USTADHI AMEZINI NDANI YA DANGURO 19 September 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024

Комментарии • 6

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 20 часов назад

    Barakallahu Feek

  • @khadraali5225
    @khadraali5225 20 часов назад

    Hasbun ALLAH Waneamall wakin☝️

  • @lamuchidon7643
    @lamuchidon7643 День назад +2

    Hichi kisa kimenikumbusha kisa wakiya kilichonitokea kipindi Nasoma Madrasa, kulikua na Ustadh wetu wa Madrasa aliekua akinifunza nilikuja kukumbana nae face to face yy akiwa amesimama na Mwanamke pirates Usiku kipindi cha New year 🎇. Basi kwa kutotarajia kumkuta Ustadh wetu sehemu kama ile ikaniingia akilini fitna ya kusema Ustadh nimemkuta na demu beach. Basi ikanipelekea kumuona ustadh wetu kwa jicho lengine ovu, bila kutambua kua Ustadh kipindi kile alikua na Mkewake na alienda kama mtu mwengine kuenda kuona firelights na kurudi nyumbani. Nikasema kweli fikra zangu zilikua mbovu kipindi hicho.

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 20 часов назад

    ❤❤❤🎉

  • @abduleve8688
    @abduleve8688 16 часов назад

    Kwanini Muislamu kuingia pahali ambapo watu watamshuku vibaya?

    • @abdab8466
      @abdab8466 Час назад

      Watu kushuku si vipimo,kipimo ni Allah ukamkaidi ukafanya mambo yasiokua