KOCHA WA ZAMANI WA SIMBA SC PATRICK AUSSEMS AFUNGAKA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUTUA TANZANIA
HTML-код
- Опубликовано: 1 июл 2024
- Singida black stars Leo July 2,2024 wamemtambulisha kocha Patrick Ausems ambaye atakuwa anakinoa kikosi cha timu hiyo,ikumbukwe kuwa kocha hapo awali aliwahi kufundisha katika klabu ya Simba SC.
Спорт
Safi sana Aussems, umeongea vzr, Simba is a big brand.
Good chorch
Hongereni sana
Singida msimu huu wamejipanga.
Hongereni sana
Safi sana Singida , Mko serious na hamtaki mchezo..
Mr ochebeeeeee
Home sweet home, Singida Big day lini watu tuandae safari>?
Nnajiandaa viziri natamani sikumoja Hawa wafalme hapo juu washike nafasi ya tatu nayanne
Singida mko serious mashaallah hom kabisaaaa nimefurahi Sanaa mwaka huu tutachukua nafasi ya Koro ya tatu na Azam ya pili mabingwa wanajulikana.Makoro watagombania nafasi ya nne na tano huko na akina kagera
HaPo mmechukua dhahabu