Daaa mheshimiwa mungu akujarie tarumbeta zilizo pigwa zikuguse napanya rodi wakapotee mitaani wakiwa hai au wafu wanazingua sna matukio ya uharifu yakaonde tunaimani nawewe 👏👏
Hongera sana kaka kikubwa kumtanguliza mungu na kujitahidi kujifunza kwa waliokutangulia ktk hiyo wizara utapiga hatua kaka Lakin mm maoni yangu ungeanzia na mipaka yetu Kwan wahamiaji haramu ni hatar sana kwa usalama wa nchi yetu kipenzi r
Huyu kaka anajitambua san na anapend kujifunza huw haingii sehem kwa pupa anajua kuingia sehem kwa nidham achaa mama ampe aendelee kujifunza kila wizar
Bashungwa mzito sana hata kwenye kuongea tu anaonekana alivyo mzigo, alifaa ateuliwe Mwanri kuwa mbunge kisha awe waziri wa ulinzi ila huyu mama ushauri wa kuendesha nchi anaupata kwa wapaka wanja wenzie!
Jeshi halitaki mtu wa kulifokea n amri tu na kazi yake n pamoja na kuweka uhusiano mzr na serikali kufanya vikao na viongozi wa kijeshi ambao ndio wanadeal na watu wao kujua mwafaka na wale viongozi wao kujua direction ya kipi wanaenda kukifanyia kazi kama azimio la serikali
Hili jeshi mama kalikosea adabu yani wazili wa ulinzi bashungwa hahhaaaaa hatali Sana .kwanini mama asiweke makanari kuwa wazili ulinzi Ili jeshi alipeleke mchakamchaka .bashungwa hata aseme ambiwe amrishe jeshi hawezi jamani jamani mama jeshi la kazi hilo ambalo ndio linalinda nchiii ndio kila kitu hapo
Ulitaka upewe wewe?maana husiongelee vibaya viongozi wetu hali yakuwa wana hekimu na busara pia hongera Mh.innocent mwenyezimungu akutangulie katika uongozi wako ameen!
Kijana mwenzetu makes us proud.
Ubarikiwe sana kaka Inno
Daaa mheshimiwa mungu akujarie tarumbeta zilizo pigwa zikuguse napanya rodi wakapotee mitaani wakiwa hai au wafu wanazingua sna matukio ya uharifu yakaonde tunaimani nawewe 👏👏
Mungu akutangulie kwa kazi zako za kila cku pamoja na familia yako na watu unaowaongoza.Mungu apewe sifa🙏🏼🙏🏼
Hii kauli " sitamuangusha" Mh Rais. Nimeipenda sana. what a good start. All the best Mh Waziri.
Congulatulation Hon.Minister, let our army continue to defend our territory. Be blessed sir,
Mheshimiwa hongera sana. Endelea kichapa kazi huku ukiamini katika Mungu
Utukufu kwa Mungu,
Jifunze mengi naomba Mungu aendelee kukupa hekima .
Vision and highly understanding, dedication, natamani uwe Rais miaka ijayo.
Hongera sana kaka kikubwa kumtanguliza mungu na kujitahidi kujifunza kwa waliokutangulia ktk hiyo wizara utapiga hatua kaka Lakin mm maoni yangu ungeanzia na mipaka yetu Kwan wahamiaji haramu ni hatar sana kwa usalama wa nchi yetu kipenzi
r
hongera kwa kazi mungu akupe moyo wa huruma uwakumbuke na hawa watoto wanaojitolea jamani muwakumbuke endapo nafasi zinatokea za ajira
Safi sana piga kazi smart boy
Hapa kazi tu ..
Jeshini Raha sana heshima kwa kila mmoja ,mkuu wa majeshi anamsaluti waziri wake
Hongera sana waziri unajitahidi sana ubarikiwe sana
Protocal imekaa sawa CDF nilifikiri utasema itafaki imezingatiwa big up.
Very proud of you My brother.
Binadamu bana..mnataka nani awe waziri sasa! Chapa kazi waziri unaweza saana tu. Achana na maneno maneno
....piga kazi...
Yupo vizuri
Ninachokijua mungu huwa anawatanguliza lkn huwa mnakwamaga wp
Huyu kaka anajitambua san na anapend kujifunza huw haingii sehem kwa pupa anajua kuingia sehem kwa nidham achaa mama ampe aendelee kujifunza kila wizar
Wow!
Congrats bashungwa
Kijana ametulia tuu lazima afike mbali.
Hii ndo inaitwa bahati kama sikosei😁😁😁😁!
Kazi nzuri mnoo
Hongera sana kijana
Bashungwa anatosha na ataweza
hongera pambana aliyekuweka au kukuweka wana imani na wewe
Congratulations.
watu wanaongea kilamtu aliaminiwa hadi ninyi munaomdhara bashungwa mukamuona mzuri
Safi
Kaka Bashungwa fanya kazi usiwasikilize watu mtangulize Mungu
Hiyo wizara ni nyeti haihitaji kushtukashtuka fanya inahitaji uhakika mno upempuzi japo yote yapo tayari xo cye tupo kukusikiliza
Bashungwa mzito sana hata kwenye kuongea tu anaonekana alivyo mzigo, alifaa ateuliwe Mwanri kuwa mbunge kisha awe waziri wa ulinzi ila huyu mama ushauri wa kuendesha nchi anaupata kwa wapaka wanja wenzie!
Sasa wee unajua huku atakiwi waziri anaye wafokea viongozi Wetu wa jeshi huku kila kitu kimepangwa hakuna siasa kila mtu anaijua kazi yake.
Jeshi halitaki mtu wa kulifokea n amri tu na kazi yake n pamoja na kuweka uhusiano mzr na serikali kufanya vikao na viongozi wa kijeshi ambao ndio wanadeal na watu wao kujua mwafaka na wale viongozi wao kujua direction ya kipi wanaenda kukifanyia kazi kama azimio la serikali
Wewe unamadharau na kina mama.
Utapata Mwanadada atakunyorosha ndio uwache madharau yako
Hahahaaaaa,afande wanasahau majukumu Yao wanaanza 😃 kuhutubi
Himahima Tanzania
Huyu miaka inayo ni rais wa TZ
Mh Wazir huwezi sema mh mkunda tunasema Afande mkunda maswala ya mheshimiwa fulan ni huko huku ni Afande natumaini uliteleza tu
sikumoja mama kwenye hili jeshi muhim naomba Sana sikumoja umteue dotto buteko
🤣🤣🤣 ttz ni Raia
Waziri mkuu mtarajiwa uyu
Yupo vizuri ila sijui kama hata mgambo kamaalikanyaga
Huu kijaana jinsi anapanda panda .kipindi atashushwa mutasikia
Nina swali kidogo Kati ya waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi nani mkubwa kwa cheo ??
Waziri wa wizara ndyo bosi wa idara zote katika wizara anayosimamia
5di5
Hili jeshi mama kalikosea adabu yani wazili wa ulinzi bashungwa hahhaaaaa hatali Sana .kwanini mama asiweke makanari kuwa wazili ulinzi Ili jeshi alipeleke mchakamchaka .bashungwa hata aseme ambiwe amrishe jeshi hawezi jamani jamani mama jeshi la kazi hilo ambalo ndio linalinda nchiii ndio kila kitu hapo
Sizani kama unaelewa ulicho kiandika
Hata mm naona haelew alichokiandika kabsa
Katiba yetu inataka waziri lazima awe mbunge, so ili umpate waziri wa ulinzi lazima iwe hivo..
Kwann asiweze
Acha dharau ww, waziri hata kazi hajaanza unaanza kusema hafai , unajielewa kweli ww,
Bashungwa kwa kwl hpna aisee kuliongoza jeshi la ulinz aisee hpna
Kuna nini kikubwa kwake..yeye si ni utekelezaji wa sera?au kubeba matofali?
Unataka uwe wewe??
Bashungwa Hana uwezo wakua wazir hakuna wizara aliofanya vzr hata moja kwanza hajiamin hata akiongea na kutoa maamuz
Ulitaka upewe wewe?maana husiongelee vibaya viongozi wetu hali yakuwa wana hekimu na busara pia hongera Mh.innocent mwenyezimungu akutangulie katika uongozi wako ameen!
Hongera sana Mhe Bashungwa,Mwenyezi Mungu akutangulie, you will make it and we are praying for.
Hata Yesu alidharauliwa na alikubali ili atukomboe cc wanadamu. Usimdharau mtu kama kuna mapungufu sema umpe nguv ya kuleta mabadiko
Nakbal.san.mheshimiwa