Waziri wa Ulinzi na JKT, Mhe. Innocent Bashungwa Atembelea Makao Makuu ya Jeshi Dodoma.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • #wizarayaulinzi #jwtz #jkt

Комментарии • 64

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Год назад +8

    Kijana mwenzetu makes us proud.
    Ubarikiwe sana kaka Inno

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 Год назад +3

    Daaa mheshimiwa mungu akujarie tarumbeta zilizo pigwa zikuguse napanya rodi wakapotee mitaani wakiwa hai au wafu wanazingua sna matukio ya uharifu yakaonde tunaimani nawewe 👏👏

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Год назад +4

    Mungu akutangulie kwa kazi zako za kila cku pamoja na familia yako na watu unaowaongoza.Mungu apewe sifa🙏🏼🙏🏼

  • @abubakaldismasdismasdismas7
    @abubakaldismasdismasdismas7 Год назад +2

    Hii kauli " sitamuangusha" Mh Rais. Nimeipenda sana. what a good start. All the best Mh Waziri.

  • @saidndimbo2738
    @saidndimbo2738 Год назад +1

    Congulatulation Hon.Minister, let our army continue to defend our territory. Be blessed sir,

  • @bonifacekasongwa9623
    @bonifacekasongwa9623 Год назад +2

    Mheshimiwa hongera sana. Endelea kichapa kazi huku ukiamini katika Mungu

  • @moshikilimanjaro5660
    @moshikilimanjaro5660 Год назад

    Utukufu kwa Mungu,
    Jifunze mengi naomba Mungu aendelee kukupa hekima .
    Vision and highly understanding, dedication, natamani uwe Rais miaka ijayo.

  • @jumaabdallah7076
    @jumaabdallah7076 Год назад +2

    Hongera sana kaka kikubwa kumtanguliza mungu na kujitahidi kujifunza kwa waliokutangulia ktk hiyo wizara utapiga hatua kaka Lakin mm maoni yangu ungeanzia na mipaka yetu Kwan wahamiaji haramu ni hatar sana kwa usalama wa nchi yetu kipenzi
    r

  • @temlatele1053
    @temlatele1053 Год назад

    hongera kwa kazi mungu akupe moyo wa huruma uwakumbuke na hawa watoto wanaojitolea jamani muwakumbuke endapo nafasi zinatokea za ajira

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Год назад +1

    Safi sana piga kazi smart boy
    Hapa kazi tu ..

  • @theclassicone7470
    @theclassicone7470 Год назад +2

    Jeshini Raha sana heshima kwa kila mmoja ,mkuu wa majeshi anamsaluti waziri wake

  • @yohanibura2699
    @yohanibura2699 Год назад

    Hongera sana waziri unajitahidi sana ubarikiwe sana

  • @canibalgazaboy8325
    @canibalgazaboy8325 Год назад

    Protocal imekaa sawa CDF nilifikiri utasema itafaki imezingatiwa big up.

  • @lusekelohaonga5263
    @lusekelohaonga5263 Год назад

    Very proud of you My brother.

  • @melkizedekanthony1834
    @melkizedekanthony1834 Год назад +1

    Binadamu bana..mnataka nani awe waziri sasa! Chapa kazi waziri unaweza saana tu. Achana na maneno maneno
    ....piga kazi...

  • @herimohamed276
    @herimohamed276 Год назад +1

    Yupo vizuri

  • @damymzuri5203
    @damymzuri5203 Год назад +2

    Ninachokijua mungu huwa anawatanguliza lkn huwa mnakwamaga wp

  • @jamyally761
    @jamyally761 Год назад +1

    Huyu kaka anajitambua san na anapend kujifunza huw haingii sehem kwa pupa anajua kuingia sehem kwa nidham achaa mama ampe aendelee kujifunza kila wizar

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Год назад

    Wow!

  • @vicentrogers9465
    @vicentrogers9465 Год назад

    Congrats bashungwa

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Год назад +2

    Kijana ametulia tuu lazima afike mbali.

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Год назад +2

    Hii ndo inaitwa bahati kama sikosei😁😁😁😁!

  • @chiefmtoto1365
    @chiefmtoto1365 Год назад

    Kazi nzuri mnoo

  • @mohammedmbwana245
    @mohammedmbwana245 Год назад

    Hongera sana kijana

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 Год назад +1

    Bashungwa anatosha na ataweza

  • @mariamponera6386
    @mariamponera6386 Год назад

    hongera pambana aliyekuweka au kukuweka wana imani na wewe

  • @lusekelohaonga5263
    @lusekelohaonga5263 Год назад

    Congratulations.

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 Год назад +1

    watu wanaongea kilamtu aliaminiwa hadi ninyi munaomdhara bashungwa mukamuona mzuri

  • @othmanjumankwabi4150
    @othmanjumankwabi4150 Год назад

    Safi

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 Год назад +1

    Kaka Bashungwa fanya kazi usiwasikilize watu mtangulize Mungu

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 Год назад

    Hiyo wizara ni nyeti haihitaji kushtukashtuka fanya inahitaji uhakika mno upempuzi japo yote yapo tayari xo cye tupo kukusikiliza

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад +1

    Bashungwa mzito sana hata kwenye kuongea tu anaonekana alivyo mzigo, alifaa ateuliwe Mwanri kuwa mbunge kisha awe waziri wa ulinzi ila huyu mama ushauri wa kuendesha nchi anaupata kwa wapaka wanja wenzie!

    • @JK-uq1tv
      @JK-uq1tv Год назад +1

      Sasa wee unajua huku atakiwi waziri anaye wafokea viongozi Wetu wa jeshi huku kila kitu kimepangwa hakuna siasa kila mtu anaijua kazi yake.

    • @musason1680
      @musason1680 Год назад +1

      Jeshi halitaki mtu wa kulifokea n amri tu na kazi yake n pamoja na kuweka uhusiano mzr na serikali kufanya vikao na viongozi wa kijeshi ambao ndio wanadeal na watu wao kujua mwafaka na wale viongozi wao kujua direction ya kipi wanaenda kukifanyia kazi kama azimio la serikali

    • @mohamedasaid7910
      @mohamedasaid7910 Год назад

      Wewe unamadharau na kina mama.
      Utapata Mwanadada atakunyorosha ndio uwache madharau yako

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 Год назад

    Hahahaaaaa,afande wanasahau majukumu Yao wanaanza 😃 kuhutubi

  • @Lizzleboy
    @Lizzleboy Год назад +1

    Himahima Tanzania

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 Год назад

    Huyu miaka inayo ni rais wa TZ

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 Год назад +2

    Mh Wazir huwezi sema mh mkunda tunasema Afande mkunda maswala ya mheshimiwa fulan ni huko huku ni Afande natumaini uliteleza tu

  • @kayalaonlinetv
    @kayalaonlinetv Год назад

    Waziri mkuu mtarajiwa uyu

  • @herimohamed276
    @herimohamed276 Год назад

    Yupo vizuri ila sijui kama hata mgambo kamaalikanyaga

  • @niyomugabojohn8329
    @niyomugabojohn8329 Год назад

    Huu kijaana jinsi anapanda panda .kipindi atashushwa mutasikia

  • @highthemetv7857
    @highthemetv7857 Год назад

    Nina swali kidogo Kati ya waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi nani mkubwa kwa cheo ??

    • @dannarisis8886
      @dannarisis8886 Год назад

      Waziri wa wizara ndyo bosi wa idara zote katika wizara anayosimamia

  • @festommakoti6151
    @festommakoti6151 Год назад

    5di5

  • @wilsongeorge1353
    @wilsongeorge1353 Год назад +2

    Hili jeshi mama kalikosea adabu yani wazili wa ulinzi bashungwa hahhaaaaa hatali Sana .kwanini mama asiweke makanari kuwa wazili ulinzi Ili jeshi alipeleke mchakamchaka .bashungwa hata aseme ambiwe amrishe jeshi hawezi jamani jamani mama jeshi la kazi hilo ambalo ndio linalinda nchiii ndio kila kitu hapo

    • @laulymo2063
      @laulymo2063 Год назад +1

      Sizani kama unaelewa ulicho kiandika

    • @fakhirspaciol2509
      @fakhirspaciol2509 Год назад +1

      Hata mm naona haelew alichokiandika kabsa

    • @victorjames3730
      @victorjames3730 Год назад

      Katiba yetu inataka waziri lazima awe mbunge, so ili umpate waziri wa ulinzi lazima iwe hivo..

    • @charlesmanase4507
      @charlesmanase4507 Год назад

      Kwann asiweze

    • @yokereward7877
      @yokereward7877 Год назад

      Acha dharau ww, waziri hata kazi hajaanza unaanza kusema hafai , unajielewa kweli ww,

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Bashungwa kwa kwl hpna aisee kuliongoza jeshi la ulinz aisee hpna

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Год назад +1

      Kuna nini kikubwa kwake..yeye si ni utekelezaji wa sera?au kubeba matofali?

    • @josephzacharia129
      @josephzacharia129 Год назад +1

      Unataka uwe wewe??

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Bashungwa Hana uwezo wakua wazir hakuna wizara aliofanya vzr hata moja kwanza hajiamin hata akiongea na kutoa maamuz

    • @abdurazackimimu7743
      @abdurazackimimu7743 Год назад +1

      Ulitaka upewe wewe?maana husiongelee vibaya viongozi wetu hali yakuwa wana hekimu na busara pia hongera Mh.innocent mwenyezimungu akutangulie katika uongozi wako ameen!

    • @monicajulius6416
      @monicajulius6416 Год назад

      Hongera sana Mhe Bashungwa,Mwenyezi Mungu akutangulie, you will make it and we are praying for.

    • @julianapatrick7911
      @julianapatrick7911 Год назад

      Hata Yesu alidharauliwa na alikubali ili atukomboe cc wanadamu. Usimdharau mtu kama kuna mapungufu sema umpe nguv ya kuleta mabadiko

  • @h.vituko6534
    @h.vituko6534 Год назад

    Nakbal.san.mheshimiwa