Mutumishi wa Mungu nashukuru kukujuwa kwa mahubili Yako nimebalikiwa nikiwa Burundi nimejiunga n'a wewe kwa Safari ya kwenda mbinguni CV na kumtumikiya Mungu nisaidiye zaidi nimba ya simu yangu wathsapp ni +25768215385 Niko pamoja na nyinyi balikiwa zaidi
haleluya jamani nabarikiwa sana na mafundisho ya ECG kweli we are prophetic kwa sababu ikitokea makanisa ya kawaida pastor ajimwagie maji itakua gumzo , asante yesu kwa kuniweka ECG asante mungu kwa kunipa neema hii ,nafurahia sanaaaaa
Ukweli utabaki pale pale, mafundisho yako yameniinua sana kiroho. Na yamenipa picha ya tofauti kuhusu neno la Mungu, nilikua nasoma kwa tafsiri sisisi. But sasa nasoma kwa kutamani kujua mafunuo ya neno.
ECG raha sana, Mafundisho kama haya niyapate wapi kama sio ECG. God bless you Rabbi Chief
Amen Amen Amen Nabarikiwa na mafundisho yako Apostle Ubarikiwe ,
Mafundisho yako yanaifanya Bible iwe Tamu zaidi na Practical.
God bless so much.
Foreal
Wow as father major 1 as son Bushiri. Glory to God mtumishi barikiwa kwa mafundisho haya
Nimejifunza kitu barikiwa Apostle mtelemwa
Nuhu Kihegulo theologian kutoka njombe, tunashukuru kwa mafundisho SPIRITUAL FATHER.
Nimerudia hili somo tena, Mungu akutunze Mtume. Hakika kwa mafundisho haya tusipoelewa hutadaiwa kamweeeee. Yani napata mambo mapya kila siku.
Mutumishi wa Mungu nashukuru kukujuwa kwa mahubili Yako nimebalikiwa nikiwa Burundi nimejiunga n'a wewe kwa Safari ya kwenda mbinguni CV na kumtumikiya Mungu nisaidiye zaidi nimba ya simu yangu wathsapp ni +25768215385 Niko pamoja na nyinyi balikiwa zaidi
Hongera unanibariki sana.namafundisho yako uko wapi mtumishi.
bado tuna comments. unajyua wewe mucungagi umemeza bibilia sijyawahi wona kweli ubalikie sana
haleluya jamani nabarikiwa sana na mafundisho ya ECG kweli we are prophetic kwa sababu ikitokea makanisa ya kawaida pastor ajimwagie maji itakua gumzo , asante yesu kwa kuniweka ECG asante mungu kwa kunipa neema hii ,nafurahia sanaaaaa
Nimejifunza kitu barikiwa saana baba
Kaka nakufuatilia Sana mm nilikuwa namawazo Hadi nilitaka kujiuwa lakin kwa maneno yako mungu kaniponya
Una mafundisho mazuri sana maana wengne huwa tunayadharau maji
I feel like Niko kwenye church
Balikiwa sana mtu Mishi wa mungu
Ahsante chief kwa mafunuo makubwa....
somo zuri sana
Ubalikiwe Sana
Power power
God bless you man of God
Amina
Hata sisi wa You tube upper hall tunakuelewa sana Chief, iyeeeeeeeh.!
Thank you Apostle for the word of water son of major one.....
Amen
najiunganisha na ibada hiyo ya maji na uzima. nguvu za giza nimeoshwa na kutakaswa na maji yaliyotibuliwa hakuna tena mikosi kwangu, Ameeeen.
God bless you hakika nabarikiwa sana na mafundisho yako nikiwa Shinyanga Hallelujah
Amen!
Amen
Nakufwatilia Pastor Amen
Hongera sana Baba Major One
Oooooh yes
waaah kenya nakubaliana nawe mtumishi...pokea ufunuo zaidi utulishe nasi
Uko juu sana bwana apostle mtalemwa nishike mkono na Mimi hadi nifikie destiny yangu kama Mungu apendavyo....
Njoo na Somo la Mafuta tuelewe maana yamekuwa na upinzani sana skuiz
Ameeeen....nimefunguliwa
Sarah Wawuda ubarikiwe Mtumishi hadi raha asante ssna.
@@sarambuba8197 Ameeen
Namimi nijiunganisha kwa vitendo, power chief wangu
Ukweli utabaki pale pale, mafundisho yako yameniinua sana kiroho. Na yamenipa picha ya tofauti kuhusu neno la Mungu, nilikua nasoma kwa tafsiri sisisi. But sasa nasoma kwa kutamani kujua mafunuo ya neno.
yani acha tu
the powerful service. mentor we love you
Hahahaha yilampekenya ! Umeniacha hoi
Asante kwa kuniponya
Greatest lesson
Amen chief
Nimekuona pastor Casius
Tumekumis Arusha
Nimeelewa
I understand you Chief Apostle
I love the lesson Chief unanifunua kila leo
Akani sijajua ni sehemu gani imekukwaza, bali somo limeeleweka Sana. Sikiliza kwanza na kila mtu anapewa ufunuo aliyo jaliwa na Mungu
Oooh man Of God deliver Ene my family
🙏🏿 amen
It's teaching season ,tupe maarifa my CHIEF
Thanks chief now I know