MBUNGE WA PASSPORT ZANZIBAR ALIAMSHA BUNGENI ''AMVAA MBOWE NA WENZAKE SWALA LA MUUNGANO/CHADEMA PIA.
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Nchi moja haiwezi kuwa na maraisi wa wili. Kwahiyo Zanzibar ni Nchi na tanganyika ni Nchi pia Kwahiyo kama wa nchi mbili kupatikana moja naomba pia Zanzibar ife ibaki kuwa mkowa kama ilivyo mikowa mingine
Hatimaye mbaguzi kaamua kujitokeza hadharani
Mtaitoa tu Tanganyika yetu kumaanina. Muda umefikaaaaaa😂
Tanganyika yetu kwanza samia sio mtanganyik ni mzanzibar
Chadema ndo watanganyika arisi na wanauchungu na nchi yao
Watanganyika tunaona aibu kujiita watanganyika et hoo watanzania bara mikuuuuuundu yeeeeeeeetu
Kama sio Mtanzania atolewe hapo yeye ndo anautaka ubaguzi mbona kama tunawabembeleza hawa ni ajabu kiongozi mkubwa kama huyu kusema maneno haya , atolewe kwanza
Sasa tumeungana nini!!!!!!kama zanzibari tunaenda na paspoti???!!😭😭😭😭
Nchi sio moja, ni nchi mbili tofauti, ZANZIBAR na TANGANYIKA. Wazanzibari wanata mamlaka yao, hawataki kutawaliwa na Tanganyika.
Wewe mbwa anemtawala mwenzie nani tanganyika umeona kuna rais?huko Zanzibar mtanganyika anaruhusiwa kumiliki ardhi? Ushaona mtu wa bara akapiga kura au kugombea uongozi akaruhusiwa huko Zanzibar? Mna bunge lenu na wabunge wenu vp tanganyika wapo? Mna mtaala wenu wa elimu mna katiba na sheria zenu ambazo haziwa accomodate watanganyika unasemaje tunakutawala? Wakati nyinyi ndio mnanufaika na mfumo. chukua time mzee
@@UrassaPaschalwabunge wa Zanzibar kuja kwny bunge la TANZANIA ni kwa sababu ni bunge la muungano
Povu lanini na wakati Mzee Yuko sahihi
Safiiii sasa wazanzibar wanajitambua bado sisi watanganyika tunatoatoa tu mimacho japo sio wote mlionielewa nipeni maua yangu.
Tunataka Tanganyika yetu
Wanzanzimbari hamna haya kwani Tanganyika Iko wapi yote haya sababu ni ccm
Ukiona jioni ujue asubuhi inamekaribià ccm,Bado hamuamki tu,,au mnasubiri inyeshe mtakuja kutafutana
Kumekaribia kukuacha, Giza haijawahi shida nuru
Kama una akili jibu hapa kuwa wakati wa mgombea wa chadema ni Luwassa mgombea mwenza alikuwa JUMA Duni Haji,je Luwassa angepata urais na baadae akafa chama cha mbowe kisingekubali JUMA Duni Haji kuapishwa kama Rais wa Tanzania kwasababu alikuwa mzanzibari?.
Mkikosa hoja muwe mnakaa kimya msituletee chokochoko.
Pumbavu sana wabunge wa ccm
Jamaa kanyosha kuwa ni Nchi mbili huru zilizoungana lakin mapwaguzi yanajizima data kuwa sisi ni WA Tanzania,
@@bahatielias6443 ukitaka ccm ukuchukie kua mkweli
Kweli kabisa
That’s what they discuss in parliament, we are given mbumbu za MPs, bunge liko Dodoma karibu na Milembe hospital, bunge liwe tawi la Milembe ili hawa fisi wapatiwe matibabu haraka.
Kweli hili jambo la Muungano haliko sawa kama kumbe kuna wazanzibar basi kuwepo pia na watanganyika then ziwepo serikali tatu.
Mnapeleka maendereo ZANZIBA mbona hatusikii mzazibali anajenga vituo vyaporisi bara hawajaamaa mnawapakata acheni kubebana viongozi lifanyieni kazi hiri hakika
7bu ni wew unaetaka wabara waje na Passport na wasifanye kazi visiwani, sijuwi unatutaka sis wa Bara tumdai Passport Mh Samia, wabunge viraza kama hawa mnawachaguaje.
Ijulikane ni muungano wa nchi mbili Zanzibar na Tanganyika,jina la muungano ni Tanzania ✅
Time will tell insha Allah
Kama ww ni Mzanzibar huku kwenye bunge la Tanganyika unafanya nin.Muungano na ufutwe hauna faida labda wanasiasa na watawala ndo wananufaika.Huyu mbunge ana uelewa mdogo sana
Uwelewa mdogo kama we
Kama wewe ni mzanzibari kwa nini uwe mbunge huku Tanganyika
Yupo ktk bunge la jamuhuri ya muungano wa tanzania c bunge la tanganyika
Kwani ujui kaka au unajizima data
Najuwa vizuri ila madawa hua yanawachanganya@@mohdchuma78
Kwel mbona sisi kwenye bunge lao Zanzibar hakuna watanganyika wala haturusiwe kugombea uongoz wowote kule na mfumo wao
Hamruhusiwi kwasababu nyinyi mulitaka wenyewe
Uliyataka mwenyewe rudini kwenu mkabaki napaspoti zenu vizuri umeanza mwenyewe ubaguzi rudini kwenu hambebeki nyi nyi
Kinachowaponza Wazanzibari ni misimamo yao juu ya Uzanzibari wao,sio watu wa kona kona,sio wanafiki,wanapenda nchi yao Zanzibar,tena awe chama chochote,na ndiomana mlimsikia Rais Samia wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania,akisimamia msimamo wake juu ya Uzanzibari wake,au hamkumsikia?na ndo kutoka ccm!,ujue kama Wazanzibari wanajielewa wanamisimamo juu ya Zanzibar yao
Wabunge wa ccm ndio wanaotuingiza kwenye matatizo angalia wazanzibari wanajitambua na Lisu apewe maua yake .Big Lisu chapa kazi
Wazanzibari wanajielewa,na watu wa misimamo juu ya mambo yao,sio wanafiki,ukitaka kujuwa kama sio wanafiki si umemsikia Rais Samia juu ya msimamo wake juu ya Uzanzibari wake?au hamukumsikia?tena ndo kutoka ccm,ndo mujue kama Wazanzibari hawana masihara ya nchi yao
Chadema wapo sawa tu labda mjinga tu ndo atawalaumu
Haya sisi tunaangalia tu hatimaye kitaeleweka tu😁😁😁😁😁
Iv Kwan sisi watanganyika tunalazimisha Nini huu Muungano
Patamu hapo
@@mohdchuma78 Lazima mna jambo lenu, maana Wazanzibar hatutaki Muungano huu mwaka wa 60.
Mafisiem ya Zanzibar na Tanganyika ndo yanalazimisha,! ..mbafu Sana kwa
Ccm inamiliki Zanzibar. Wakiondoka chama chama tanganyika? Wazanzibari watakia huru
Wewe c mtanzania inafanya nn ndani ya binge la Tanzania Toka bungeni urudi kwenu,haya ndio Yale mabaki ya sultani Bado yapo.
Kawakilisha moja ya nchi mbili zilizoungana
Zanzibar na Tanzania Bara ni Nchi tofauti Zanzibar ni Zanzibar na Tanzania bara itabaki kuwa Tanzania bara , TANZANIA NI UNION sisi ni WAZANZIBAR tu ,msitulazimishe Tanzania bara ni Watanzania bara na Zanzibar ni WAZANZIBAR tunaitana WATANZANIA SOTE kwa sababu ya Union
Kama umekubali Union, bas kubali Utanzania
Mmeyataka wenyewe!!
Sasa apo kuna muungano wa nni ? Na kuenda Zanzibar unatoa passport na wa Zanzibar wakija Tanzania wanatoa Passport sasa apo kuna muungano wa nini? Ni sawa na mkenya kuja Tanzania natoa passport je wakenya na wao ni muungano kwa maana wana tumia passport kuja Tanzania?
Tanganyika ipatikane pia ijitegemee 👍👍👍👍👍👍👍
Samia ni Mzanzibar na mwenyewe anajiita mzanzibar sasa kumwita ni mzanzibar ni kosa!!
Kabisa
Muungano unashida mbona mbunge hataki kuitwa anataka kuitwa mzanzibari kumbe pamoja na muungano ila wenzetu wana zanzibari yao sisi tanganyika yetu iko wapi? Na je kuna wabunge wa bara kwenye bunge la zanzibar ? Jamani hii inchi tunawasomi kweli NA MWANASHERIA ALIYEBAKI ANAE JITAMBUA NI LISU WENGINE WASINDIKIZAJI INCHI INAUMIZWA WAO WAKOKIMYA.
Chadema wako sahihi😂
Tufanye zanziber iwe mkoa ili hawa wazanzibar wawe huru kakaa huku tanganyika.kila kitu kiwe ni chetu sote
Hakuna watu wabaguzi kama wazanzibar.Cha msingi waende kwao watuachie tanganyika yetu Tanzania baadae.Tunataka tanganyika yetu.Zanzibar wanatunyonya sana.wakitaka zanzibar iwe mkoa basi yaishe no way.
Patamu hapo
Nyerere katowa mawaz Mzee wetu kasema siku mkianza kibaguwana bas dhambi itaenderea y kubaguwa na wasih msifk huko kubaya tusibaguwane
Wazaazinzibar baadhi ni wajinga sana..unadai pasport na hpo2 unalalamik kubaguliwa..JINGA SANA MBAYBAYU
Duuuh kumbe ubunge ni kazi rahisi hivi 😢😢😢😂😂😂
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Bunge linawajinga wengi
😮
Huyo Mbunge ni mpumbavu. Wazee wenye busara walishausia kuhusu dhambi ya ubaguzi...alianza mwenyewe kuwabagua Watanganyika, sasa ameona amebaguliwa Mzanzibari mwenzake amebaki kulalamika hovyo. Hapo hata tukikubali Watanganyika na Wazanzibari kutengana, hao Wazanzibari watadai wengine siyo Wazanzibari ni wapemba. Muungano wa nchi mbili na kupata nchi mbili utaendelea kudumu daima. Wote wanaosimama kuelezea Muungano hawana hoja zaidi ya kuleta ubaguzi tu. TANZANIA itaendelea kuwepo hadi siku pale watakapotokea watu wa kuutenganisha ule mchanga wa Tanganyika na Zanzibar.
Mbunge mjinga saana huyu, sisi tuende kwa passport wao waje tuuu. Shenzi kabisa
Katika watu wanafiki kwa asilimia kubwa wa upande wa Tanganyika,Watanganyika asilimia kubwa ni wanafiki,watu wa maslahi,watu wa kugeukageuka au kubadilikabadilika,hawajielewi,lakin upande wa Wazanzibari ni wanajielewa,watu misimamo juu ya mambo yao,sio wanafiki juu wa mambo yao yanayohusu Zanzibar,na ndiomana mambo yao yote yapo mezani.
Watanganyika wanasema wanataka tanganyika yetu na wanzanzibar nao wanasema tuachie Zanzibar yetu
Ninyi watanganyika na Wanzazibar gawaneni nchi zenu
Mimi muniachieni TANZANIA YANGU MSI IGUSE
Wanzanzibar wanajichanganya wenyewe.
Nafikiri huyu mmbunge anachuki binafsi na Tanganyika, yeye yupo humo bungeni si kwasababu ni mzanzibar ni kwasababu ni mtanzania, akiwa kwenye baraza la wakilishi ndio anakua mzanzibar, Tena analalamika samia kuitwa mzanzibar sasa analalamika nini? Tofauti yake na samia ni ipi
Wanzanzibar tuliyo wengi hatutak kuitwa watanzania
Kumbe wabunge mtupotosha sazingene jamani
Sio yeye, NI USHOMBESHOMBE alio nao ndo unamfanya aongee hivyo,muombeeni tu dua huyu ndugu yetu aachane na ubaguzi 5:58
Hv kwanini kuwakumbatia ivyo mimi nikiwa rais naondoa nchi mbili niujinga
Hakika njaa n mbaya
Dalili za kuvunja Muungano
Mbowe na lisu mwishoe wataanza kwann wachaga hawajàwa rais hata siku moja
huyo mbunge wa zanzibar hebu mtoweni: wewe ulikuwepo wapi wakati mizengopinda anatoa kauli hii...... hamna huwezi kuchaguliwa kuwa rais maarifa bado
Huyu mbunge aongelee lakwake
Mm napenda nicheke tu. Muda mwingi wazanzibar walihitaji Zanzibar yao yenye mamlaka kamili ila Sasa ni zamu yetu kudai Tanganyika yetu yenye mamlaka kamili. Ila mm nahisi ifanyike kura ya maoni ya watnzania wote kuhusiana na hili ili kuepuka hili tusije kuingia ktk vita vya sisi kwa sisi. That's why Tanzania is democratic country
Huyu mbunge ana maana gani na PASSPORT kwenda ZANZIBAR na kwenda TANGANYIKA ambayo yeye anaiita TANZANIA BARA kama sio nchi mbili ? KUMBE kuna wabunge ambao hata sie tunaochunga mbuzi huku vijijini tunawazidi AKILI ?
Wanasiasa wanatoa hoja yao majukwaani badala ya kujibu hoja unakimbilia kushawishi vyombo vya ulinzi
Nasikitika san tuna machawa wengi bungeni kuliko viongozi jambo laajabu san😢😢
Sasa kumbe upinzani wapo mkide sana.
Wapo mkide kweli.
Hata wabunge pia hasa wa bara hawaupendi muungano, wanejaa unafiki na uoga tu, hebu wekeni mezani kura huru ya maoni juu ya muungano, ndo mtajua watu tumeuchoka Muungano .
Kuwaelewa maccm unahitajika kuwa MWEHU
Mhm
Ktk nchi ya Tanzania kuna utoto ambayo hata watoto wa dalasa la chekechea hawawezi kuufanya, ivi nchi mbili zikiungana zitatoka nchi mbili tena? ndio maana wabunge wanajichanganya hata hawajuwi wanaongea nini, serikali ijitathimini.
Kweli kabsa
ujinga sana Mzanzibari arudi kwao mbona mtanzania awezi kununua ardhi Zanzibar uwezi kuwa rais wa nchi ihi kila mmoja abaki kwake
Zanzibar ni serikali ya Mapinduzi, waliwapindua waarabu, Je chama cha mapinduzi kilipindua nini?
Swali Safi sana!
Some time kama huna cha kuchangia bora ukae kimya sio mpaka uongee,kuna ubusara kwny kusikiliza kuliko kuongea
IPO HAJA WAKATI WA KUWASILISHA FOMU KTK TUME YA UCHAGUZI ZIAMBATNISHWE NA MEDICAL EXAMINATION REPORT KUTOKA HOSPITAL INAYOTAMBULIKA. INAWEZEKANA BAADHI YA WATU MISHIPA YAO YA AKILI IMECHANGANYIKA NA YA MAVI
Uyu mbunge Msenge Sana mmesikia Ccm Uyu mbunge Wa Zanzibar Hawa Wa Zanzibar Wajinga Tuwaache Jamani. Tu Warabu Waje Pale Wawaoe
Huyo mbunge naye haelewi, yeye ndiye alikuwA ya kwanza kuwabagua Watanganyika kuingia Zanzibar kwa passipot
Anajielewa huyo,hao sio watu wa kukurupuka,mtakuja kumuelewa mbeleni huko,Wazanzibari wanajielewa,na watu wa misimamo
Ww ndio hujielewi
Mnajikanyaga
Kama yeye sio mtanzania, mtanzania ni nani ni yupi naomba tafsiri.
Hahahaha, Kwa hiyo wewe ni mzanzibar, sio mtanzania. Alaf akisema Lissu anaonekana mbaguzi
Mkuki kwa Nguruwe, kwa Binadamu ni mchungu, Nyie na wabaguzi sana tukija kwenu
Katiba yenu ndo imewabagua
Ongea kwa mantiki sio kuongea kama unaongea na watu wasio jua kusoma na kuandika
Lazima Watanganyika muekewe Passport kuingia Zanzibar,Zanzibar ni Visiwa halafu ni vidogo...
Nadhani mheshimiwa hili tatizo la afya ya akili
Lissu hajabagua ila amewachoma za uso amewaambia ukweli mtupu
Nikweli samia anatawala nchi isiyo yake anawafukuza wamasai ktk maeneo yao
Huyu mmbuge ni mpuuzi rudi kwenu zanzibar tuacheni na tanganyika ,unalia nini Sasa hapo nyie ndio mnaleta uzanzibar
Nashangaa kuona anaendelea kuchangia wakati yeye amekataa kuwa yy sio mtanzania sasa niajabu san tuna serikari ya ovyo kabisa sasa mnakaanae apa kma nani ety mbona watanganyika tunakosa ufaam jmn kaaah 😢😢😢😢😢 allah tusimamie kwakwer atuna viongoz bungeni.
Huu muungano ufanyiwe ukarabati mkubwa in Moja ni kuwa wa mkataba an wa serikali Moja laa sivyo uvunjiketu.
Kwani rais ni raia wa wapi?
Wewe hujafanya ubaguzi mbona hujasema wewe mtanzania umesema wewe ni mzanzibari
Watanganyika kwel vilaza ivi kwel tanZania ni nchi Moja ,na ikiwa anzania ni nchi Moja iyo jamuhuri ya tanganyika na Zanzibar inatola wapi
Sio watanganyika ni viongozi wa ccn
Changamoto kubwa sana
Raia moja ,nch moja hakuna utanganyika wal unzanzibar
Zanzibar na Tanganyika sio zaid
Tanganyika ooyeeee!!
Kwahiyo wewe umejibagua tyr..maana yeye ni mzanzibari
Tanganyika imepata uhuru 1961 Tanzania bara hiyo mnaijua nyinyi
Zanzibar imepata uhuru mwaka 1963 chini ya ZPPP unalijua hilo.
Mboye na liso wanauchungu naichi yayo wewe mujiga unaitaji cheo
Nyie ndoo wabaguzi sema mnajiona nyie ni mhm kuliko wengine
Kunambi ni mku maana anaongea kama anapointi kume hovyo.
Ni Mtanganyika Gani Alisha wai kuwa Rais wa Zanzibar ?
Bwana mdogo
Huyu mbenge hana hoja
ndiyo nyie wazanzibar mnatumia vibaya mali asili ya Watanganyika. Na sisi siyo nchi moja ulishawahi kuona wapi nchi moja ikwa na marais 2??? na bado hapo anathibitisha yeye siyo Mtanzania bali ni Mzanzibar, hivyo mimi sioni kama kuna aja ya kuendelea na na muungano.
Tanganyika hata nyinyi munakosa haki zenu za msingi kwa kuuvaa sana utanzania huku mkausahau utanganyika wenu yani asili yenu sasa zanzibar wao hawapo ivo wanajua kuna zanzibar mbali na haki zake na kuna Tanzania ambapo vit vote vilivo shabihiana na neno tanzania bx ni chet sote yani cha muungano
Km ndo hivyo, sisi wabara pia tunataka baadhi ya wabunge huko zanzibar watoke huku bara,km ilivyo hapa kuna mbunge katoka zanzibar
huo sasa ndo utskywa usawa
Kama siyo mtanzania unafanyaje apo
Haya ndo Mambo yanatatanisha kwa sababu yalifanywa siri ya fisiemu
Sasa jibuni hoja ya lissu. Sio eti Hana hoja!
Wanamtega alafu na yeye anajitega😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 we jamaa unazingua sana 😂😂😂
Kama ni mzanzibari unatafuta nini kwenye bunge lisilo la zanzibar
Na wala hakuna Bunge la Tanganyika