DEREVA MKONGWE ASHINDWA KUJIZUIA HALI YA CONGO NI MBAYA WATU WANATESEKA ILA MUNGU YUPO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 20

  • @Saidy-omaryxmshambo
    @Saidy-omaryxmshambo 3 месяца назад

    Umeitaja urambo kwetu asante

  • @FredickAlfonce
    @FredickAlfonce 6 месяцев назад +1

    Aaaa dereva mkongwe wee ni derereee

  • @NDAYISAVYEDieudonne
    @NDAYISAVYEDieudonne 5 месяцев назад +2

    Nakubali muzh wangu

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 6 месяцев назад

    Huyu dreva mkongwe nakubali sana,alafu inaonekana fani yake siyo udreva, fani yake ni uchekeshaji

    • @enemtv4637
      @enemtv4637 6 месяцев назад

      Fala kweli watu kibao wapo sekta tofauti lkn wana hiyo karama kwahiyo wote wawe macomedian tumia akili

  • @iddisaidi
    @iddisaidi 3 месяца назад

    Kweli mkongwe tunateseka sana kuusu usalama wa congo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 месяца назад

    👊👍✌️.

  • @kizakadafi4649
    @kizakadafi4649 6 месяцев назад

    Uyu Mzee angaliw na jicho la Tatu ana madini ndani yake

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 6 месяцев назад

    Mashaallah 🎉

  • @binyussuf
    @binyussuf 2 месяца назад

    Mzee wangu wa pangani mtaftaji hachoki labda kipofu awe haoni walo kwambia usweetch sjw kua uko on au off.

  • @fadhilimwalongo7564
    @fadhilimwalongo7564 5 месяцев назад

    jembeee dereva mkongwee😂😂

  • @neeskpop
    @neeskpop 6 месяцев назад +2

    Sasa mazungumzo ya dereva, inamaanisha wakongo, hatuogaki ? Yani, Tanzania yote, hamna mahali kunashida ya maji ? Tuambiane ukweli, mbona hata uko kwenu malalamiko yapo kila kona.

    • @amosgumbo488
      @amosgumbo488 6 месяцев назад +1

      Take it easy broh, Wacongo ni ndugu zetu kabisa kabisa ,dereva ni mchekeshaji tu pia baadhi ni masihara tu sorry for that broh

    • @neeskpop
      @neeskpop 6 месяцев назад +2

      @@amosgumbo488 Asante sana ndugu yangu. Sote ni wamoja.

    • @amosgumbo488
      @amosgumbo488 6 месяцев назад +1

      @@neeskpop merci mingi ndugu yangu😅😅

    • @neeskpop
      @neeskpop 6 месяцев назад +1

      @@amosgumbo488 Okay.

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 6 месяцев назад +1

      Ukweli ni kwamba nchi yenu mna mambo ya hovyo, mosi hakuna kabisa utawala wa Sheria, mkiwa kwenu mnakuwa wakorofi wajinga hapa mkija mnakuwa peponi

  • @LuqmanShekhe
    @LuqmanShekhe 5 месяцев назад

    Dereva mkongwe pasua