Siyo sawa kutegemea Mungu wa Mwamposa,Mungu wa Eliya•Tengeneza madhabahu yako|Mch.Amiel Katekela
HTML-код
- Опубликовано: 20 дек 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Amen nashukuru mchungaji Katekela. Imani ya kumpa Bwana Yesu bac ni njema sana!!! Kwasababu walio katika Kristo Yesu hawahukumiwi!!! Warumi 8:1, Yohana 3:17-18. Amwaminiye hahukumiwi asiyemwamini amekwisha kuhukumiwa kwasababu hakuliamini jina la mwana pekee wa Mungu. Amen. Niko na Bwana Yesu milele na milele Amen.
Amina mtumishi funguo za mbinguni nko nazo na ziko mbele yangu barikiwa sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa
Naijulikane kwamba upo Mungu wa Hannah ainuliwe Yesu ndani yangu
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Saf Amina sana❤
Mch Amiel katekela tuna kupenda sana, ila utusaidiye kuja Congo RDC
Bendera chuma mlingoti chuma chombo cha bwana yesu hicho
Amen powerful message
Mbona jactani ananyoa vzur
Amina mtumishi barikiwa sana
Mungu azidi kukubariki
Amen Amen
Mbona anashida kubwa sana ya kusema Jina la Jesu Christo! Mungu, Mungu, Mungu.... Ni mungu gani?????
Unanyoaje baba,unatuchanganya kwa nini huachi kunyoa Denge,kuwa makini baba
Zidi kuyatimiza mapenzi yake hakika uzidi kufungua akili zetu na mungu akutumie zaidi na zaidi
MWAMBIENI KATEKELA ANYOWE VIZURI AACHE KUNYOA DENGE
Denge ni nini
Katika ushuhuda wake alisema kwamba kuna Priest wa Catholic Church ni Baba wake wa kiroho!!! Ni ngependa kumuuliza huwo ni baba take wa kiroho vipi? Mimi nilikuwa mushirika wa Catholic Church, hakuna mafundusho ya uokuvu pale!!!😢
Kanisa katoliki halimtumikii kabisa Mungu wetu,hatupaswi hata kushirikiana nalo kabisa,hao mapope wote ni waabudu shetani
Huyu mchungaji anapatikana wapi? Mana hata promover tukiwapigia simu hampokei kwanini???
Kwel hawapokei sjuikwann jmn
Anapatikana mkoa wa Geita wilaya ya Mbogwe mji wa Masumbwe
Ndiyo anapatikana Geita Masumbwe,tunajitahidi sana kupokea simu,labada kama ulipiga mara mbili tu ukakata tamaa, tafadhali jaribu tena,kuna muda kweli hatupokei lakini siyo muda wote mpaka uhitimishe hivo.Asante
Ndiyo anapatikana Geita Masumbwe,tunajitahidi sana kupokea simu,labada kama ulipiga mara mbili tu ukakata tamaa, tafadhali jaribu tena,kuna muda kweli hatupokei lakini siyo muda wote mpaka uhitimishe hivo.Asante