Maua Sama: Alikiba ni Mwanaume Mzuri Anavutia | Nipo Tayari kwa Lolote
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- " @officialalikiba ni mwanaume mzuri anavutia pia ni kaka yangu hivyo sikuona shida kurekodi video ya wimbo wangu wa #Zamani huku nikicheza naye kwanza nipo single na yeye yupo single" @mauasama
Mwijaku hilo pala lang'aa
Ukweli nayo ni kua Alikiba anavutia kw wote. Kwanza hananga pupa mingi 🎉❤
❤ kila mutu iko huru kama anapenda alikiba iyo ni isiya yake siyo kumulaumu
mmmhh sasa wew maua sama mbona ali kibaa sasa mzuri kuliko wew itawaje?
ww bwege c tumempenda shemej le2
😂😂😂 eti kaka ndo umkalie vile kwenye mapaja alafu yeye alikiba uso wake anakugusa kwenye ziwa lako maua wewe jiangalie sisi watu wazima tumeona vzr ile video eti kaka we
Mauwa anampenda alikiba hawezi ficha hisia zake tena
Suala la Nyumba Maua limekujaje kwenye hii mada😆
Dah maisha haya demu anamtaka Ali kiba kilazima
🔥🔥🔥🔥
New hit loading
❤❤❤❤❤❤❤
Dunia tyuu wacheni wenzenu msiwajadili kwani maisha yanaenda kwa bahati
Njoo kwngu mm
❤❤❤
😂😂😂maua me napenda ivyo
Huyu dem mbaya bhna hata bure me ctaki
Tafadhali naomba munitafutie number ya maua sama
Amesemaa ukwerii wakee jmn mwijaku nn lakini
mauwa nichek DM
MAUA SAMA mwenzio nipo tayar kuuza FIGO ili niwe nawe.I LOVE YOU ❤
😂😂😂😂😂😂
Tatizo huna uzuri wowote Kabisa
Wew ndo mwenye uzur
Koma wew😏
Washaingia kwnye mahusiano hakuna haja ya kuanza kuzunguka hapa
Dooh
😆🤣
😂😂😂
Mhhhh maua sama kiba huyo n mtu wako na mpo kweny mahusiano