Utashangaa Mbele ya Samia Uso Kwa Uso Kikosi Maalumu Cha Makomando wanajeshi wa JWTZ Wakionesha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 34

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 28 дней назад

    Watching from Norway

  • @GodfreyMaingu
    @GodfreyMaingu 4 месяца назад

    Jambo afande

  • @themadingotz255
    @themadingotz255 Год назад +1

    Ninoma

  • @ELIJAHSITIVEN-jx4ug
    @ELIJAHSITIVEN-jx4ug 8 месяцев назад

    Asante

  • @TANOSuguta
    @TANOSuguta 4 месяца назад

    Hongra,m😅😮komandooo😊😊😊

  • @Edgangaiza
    @Edgangaiza Год назад

    Na mm nakuja soon tuka lipiganie taifa

  • @samwelnobert4558
    @samwelnobert4558 Год назад

    0

  • @MeshackLemayian
    @MeshackLemayian 6 месяцев назад +1

    Am watching from kenya

  • @Jasintha-n8w
    @Jasintha-n8w 2 месяца назад

    Nakubari❤

  • @remiginatusmalale5336
    @remiginatusmalale5336 Год назад +2

    Jadi yetu

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Год назад +1

    Majeshi ya wenzetu yanaendeshwa kisasa teknelojia ikiwa mbele, sie huku kazi kubeba mizigo mizito

    • @williamnathan4630
      @williamnathan4630 Год назад +2

      .....ninachojua hata hizo nchi zenye teknolojia wanavikosi vinavyofanya mambo Kama haya, sema hawaoneshi public Kama Sisi.

    • @mohamedikambona7537
      @mohamedikambona7537 Год назад +2

      Adui wa Kwanza wa vita NI jirani yako, Tanzania adui Yake ni Kenya Uganda , Malawi,msumbiji,Burundi, Rwanda, ambao uwezo wa kijeshi unafanana. Huwez fananisha technology ya third world countries (African) na nchi za ulaya au Asia.

    • @d.a.nicholaus
      @d.a.nicholaus 7 месяцев назад

      Hata wanajeshi wa Marekani hubeba vitu vizitio

    • @BarakaSagamba
      @BarakaSagamba 3 месяца назад

      Hata uwe na teknolojia gani lazima uwe special force .Sio kila tukio la hatari la ugaidi linaweza kuzimwa na teknolojia za silahaa Kali .matukio mengine ya ugàidi yanazimwa kupitia makomando na hizo silaha za technolojia

  • @rayharmoo
    @rayharmoo Год назад +1

    Kaz iendereee

  • @frankjacob2216
    @frankjacob2216 5 месяцев назад

    tanzania sisiem oyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy

  • @JumaMdiesa
    @JumaMdiesa 5 месяцев назад

    Dah saruti sana gwarid limetulia

  • @alisalimbakar6529
    @alisalimbakar6529 Год назад +1

    Najivunia Tz yng

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 2 года назад +2

    JPM aliona hii yote haina maana kama bado kuna watz wanalia na mabeberu na vibaraka wao wapo kazini

    • @khalidali1130
      @khalidali1130 4 месяца назад

      JPM ni komandoo kuliko ata awo walotuvalia maguo ya kuzimu kwasbb JPM alifanya kwa vitendo sio bongo movie bongo lalaa🥴

  • @Edgangaiza
    @Edgangaiza Год назад

    Na mm nakuja soon tuka lipiganie taifa

  • @Mashakamohammedsaidi
    @Mashakamohammedsaidi 8 месяцев назад

    Hongera sana wanajeshiwetu

  • @PaskalJohn-tn3wp
    @PaskalJohn-tn3wp 9 месяцев назад

    JWTZ ni balas aisee

  • @liversonmbela2735
    @liversonmbela2735 Год назад

    yani mbona mchokeshe wanajeshi hivi

  • @grashfordmwilondo9089
    @grashfordmwilondo9089 Год назад

    Jaman hadi laha

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 2 года назад

    Yan mbinguni watafika wamechoka sana

    • @binahmedjuma8681
      @binahmedjuma8681 2 года назад

      😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣
      Kweli lakini hiyo yote ni katika kuilinda nchi yetu👍🏾

    • @AshaKache-nr5fz
      @AshaKache-nr5fz 5 месяцев назад

      Kwani hawa wote hua weusi ama hua wanapakanga kitu kwa uso😮

  • @chidjosh6056
    @chidjosh6056 2 года назад +3

    Watanzania, tunapotea kwakweli, hiki ndio kitu chakujivunia miaka 60, ni aibu

  • @hamisijumanonge2866
    @hamisijumanonge2866 Год назад

    💯