Adui wa Kwanza wa vita NI jirani yako, Tanzania adui Yake ni Kenya Uganda , Malawi,msumbiji,Burundi, Rwanda, ambao uwezo wa kijeshi unafanana. Huwez fananisha technology ya third world countries (African) na nchi za ulaya au Asia.
Hata uwe na teknolojia gani lazima uwe special force .Sio kila tukio la hatari la ugaidi linaweza kuzimwa na teknolojia za silahaa Kali .matukio mengine ya ugàidi yanazimwa kupitia makomando na hizo silaha za technolojia
Watching from Norway
Jambo afande
Ninoma
Asante
Hongra,m😅😮komandooo😊😊😊
Na mm nakuja soon tuka lipiganie taifa
0
Am watching from kenya
Nakubari❤
Jadi yetu
Majeshi ya wenzetu yanaendeshwa kisasa teknelojia ikiwa mbele, sie huku kazi kubeba mizigo mizito
.....ninachojua hata hizo nchi zenye teknolojia wanavikosi vinavyofanya mambo Kama haya, sema hawaoneshi public Kama Sisi.
Adui wa Kwanza wa vita NI jirani yako, Tanzania adui Yake ni Kenya Uganda , Malawi,msumbiji,Burundi, Rwanda, ambao uwezo wa kijeshi unafanana. Huwez fananisha technology ya third world countries (African) na nchi za ulaya au Asia.
Hata wanajeshi wa Marekani hubeba vitu vizitio
Hata uwe na teknolojia gani lazima uwe special force .Sio kila tukio la hatari la ugaidi linaweza kuzimwa na teknolojia za silahaa Kali .matukio mengine ya ugàidi yanazimwa kupitia makomando na hizo silaha za technolojia
Kaz iendereee
tanzania sisiem oyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
Dah saruti sana gwarid limetulia
Najivunia Tz yng
JPM aliona hii yote haina maana kama bado kuna watz wanalia na mabeberu na vibaraka wao wapo kazini
JPM ni komandoo kuliko ata awo walotuvalia maguo ya kuzimu kwasbb JPM alifanya kwa vitendo sio bongo movie bongo lalaa🥴
Na mm nakuja soon tuka lipiganie taifa
Hongera sana wanajeshiwetu
JWTZ ni balas aisee
yani mbona mchokeshe wanajeshi hivi
Jaman hadi laha
Yan mbinguni watafika wamechoka sana
😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣
Kweli lakini hiyo yote ni katika kuilinda nchi yetu👍🏾
Kwani hawa wote hua weusi ama hua wanapakanga kitu kwa uso😮
Watanzania, tunapotea kwakweli, hiki ndio kitu chakujivunia miaka 60, ni aibu
Haha ..jambo Afande
💯