Wangapi walijua hii remix atakuepo diamond platnumz baada ya kuonekana aki challenge clipe na hii nyimbo ya bongo man gonga like apa ila mbosso pia Kaua!!!!
daah ila mbosso kila akipewa colabo aweke vesi yeye waga ana uwa mapema san nikama nikipindi ana tunga vesi yake waga ana kutana na malaika tu sio kwa hali iyo toeni like bas
Oyaaa na mbosso khan tena aaah. Chembe chembe za India humu kauwaaa sanaaaa team mbosso like hap🎉🎉🎉🎉
Kali
On top
Kali
Noma
Baluzaaaa
Wanaoelewa tu muziki nzuri ndiyo watakaopiga like hapa🔥🔥
Mbosso Kaua aisee...Mbosso ameshindikana...Kenya tumekubali Mbosso♥️♥️♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🔥🔥🔥 hatariii
Wangapi walijua hii remix atakuepo diamond platnumz baada ya kuonekana aki challenge clipe na hii nyimbo ya bongo man gonga like apa ila mbosso pia Kaua!!!!
hii ndo kama tulivomuona criss kweny clip afu remix akaja jason
Chino This is big I say ,, Sending love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kenya we love this hit banger is another level ,
Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ila mbosso kashindikana wapi likes zangu tafadhali.
Ataree
Noma
Shidaa
Nomaa
Kinomaa
Hii umeuwa mwaka vizuri. Hata usiongeze tena Chino. Kenyan 🇰🇪fan🫶💞🥂💥💥💥💥💥
Bro kzi safi sna❤
Khan atareee sana. Kapewa verse kavamia. Sele umetisha. Mob ❤from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hapo ungemuweka na ibra akasemaa ooyaah oyaaah kama nimetoroka mirembeee chiziiiiii kama tuko congo
Mziki mzuri unajiuza, hii ngoma ni kali ki kinoma Bongo Dsm
Huyu mbosso khan apewe ulinzi Guyz kama unamkubali gusa like hapa
Mbosso umeuwa big love from 🇰🇪
Moto ni moto nawakubali sana nilikua natamani kifanyike kitu kama iji🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wakenyaa hawataki hizii rahaaa #kama uko bongo like hapana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ile siku mbosso atasema tutaamini but wewe ni shabiki 2 hatuna tofauti
Mbosso Khan ni wetu sote😂😂😂
@@Qqambaa 🤣🤣🤣
@@kybtzearthmoney9984 🤣🤣🤣🤣
@Qqambaa achaneni naee asiponze wasanii wetu bado wanahitaji support yenuu❤
Oya mbosso Congo utakuja lini big artistes from africa
Nime sikia iyi kitu Tokea Congo Drc Bukavu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Noma Noma Noma ngoma ya mwaka
Mboso khan, huyu jamaa hafai, nyimbo zima narudia kipande chake tu duh!😮🙌
MBOSOO KHAN baba inatoshaaaa💥💥💥💥💥👊👑
Kazi nzur kijana"!!!!🎉🎉🎉🎉
Mboso khan umetisha sana mzeee.big up chino bongo piano international
Ni mungu na masela😊😊😊😊😊kwa tuko Bongo man......
Oyaaaaa woteee mtulie mwenye mji kaki chafua acha tupite iviiiii 🔥 baruzaaaa
Bongo dar es salaam we muhindi wa kusini umeua🎉🎉🎉
nginja nginja
daah ila mbosso kila akipewa colabo aweke vesi yeye waga ana uwa mapema san nikama nikipindi ana tunga vesi yake waga ana kutana na malaika tu sio kwa hali iyo toeni like bas
Motoo 💯🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu mbosso atengwe jamn dahh😢,nyimbo nzuri na yyy kja kuingiza kitu imekuwaj balaa
bassline 🔥🔥🔥🔥🔥
Msakahela naona mbosso kashindikana pamoja na chino wapi likes zangu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Oyaaaa
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mbosso ni mkali sana
Audio 100%🔥🔥
Music Video100%🔥🔥
Definition of Good Music🔥🔥
Keep it up you will reach on Top one Day
wenye tunasubiri vituko vya mbosso kwa hiyo video tugonge like hapa
Tunao sabu dkiki tujuane wapi like za chino ft mboso mshedede wapi like za 🇴🇲🇧🇮🇹🇿🇰🇪🇸🇦 bila kisahau Congo
𝐍𝐨𝐦𝐚
Huyu mwamba uandishi wake ni Og. Hatari sana... wapi likes zangu manze
Balaaaaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Yaan ukisha sikia mbosso bs ujue utamu ni mwingi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿team mbosso dondosha like ap
Mungu ni mkuu sana shabiki Tangu mkubwa na wanae Adi ivi mungu akuzidishia kk yangu
Nikipiga salute namaanisha imeenda comando team Chino ft mbosso weka like hapaa.. .
Kali sana 🔥🔥
MBISO 🙌🏾👑🇹🇿
Likitokea jema kenya 🇰🇪 uzalendoo aaaaa😅🎉🎉🎉🎉❤❤ 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 MBOSOOOOOOO
BongoMan Doopest hit in town🔥🔥🔥🔥
Bongo😊
❤❤❤ Mboso khan Moto sana
Yaani tupo kaka mbosso khan basi yatosha kaka mamanguuuuu weeee
Ngoma kali san❤❤❤💞💞💞💞😋😋😋😋😋😋💘💘💘💘👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊
Mbossoo khani kafunika wote
I like the tune❤
Fundi khani baba 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nafikiri mmoja anatafuta ngazi ya kupandia juu akishafika juu ndio kwa heri ivo
Chukuweni tu maua yenu waaaazeee mumetisha sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉From south Africa
My fav 🎉
ila mbosso duh mwaka unaufunga mwanetu dah ukigusa imo qaqa watakuroga qaqa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Yaaan
@@saidissa4741 sio poa
Mbosso khan ni🔥🔥🔥🔥
Tulio sikiliza tukiwa china like hapa
We're going 💪
Ôzââ yani mbosso auna baya 🙌👏🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mbosso Kaua🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aisee mbosso khan hauwa,, mwamba ni balaa kwenye mistari. Anaujua mziki mwamba,, dondosha kopa kwa mbossoooo khan ❤️❤️❤️❤️❤️❤️♥️♥️👍
...Fanya kunicheki kaka japo dakika3. Usikilize wimbo wangu
Big love. Its good. Forma Mozambican 🇲🇿
Kubabake!..
Wakwanza Toka Rwanda
Silali mpaka niisikilize hii Ngoma np china like zenu bc nduguzangu wa bongo
Fanya kunicheki kwa link unisikilize japo dk,3
Ila mbosoo🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Baruzaaaaaaa!!!!🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿
S2KIZZY zombi weye utatuuwa n'a raha kwetu 🇨🇩🇨🇩. Mbosso Khan inatosha ❤❤❤
Mshedede hajawah muacha mtu salama 🎉
Mbosso Khan 🔥🔥🔥
Chino one man 🔥🔥🔥
mbosso umeua sanaa
Mbosso khan 🎉
Chino chino wanaman kama una mkubali weka makopa ❤
Yani wameua nimelike vibaya
Hongera ziend kwa mboss khan a.k.a mshedede❤❤❤❤
Katika huu wimbo mbosso khan dio kaua sanaaa wangapi tuna muku bali mbosso like hapa
Fanya kunicheki kwa link ukaniskilize japo dk3
Unyama 🔥
Wanamani dondosha like 🇹🇿
Tuipeleke trend namba moja hii wazeee🔥🔥🔥🔥
Mbosso 🔥🔥🔥🔥
mbosso umetisha
Mbosso❤❤
Kama tuko kenya gonna like
Vijanaa wa maana kabisa kumama zenu
ila Daaaaah mbosso King 👑🤴🏿
Yaaaah
ANKOOOOO⛽️⛽️⛽️⛽️⛽️⛽️🙌
Noma sana mbosso🍾💥
Mboso khan🎉🎉🎉🎉🎉
ngoma za mwaka
Zombi we n mbwa manyoko ...unajua HD unakera
Yi ni noma❤❤❤❤❤
jamani mbosso aaah yani uko on another level walai🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪much respect
Good Music tunangoja video sasa
Ngoma Kali sana mbosso kwani iyi ma neno ume kuwa una itowa kwa mungu aula
Bongo dar es salama #lyzee ✊✊
Hii ngoma ni nyoko kabsa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌