Jeshi la Polisi laishukuru Milembe insurance, yawasihi wadau wengine kuchangia usalama barabarani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani kimeyaomba mashirika, taasisi na watu binafsi wenye uwezo wa kuunga mkono jitihada za kukomesha ajali za barabarani nchini kuchangia vifaa mbalimbali kwa jeshi hilo.
    Wito huo umetolewa na Afisa Mnadhimu wa Polisi Wilaya ya Kinondoni, ACP Pili Simon Misungwi wakati akipokea msaada wa vibanda vitano vya kupumzikia askari wa usalama barabarani kwa niaba ya Kamanda wa Polisi wilaya ya Kinondoni vilivyotolewa na kampuni ya huduma za bima ya Milembe Insurance.

Комментарии •