Комментарии •

  • @user-ce9zj2nn3d
    @user-ce9zj2nn3d 5 месяцев назад +1

    Mashaallah

  • @user-rq6gf4uc1v
    @user-rq6gf4uc1v 5 месяцев назад +1

    Mashallah Allah akulipe kheri tokea nimeanza kukufatilia nimejifunza nashkuru mungu.

  • @SamiathMohammed-mb4jk
    @SamiathMohammed-mb4jk 6 месяцев назад +1

    MashaaAllah 😍 Allah awalipe wema

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 6 месяцев назад +1

    mashallah mashallah mashallah ukhty allah akulipe kheri kwa darsa unazozitoa akuzidishie elim na barka katika katika maisha yako. tunaomba alfatah muendelee kumpa nafasi ili tuendelee kufaidi mengi kutoka kwake

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 6 месяцев назад +1

    Masha Allah shukran kwavipind vizuri tuna faidika zaid❤

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 6 месяцев назад +2

    Maa shaa Allah

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 Месяц назад

    Mashallah bi Fatma ameongea ukweli kabisa kupika ni tatizo kwetu vijana wa sasa na elimu inatupa vibur na wazazi saivi hawatuulizi na kubwa unafundisha kupika wali na muhogo wa kuchemsha so inakua ukikutana na vyakula vyengine ni tabu sana kula na kuvipika hahaha najitolea mfano mwenyewe nimekaa boarding na chuoni na now nimekuepo nje ya Africa pia nasoma ila kupika nasumbuka sana nimejaa alama za kuungua. Namshukuru Mungu waturuki na wahindi wananifundisha kupika kidogo niko vizur 😇

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 6 месяцев назад

    😢mimi mume wangu akitoka kazini ananipitia na mimi tunarudi wote nyumbani imenigusa ila ndoo maisha ❤

  • @elizabethshiguta7438
    @elizabethshiguta7438 5 месяцев назад

    🎉