Wapi ww,kila mtu ana mtazamo wake ktk maisha,hata mapacha wanakuwa na mitazamo yao tofauti,japo wanatofautiana kuzaliwa kwa muda mchache,ukisema wachambuzi ni walevi unawakosea sana,huu ni mpira sio msanja,kiuhalisia hauwezi kuwasema vibaya wachambuzi,anaejua ni yanayokuja ni mungu pekeee,ndio maaana waswahili wanasema ufikiriavyo sivyo,unavyo ndio,walifikiria hivyo lkn matokeo yakawa sio,tusiwalaumu,vingapi ww ulisema vikawa sivyo,
Haya ya wachambuzi ni ushabiki tu wengi wao ni wandishi wa simba ambao hawakuajiliwa na simba
Nikweriii wachambuziii weng wareviii awanampang
Wapi ww,kila mtu ana mtazamo wake ktk maisha,hata mapacha wanakuwa na mitazamo yao tofauti,japo wanatofautiana kuzaliwa kwa muda mchache,ukisema wachambuzi ni walevi unawakosea sana,huu ni mpira sio msanja,kiuhalisia hauwezi kuwasema vibaya wachambuzi,anaejua ni yanayokuja ni mungu pekeee,ndio maaana waswahili wanasema ufikiriavyo sivyo,unavyo ndio,walifikiria hivyo lkn matokeo yakawa sio,tusiwalaumu,vingapi ww ulisema vikawa sivyo,
Mitaxamo au ushbki
Ukianza kubishana na b levo ww ndo tunakuona kichaaa zaid😂😂 afu next time punguza maneno unatupa Kaz ngumu kusoma
Baba Revo upo saiii
Huwezi kutamani Simba awe wa2 wakati Mimi napendakuona Naupotezakabisa ufalmewa wa Simba, Yani Hadi apotee kabisa
Watakao kupnga n Wana shimba😂😂😂
😂😂 baba mwenye tumbo lake
Babaleo ww na mpira wapi na wapi baki kuwa mshabiki tu kwenye uchambuzi waachiye wenye taaluma yao
Huyu keshama kwa mpenja
baba levo uko vizuli ki mpila kushinda oska hajuwi kabisa mpila.ila analazimisha ajuwe
Ningeshauri kasome
😊😊😊 2:14 2:18
😅😅😅
😂😂😂😂
😂😂😂😂