MDOGO WA DIRECTOR KHALMANDRO AWACHANA WASANII HAWA KUTOFIKA MSIBANI| ALIWATOA KWANINI HAWAJAJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SIMU MUDA HUU
    -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    0753393036
    0625466848
    0679393030
    ZOTE ZINAPATIKANA WHATSAPP
    -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    INSTA; Homemediatz
    TIKTOK; homemediatz
    FACEBOOK; homemediatz

Комментарии • 34

  • @MwasityPonda
    @MwasityPonda 4 месяца назад

    Lazima tuwambie u kweli tuisaidie familia ya #khalfan Na tusimsahau kumwombea DUWA.... Allah atufanyie wepesi... ❤

  • @Zuu673
    @Zuu673 4 месяца назад +3

    Mmh sasa km mtu hakupata nafasi yakuja jaman sio vizuri aliyekuja shukuru mungu sio kutaja majina watu

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 4 месяца назад

    Poleni nduguzagu wa Tanzania

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 4 месяца назад +2

    Uyu dada anajua kuhoji😊😊😊

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 4 месяца назад +6

    Mwandishi unakose a sana huyo mdogo wa marehemu yupo kwenye huzuni mii n aona ungemuuliza k uhusu msiba tu ha yo mambo ya alfani sijui Nani kamfundi sha mwenzie yani w ala haipebdezi kabi sa mkihoji watu mju e mnawahoji wakati gani na Muddy gani

    • @salimmbarak618
      @salimmbarak618 4 месяца назад +1

      Hawa si watangazaji ni wapita njia na Mike ... Wanatafuta Views tuu

    • @FameTrendz
      @FameTrendz 4 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @FameTrendz
      @FameTrendz 4 месяца назад

      kama aliomba kuulizwa😂😂😂😂😂😂😂

    • @sadiqadam7971
      @sadiqadam7971 4 месяца назад

      Upo sahihi kabisa

    • @fauzibinzoo6563
      @fauzibinzoo6563 4 месяца назад +1

      Huyu dada hajitambui huwezi kuuliza maswali ya kipumbavu kama hayo

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 4 месяца назад

    Maskn kaumia Sana AZIZI😢😢. KIFO NI FUMBO.
    POLE SANA❤

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 4 месяца назад +6

    Kifo kiskie ila kifo kinauma sana kwa wafiwa,ila tumuombee duwa ,ila wasanii ni wanafiki

    • @shukrishuu9672
      @shukrishuu9672 4 месяца назад

      Kweli kabisa ukifiwa ndiyo utaelewa mungu awape subra

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 4 месяца назад

    Tuna muomba Allah amlaze pahali pema. Amiin

  • @JacquilineNoah
    @JacquilineNoah 4 месяца назад +2

    Ila me ninachoona sio lazima mtu aje msiban kama mtu tabia yake ni hyo awez acha…tatzo wasanii mashauzi kibao sanaaa kujiona, majivuno ndio kitu wanaweza 🙌🙌🙌

  • @kigomapambe
    @kigomapambe 4 месяца назад

    khaliphan na hanscan wamefundishwana nisher

  • @ANTHONYDCOSTA-u5p
    @ANTHONYDCOSTA-u5p 4 месяца назад +2

    Wasanii kawaida yao WENYEWE kazi yao kusema wanatumia ml3kwa siku

  • @alisaid1347
    @alisaid1347 4 месяца назад

    UKUMBUSHO TU MAREHEMU ANATAKIWA AKUMBUKWE KWA DUA ALLAH AMSAMEHE DHAMBI ZAKE NA AMKUNJUKIE KABURI LAKE , LAKIN SIO TUMKUMBUKE KWA KAZI ALIOIFANYA COZ HIYO KAZI ALIOKUA ANAFANYA SIO KAZI YA KUMRIDHISHA ALLAH SASA SIO SAWA KULINGANIA WATU WAMKUMBUKE KWA KAZI YAKE, NA HAO WANAFUNZI WAKE SIO JAMBO LA KUJIVUNIA KWAKE COZ WAO SIO SWADAKATUN JAARIA. (HAYA NJOONI MTUKANE ALAFU TUKUTANE KWA ALLAH SIKU YA QIAYAMA)

    • @pwanihabari
      @pwanihabari 4 месяца назад

      Ni kweli kaka, hakuchagua kazi sahihi ya kufanya katika maisha yake kama muislam yani ni majuto juu ya majuto sema wengi hawalijui hilo ila ni mtihani mkubwa kwake😭😭😭😭

    • @FameTrendz
      @FameTrendz 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @Abbasbakarsth
    @Abbasbakarsth 4 месяца назад

    Huyo mtangazaji n mpuuz kbsa yaan unaenda msiban ujajistir tena msikitin

  • @FaudhiaNjombi
    @FaudhiaNjombi 4 месяца назад +1

    Pole ila usem unachoulizwa sio unachotak

    • @Az__2012
      @Az__2012 4 месяца назад

      Director kenny ni snitch,, sisi ndo tunajua. Wacha dogo aongee

  • @Mgema001
    @Mgema001 4 месяца назад

    Mh kwa azizi kuna usalama kweli😂

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 4 месяца назад

    USITEGEMEE L MSAADA WA MTU,,PAMBANA KIVYAKO

    • @Lebabaz
      @Lebabaz 4 месяца назад

      Kumbuka sigara zime katazwa kuvutwa hazarani, lakin pia nina mashaka na uraia wako inaonekana ww co mtanzania, kama hauna lakuongea bora ukae kimya.

    • @AzaAzamhmod
      @AzaAzamhmod 4 месяца назад

      Hii ni kukumbushana tu, SIO amri kenge ww acha ubwege. Unajua kesho yko ww mxxxieeee

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 4 месяца назад

    Unaona maswali ya kijinga hayo ulizia m siba jamani waandi shi vipi

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 4 месяца назад

      Na domo lake ka domo kaya 😂

    • @pwanihabari
      @pwanihabari 4 месяца назад

      Maswali ya msingi ni yepi? kama vipi acha kazi unayofanya kafanye huo uandishi ili uulize maswali ya form six, acha kudharau wenzako na kazi watu bwana hata wanaofanya kazi huko maafisi wanafanya makosa mengi tu sema kazi zao hazishuhudiwi na watu, na kosa la mmoja usiliangushe kwa waandishi wote sawa

    • @FameTrendz
      @FameTrendz 4 месяца назад

      😂😂😂sasa mlitaka niulize nn jaman vipenzi vyangu