Jmn uzinzi ni dhambi!! Tena huzaa balaa kama hili la ARV!! Biblia inasema hivi ikimbieni zinaa 1Wakorintho 6:18., mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa, afanya jambo litakalo mwangamiza nafsi yake, Mithali 6:32, kamwe uasherati usitajwe kwenu wala uchafu wowote kama iwastahilivyo watakatifu, Waefeso 5:3. !!!!! Bwana Yesu Kristo asifiwe sana!! Kaeni mbali na uzinzi. Kumbuka!! Dhambi isiwatawale ndani ya miili yenu ipatikanayo na mauti!!! Warumi 6:12. Amen!!!
Msizizuie jamani tutawakosa wapendwa wetu wengi,maana kama siyo hizo dawa wengine ata wazazi wetu tusingewakumbuka sura zao,maana ungekuta wamekufa kitambo mnoo,ila kwa sababu ya hizo dawa leo hii tunajivunia uwepo wao na sasa tumekuwa watu wazima n asisi tukijivunia uwepo wa wapendwa wetu🥰
Jmn uzinzi ni dhambi!! Tena huzaa balaa kama hili la ARV!! Biblia inasema hivi ikimbieni zinaa 1Wakorintho 6:18., mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa, afanya jambo litakalo mwangamiza nafsi yake, Mithali 6:32, kamwe uasherati usitajwe kwenu wala uchafu wowote kama iwastahilivyo watakatifu, Waefeso 5:3. !!!!! Bwana Yesu Kristo asifiwe sana!! Kaeni mbali na uzinzi. Kumbuka!! Dhambi isiwatawale ndani ya miili yenu ipatikanayo na mauti!!! Warumi 6:12. Amen!!!
Sasa wambieni wananchi waache zinaa ,ndoo chanzo kikubwa cha kuenea ukimwi
Mungu ni mwema
Hizo ni siasa . Eti wana dawa kutosha wananchi waulizeni wana kiwanda cha kutengeneza dawa? Hata kama serikari ina dawa za kutosha lazima zitaisha.
Msizizuie jamani tutawakosa wapendwa wetu wengi,maana kama siyo hizo dawa wengine ata wazazi wetu tusingewakumbuka sura zao,maana ungekuta wamekufa kitambo mnoo,ila kwa sababu ya hizo dawa leo hii tunajivunia uwepo wao na sasa tumekuwa watu wazima n asisi tukijivunia uwepo wa wapendwa wetu🥰
N kwel jaman mungu atende
Kweli kipenz wanaweza wasiwe wazaz ila wakawepo ndugu zetu
@@PriscaNoah umeona ee
@@MirliamSiryvester-j2q kweli
Kuraa kwamamaetuuu
Safi sana mama
Pokea maua yako mama🎉🎉🎉🎉🎉❤
Marekani wasitishe t, maana imefika mpaka maradhi kutengenezewa NGOs ili tupate misaada. Now is a time for multipolar world
Mama ndio ashasema
Njio majoya kafeni mbele
tuandae misiba
Time never be trusted