I like how you pull the base guitar.. you tune it nicely❤️
Thanks brother
Teacher hiyo ni aina gan ya mziki
We unahisi n stail gan jins unafaham..!! Na mie ntakupa jibu langu
@@JoachimXbase teacher mm ni mbutu sana kwenye kujua aina za muzik
na je bass yako imetuniwa in EADGC au BEADG?
Yangu ni BEADG
bro kwann unapenda kutumia bass nyuzi 5 na sio 4 au 6?
Bro nyuzi 5 ndio gitaa ninalo limiliki ..lakin nyuz 4 natumia pia ukiangalia video zangu mbili nyuma nimetumia nyuzi 4 ..Nyuzi sita ntatumia nkienda kuazima
Brother naomba unitumie no ya wasap plz
+255718935033
Bro nakukubali sana na me naomba namba yako ya whatsapp
Namba mbona nimeziandika kwenye Tutorial kaka zipo humo +255718935033
I like how you pull the base guitar.. you tune it nicely❤️
Thanks brother
Teacher hiyo ni aina gan ya mziki
We unahisi n stail gan jins unafaham..!! Na mie ntakupa jibu langu
@@JoachimXbase teacher mm ni mbutu sana kwenye kujua aina za muzik
na je bass yako imetuniwa in EADGC au BEADG?
Yangu ni BEADG
bro kwann unapenda kutumia bass nyuzi 5 na sio 4 au 6?
Bro nyuzi 5 ndio gitaa ninalo limiliki ..lakin nyuz 4 natumia pia ukiangalia video zangu mbili nyuma nimetumia nyuzi 4 ..Nyuzi sita ntatumia nkienda kuazima
Brother naomba unitumie no ya wasap plz
+255718935033
Bro nakukubali sana na me naomba namba yako ya whatsapp
Namba mbona nimeziandika kwenye Tutorial kaka zipo humo +255718935033