mashallah mashallah mashallah ukhty allah akulipe kheri kwa darsa unazozitoa akuzidishie elim na barka katika katika maisha yako. tunaomba alfatah muendelee kumpa nafasi ili tuendelee kufaidi mengi kutoka kwake
Mashallah bi Fatma ameongea ukweli kabisa kupika ni tatizo kwetu vijana wa sasa na elimu inatupa vibur na wazazi saivi hawatuulizi na kubwa unafundisha kupika wali na muhogo wa kuchemsha so inakua ukikutana na vyakula vyengine ni tabu sana kula na kuvipika hahaha najitolea mfano mwenyewe nimekaa boarding na chuoni na now nimekuepo nje ya Africa pia nasoma ila kupika nasumbuka sana nimejaa alama za kuungua. Namshukuru Mungu waturuki na wahindi wananifundisha kupika kidogo niko vizur 😇
Mashaallah
Mashallah Allah akulipe kheri tokea nimeanza kukufatilia nimejifunza nashkuru mungu.
MashaaAllah 😍 Allah awalipe wema
mashallah mashallah mashallah ukhty allah akulipe kheri kwa darsa unazozitoa akuzidishie elim na barka katika katika maisha yako. tunaomba alfatah muendelee kumpa nafasi ili tuendelee kufaidi mengi kutoka kwake
Masha Allah shukran kwavipind vizuri tuna faidika zaid❤
Maa shaa Allah
Mashallah bi Fatma ameongea ukweli kabisa kupika ni tatizo kwetu vijana wa sasa na elimu inatupa vibur na wazazi saivi hawatuulizi na kubwa unafundisha kupika wali na muhogo wa kuchemsha so inakua ukikutana na vyakula vyengine ni tabu sana kula na kuvipika hahaha najitolea mfano mwenyewe nimekaa boarding na chuoni na now nimekuepo nje ya Africa pia nasoma ila kupika nasumbuka sana nimejaa alama za kuungua. Namshukuru Mungu waturuki na wahindi wananifundisha kupika kidogo niko vizur 😇
😢mimi mume wangu akitoka kazini ananipitia na mimi tunarudi wote nyumbani imenigusa ila ndoo maisha ❤
🎉