Siyo sawa kutegemea Mungu wa Mwamposa,Mungu wa Eliya•Tengeneza madhabahu yako|Mch.Amiel Katekela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 дек 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 24

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 28 дней назад

    Amen nashukuru mchungaji Katekela. Imani ya kumpa Bwana Yesu bac ni njema sana!!! Kwasababu walio katika Kristo Yesu hawahukumiwi!!! Warumi 8:1, Yohana 3:17-18. Amwaminiye hahukumiwi asiyemwamini amekwisha kuhukumiwa kwasababu hakuliamini jina la mwana pekee wa Mungu. Amen. Niko na Bwana Yesu milele na milele Amen.

  • @GggyJhh-y4x
    @GggyJhh-y4x 29 дней назад +1

    Amina mtumishi funguo za mbinguni nko nazo na ziko mbele yangu barikiwa sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa

  • @AnneMukonjia
    @AnneMukonjia 29 дней назад +2

    Naijulikane kwamba upo Mungu wa Hannah ainuliwe Yesu ndani yangu

  • @majaliwakibwama9634
    @majaliwakibwama9634 Месяц назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU

  • @OnesmoShedy
    @OnesmoShedy 23 дня назад +1

    Saf Amina sana❤

  • @AidaKantara
    @AidaKantara Месяц назад +1

    Mch Amiel katekela tuna kupenda sana, ila utusaidiye kuja Congo RDC

  • @AgnesMussa-t7r
    @AgnesMussa-t7r 29 дней назад +2

    Bendera chuma mlingoti chuma chombo cha bwana yesu hicho

  • @hildandeda3348
    @hildandeda3348 29 дней назад

    Amen powerful message

  • @ErnestinaKisinga
    @ErnestinaKisinga 24 дня назад +1

    Mbona jactani ananyoa vzur

  • @annambembela6661
    @annambembela6661 27 дней назад

    Amina mtumishi barikiwa sana

  • @MamaSharma-y9y
    @MamaSharma-y9y 26 дней назад

    Mungu azidi kukubariki

  • @صوفيامكان
    @صوفيامكان 29 дней назад

    Amen Amen

  • @stanislaskabalira2922
    @stanislaskabalira2922 28 дней назад +1

    Mbona anashida kubwa sana ya kusema Jina la Jesu Christo! Mungu, Mungu, Mungu.... Ni mungu gani?????

  • @ErnestinaKisinga
    @ErnestinaKisinga 24 дня назад

    Unanyoaje baba,unatuchanganya kwa nini huachi kunyoa Denge,kuwa makini baba

  • @Saimon-msigwa
    @Saimon-msigwa Месяц назад +2

    Zidi kuyatimiza mapenzi yake hakika uzidi kufungua akili zetu na mungu akutumie zaidi na zaidi

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa2499 24 дня назад

    MWAMBIENI KATEKELA ANYOWE VIZURI AACHE KUNYOA DENGE

  • @stanislaskabalira2922
    @stanislaskabalira2922 28 дней назад +4

    Katika ushuhuda wake alisema kwamba kuna Priest wa Catholic Church ni Baba wake wa kiroho!!! Ni ngependa kumuuliza huwo ni baba take wa kiroho vipi? Mimi nilikuwa mushirika wa Catholic Church, hakuna mafundusho ya uokuvu pale!!!😢

    • @jannetteanzemo3280
      @jannetteanzemo3280 27 дней назад +2

      Kanisa katoliki halimtumikii kabisa Mungu wetu,hatupaswi hata kushirikiana nalo kabisa,hao mapope wote ni waabudu shetani

  • @BenedictoShary-t2f
    @BenedictoShary-t2f Месяц назад +1

    Huyu mchungaji anapatikana wapi? Mana hata promover tukiwapigia simu hampokei kwanini???

    • @EvaSimon-g4v
      @EvaSimon-g4v Месяц назад

      Kwel hawapokei sjuikwann jmn

    • @estellesichone5216
      @estellesichone5216 Месяц назад

      Anapatikana mkoa wa Geita wilaya ya Mbogwe mji wa Masumbwe

    • @PROMOVERTVLive
      @PROMOVERTVLive  29 дней назад

      Ndiyo anapatikana Geita Masumbwe,tunajitahidi sana kupokea simu,labada kama ulipiga mara mbili tu ukakata tamaa, tafadhali jaribu tena,kuna muda kweli hatupokei lakini siyo muda wote mpaka uhitimishe hivo.Asante

    • @PROMOVERTVLive
      @PROMOVERTVLive  29 дней назад

      Ndiyo anapatikana Geita Masumbwe,tunajitahidi sana kupokea simu,labada kama ulipiga mara mbili tu ukakata tamaa, tafadhali jaribu tena,kuna muda kweli hatupokei lakini siyo muda wote mpaka uhitimishe hivo.Asante