Wawili wa watu 3 waliodaiwa kutekewa nyara na maafisa wa polisi, Mlolongo, wamepatikana wamefariki
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Mungu wangu nakuomba utusadie hii inaumiza sanaa Jehovah 😢😢
Whoever brings back this regime, am saddened. Losing lives just because of power. One day God will bring justice
2027 Kenyans let's vote wisely,,,,
Sad indeed 😢😢😢😢
To end this madness,all Kenyans old and young should participate in mother of all demos until Ruto hides in barrack to save his ass.
Sasa too much 😭😭😭😭
Kenya kumekua kubaya hivi. Hatari. So sad really. life is precious.
Okay.. Voting out this regime in 2027 ni sawa But hio story itaishia hapo murderous waende home hivyo hivyo tu? Aiiiiii let's think beyond voting out ..
Ohh Lord help ua pple
This is so sad indeed.
Ya Tanzania yamefika na Kenya tena? Du alAfrika ni Afrika tu
😢😢😢
Subhanallah
😢😢😢😢
Ohh God of all creation...si utuondolee hii serikali tu itatuua wote
Imagine killing the people you took oath to protect....nashangaa kweli....but ni sawa....even those who killed them will have their day, ama wanafikiria wataishi milele....it is just a matter of time....what a regime??? Sad indeed....the Christian that we elected😢😢😮😮
SADEST NEWS😢😢
Kweri Ruto hakuna siku utasaidia wakenya?😢
asaidie na yeye ni kuua wakenya? ata hao wake watakufa 2 asikie vyenye wazazi WA Hawa vijana wanaskia sahi
@janegoandprosper9980 very true siku moja na yy ataona kaburi kwake
Ruto umeamua kumaliza wa Kenya wote
Sasa kula zitapigwa na nani iyo 227 na wakenya wanaelekea kumalizwa kila siku mauwaji ata labda iyo 227 kenye itakua umebaki wauwaji pekee
Jameni, kama mtu amepotea na Polisi wameokota mwilivwowote,mbone familia hizo hazikujulishwa zikawatambua? Kwa hio,wamejipeleka kotini ndio Mili yaokotwa? Si Rig G alimlaumu cid boss akapuzwa? Sw God will pay
At this point if you vote for zakayo, you are abnormal.
Kura ziko wapi 2027 ifike
We will fight impunity 😡
Mlichagua watu wenye wanawaua mchana peupe tukiona