Polisi wapata mwili wa Tom Osinde katika mto wa Kuja kaunti ya Migori

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Maafisa wa usalama wamefanikiwa kupata mwili wa mfanyakazi wa zamani wa wizara ya fedha Tom Osinde ndani ya mto Kuja kaunti ya Migori. Osinde alipotea ghafla siku ya jumapili na gari lake kupatikana kichakani maeneo ya Sigawa kule Transmara Magharibi.

Комментарии • 72