Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Umeitaja urambo kwetu asante
Aaaa dereva mkongwe wee ni derereee
Nakubali muzh wangu
Huyu dreva mkongwe nakubali sana,alafu inaonekana fani yake siyo udreva, fani yake ni uchekeshaji
Fala kweli watu kibao wapo sekta tofauti lkn wana hiyo karama kwahiyo wote wawe macomedian tumia akili
Kweli mkongwe tunateseka sana kuusu usalama wa congo
👊👍✌️.
Uyu Mzee angaliw na jicho la Tatu ana madini ndani yake
Mashaallah 🎉
Mzee wangu wa pangani mtaftaji hachoki labda kipofu awe haoni walo kwambia usweetch sjw kua uko on au off.
jembeee dereva mkongwee😂😂
Sasa mazungumzo ya dereva, inamaanisha wakongo, hatuogaki ? Yani, Tanzania yote, hamna mahali kunashida ya maji ? Tuambiane ukweli, mbona hata uko kwenu malalamiko yapo kila kona.
Take it easy broh, Wacongo ni ndugu zetu kabisa kabisa ,dereva ni mchekeshaji tu pia baadhi ni masihara tu sorry for that broh
@@amosgumbo488 Asante sana ndugu yangu. Sote ni wamoja.
@@neeskpop merci mingi ndugu yangu😅😅
@@amosgumbo488 Okay.
Ukweli ni kwamba nchi yenu mna mambo ya hovyo, mosi hakuna kabisa utawala wa Sheria, mkiwa kwenu mnakuwa wakorofi wajinga hapa mkija mnakuwa peponi
Dereva mkongwe pasua
Umeitaja urambo kwetu asante
Aaaa dereva mkongwe wee ni derereee
Nakubali muzh wangu
Huyu dreva mkongwe nakubali sana,alafu inaonekana fani yake siyo udreva, fani yake ni uchekeshaji
Fala kweli watu kibao wapo sekta tofauti lkn wana hiyo karama kwahiyo wote wawe macomedian tumia akili
Kweli mkongwe tunateseka sana kuusu usalama wa congo
👊👍✌️.
Uyu Mzee angaliw na jicho la Tatu ana madini ndani yake
Mashaallah 🎉
Mzee wangu wa pangani mtaftaji hachoki labda kipofu awe haoni walo kwambia usweetch sjw kua uko on au off.
jembeee dereva mkongwee😂😂
Sasa mazungumzo ya dereva, inamaanisha wakongo, hatuogaki ? Yani, Tanzania yote, hamna mahali kunashida ya maji ? Tuambiane ukweli, mbona hata uko kwenu malalamiko yapo kila kona.
Take it easy broh, Wacongo ni ndugu zetu kabisa kabisa ,dereva ni mchekeshaji tu pia baadhi ni masihara tu sorry for that broh
@@amosgumbo488 Asante sana ndugu yangu. Sote ni wamoja.
@@neeskpop merci mingi ndugu yangu😅😅
@@amosgumbo488 Okay.
Ukweli ni kwamba nchi yenu mna mambo ya hovyo, mosi hakuna kabisa utawala wa Sheria, mkiwa kwenu mnakuwa wakorofi wajinga hapa mkija mnakuwa peponi
Dereva mkongwe pasua