🛑FRIJI BOVU: AISEE HII SIMBA INAUTAKA UBINGWA SIO KWA MAZOEZI HAYA, COATAL KAZI IPO, YANGA YAFUFUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • FRIJI BOVU: AISEE HII SIMBA INAUTAKA UBINGWA SIO KWA MAZOEZI HAYA, COATAL KAZI IPO, YANGA YAFUFUKA?#azamfc #football #wasafi #yanga #footballclub #globaltvonline #live #simba #millardayo #simbasc

Комментарии • 25

  • @HarrisonFanuel-ir1kr
    @HarrisonFanuel-ir1kr 14 часов назад +5

    Gsm tayari inamlipa kwa huo udhamin wake huoni kinachotokea

  • @WivinaFrance-xn3mk
    @WivinaFrance-xn3mk 13 часов назад +2

    Ila kweli GSM ameharbi ligi

  • @SillinusNyanda
    @SillinusNyanda 5 часов назад

    GSM ameharibu sana LIGI

  • @AllyMwinyi-rx8gr
    @AllyMwinyi-rx8gr 9 часов назад

    Yani namuonea huruma sana lawi

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 12 часов назад +3

    LEO YANGA KAPIGA BOMU MOCHWARI😂😂

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n 4 часа назад

      Wamenunua mechi baada ya kusongwa na kelele nying😂😂😂😂

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 13 часов назад +3

    Wamewalipa ili wawafunge😂😂😂😂😂utopolo bhna hakuna wanachotutisha sisi mwaka huu ubaya ubwela,Simba nguvu moja tuachane na Hawa wa bomu mochwary😂😂😂

    • @lonesomekabora5547
      @lonesomekabora5547 4 часа назад

      Tangu lini eti Striker aliyeshindania kiatu na Mayele leo yuko yy na Diara anamlenga? Mchezaji ushakua kadi ya Njano alafu unafanya faulo ya pili kizembe namna ile ambayo yenyewe tu inastahili kadi nyekundu Moja kwa Moja ,, Mechi ya Jana ilikua ya Maelekezo sasa wao waendelee kununua Mechi zao na sisi tuendelee kufunga Mechi zetu Ubaya Ubwela

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n 4 часа назад

      ​@@lonesomekabora5547Ujinga mtupu😂😂😂😂

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n 4 часа назад

      ​@@lonesomekabora5547mwaka huu maji wataita mma😂😂😂😂😂yaan ubaya ubwela mwanzo mwisho 😂😂😂

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 5 часов назад

    Lefa wa Jana mpuz xna

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 14 часов назад

    Mbona Abundo Hakuanzishwa? GSM ANAHARIBU LIGI

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 10 часов назад

    Sasa nyinyi amjiulizi Leo kacheza yanga na kashinga lakini inaongelewa simba na kusifiwa simba yaani madunduka bhana mnajaaazwa ulimbukeni ili mjae vizuri ni mishono tu mkikutana na P didy

    • @abdallahshariff6555
      @abdallahshariff6555 7 часов назад

      Kama mlivyo kuwa mkijazwa nyinyi na mnaendelea kujiamini kama Bado mna timu nzuri

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 10 часов назад

    Humu ndipo mashabiki Wa simba wanapojipigia swambwasu mnpiga mpira Wa maneno na mnashinnda Kwa maneno yenu ila Mkumbuke tarehe19 ni siku ya wese day P didy day mtalia sana na nguo zenu mtazificha midomo yenu mtaiweka wapi Kwa sisi tulio soma qiuba tunajua kama friji bovu anawavuta ili apige pesa zake Sasa nyinyi jaeni tu mtalia siku hiyo ya tarehe19 wese day

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n 4 часа назад

      Sasa Kwa akil yko trh 19 mtatoboa Kwa Simba hii??😂😂😂😂pole sanaaa

    • @FaidhaDionis
      @FaidhaDionis 3 часа назад

      Tatizo uto wanajitekenya alafu wanachek wenyew😂😂

  • @IMANIMWAITEGE-ve8gr
    @IMANIMWAITEGE-ve8gr 7 часов назад

    Dube mpira unaishia hapo

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 10 часов назад

    Na kesho mnatoa drow kama nawadanganya jioni nitarudi hapa mtukane mlie ila kesho drow

    • @AllyMwinyi-rx8gr
      @AllyMwinyi-rx8gr 9 часов назад

      Weka ahadi yako tuki droo tukufanye nini sema mwenyewe mana kesho 6 zinamuhusu costa

    • @kellankellan3817
      @kellankellan3817 5 часов назад

      Sema kijana ahadi yako kama ahadi yako haikutumia tuahidi tu social

    • @michaelkaphipa4354
      @michaelkaphipa4354 5 часов назад

      Bwege wewe

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n 4 часа назад

      Unavhomolewa mwiko na p Diddy ww😂😂😂😂