TAZAMA MANARA AMWANGIA PESA RUBY, KWENYE BIRTHDAY PARTY YA WEMA SEPETU NI BALAA
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2023
- Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv - Развлечения
Unajuwa dada Aki nakupenda rubby ❤❤wanguuu
Kweli leo nimeamini kuna nyota.. Na ya ruby sijui what happened coz SHE IS THE BEST SINGER LIVE,STUDIO ,ENGLISH,SWAHILI IN EAST AFRICA.. GOD OPEN HER STAR❤❤❤❤
Ruby unajuwa na unajuwa tena❤❤ fro USA Kentucky 🇺🇸 ❤❤
She's very talented Miss Ruby ❤❤❤❤❤❤❤
Kaimba vizuri sana💥💥💥💥
Dah! Bongo nzima katika wanawake hamna anae mfika Rubby kwa life band kiukweli
Apewe maua yake
Aiseee yuko vizuri sana
Ni kwel baraka halafu Kuna dada mmoja anaitwa Tina wanafanana na mtoto wa ant yangu naye wanafanana Sana sema yeye mtoto wa ant mweupe lakin urefu wao umbo lao jinsi walivyo ata Kuna mtu alivyoonaga picha ya mtoto wa ant akasema naye wanafanana na ruby
Ruby ana mavoko ya hatar anaimba Kama kina Whitney
Yeah nikwel kbsaa yan Rubby anawez
My best female artist of all time❤❤❤❤❤❤
Mashallah rubby
Elle chante jusqu’à j’ai le chair de poule vraiment makofi kwako Ruby. 👏🏼👏🏼👏🏼
Haki na mpenda sana chi mm.allway love yuuuuuuu penda sana ww
Ruby kaimba hadi kwa hisia kali nimehisi kulia mweeh 🙌🙌 jamn dada anajua kuimba hadi mwili unasisimka kwa furah🎉❤
Sana yani
😢😢😢😢❤❤❤
Ruby you are a shining star in your making not even zuchu hakufiki
Rubby unajua hapo unaimba live sauti nzuriiiii Kama imechujwa
Ruby Ruby Ruby ❤❤❤❤❤ umebarikiwa the hot talent kubwa mno🎉🎉🎉🎉🎉 congrats
Uwa nakuelewa ruby voice unayo
Ruby ni fire jamn sio kwa saut iyo jmn 🙌🙌🙌🙌
rubby wa moto hujapoa leo humenifrahisha❤❤❤❤
She is so blessed ❤❤❤ my favourite song
Yuko vinzuri sana ruby haki duuu ❤❤❤❤
Huyu Ruby ni Rihana wa Tanzanie kweli ❤❤❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Day hatar sana huyu ndy ruby❤❤❤❤❤
Rubby shkamooo nakuonea mbaaaali sana
Kuna watu wanajua kufunga riziki za watu dada Mungu akukumbuke
Ruby is the best bongo nzima ruby come uk please ukuje if any is kaz uku utapenda ak
Dah yani you are the best artist have never seen and u have a unique voice
Ruby 🔥 nampenda bure
Wah Ruby m'a sœur Ruby la voix d'or
Machallah merci beaucoup pour cette chanson très belle chanson 👌👌👌👌👌👌👍👍👍👍🎩🎩🎩🎩 bravo ma chérie 💖💞💞💖💖💖💖 j'ador j'ador cette chanson 💃🎩🎩👍🦸♂️🎤🇲🇫🇲🇫🇲🇫🇲🇫🇲🇫🇲🇫 bravo 💐 merci beaucoup
Zuchi afiki kwa Ruby kwasauti kuhimba aki ❤❤
yani apo vyombo ni vya kishenzi , no any autotune na mtu kaimba hivyoo RUBY ni really talent
For sure
The Best Female Singer All the Time 🙌🏽
This girl on fire 🔥🔥 Ruby maua🎉 yako
Bahati mbaya sana hizi kazi unazifanyia Tanzania😢
Kabisa 😂
Sauti nzuri Sana kuimba pia anajua ila nyota yabundi kutuumiwa uchawi
Today i fill like dishing the big fish in the industry listening to her tells more as to why ruby speaks on her media page dada wanakuogopa simama na mungu
Hahaha
Ruby ni Whitney Houston wa bongo kwa kuimba,kma angezaliwa ulaya huyu angekuwa Whitney wa pili
Mae ruby mbn unajuw weeeeee akh hongr sn
She is talented❤❤❤❤❤
ruby we need to see you in usa american go talent
Duh utasema Whitney kafufuka❤❤
This girl is on fire❤❤❤❤❤
Sijui natabasam nini yani rubby kiboko👏
Umeua rubi❤❤❤❤❤❤❤❤
Ametisha Sana wow big up mamaa
Helooooooo Tanzania people wekiapuniii jamani Ruby is the most talented jamani daah
Ako nakipaji🤗🤗🤗🤗🤗🤗😢
Amazing voice nani huyu bongo?
Woooow🎉rubby
Nampendaga saaana❤
Aiseeeeeee 🙌🙌🙌🙌🥰🥰dada anajuaaaa
Goosebumps allover 🥰🥰🥰
Nikajua Celine kumbee n ruby jamniiii😢
Daah ruby anajua mpk anakela bn❤❤❤ sema kajeuri bc tuu😂
Huyu dame ndio star wa bongo
Whitney wa tz sema nyota imegoma ila sauti kinanda❤❤❤
Esta bhana😂😂
Ukisikia uchawi upo ndio huo
Cku yake Bado ila One day yes 🤲❤️🤲❤️🤲❤️
Wanam'bania kwa sababu anamisimamo Sana,sio mwanamke wa kutumia mwili wake ili afanikiwe kimziki.Anajiheshimu sana💪👍
@@konshazikonsha6180 wengi tz ukiona ametika kirahisi ujuwe kunakitu nyuma ya pazia ila ukiwa na misimamo yako ndio wanakubania, lakini hakuna demu aliokuwa na sauti nzuli kama huyu hamna tuseme ukweli wengine ndio wamebaki wanatumika kingono wanafisi wawe juu kimziki lakini wapi.
Ur de best and very talented dear I like u so so much
Haki rubby ameimba na hisiya zake zote wema wafa kuringa mama ringa ww wa pendwa bwana wema ww ni mwema kama jina lako I WILL OLWYS LOVS Yuuuuuuuuuuu
Duh ruby wewe ni mkali sana🎉
Rubby wetu❤ ila sion pakusupclub mwandsh😅😅😅
Nimelia sijui kwa nn
Aaaa huyu dada kiboko❤❤❤❤
Asante ruby whitney wa bongo ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwili umenisisimka duh
Yani machozi yamenitokaa 🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Ruby ❤🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera sana Mrs kusah
Bendi imemtendea haki❤
Huko Alipo Whitney Houston lazima ametabasamu kwa furaha huo wimbo umeutendea haki mno..r.i.p Whitney 😢
Mke mwenziwe na mama nono
👏👏👏
Hongera be bless
ruby all the way up gal
Nice voice 👌
Congratulations Ruby
happy birthday miss sepenga
Bado anampenda kusah aise
Harari kabisa❤
Yaan kujua kwako ndio kunakushambulia sabb kuna watu wametengeza watu wao hawajui sasa wakikualika ww itakuwa aibu kwao
Tatizo hatoi naniluiiiii angekua mbaliiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 natania tu
Kapendeza sana
Huyu demu yuko vizuri kimziki
mashaAllah
Masikin nimejisikia hadi uchungu Ruby anajuwa sema awamsaporti jamani
She’s talented
My Rubby ❤❤❤
Ruby,Ruby,Ruby hapanaaaaasa
Dada Rubby shikamoo
Ukute praise team,yaan had uwepo lazima ushuke😂,Ruby maua yako🎉
Wakati alipokuwa akiomba kanisani tulikuwa tunahisi Malaika wapo kabisaaa Sio uongo.. I wish Mungu amrejeshe kuomba kanisani Tena. Stoke huku.
@@paschazianestorymatunda6490 kumbe alishawah kuwa praise tim jmn,
@@paschazianestorymatunda6490 kumbe alishawah kuwa praise tim jmn,
one day rubby atakuwa msanii mkubwa sanaa dunianii🥰
AMIINA
Amen
Jamani huyu kama marehem witney
Waoooh ❤❤❤❤❤
Namuona Rihana apa tanzania😅😅
A version of Whitney Houston ❤❤❤
Wawwwwwwwwwwwwweeeeee😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mungu mkumbuke kijana wako
Huyu alipaswa kuimba mziki Marekani saa hizi angekuwa tajiri mkubwa sana
Woooow❤❤❤❤❤❤❤❤woooow
Anapenda lasta kama mimi na zinampendezaga
Ruby ❤🔥ila gauni hapana kwa kweli
Gloria
Hakuna migunia jmn mi nimepend alivyo vaa Yan simpo
Wow!... That's Tanzanian 'Whitney H'
❤❤