nilipe madeni mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Nakuomba mwenyezi mungu wote wanao nidai wavinje vunje mioyo yao kunifatilia na kunidai mpaka nioate ela niwalipe mungu nisaidie

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu komboa familia yangu yote kwa ujula mungu nisaidie

  • @JeniphaBaraka-o8z
    @JeniphaBaraka-o8z 27 дней назад +2

    Mungu naomba uyabadilishe maisha ya mmewag

  • @RizikiVituss-e1g
    @RizikiVituss-e1g 26 дней назад

    Mungu nakuomba uniponye na kuona mawenge na kupoteza kumbu kumbu

  • @KhadijaMilanzi-ns6sy
    @KhadijaMilanzi-ns6sy 26 дней назад

    Mungu nifungulie kiuchumi nipate pesa nifunguwe biashara yangu mm nataka mchumba wangu kaniacha kupitia mazabao haya leo harundi haniowe hanitolee maari nipate watoto nipate pesa KZN pale

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Nakuomba mwenyezi mungu leo hii rajabu wakiingia tu duarani wafanikiwe kupata jiwe mungu nisaidie

  • @MxmilianiJackson
    @MxmilianiJackson 27 дней назад

    Napokea mwanaume sahihi napokea ndoa njema napokea familia sahihi mama yangu afunguliwe kibiashara ndugu zangu wapokee uponyaji kupitia mazabau ya mwamposa kwa jina la yesu

  • @Nicolastomé-h1n
    @Nicolastomé-h1n 27 дней назад

    mungu naomba mm na familia yangu nifunguliwe nkewangu abebe mibam

  • @AsiaMsemo-ox1tg
    @AsiaMsemo-ox1tg 27 дней назад

    Naomba mimi na familia yangu najiungamanisha kwenye madhabahu ya mwaposa naomba uniponye huu mguu na famlia yangu itimize malengo yao kwa jina la yesu amen

  • @DivaMsukuma
    @DivaMsukuma 26 дней назад

    Amen napokea kwajinalayesu

  • @AsiaMsemo-ox1tg
    @AsiaMsemo-ox1tg 27 дней назад

    Naomba kijana wangu thomas apate mkataba anaoomba apokelewe vizuri asiteseke asikose usingizi asikose kazi asikose mke kinachomsumbua kikaushwe kwa jina la yesu komboa familia yangu amen

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu naomba rajabu mpe nguvu na umlinde aje najiwe mungu msaidie smonaaaaa

  • @MwambaBalaa-jt6gh
    @MwambaBalaa-jt6gh 27 дней назад

    Yesu nisaidie nipate nuru usiku na mchana amina

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu nskuombanijalie mtu mzuli kila nipitapo jina langu livume kila sehemu na biashara yangu ivume mungu nisaidie

  • @SamsonlSiria
    @SamsonlSiria 21 день назад

    Ubarikiwe Sana mtumishi Wa Mungu

  • @LucyIvory-wf4jj
    @LucyIvory-wf4jj 27 дней назад

    Mungu naomba ndoa ya mna w iwe ya furaha

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu nakuomba manyika ni mtu wa kupaniki nakuomba mpe nguvu na moyo wa subilia nimtafutoe ela yake asjie kazini kwangu kunidai mungu nusaidie

  • @RizikiVituss-e1g
    @RizikiVituss-e1g 26 дней назад

    Mungu naomba unitoe jini maiti na kunuka mwili kama taka taka

  • @PendoMatemba
    @PendoMatemba 26 дней назад

    Namshukuru mungu, wa madhabahu hii, mtoto wangu alikuwa a naumwa alikazwa sasa amepona,, sofa na utukufu namrudishia bwana

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Munngu nakuomba nisaidie naenda kwenye biashara yangu nisipate changamoto yyt aminaaa

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Naomba mungu unisimamie maombi yote ninayo yaomba yakubalike mungu nisaidie

  • @JosephSafua
    @JosephSafua 26 дней назад

    1, mke wangu ajifungue salama na kwa wakati
    2, uchumi wangu uwongenzeke
    3, nyota yangu ing'ae
    4, nizidiwe na wateja
    5, family yangu ing'ae
    6, uchumi wangu ukue kwa kasi 6:34 6:36 6:38

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Nasĥukulu mungu kwa kuniamsha salama aminaaa

  • @judithanold8202
    @judithanold8202 25 дней назад +1

    AMEN😊

  • @Nicolastomé-h1n
    @Nicolastomé-h1n 27 дней назад

    mungu naomba muakahu nivune karocho nhingi nipate ela nhingi muakahu nione majibu mazuli ameni

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu nazidi kuwaombea rajabu zizi na bakali kesho ni siku ya mwisho wakichimba tu watoe zahabh kubwa wauze wapate ela mungu wasaidie

  • @WilminaSumaye
    @WilminaSumaye 23 дня назад

    Mungu nataka unifungue kiuchumi

  • @DayanaBakari-i4x
    @DayanaBakari-i4x 27 дней назад

    Naomba mungu ajibu maombi ya ngu kwajina layesu nataka nipate mfanyakaz sahihi kwajina layesu

  • @Nicolastomé-h1n
    @Nicolastomé-h1n 27 дней назад

    mungu naomba muakahu nivune karocho nhingi nipate ela nhingi muakahu nione majibu mazuli ameni .

  • @JeniphaBaraka-o8z
    @JeniphaBaraka-o8z 27 дней назад +1

    Komboa family komboa ndoa komboa mahali komboa mmewag komboa nyota yangu komboa mama yang komboa dad hepp komboa mama mkw komboa biashala komboa ninenep komboa mwili wagu komboa afy komboa mahali komboa mmewag

  • @MwajuBk
    @MwajuBk 26 дней назад

    Mungu nakuomba ntakapoenda kupima juma mosi nisikutwe na uvimbe Wala ugonjwa wowote mkubwa

  • @ElizabethNyabu-q1x
    @ElizabethNyabu-q1x 21 день назад

    Mungu nisaidie ticket yangu itumwe mapema

  • @josephmushi665
    @josephmushi665 27 дней назад

    Amen 🙏🙏 🙏

  • @canlasbaseme6784
    @canlasbaseme6784 27 дней назад

    Very happy to hear you ! May goodness bless you

  • @RaheemRaheem-rd4lf
    @RaheemRaheem-rd4lf 25 дней назад

    Asante kwakunifikisha hapa siku yaleo😢🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @erastomwanyika9305
    @erastomwanyika9305 26 дней назад

    Ila nimeamini wapumbavu hawawezi kuisha hii Dunia yani mijitu imepigwa upofu haijielewi kabisa imezama kwa manabii wauongo😢😢

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu nakuomba wote wanaonidaii nakulabizi ww wasinisumbue tena mm na kunipigia simu hadija asia noela j diki richihamida tatu bonge agi suzi na dada wa sina bei subila na kk wa dukanimungu nisaidie

  • @LucyIvory-wf4jj
    @LucyIvory-wf4jj 27 дней назад

    Mungu naomba jeremia aokoke

  • @user-zx8pc5rb5r
    @user-zx8pc5rb5r 27 дней назад

    Naomba mungu mtoto ampate mshahara

  • @AishaAidharussalam
    @AishaAidharussalam 27 дней назад

    Ameni baba

  • @AgnesKingu
    @AgnesKingu 27 дней назад

    Mtu naleta maombi yangu uikombe biashara zangu niingize pesa leo na wateja waje wengi ubariki kazi ya mikono yangu na maarifa yangu niwe na ofc kubwa

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mmungu nakuoomba darazia suzi agi bonge j diki richi hamida tatu dada wa kwa sina bei da zuu hadija asia noela na wote wanao nidai mm jamila nawanyamazisha muwe wapole mpka nopate ola wala musiwe na waxo la kunifata kuja kunidai mungu nisaidie

  • @MaryMarck-bf2ng
    @MaryMarck-bf2ng 27 дней назад

    Ameen

  • @MxmilianiJackson
    @MxmilianiJackson 27 дней назад

    Napokea mwanaume mwema na ndoa njema

  • @user-wf7hz5bx8d
    @user-wf7hz5bx8d 27 дней назад

    Napokea uponyaji

  • @RoseJoely
    @RoseJoely 27 дней назад

    Eee munguuu komboa mwananguu

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 27 дней назад

    Mungu ndkuomba nivue nikomboe na madeni mungu nisaidie😅

  • @judithanold8202
    @judithanold8202 25 дней назад

    B2ANA YESU USINIACHE KATIKA MAISHA YANGU

    • @judithanold8202
      @judithanold8202 25 дней назад

      BWANA YESU USINIACHE MIMI NA FAMILIA YANGU

  • @AishaAidharussalam
    @AishaAidharussalam 27 дней назад

    Niko omani napokea

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina 27 дней назад

    Emungu kila kitu kilchooo kwenye nymba yngu vitokeee nkuarbiwa kwaupkoo

  • @MxmilianiJackson
    @MxmilianiJackson 27 дней назад

    Ameeeeeen

  • @DivaMsukuma
    @DivaMsukuma 26 дней назад

    Nakataa pepolaumaskin kwajinalayesu

  • @AgnesKingu
    @AgnesKingu 27 дней назад

    Maisha yangu kuanzia sasa yawe mapyaa

  • @LilyColman-ic7kd
    @LilyColman-ic7kd 27 дней назад

    Sitapungua kiuchumi nitaongezeka kiuchumi

  • @PetronilaGebra
    @PetronilaGebra 26 дней назад

    Petronila gebra

  • @DianaKatuga-ml8mq
    @DianaKatuga-ml8mq 26 дней назад

    Ee ey naomba Moses asiseme chocht kuus mm na yy

  • @VannesaStanley-k6o
    @VannesaStanley-k6o 26 дней назад

    Mung Skype Maisha marefumtume

  • @khadijaomari-h5s
    @khadijaomari-h5s 26 дней назад

    naomba Mungu komboa familia yangu wajitambue kwa jina lA yesu emeen

  • @MwambaBalaa-jt6gh
    @MwambaBalaa-jt6gh 27 дней назад

    Yesu nisaidie nipate nuru usiku na mchana amina

  • @Nicolastomé-h1n
    @Nicolastomé-h1n 27 дней назад

    mungu naomba muakahu nivune karocho nhingi nipate ela nhingi muakahu nione majibu mazuli ameni

  • @Nicolastomé-h1n
    @Nicolastomé-h1n 27 дней назад

    mungu naomba muakahu nivune karocho nhingi nipate ela nhingi muakahu nione majibu mazuli ameni .

  • @MwambaBalaa-jt6gh
    @MwambaBalaa-jt6gh 27 дней назад

    Yesu nisaidie nipate nuru usiku na mchana amina

  • @Nicolastomé-h1n
    @Nicolastomé-h1n 27 дней назад

    mungu naomba muakahu nivune karocho nhingi nipate ela nhingi muakahu nione majibu mazuli ameni

  • @Nicolastomé-h1n
    @Nicolastomé-h1n 27 дней назад

    mungu naomba muakahu nivune karocho nhingi nipate ela nhingi muakahu nione majibu mazuli ameni

  • @Nicolastomé-h1n
    @Nicolastomé-h1n 27 дней назад

    mungu naomba muakahu nivune karocho nhingi nipate ela nhingi muakahu nione majibu mazuli ameni .