Hichi kisa kimenikumbusha kisa wakiya kilichonitokea kipindi Nasoma Madrasa, kulikua na Ustadh wetu wa Madrasa aliekua akinifunza nilikuja kukumbana nae face to face yy akiwa amesimama na Mwanamke pirates Usiku kipindi cha New year 🎇. Basi kwa kutotarajia kumkuta Ustadh wetu sehemu kama ile ikaniingia akilini fitna ya kusema Ustadh nimemkuta na demu beach. Basi ikanipelekea kumuona ustadh wetu kwa jicho lengine ovu, bila kutambua kua Ustadh kipindi kile alikua na Mkewake na alienda kama mtu mwengine kuenda kuona firelights na kurudi nyumbani. Nikasema kweli fikra zangu zilikua mbovu kipindi hicho.
Barakallahu Feek
Hasbun ALLAH Waneamall wakin☝️
Hichi kisa kimenikumbusha kisa wakiya kilichonitokea kipindi Nasoma Madrasa, kulikua na Ustadh wetu wa Madrasa aliekua akinifunza nilikuja kukumbana nae face to face yy akiwa amesimama na Mwanamke pirates Usiku kipindi cha New year 🎇. Basi kwa kutotarajia kumkuta Ustadh wetu sehemu kama ile ikaniingia akilini fitna ya kusema Ustadh nimemkuta na demu beach. Basi ikanipelekea kumuona ustadh wetu kwa jicho lengine ovu, bila kutambua kua Ustadh kipindi kile alikua na Mkewake na alienda kama mtu mwengine kuenda kuona firelights na kurudi nyumbani. Nikasema kweli fikra zangu zilikua mbovu kipindi hicho.
❤❤❤🎉
Kwanini Muislamu kuingia pahali ambapo watu watamshuku vibaya?
Watu kushuku si vipimo,kipimo ni Allah ukamkaidi ukafanya mambo yasiokua