KIJIJI CHA WACHAWI [3] MWAKATOBE & CLAM VEVO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 268

  • @KirivoloKakule-hu7ge
    @KirivoloKakule-hu7ge 11 месяцев назад +16

    Mwakatobe mwakatobe😂😂😂 Ety bora univunje mguu kuliko kunivunjia heshima😂😂

  • @Estherpendo-yk8iv
    @Estherpendo-yk8iv 11 месяцев назад +30

    😂😂😂 mwakatobe kazi waijua from Kenya

  • @Allenaman-pt7wn
    @Allenaman-pt7wn 11 месяцев назад +37

    From Kenya, mnafanya kazi nzuri Sana congratulations

  • @omaribazanga7967
    @omaribazanga7967 11 месяцев назад +25

    Mwakatobe ni Noma 😂😂 watching from Japan 🇯🇵

  • @BabadorcasJackson-bi1sj
    @BabadorcasJackson-bi1sj 11 месяцев назад +19

    Piga kelele kwa mwakatobe the best mchawi tz

  • @KirivoloKakule-hu7ge
    @KirivoloKakule-hu7ge 11 месяцев назад +19

    Unajifunza kingereza dirishani jmn mwakatobe😂😂😂😂

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 11 месяцев назад +22

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL to BURUNDI

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. 11 месяцев назад +24

    Hili kundi nalikubali sana linajitahidi mno Kwa hio niwaombeni like hata tano basi 😢😢😢❤❤❤

  • @MkokoNantema-oe5be
    @MkokoNantema-oe5be 11 месяцев назад +18

    Good work Mr mwakatobe

    • @HamisNangi
      @HamisNangi 6 месяцев назад

      Mhh mwakatobe na yeye du! Anafuraihisha mr me nakufatilia sana

    • @HamisNangi
      @HamisNangi 6 месяцев назад

      Q

  • @BhokeWarioba
    @BhokeWarioba 11 месяцев назад +13

    Mwakatobe wanguuuuuuu❤❤

  • @WiliamsKolet
    @WiliamsKolet 10 месяцев назад +2

    Mwakatobe upo vizur baba kaz nzur xan hiii wakupe maokoto yakutosha xxx kama wew unavyo fanya kaz vizur ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ piga like yako kwa mwakatobe

  • @NoorDavid-wl5xk
    @NoorDavid-wl5xk 11 месяцев назад +9

    Mwakatobe ww 😂😂😂😂❤❤ from 🇰🇪🇰🇪 o yes,❤❤

  • @Ngalax167
    @Ngalax167 8 месяцев назад +1

    Aiseee nimependa sana saut ya huyo dada mwenye mimba yan imenichanganya

  • @ParaMkali-rk8st
    @ParaMkali-rk8st 11 месяцев назад +94

    from burundi niko namba 15 kwaio naomba like 15 basi

  • @FaridaOngala
    @FaridaOngala 10 месяцев назад +3

    Nampenda mwakatobe witching from India 🇨🇮

  • @aisharophus1414
    @aisharophus1414 11 месяцев назад +7

    Mwakatobeeee😂😂😂halloooo

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 11 месяцев назад +6

    Hamsini yake hamsni ya majununi 😂😂😂😂aki mwakatobe unaweza 😅😅😅

  • @hakizimanaassina6394
    @hakizimanaassina6394 10 месяцев назад +1

    Mwakatobe unanifurahishaga saana wewe ni noma saana

  • @Trendingnews-bill
    @Trendingnews-bill 11 месяцев назад +6

    😂😂😂😂najifunza kingereza ooh no, ooh yes, kamoon😂😂😂

  • @CelineSalumu-p6i
    @CelineSalumu-p6i 11 месяцев назад +7

    Like zenu jamn from India😂

  • @agriphinamushi6218
    @agriphinamushi6218 9 месяцев назад +2

    Mwakatobe mwenyew hajali kuhusi mwanawe❤❤❤❤

  • @SophiaKomba-y8c
    @SophiaKomba-y8c 8 месяцев назад +1

    Hiyo kaliii nwakatobe hiii imeenda kabixsaaa😂❤

  • @GenerousAfricantours
    @GenerousAfricantours 3 месяца назад

    Mwakatobe ni motooooo TZ nzima

  • @TumbuTanu
    @TumbuTanu 11 месяцев назад +2

    😃😃😃😃😃😃najifunza kingeleza pigakelele kwamwakotoba yakeee

  • @deochisanzah3328
    @deochisanzah3328 11 месяцев назад +8

    Kazi nzuri🎉🎉

  • @MaryamMohammed-v1u
    @MaryamMohammed-v1u 10 месяцев назад +2

    Utaniuwa Mr Mwakatobe ❤❤❤❤

  • @dannyrapha6661
    @dannyrapha6661 11 месяцев назад +4

    Hahahaha mwakatobe na Bai lako, we chizi kasorobo

  • @GladysNanjala-e7e
    @GladysNanjala-e7e 11 месяцев назад +5

    😂😂😂😂hutamu haukopeshi😂😂😂

  • @1czay
    @1czay 11 месяцев назад +13

    Nimecheka hapo kwa godoro😂😂😂 ilitoke kenya hii wazi bila chenga😂😂😂lakes hapa

    • @kiondojuma5798
      @kiondojuma5798 11 месяцев назад

      Mambo

    • @1czay
      @1czay 11 месяцев назад

      ​@@kiondojuma5798poa sana

    • @1czay
      @1czay 11 месяцев назад

      @@kiondojuma5798 poa sana

    • @SimbaRemmy-m7o
      @SimbaRemmy-m7o 10 месяцев назад

      Yaani apo kwa godoro daah 😂😂😂

    • @1czay
      @1czay 10 месяцев назад

      @@SimbaRemmy-m7o 🤣🤣🤣hii ni kali kweli

  • @yohanamayala472
    @yohanamayala472 11 месяцев назад +2

    😂😂😂 kingereza cha Mwakatobe safi sana mzee wa maokoto

  • @HalimaAdam-v7e
    @HalimaAdam-v7e 11 месяцев назад +2

    Mwakatob anajuwa bhan kuekit my from keny

  • @Emelymamuji
    @Emelymamuji 7 месяцев назад

    From Burundi naomba like 14bas sinjo

  • @vincosmeticsmarvin
    @vincosmeticsmarvin 11 месяцев назад +2

    Awa kinamama wanafanya kazi nzuri sana ebu walipeni vizuri basi

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 10 месяцев назад

    Jmn huwa kiswahili kinanipa raha kwelikweli. Yaani nimecheka kwelikweli.

  • @edwadtobias
    @edwadtobias 11 месяцев назад +2

    kazi nzuli sana nimeipenda hii mwakatobe ninoma

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 11 месяцев назад +3

    Mwakatobe wajifunza kigereza 😂😂ooh yes, ooh no, ooh shit😂😂😂

  • @directordos5802
    @directordos5802 11 месяцев назад +8

    Seen by director dos🔥

  • @MasoudKanduru-om9ku
    @MasoudKanduru-om9ku 4 месяца назад

    Umenfurahxh mwaka et nakupg ngumi kila akiikumbk kweny mayxh yake anaikwepa😂😂😂😂

  • @pastor-Chrisfeston1
    @pastor-Chrisfeston1 11 месяцев назад +2

    Huu mwakatobe mie jamani😅😅😅😅😂😅😂😅😂❤❤❤❤ Mbavu sina jamaniiii

  • @NitaFroian
    @NitaFroian 11 месяцев назад +9

    Mwkatobe 😂😂😂

  • @NYAMRABANYAMRABA
    @NYAMRABANYAMRABA 10 месяцев назад +1

    Ooo nice 👍👍👍 mwakatobe

  • @salimomari150
    @salimomari150 11 месяцев назад +2

    Wapake mwakatobe hao 😂😂😂😂😂😂😂Sasa nyota inawaka baaday ya kupambana kwa shida mzee

  • @johnkilangi
    @johnkilangi 11 месяцев назад +3

    Mwakatobe safi🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aminakatana8721
    @aminakatana8721 11 месяцев назад +3

    Kazi nzuri sana❤

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 8 месяцев назад

    😁😁😁😁😁🤣🇧🇮mwakatobe weye jo unatuma biti wako kudanga we ovyo kbs

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 8 месяцев назад

    Mwakatobe anajifunza kingereza yani mwanao munafanya biashara jamani 😂😂😂😂😂

  • @humblehavox2548
    @humblehavox2548 11 месяцев назад +8

    mwakatobeeeduuuuh

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 11 месяцев назад +2

    Hahahha mwakatobe anajifundisha kiengeleza kaa shengee 😂😂😂😂shenge tenaa

  • @GamageJackison
    @GamageJackison 10 месяцев назад +1

    Nakukubalisana mwakatobe jembe😂😂😂😂😂

  • @clarendori
    @clarendori 11 месяцев назад +6

    Kazi nzuri

  • @MasoudKanduru-om9ku
    @MasoudKanduru-om9ku 4 месяца назад

    Mwakatobe bahn et nakupga kichwa unamez ulimi😂😂😂

  • @JOHAREHfilms2023
    @JOHAREHfilms2023 11 месяцев назад

    Uchawi mbayaa sema huyu bibi uchawi wake mzuri anakomboa wengi yan Niko pamoja nae asirudishe chungu Yan anakitumia vizurii

  • @ChristinaNgalo
    @ChristinaNgalo 11 месяцев назад +2

    😂😂😂 wakatobe bana unapenda penda pesa utafikiri umezaliwa bank. 😊😊 Misemo yako tu inaniachaga hoi

  • @VeronicaBundala
    @VeronicaBundala 11 месяцев назад +2

    😅😅😅😅 mwakatobe mwekundu ka nyanya za masaro 😂😂😂😂❤❤

  • @محمدالعطوي-ش5ه
    @محمدالعطوي-ش5ه 10 месяцев назад

    Uyu mwakatobe next apewe ya uchungaji😅😅

  • @shebynizedaudi336
    @shebynizedaudi336 11 месяцев назад +2

    Mwakatobe we atali kweli 😅😅😅😂

  • @EmanoelirichardEmma
    @EmanoelirichardEmma 3 месяца назад

    Sio mwakatobe ni mwakatombe

  • @SaleheAbdallah-v7n
    @SaleheAbdallah-v7n Месяц назад

    Mwakatobe anatisha sanaaaaaa😂😂😂😂😂

  • @KarimMbilu
    @KarimMbilu 10 месяцев назад +1

    Clam n mwakatobe noma

  • @mudizotz6617
    @mudizotz6617 11 месяцев назад +3

    Bless mwakatobe and clam familly

  • @salmanasorsaidy-se6vk
    @salmanasorsaidy-se6vk 10 месяцев назад

    Ha ivi wapo wa bab wa hvh kweli

  • @jumachimoni335
    @jumachimoni335 11 месяцев назад +6

    Nice

  • @AhadiBwanyungu-j6s
    @AhadiBwanyungu-j6s 10 месяцев назад

    Mwakatobe na Binti wake wote niwadangaji mwakatobe umefanya makosakukatala kugaramiya mimbayako kwasababu ule ni mtoto wako mwanaume hakatalagi damu yake bora ukatale mama kuliko kukatala mtoto anaweza kukusaidiyakessho yake

  • @Zabibu-v7v
    @Zabibu-v7v 11 месяцев назад +5

    Mwakatobe 😂😂😂😂😂

  • @زهرةكيني-ث3ل
    @زهرةكيني-ث3ل 11 месяцев назад +6

    mwakatobe😂😂😂😂

  • @nassororamadhan2515
    @nassororamadhan2515 11 месяцев назад +1

    Et godoro lenyewe la rafiki yangu...sa itakuwaje😅😅😅😅

  • @Farasitz
    @Farasitz 11 месяцев назад +6

    Farasitz ❤❤

  • @jeanneo473
    @jeanneo473 10 месяцев назад +1

    utamu haukopeshwiii 😂😂😂

  • @FatramMakopa
    @FatramMakopa 4 месяца назад

    Mideko sio mwanafunzii ni kausha damu😅😅😅

  • @theresiamwibella
    @theresiamwibella 11 месяцев назад +1

    Huyu mwanafunzi au kausha damu😄😄😄🙌

  • @Younglaw-12
    @Younglaw-12 11 месяцев назад +1

    is me your friend from America

  • @CatherineSakari
    @CatherineSakari 11 месяцев назад +2

    😂😂😂kingeleza Cha dirishani,ooh yes,ooh Cameon,ooh yes,ooh no

  • @kingcicero1708
    @kingcicero1708 11 месяцев назад +4

    Bao langu mwenyewe 😂😂😂

  • @hamidahHammy254
    @hamidahHammy254 11 месяцев назад +1

    Mwakatobe wajifunza kingereza kw hali hio😂😂😂💔🇰🇪

  • @danibboy6831
    @danibboy6831 9 месяцев назад

    mwakitobee kiboko🤣🤣🤣🤣asimama anyonya watu damu.,🤣🤣🤣macho kama taa zamagari🤣🤣🤣🤣naijua iyoo

  • @sofiaalois8498
    @sofiaalois8498 11 месяцев назад +4

    Hahahaha 😅😅 mwakatobe

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 11 месяцев назад +1

    Uliona wapi utamu unakopeshwa Kaa mwakatobe ww ukifa uozi. Eti najifunza kingereza naskia com yes no 😂😂😂akijua vya mbele ww wajua vya nyuma 😂😂😂😂😂😂😂

  • @LissaIssa-lx1qu
    @LissaIssa-lx1qu 11 месяцев назад

    🤣🤣 bavu zangu mie ety na jifunza kingereza nime pita APA nime sikia ho yese ho no🤣🤣

  • @jacquesmulalirya1704
    @jacquesmulalirya1704 11 месяцев назад +4

    Nime isubiri sana hii epsode jamani wacongo 🇨🇩mopo?tujuane hapa gonga tu like 👍

  • @mmnn3579
    @mmnn3579 11 месяцев назад +1

    Mwakatobe❤😅from burundi

  • @agriphinamushi6218
    @agriphinamushi6218 9 месяцев назад

    Acheni shobo mtuachie mwenetu kachukuwe wanja ujipare ule hela na madanga utulizane

  • @ammyt9952
    @ammyt9952 11 месяцев назад +2

    😂😂 mzazi hayupo hapo

  • @ISAACMBAGO
    @ISAACMBAGO 7 месяцев назад +1

    Hivi! Mnao igiza filamu zakichawi, ha mjuwi kuwa mna toa sura nzima ya kuzimu au jehanamu ilivyo?? Je! Mna fahamu kuwa mna fanya kazi na shetani bila kujuwa? Enyi bodi ya filamu! Acheni haraka kwani mna weka wazi jinsi shetani alivyo na nguvu zake, ninawaza: igizeni filamu inayo itwa RAPTURE kwani mtagusa wengi sana.

  • @Hamisikichaka
    @Hamisikichaka 7 месяцев назад

    🎉 pamoja xan

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 11 месяцев назад +1

    Mwakatobe ni mbishani sana😅

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 11 месяцев назад +6

    Mwakatobe😂😂😂😂

  • @AllyAbdalahAllynzela-wy4wy
    @AllyAbdalahAllynzela-wy4wy 3 месяца назад

    Mwakatobe unaupiga mwingi

  • @SidathMauricioMauricio
    @SidathMauricioMauricio 11 месяцев назад

    From Mozambique nipeni like zangu

  • @Freddy-px1tr
    @Freddy-px1tr 11 месяцев назад +6

    ❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 11 месяцев назад

    Waishen ya 4 hum mama huo mkoba bora uwe nao unakufamyia va maana

  • @Happiness-j6y
    @Happiness-j6y 6 месяцев назад

    Wachawi wanaharibu kazi za watu

  • @HajiMjenge-kk9dg
    @HajiMjenge-kk9dg 10 месяцев назад +2

    Nc😂😂

  • @justojuma2881
    @justojuma2881 11 месяцев назад +1

    Ja.ani mm nafundisha fursa ambayo unaweza kujiingizia kipato ukiwa nyumbani

  • @JasminiJamsoni
    @JasminiJamsoni 10 месяцев назад +1

    Jiyon mahesabu😂😂😂

  • @DamiaoarmandoCarlos
    @DamiaoarmandoCarlos 11 месяцев назад +2

    Vizur

  • @SajidaKannoleche
    @SajidaKannoleche 2 месяца назад

    Clam anaweza😂😢😮😅😊😂❤

  • @kassimcreationsmore254
    @kassimcreationsmore254 11 месяцев назад +2

    utamu haukopeshwi😂😂😂

  • @alisaideabdala9784
    @alisaideabdala9784 11 месяцев назад +1

    Mwakatobe kafumaniwa na madevu

  • @AmosiDaudi-u2l
    @AmosiDaudi-u2l 10 месяцев назад +1

    Mwakatabe

  • @HalimaHassan-i5r
    @HalimaHassan-i5r 9 месяцев назад

    Uliskia wap utam unakopeshwa😂😂😂