Persecution to SDAs is lingering because we're the same with the world ...we act as heathen ,eat and lifestyle.. Let God make us firm in his word .by faith we look upon him to be saved. Cost of discipleship more than friends ,family, even death.....Acts 5:27-29
Nina kweli kabisa ukimkiri Yesu,tyr night sawa kwamba umetangaza vita maana mwovu shetani anaumia,hivyo atatumia mbinu na majeshi yake yote ili ukate Tamaa na ushindwe kuendelea na safari ya imani,na haya siyo Majeshi mengine bali ni binadamu ambao ni ndg na rafiki zetu WA karibu na wataleta maneno ya kukukatisha Tamaa .Lakini unapoona hali hiyo unapaswa kutambua kuwa "Imani uliyoipokea ndiyo Imani ya kweli ,maana shetani ni adui wa Imani ya kweli tu NBA ndiyo maana hata leo Mtu akiipokea imani kupitia kanisa la waadventista Wa sabato,na pengine kuiacha Imani ya
Amen I am now a seventh-day adventist ❤
first heard this song more than 10 Years ago and i'm still in love with it. Best ever song
wimbo mzuri sana jaman umenigusa du kweli ukristo ni zaidi ya maisha mbarikiwe BURKA KWAYA.
Ameeen. Ameeen. Powerful Sermon item. Congratulations.
so touchin message from the song just imagine if you were in such trouble? may our lord bless the singers 4 their good video.
Am blessd by this song....we should endure for Lord's work
MY BEST SONG GOD BLESS YOU GUYS TO CONTINUE WITH HIS WORK
May God bless you, really is a wonderful song..a good message to this generation o
Amen Amen very powerful message
be blessed ...Hakika ukristo ni guarana Mpaka tunyekee miguuni pa Yesu
ukirsto ni guarana?????
Eti guarana?
Very nice song
umetumia gharama gani kwa ukirsto wako wampendwa? nyc song
mungu awabariki sana muwndelee kumtukuza mungu
sitachoka kuuskiza huu wimbo
Mbarikiwe wengi tunatengwa na ndugu kisa usabato Mungu atusaidie.
I love the song be blessed
Best still in 2023.
amen am blessed
Nice song Burka. Burka sda woyeeee
love so much burka sda
Gharama ya ukristo. mbarikiwe sana waimbaji😇😇😇
Kweli ukristo ni gharama
Amen
Mwenzangu umetumia gharama gani katika ukristo...,swali kwako nami......
Amen
Bwana awabariki Burka
Amen 🙏🙏
Ame be blessed ❤❤❤
Amen,mbarikiwe sana
Mbarikiwe sana
Touching song indeed
Yatapotokea yale magumu yakushindayo....so comforting
All glory to our Lord God all powerful the creator of heaven.
ee wimbo huu umenijenga sana.may god bless you for your songs.
I can't leave with commenting, it takes your time,money, etc to cater for your Christianity,God bless you guys
❤
am blessed keep the good work may god bless you.
Amen huu wimbo wakati niliingia SDA ulikuwa wa faraja kubwa baada ya kutengwa.Mbarikiwe sana kwani ata sasa nimesimama imara katika Kristo
asante yesu narud kundini
Nice song
mbarikiwe sana
Yàp, ukristo ni gharama....ni uombe mungu akuwezeshe.
a very nice song
What a nice song
mbarikiwe
The song inspected me more in my life
Kweli kabisa Kuna gharama ya ukristo
Happy Sabbath 2024
Ukristo zaidi ya maisha💯
stand with the Lord because he died for us
Good
Mbarikiwe saana burka kwa wimbo mzuri wenye mafundisho usio jali madhehehebu bali gharama ya ukristo
Pia Mimi nateswa hivi mungu
Pole sana mungu hatakuwacha atakutetea
Ameen. God be blessed.
Amen amen amen
Amina
thought-provoking....
Kwa kweli ukristo ni zaidi ya maisha.
Mungu atusaudie tukue kiroho ukristo hauna gharama
Nice
Persecution to SDAs is lingering because we're the same with the world ...we act as heathen ,eat and lifestyle.. Let God make us firm in his word .by faith we look upon him to be saved.
Cost of discipleship more than friends ,family, even death.....Acts 5:27-29
Wimbo inanifanya nijue gharama ya ukristo
Burka mnajua sana bwana awaongozeee
Kweli umetumia gharaama gani .
Aaaaaamin.
True story.
nice songs
Truly Christianity will cost your life to death. But the hope is in Jesus our Saviour.
very fantasy song from USA means united state of arusha twn
This what majority of our family members are going through,, more particularly women and children
for really Christianity requires the cost of our lives
Zaidi ya cheo
gharama ya ukirsto zaidi ya kifo
Je wewe na Mimi tumetumia ghalama gani?
When gospel music was gospel music
Amen very powerful message
Amen huu wimbo wakati niliingia SDA ulikuwa wa faraja kubwa baada ya kutengwa.Mbarikiwe sana kwani ata sasa nimesimama imara katika Kristo
mbarikiwe sana
Nina kweli kabisa ukimkiri Yesu,tyr night sawa kwamba umetangaza vita maana mwovu shetani anaumia,hivyo atatumia mbinu na majeshi yake yote ili ukate Tamaa na ushindwe kuendelea na safari ya imani,na haya siyo Majeshi mengine bali ni binadamu ambao ni ndg na rafiki zetu WA karibu na wataleta maneno ya kukukatisha Tamaa .Lakini unapoona hali hiyo unapaswa kutambua kuwa "Imani uliyoipokea ndiyo Imani ya kweli ,maana shetani ni adui wa Imani ya kweli tu NBA ndiyo maana hata leo Mtu akiipokea imani kupitia kanisa la waadventista Wa sabato,na pengine kuiacha Imani ya
Amen
Nice song
nice song