Mwakatobe na Binti wake wote niwadangaji mwakatobe umefanya makosakukatala kugaramiya mimbayako kwasababu ule ni mtoto wako mwanaume hakatalagi damu yake bora ukatale mama kuliko kukatala mtoto anaweza kukusaidiyakessho yake
Hivi! Mnao igiza filamu zakichawi, ha mjuwi kuwa mna toa sura nzima ya kuzimu au jehanamu ilivyo?? Je! Mna fahamu kuwa mna fanya kazi na shetani bila kujuwa? Enyi bodi ya filamu! Acheni haraka kwani mna weka wazi jinsi shetani alivyo na nguvu zake, ninawaza: igizeni filamu inayo itwa RAPTURE kwani mtagusa wengi sana.
Mwakatobe mwakatobe😂😂😂 Ety bora univunje mguu kuliko kunivunjia heshima😂😂
😂😂😂 mwakatobe kazi waijua from Kenya
From Kenya, mnafanya kazi nzuri Sana congratulations
Yaan umeona eeehh wanatiyaa rahaa
Weeeehh kumbeeee hiv instokeaga kwerii
nakukubal sana
Do cfdx vbg kg of the ailnv to y
Asnt😢@@maindaafricanbeauty3360
Mwakatobe ni Noma 😂😂 watching from Japan 🇯🇵
L
Japan. Sasa karibia tanzania
Piga kelele kwa mwakatobe the best mchawi tz
Unajifunza kingereza dirishani jmn mwakatobe😂😂😂😂
Hahaha hahaha chezea kiingereza weee
Love from GOGO LOVE OFFICIAL to BURUNDI
Hili kundi nalikubali sana linajitahidi mno Kwa hio niwaombeni like hata tano basi 😢😢😢❤❤❤
Good work Mr mwakatobe
Mhh mwakatobe na yeye du! Anafuraihisha mr me nakufatilia sana
Q
Mwakatobe wanguuuuuuu❤❤
Mwakatobe upo vizur baba kaz nzur xan hiii wakupe maokoto yakutosha xxx kama wew unavyo fanya kaz vizur ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ piga like yako kwa mwakatobe
Mwakatobe ww 😂😂😂😂❤❤ from 🇰🇪🇰🇪 o yes,❤❤
Aiseee nimependa sana saut ya huyo dada mwenye mimba yan imenichanganya
from burundi niko namba 15 kwaio naomba like 15 basi
Aaààf.
😢
Uwakika
ok and help me
Okey. On est ensemble frère ne t'en fait plus
Nampenda mwakatobe witching from India 🇨🇮
Mwakatobeeee😂😂😂halloooo
Hamsini yake hamsni ya majununi 😂😂😂😂aki mwakatobe unaweza 😅😅😅
Mwakatobe unanifurahishaga saana wewe ni noma saana
😂😂😂😂najifunza kingereza ooh no, ooh yes, kamoon😂😂😂
Like zenu jamn from India😂
Mwakatobe mwenyew hajali kuhusi mwanawe❤❤❤❤
Hiyo kaliii nwakatobe hiii imeenda kabixsaaa😂❤
Mwakatobe ni motooooo TZ nzima
😃😃😃😃😃😃najifunza kingeleza pigakelele kwamwakotoba yakeee
Kazi nzuri🎉🎉
Utaniuwa Mr Mwakatobe ❤❤❤❤
Hahahaha mwakatobe na Bai lako, we chizi kasorobo
😂😂😂😂hutamu haukopeshi😂😂😂
Nimecheka hapo kwa godoro😂😂😂 ilitoke kenya hii wazi bila chenga😂😂😂lakes hapa
Mambo
@@kiondojuma5798poa sana
@@kiondojuma5798 poa sana
Yaani apo kwa godoro daah 😂😂😂
@@SimbaRemmy-m7o 🤣🤣🤣hii ni kali kweli
😂😂😂 kingereza cha Mwakatobe safi sana mzee wa maokoto
Hatar sana
Mwakatob anajuwa bhan kuekit my from keny
From Burundi naomba like 14bas sinjo
Naipenda hyo
Awa kinamama wanafanya kazi nzuri sana ebu walipeni vizuri basi
Jmn huwa kiswahili kinanipa raha kwelikweli. Yaani nimecheka kwelikweli.
kazi nzuli sana nimeipenda hii mwakatobe ninoma
Mwakatobe wajifunza kigereza 😂😂ooh yes, ooh no, ooh shit😂😂😂
Seen by director dos🔥
Umenfurahxh mwaka et nakupg ngumi kila akiikumbk kweny mayxh yake anaikwepa😂😂😂😂
Huu mwakatobe mie jamani😅😅😅😅😂😅😂😅😂❤❤❤❤ Mbavu sina jamaniiii
Mwkatobe 😂😂😂
Ooo nice 👍👍👍 mwakatobe
Wapake mwakatobe hao 😂😂😂😂😂😂😂Sasa nyota inawaka baaday ya kupambana kwa shida mzee
Mwakatobe safi🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana❤
😁😁😁😁😁🤣🇧🇮mwakatobe weye jo unatuma biti wako kudanga we ovyo kbs
Mwakatobe anajifunza kingereza yani mwanao munafanya biashara jamani 😂😂😂😂😂
mwakatobeeeduuuuh
Hahahha mwakatobe anajifundisha kiengeleza kaa shengee 😂😂😂😂shenge tenaa
Nakukubalisana mwakatobe jembe😂😂😂😂😂
Kazi nzuri
Mwakatobe bahn et nakupga kichwa unamez ulimi😂😂😂
Uchawi mbayaa sema huyu bibi uchawi wake mzuri anakomboa wengi yan Niko pamoja nae asirudishe chungu Yan anakitumia vizurii
😂😂😂 wakatobe bana unapenda penda pesa utafikiri umezaliwa bank. 😊😊 Misemo yako tu inaniachaga hoi
😅😅😅😅 mwakatobe mwekundu ka nyanya za masaro 😂😂😂😂❤❤
Uyu mwakatobe next apewe ya uchungaji😅😅
Mwakatobe we atali kweli 😅😅😅😂
Sio mwakatobe ni mwakatombe
Mwakatobe anatisha sanaaaaaa😂😂😂😂😂
Clam n mwakatobe noma
Bless mwakatobe and clam familly
Ha ivi wapo wa bab wa hvh kweli
Nice
Mwakatobe na Binti wake wote niwadangaji mwakatobe umefanya makosakukatala kugaramiya mimbayako kwasababu ule ni mtoto wako mwanaume hakatalagi damu yake bora ukatale mama kuliko kukatala mtoto anaweza kukusaidiyakessho yake
Mwakatobe 😂😂😂😂😂
mwakatobe😂😂😂😂
Et godoro lenyewe la rafiki yangu...sa itakuwaje😅😅😅😅
Farasitz ❤❤
utamu haukopeshwiii 😂😂😂
Mideko sio mwanafunzii ni kausha damu😅😅😅
Huyu mwanafunzi au kausha damu😄😄😄🙌
is me your friend from America
😂😂😂kingeleza Cha dirishani,ooh yes,ooh Cameon,ooh yes,ooh no
Bao langu mwenyewe 😂😂😂
😂😂😂😅😅
😂😂
Mwakatobe wajifunza kingereza kw hali hio😂😂😂💔🇰🇪
mwakitobee kiboko🤣🤣🤣🤣asimama anyonya watu damu.,🤣🤣🤣macho kama taa zamagari🤣🤣🤣🤣naijua iyoo
Hahahaha 😅😅 mwakatobe
Uliona wapi utamu unakopeshwa Kaa mwakatobe ww ukifa uozi. Eti najifunza kingereza naskia com yes no 😂😂😂akijua vya mbele ww wajua vya nyuma 😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣 bavu zangu mie ety na jifunza kingereza nime pita APA nime sikia ho yese ho no🤣🤣
Nime isubiri sana hii epsode jamani wacongo 🇨🇩mopo?tujuane hapa gonga tu like 👍
Mwakatobe❤😅from burundi
Acheni shobo mtuachie mwenetu kachukuwe wanja ujipare ule hela na madanga utulizane
😂😂 mzazi hayupo hapo
Hivi! Mnao igiza filamu zakichawi, ha mjuwi kuwa mna toa sura nzima ya kuzimu au jehanamu ilivyo?? Je! Mna fahamu kuwa mna fanya kazi na shetani bila kujuwa? Enyi bodi ya filamu! Acheni haraka kwani mna weka wazi jinsi shetani alivyo na nguvu zake, ninawaza: igizeni filamu inayo itwa RAPTURE kwani mtagusa wengi sana.
🎉 pamoja xan
Mwakatobe ni mbishani sana😅
Mwakatobe😂😂😂😂
Mwakatobe unaupiga mwingi
From Mozambique nipeni like zangu
❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waishen ya 4 hum mama huo mkoba bora uwe nao unakufamyia va maana
Wachawi wanaharibu kazi za watu
Nc😂😂
Ja.ani mm nafundisha fursa ambayo unaweza kujiingizia kipato ukiwa nyumbani
Jiyon mahesabu😂😂😂
Vizur
Clam anaweza😂😢😮😅😊😂❤
utamu haukopeshwi😂😂😂
😅😅😅😅
Mwakatobe kafumaniwa na madevu
Mwakatabe
Uliskia wap utam unakopeshwa😂😂😂