MDOGO WA DIRECTOR KHALMANDRO AWACHANA WASANII HAWA KUTOFIKA MSIBANI| ALIWATOA KWANINI HAWAJAJA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SIMU MUDA HUU
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
0753393036
0625466848
0679393030
ZOTE ZINAPATIKANA WHATSAPP
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
INSTA; Homemediatz
TIKTOK; homemediatz
FACEBOOK; homemediatz
Lazima tuwambie u kweli tuisaidie familia ya #khalfan Na tusimsahau kumwombea DUWA.... Allah atufanyie wepesi... ❤
Mmh sasa km mtu hakupata nafasi yakuja jaman sio vizuri aliyekuja shukuru mungu sio kutaja majina watu
Poleni nduguzagu wa Tanzania
Uyu dada anajua kuhoji😊😊😊
❤❤❤❤
Mwandishi unakose a sana huyo mdogo wa marehemu yupo kwenye huzuni mii n aona ungemuuliza k uhusu msiba tu ha yo mambo ya alfani sijui Nani kamfundi sha mwenzie yani w ala haipebdezi kabi sa mkihoji watu mju e mnawahoji wakati gani na Muddy gani
Hawa si watangazaji ni wapita njia na Mike ... Wanatafuta Views tuu
😂😂😂😂
kama aliomba kuulizwa😂😂😂😂😂😂😂
Upo sahihi kabisa
Huyu dada hajitambui huwezi kuuliza maswali ya kipumbavu kama hayo
Maskn kaumia Sana AZIZI😢😢. KIFO NI FUMBO.
POLE SANA❤
Kifo kiskie ila kifo kinauma sana kwa wafiwa,ila tumuombee duwa ,ila wasanii ni wanafiki
Kweli kabisa ukifiwa ndiyo utaelewa mungu awape subra
Tuna muomba Allah amlaze pahali pema. Amiin
Ila me ninachoona sio lazima mtu aje msiban kama mtu tabia yake ni hyo awez acha…tatzo wasanii mashauzi kibao sanaaa kujiona, majivuno ndio kitu wanaweza 🙌🙌🙌
khaliphan na hanscan wamefundishwana nisher
Wasanii kawaida yao WENYEWE kazi yao kusema wanatumia ml3kwa siku
Wanadanganya kujipaisha
UKUMBUSHO TU MAREHEMU ANATAKIWA AKUMBUKWE KWA DUA ALLAH AMSAMEHE DHAMBI ZAKE NA AMKUNJUKIE KABURI LAKE , LAKIN SIO TUMKUMBUKE KWA KAZI ALIOIFANYA COZ HIYO KAZI ALIOKUA ANAFANYA SIO KAZI YA KUMRIDHISHA ALLAH SASA SIO SAWA KULINGANIA WATU WAMKUMBUKE KWA KAZI YAKE, NA HAO WANAFUNZI WAKE SIO JAMBO LA KUJIVUNIA KWAKE COZ WAO SIO SWADAKATUN JAARIA. (HAYA NJOONI MTUKANE ALAFU TUKUTANE KWA ALLAH SIKU YA QIAYAMA)
Ni kweli kaka, hakuchagua kazi sahihi ya kufanya katika maisha yake kama muislam yani ni majuto juu ya majuto sema wengi hawalijui hilo ila ni mtihani mkubwa kwake😭😭😭😭
😂😂😂😂😂
Huyo mtangazaji n mpuuz kbsa yaan unaenda msiban ujajistir tena msikitin
Pole ila usem unachoulizwa sio unachotak
Director kenny ni snitch,, sisi ndo tunajua. Wacha dogo aongee
Mh kwa azizi kuna usalama kweli😂
USITEGEMEE L MSAADA WA MTU,,PAMBANA KIVYAKO
Kumbuka sigara zime katazwa kuvutwa hazarani, lakin pia nina mashaka na uraia wako inaonekana ww co mtanzania, kama hauna lakuongea bora ukae kimya.
Hii ni kukumbushana tu, SIO amri kenge ww acha ubwege. Unajua kesho yko ww mxxxieeee
Unaona maswali ya kijinga hayo ulizia m siba jamani waandi shi vipi
Na domo lake ka domo kaya 😂
Maswali ya msingi ni yepi? kama vipi acha kazi unayofanya kafanye huo uandishi ili uulize maswali ya form six, acha kudharau wenzako na kazi watu bwana hata wanaofanya kazi huko maafisi wanafanya makosa mengi tu sema kazi zao hazishuhudiwi na watu, na kosa la mmoja usiliangushe kwa waandishi wote sawa
😂😂😂sasa mlitaka niulize nn jaman vipenzi vyangu