Maua Sama: Alikiba ni Mwanaume Mzuri Anavutia | Nipo Tayari kwa Lolote

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • " @officialalikiba ni mwanaume mzuri anavutia pia ni kaka yangu hivyo sikuona shida kurekodi video ya wimbo wangu wa #Zamani huku nikicheza naye kwanza nipo single na yeye yupo single" @mauasama

Комментарии • 30

  • @Mary_sup
    @Mary_sup 6 месяцев назад +1

    Mwijaku hilo pala lang'aa

  • @kevy254
    @kevy254 6 месяцев назад

    Ukweli nayo ni kua Alikiba anavutia kw wote. Kwanza hananga pupa mingi 🎉❤

  • @VgmukomboziOficiel
    @VgmukomboziOficiel 6 месяцев назад

    ❤ kila mutu iko huru kama anapenda alikiba iyo ni isiya yake siyo kumulaumu

  • @mohanmashine3518
    @mohanmashine3518 6 месяцев назад +2

    mmmhh sasa wew maua sama mbona ali kibaa sasa mzuri kuliko wew itawaje?

    • @rahimhemed3370
      @rahimhemed3370 6 месяцев назад +1

      ww bwege c tumempenda shemej le2

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 6 месяцев назад +5

    😂😂😂 eti kaka ndo umkalie vile kwenye mapaja alafu yeye alikiba uso wake anakugusa kwenye ziwa lako maua wewe jiangalie sisi watu wazima tumeona vzr ile video eti kaka we

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 3 месяца назад

    Mauwa anampenda alikiba hawezi ficha hisia zake tena

  • @lemeboyofficial
    @lemeboyofficial 6 месяцев назад +2

    Suala la Nyumba Maua limekujaje kwenye hii mada😆

  • @habarikaonlinetelevision4142
    @habarikaonlinetelevision4142 5 месяцев назад +2

    Dah maisha haya demu anamtaka Ali kiba kilazima

  • @speroachpaulsen
    @speroachpaulsen 6 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @Peter-d8y
    @Peter-d8y 6 месяцев назад

    New hit loading

  • @WahuBoth
    @WahuBoth 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @masikimhina158
    @masikimhina158 6 месяцев назад

    Dunia tyuu wacheni wenzenu msiwajadili kwani maisha yanaenda kwa bahati

  • @EspiSimai
    @EspiSimai 6 месяцев назад +2

    Njoo kwngu mm

  • @sheruajafari1676
    @sheruajafari1676 6 месяцев назад

    😂😂😂maua me napenda ivyo

  • @AbdallaAli-ov3jg
    @AbdallaAli-ov3jg 6 месяцев назад +1

    Huyu dem mbaya bhna hata bure me ctaki

  • @shanzuagencyshanzuagency3845
    @shanzuagencyshanzuagency3845 6 месяцев назад

    Tafadhali naomba munitafutie number ya maua sama

  • @WashikiMarwa
    @WashikiMarwa 6 месяцев назад

    Amesemaa ukwerii wakee jmn mwijaku nn lakini

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 6 месяцев назад

    mauwa nichek DM

  • @rashlyblacksaud1766
    @rashlyblacksaud1766 6 месяцев назад +1

    MAUA SAMA mwenzio nipo tayar kuuza FIGO ili niwe nawe.I LOVE YOU ❤

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 6 месяцев назад +2

    Tatizo huna uzuri wowote Kabisa

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 6 месяцев назад

    Washaingia kwnye mahusiano hakuna haja ya kuanza kuzunguka hapa

  • @bedastusmichael7811
    @bedastusmichael7811 6 месяцев назад

    Dooh

  • @ChordCrafted
    @ChordCrafted 6 месяцев назад

    😆🤣

  • @kennedymatiko6830
    @kennedymatiko6830 6 месяцев назад

    😂😂😂

  • @WILIAMMWIGEMA
    @WILIAMMWIGEMA 6 месяцев назад

    Mhhhh maua sama kiba huyo n mtu wako na mpo kweny mahusiano