KOCHA WA ZAMANI WA SIMBA SC PATRICK AUSSEMS AFUNGAKA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUTUA TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024
  • Singida black stars Leo July 2,2024 wamemtambulisha kocha Patrick Ausems ambaye atakuwa anakinoa kikosi cha timu hiyo,ikumbukwe kuwa kocha hapo awali aliwahi kufundisha katika klabu ya Simba SC.
  • СпортСпорт

Комментарии • 10

  • @geofreykazaula7940
    @geofreykazaula7940 День назад

    Safi sana Aussems, umeongea vzr, Simba is a big brand.

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 2 дня назад

    Good chorch

  • @godfreymanento2810
    @godfreymanento2810 3 дня назад +1

    Hongereni sana

  • @ibrahimmseti
    @ibrahimmseti 3 дня назад

    Singida msimu huu wamejipanga.
    Hongereni sana

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 3 дня назад

    Safi sana Singida , Mko serious na hamtaki mchezo..

  • @JacksonHamis-eg8by
    @JacksonHamis-eg8by 3 дня назад

    Mr ochebeeeeee

  • @abelkingu4653
    @abelkingu4653 3 дня назад

    Home sweet home, Singida Big day lini watu tuandae safari>?

  • @gaudenceluka3229
    @gaudenceluka3229 3 дня назад

    Nnajiandaa viziri natamani sikumoja Hawa wafalme hapo juu washike nafasi ya tatu nayanne

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja 2 дня назад

    Singida mko serious mashaallah hom kabisaaaa nimefurahi Sanaa mwaka huu tutachukua nafasi ya Koro ya tatu na Azam ya pili mabingwa wanajulikana.Makoro watagombania nafasi ya nne na tano huko na akina kagera

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky 3 дня назад

    HaPo mmechukua dhahabu