PART28:MCHAWI HASSAN TOKA KIGOMA ALIEUA WATU NA KUWAFANYA MISUKULE NA KUIUZA/NYAMA ZA WATOTO/NIMEUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 295

  • @yusterlucas3654
    @yusterlucas3654 3 года назад +9

    Wanao sema davster amezdi maswali Hadi anakela gonga like

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 3 года назад +21

    ... 🙄Please Davista... Let Mutumishi make his testimony... Questions iwe video ingine.. Please.. Tunakiuu yaku sikiya ushuuda, 🙄🙄🙄🙄....

  • @kennah03m
    @kennah03m 3 года назад +3

    Hassan mungu akufunuliee zaidii na zaidi

  • @Atmospherec3
    @Atmospherec3 3 года назад +5

    Meshark mwanzo alikua hataki kuongelea imani davista ukamforce akaanza kuongea leo umemzuia tena 😂😂 alichokua anakikwepa umekishuhudia mwenyew. Haya tuendelee na testimony.
    Hongera sana davista kwa ukwel unawapa watu elimu na kuwaondolea mawazo.

    • @tayanabenard4392
      @tayanabenard4392 3 года назад +1

      Mwana kulitaka mwana kulipata🤣🤣🤣🤣🤣

  • @reubenbushiri1753
    @reubenbushiri1753 3 года назад +16

    Devistar,Don't interrupt Dev,Meshaki please leave him to clarify testimony accordingly,I think Devistar you fear to loss your followers in this channel.

  • @tonnyg5304
    @tonnyg5304 3 года назад +9

    Davista unaonekana kuna upande anauogopa halaf hii mada ni very sensitive inaweza ikaja ikazua mkanganyiko huko mbele au story nyingi zikawa zinalenga kuongelea dini wakutanishe wapambane mwenye maarifa na hoja za dini tumjue maana wataishia kusemana kweny chaneli nyingine wakat uwezo wa kuwakutanisha upo

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 3 года назад +1

    Mtumishi wa Mungu Meshaki ubarikiwe mno, kiukweli umenifungua sana ufahamu na namna ya kudhani kwangu.

  • @semwandambaza2184
    @semwandambaza2184 3 года назад

    Meshack baba nakuelewa saaana,,,,Afu ninakupenda Sana ndugu yangu katika YESU KRISTO 😘😘...Nafurahia kila kitu Toka kwako yaani Nakuombea YESU KRISTO akufiche🙏.Davista usiogope pia tunakuombea Sana,,,hatusikilizi tuuu Bali Na kuwaombea muwe salama kwa Jina la YESU 💪

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht 5 месяцев назад

    SHUKRAN SANA KWA USHUUDAA MZURI MNOO ASEE BARIKIWA SANAAA

  • @zawadianagabriel9768
    @zawadianagabriel9768 3 года назад +1

    Woow kitimoto hoyeee! + cokacola baridaaaa

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 3 года назад +8

    Sasa hapo kwenye "kiti moto" ndo utawavuruga kabisaaa!!mishipa ya hasira itawasimama hatari! Taqbiriiiiii! 😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @engzuberir.akilenza1764
      @engzuberir.akilenza1764 3 года назад +2

      Anvuruga nani anawavuruga wajinga wenzake. Huyo jamaa Hana lolote amebadili kanuni za uchawi na ushirikina yupo mahali sahihi.

    • @fahadjinni5845
      @fahadjinni5845 3 года назад +1

      Unawashwa eeeh 🙄🙄🙄

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      @@fahadjinni5845 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад +1

      Allah Akibar

    • @kennah03m
      @kennah03m 3 года назад

      @@engzuberir.akilenza1764 mahali sahihi ni kwenye uislamu sababu ata hao mashehe wenzake ndo wachawi zaidii ata mwalimu wake wa madrasa ni mchawii

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 3 года назад +8

    .. Exact pigs don't support demons.. That why they choose to die.. 😊Aksanti sana Mutumishi Meschak kwa jibu iyi.. 🤔Akuna kafara ya nguruwe kweli..

  • @johalisemalima6979
    @johalisemalima6979 3 года назад +2

    YESU maisha yake yoote yamezungumziwa....

  • @drnow1528
    @drnow1528 3 года назад +3

    Bwana yesu asifiwe

  • @mercyetago4020
    @mercyetago4020 Год назад

    Nyama yoyote ile isipopikwa vizuri,ina madhara. Nguruwe ni nyama safi.

  • @jimmykazoya1749
    @jimmykazoya1749 3 года назад +7

    Davister nimegundua ana kichwa kigumu kimtindo… Hivi ulitaka Yesu aelezewe utoto wake kama alichezea magari ya udongo, kukimbizana na wenzake, n.k.
    Kwa kifupi biblia inasisitiza mambo muhimu ya wokovu wa mwanadamu kujikwamua
    kutoka dhambini.
    Hivi kwa mfano wewe ukiandika kitabu kuhusu maisha yako mpaka sasa unaweza kuandika kila tukio tangu saa ya kuzaliwa kwako. I Think utachambua yaliyo muhimu na tija kwa wasomaji. Acha bro Meshack awashe moto, kaa kando upate joto. 🔥🔥🤣🤣

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @martinamturano2152
      @martinamturano2152 3 года назад +1

      Umeona eeh 😀 Davista unavuruga kipindi

    • @rehemabrighton3176
      @rehemabrighton3176 Год назад

      😂😂😂

    • @frankinspired6486
      @frankinspired6486 Год назад

      Hapa nikama Davister aliingiliwa na wazee wa kazi kuvuruga kipindi.. Mfano maisha ya utoto ya Rais Suluhu sio muhimu kwa Mtanzania, ila utawala wake ndio muhimu, hivo pia kwa Yesu na manabii wote..

  • @pascalbalex5142
    @pascalbalex5142 8 месяцев назад

    Ubarikiwe mutumishi Meshak

  • @zakiarama9842
    @zakiarama9842 3 года назад +1

    Dev napenda sana unavyouliza maswali ya msingi sana

  • @mosesngowa5918
    @mosesngowa5918 2 года назад +3

    "Nguruwe mnyama wa watu amewaskosea nini jamani "😂😂😂😂😂

  • @chrismwakajinga1190
    @chrismwakajinga1190 3 года назад +3

    Wazungu wanasema ukitaka kuwaficha kitu watu kiweke kwenye maandishi. DAVISTAR Meshack kakwambia ukitaka kujua maisha ya Yesu toka utotoni hadi miaka 30 nenda Bible school, kakujibu hivyo sababu kuna vitabu nje ya bible ambavyo vimeandika maisha ya Yesu huko Bible School vinatumika kufundishia, hivyo Davistar acha maswali yasiyo na msaada katika MIKASA ya MESHACK, kama wewe na wenzako mnataka kukua maisha ya YESU acha uvivu soma vitabu

  • @kahindiwanje90
    @kahindiwanje90 3 года назад +1

    Safi Sana broo.achakuuliza maswali yenye hayana manaa

  • @elizabethmbugua7701
    @elizabethmbugua7701 3 года назад +4

    Davistar you delay uploading these videos and when you do they are full of theological qstns. Unamuuliza akianza kujibu unamkataza vipi bro?

  • @lubambeheneli133
    @lubambeheneli133 3 года назад

    hyu dav. anahoji maswali ya kibinadamu Sana. atia mashaka mashaka Sana huenda nay eye ni wa bwana rusifa

  • @jorumkiungo303
    @jorumkiungo303 3 года назад +1

    Sema davista anazngua anainterupt sana

  • @achsahcharles6728
    @achsahcharles6728 3 года назад +2

    Davista broooo, maswali yako sometimes yanakua nje ya reli kichizi na ni kama unamlazimisha mtu adanganye, si lazima Meshack ajue kila kitu na usiforce aonekane hajui, umuache azungumze anachokijua, na tukijua Yesu alikua anakula ugali na maharage ina significance gani?? Mchungaji akifundisha, anachagua vitu ambavyo ni relevant. Kafanye research Google bwana sometimes itakupa majibu. Meshack bigup

  • @oscarkibate1913
    @oscarkibate1913 3 года назад +1

    Mungu alitupa yale aliyofikiria yanayotuhusu. ya ziada vista Biblia inasema mahali ambapo fikira zetu zinakomea ndio mwanzo wa fikra za Mungu

  • @kefasoneliakimumkeyembo1804
    @kefasoneliakimumkeyembo1804 3 года назад +1

    Nguruwe kawakosea nini jamani😎😎😎😂😂😂

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 3 года назад +4

    Davistar Master .......shusha vitu , ila shekhe wa kule hana kitu coz anaongea vitu bila evidence 🤣🤣🤣🤣😀😀😄

    • @engzuberir.akilenza1764
      @engzuberir.akilenza1764 3 года назад

      Kwahiyo huyu taahira wako ndiyo ana evidence hivi mnajitoa ufahamu namna gani?

    • @agreymfugale1216
      @agreymfugale1216 3 года назад

      Yaani hawezi kujibu hoja, alitakiwa ajibu hoja kwa maandiko yeye anazungumza pointless, uelewa wa yule shk ni mdogo yaani Hana ushawishi wa hoja kimaandiko anaishi kulalamika

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 3 года назад

      @@engzuberir.akilenza1764 kwa kawaida personal attack ni majibu ya kwamba mtu kashindwa hoja....🤣🤣na waislamu wakisha shikwa kwenye ukweli na wakishandwa kabisa kudanganya..wanaanza kutukuna eti ni suna za mtume🤣

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      @@engzuberir.akilenza1764 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @theresiapastory9637
    @theresiapastory9637 3 года назад +1

    Dav acha maswali yasiyo na maana kilichotakiwa uwakutanishe hao wawili ili wapambane wenyw ww dini huijui vzr

  • @rebound2179
    @rebound2179 Год назад

    Ajabu kwamba Qurani yasema eti uchawi na uganga ni haramu, ilhali Allah ndiye afundishaye Mashekhe uchawi!

  • @paulshillah7397
    @paulshillah7397 3 года назад +1

    Davista unamuingilia sana huyo mtumishi mwache atoe ushuhuda wake kikamilifu

  • @masoudkatiba1484
    @masoudkatiba1484 3 года назад

    Davistar go to the point.

  • @macamezunguzungu5584
    @macamezunguzungu5584 3 года назад

    Thanks kwa muendelezo🙏

  • @sheikhabdallahiddi3350
    @sheikhabdallahiddi3350 3 года назад

    na nimeridhi uisilamu Dio dini.mwenye hezi mungu kasema anaridhi uisilamu .

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 3 года назад +1

    Ila ktk watu wanafiki DAVISTA yumo

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 Год назад

    Jaman meshack unajua kuchambua na mtu akitaka kupingangana na ww ajipanga na ajipange vizur✍️✍️

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 3 года назад +4

    Maswali yanayotakiwa kujibiwa na Ostadhi.
    1.Inakuaje Allah akashusha uchawi kupitia malaika wake maaluta na haluta? Je haoni huyo Allah ni Shetani?
    2. Kuna aya inasema " Allah is the best of creators".Km Allah ni mmoja kwa nini awe muumbaji bora kuliko waumbaji wengine?
    3. Kabla ya Muhammad kupokea "Wahai"au ufunuo wa Quran akiwa na miaka 40, alikuwa akiamini dini ipi?
    4. Ni miujiza gani aliyowahi kuifanya mtume Muhammad inayomfanya awe mtume bora kuliko mitume wengine hasa kulinganisha na Nabii Issa? Iyeleweke kwamba baadhi ya miujiza inayosemekana aliifanya ni ile aliyowasimulia watu lakini hakuna muujiza wa maana alioufanya mbele za watu,km vile kuponya vipofu,kufufua watu nk.
    5.Km kweli alikuwa ni mtume wa kweli wa Mungu kwanini alilogwa(bewitched) na wachawi. Je ni nabii gani kati ya manabii waliopita aliyewahi kulogwa.Maana katika Quran Allah amesema atawalinda mitume na manabii wake.
    5. Kwanini Waislamu huenda Maca kufanya ibada kwenye jiwe jeusi? je hiyo si ibada ya Sanamu? Mbaya zaidi eti wanasema jiwe hilo linaweza kusamehe dhambi? Inakuaje jiwe liwe na uwezo wa kusamehe dhambi wakati Quran inasema ni Allah pekee mwenye uwezo wa kusamehe?
    6. Kuna hadith katika Qurani inasema,"Km Muislamu anatembea barabarani akikutana na Myahudi au Mkristo asimsalimie bali amsukumizie pembeni mwa barabara( Matopeni). Je kwa hadith hii kwanini Uislamu usiitwe ni dini ya chuki?
    Hebu tuanzie hapo kwanza. More questions to come.

    • @hellenwilliam27
      @hellenwilliam27 3 года назад

      Achana nao hawajui walitendao

    • @johnmathew2769
      @johnmathew2769 3 года назад

      umeongea vizur sana

    • @tanzaniabestchoice8548
      @tanzaniabestchoice8548 3 года назад +2

      Uko na maswali mazito mpaka nahisi we ndio meshack🤣🤣🤣🤣ubarikiwe

    • @kamgomoli3650
      @kamgomoli3650 3 года назад

      @@tanzaniabestchoice8548 😆😆👊👊

    • @kennedykimutai2298
      @kennedykimutai2298 3 года назад

      Haya maswali yako mazuri kabisa sijui kama Davista atavisoma haje amuulize yule sheikh

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 3 года назад

    Yesu alikuja akasafisha yote, so kila mnyama ni sawa, mimi nala nguruwe tena naipenda sana
    Davista wacha kumkatiza huyu ndugu unafanya apoteze story

  • @michaelrweramila7551
    @michaelrweramila7551 3 года назад +7

    Hii episode kaiharibu davister na maswali yake ya kitoto...yan mm naweka mb zangu nisikilize testimony af yeye anamaliza episode nzima na maswali yake ya ajabu ajabu...
    Mbona yule shehe alikuwa hamuulizi maswali ya kijinga....mm nimekereka kunimalizia mb zangu af episode nzima unauliza ujinga tu...unajifanya una ubongo mgandisho

    • @maryfeddy2798
      @maryfeddy2798 3 года назад

      Davista anaegemea upande wa Islam. Hana hekima kabisa

  • @martinamturano2152
    @martinamturano2152 3 года назад

    Davista punguza Maneno unatuharibia usikivu. Mwache Meshack atoe shuhuda ili tupone. We vipi? Unamvuruga

  • @kakajoss2464
    @kakajoss2464 3 года назад +4

    Tunaomba tuwe live na mtu kama huyu ili tumhulize maswali na mnyesheni pia.

  • @salimasalome4607
    @salimasalome4607 3 года назад +1

    Davistar wacha maswali mengi

  • @gracewahu8741
    @gracewahu8741 3 года назад +1

    Davistar aiiiii maswali nyingi niyanini , tuko hapa kwa ushuhuda , maswali Yako yamezidi , usiogope kupoteza subscribers sababu tuko hapa kupona tukipona mungu atafurahia akupe hata more subscribers walio wakweli hata supportive!!

  • @semwandambaza2184
    @semwandambaza2184 3 года назад +1

    Meshack bana🤣🤣🤣...eti nguruwe sio kinywaji Bali Ni chakula!!,,,Baba nikuone wapi tukale huyu mdudu?🤣🤣🤣🤣🤣..nimecheka ujueee🤣🤣🤣🤣

  • @habibaally2943
    @habibaally2943 3 года назад +1

    Dah pole SN Kwa kupotea nakuonea huruma Adhabu za Allah zina kusubiri Tena itakufika kabla upo hapa duniani

    • @nasht8604
      @nasht8604 3 года назад

      Haya ndio mlimwambia afande sele mkampa wiki na hadi sasa anpiga miezi!!🤣🤣🤣

    • @admerarobert3485
      @admerarobert3485 3 года назад

      Hakuna aliyempokea YESU akapotea kumbuka YESU ndiye njia na kweli na uzima.

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    asante meshaki kwa uendelezo

  • @lamechologi8319
    @lamechologi8319 Год назад

    Ask relevant questions bana,sa maisha ya Yesu yatakusaidiaje kkuwa kiimani jameni,achana na watu watoe ushuhuda and if must a question don't leave the topic please...maswali yako at a point yanaboooo...

  • @merrymlongwa2645
    @merrymlongwa2645 3 года назад +2

    Nimefurahi kusikia ulikombolewa na kanisa la Agrikana 😍

    • @kamgomoli3650
      @kamgomoli3650 3 года назад +3

      Yesu Kristo ndiye aliyemkomboa sio kanisa. Hapo alipita km njie kuelekea wokovuni.

    • @justinendizeye714
      @justinendizeye714 3 года назад +1

      Angrikana 💪🙏👏

    • @nickolousrajabu5001
      @nickolousrajabu5001 3 года назад +2

      Yesu hana zehebu . Yesu alileta wokovu.

    • @nickolousrajabu5001
      @nickolousrajabu5001 3 года назад +1

      Yesu hana zehebu . Yesu alileta wokovu.

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      @@nickolousrajabu5001 sasa mbona kuna madhehebu

  • @paulndoya5805
    @paulndoya5805 3 года назад +2

    Baada ya mwaka mzima leo nimekua wa kwanza

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 3 года назад +3

    Huyu jamaa hamna lolote ila yupo mahali sahihi yaani masihi dajali ana mawakala wengi Sana. Afadhali kidogo bwana Davister umemuelewa. Huyu jamaa akili yake haiko timamu.

    • @mohamedijumachambo8719
      @mohamedijumachambo8719 3 года назад

      Sawa Kabisa

    • @aimeranceseko1042
      @aimeranceseko1042 3 года назад +1

      Jamani acheni matusi kwa mtumishi wa Mungu

    • @admerarobert3485
      @admerarobert3485 3 года назад +1

      Wewe ndiye hakili yako haiko timamu maana naona amekugusa njoo kwa YESU anakupenda sana

    • @zakiarama9842
      @zakiarama9842 3 года назад

      Uchawi umemvuruga huyo ajielewi naamini tutajua Kama mbabaishaju au la

    • @peterrulagora7403
      @peterrulagora7403 3 года назад

      Watu wanaumbuliwa wanaemwabudu ni nani

  • @michaelrweramila7551
    @michaelrweramila7551 3 года назад +1

    Mtumishi anajaribu kielezea vzr lakini davister anakaza fuzu...af anatupoteza muda tu

  • @christianmachobo960
    @christianmachobo960 9 месяцев назад

    Pakua kitabu kinaitwa the lost books of the Bible,utapata 1st $2nd Gospel of the infancy of Jesus Christ,utajifunza mengi.

  • @musamatheka2968
    @musamatheka2968 3 года назад +2

    Kwanza ndio mambo yanaenda vzr ukioji huku unaoji huku ukweli unajulikana na wenye akili

  • @mirandajeff7325
    @mirandajeff7325 3 года назад +1

    Meshack kwa niaba ya waislamu na wasabato tumegoma kuhusu kunguruwe.
    Endelea na testimony pastor👊

  • @davidchesco1150
    @davidchesco1150 3 года назад +3

    Davista mi naona sio sawa kumkatsha meshak muache aseme kila anachojua mbona waislam unawaacha!! Kama unakatsha katsha kote kwan yule shehe anamkasa gan kama shda ni story tu bas hata shehe achana nae!!!, USIEGEMEE UPANDE MMOJA!!

  • @tayanabenard4392
    @tayanabenard4392 3 года назад +1

    Aisee kichwa ya Meshack IPO TIMAMU sanaa...

  • @opiopeter6373
    @opiopeter6373 3 года назад

    30yr not 33

  • @damienndiku1064
    @damienndiku1064 3 года назад +1

    Davista umegeuka mbishi pia kumpotezea mwelekeo wake wa ushuhuda🤔🤔from🇺🇸

    • @zakiarama9842
      @zakiarama9842 3 года назад +1

      Kwa sababu amuelewi hila anamskiliza tu ndo maana anauliza

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao4996 3 года назад +1

    but davistar which side are you

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao4996 3 года назад +1

    pray the Lord even some Muslims Africans used to eat pork meat here in China

    • @LEO-uq6el
      @LEO-uq6el 3 года назад +1

      We mchina mmbeya ww

    • @xinyingmiao4996
      @xinyingmiao4996 3 года назад

      @@LEO-uq6el true

    • @upendoluv7197
      @upendoluv7197 3 года назад

      Alafu we mchina Mdharamo unasikiliza kiswahili alafu unatuandikia kingereza😎😀🤣

    • @fredrickmichael2317
      @fredrickmichael2317 3 года назад

      Mchina toa maoni yako...

    • @xinyingmiao4996
      @xinyingmiao4996 3 года назад

      @@upendoluv7197 sorry me wezi andika Swahili

  • @fatmahussein3876
    @fatmahussein3876 3 года назад

    Izudin alwy Ahmed pitia huku

  • @heritier5119
    @heritier5119 3 года назад

    Maisha ya utotoni ya Yesu hayatuhusu muhimu ni Yale aliyotumwa nayo

  • @leahjohn6484
    @leahjohn6484 3 года назад

    Yesu ni bwana

  • @mercylynmasila1258
    @mercylynmasila1258 3 года назад

    Hapo sawa

  • @happynesskimt6249
    @happynesskimt6249 3 года назад

    Du! 🙆‍♀️

  • @zakiarama9842
    @zakiarama9842 3 года назад

    Acha kujikuna bro Dev unaakili sana maswali yatafanya tuelewe zaiid

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 года назад

    Pepps kidogo

  • @jamesautomajorjimmy7895
    @jamesautomajorjimmy7895 Год назад

    Ambia devista hivi mwana aliyepotea alienda kulicha nguruwe hawakuwa WA mapambo

  • @zawadianagabriel9768
    @zawadianagabriel9768 3 года назад

    Episode inaisha bila testimony we davistar ww mwachie bac atoe testimony jamani

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 3 года назад

    We davistar mzinguaji acha anayetoa ushuhuda ashuhudie ukweli,unamchanganya

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao4996 3 года назад +2

    in China we don't have problem with pork and people are so healthful

  • @rulimbiyesaid5907
    @rulimbiyesaid5907 2 месяца назад

    Mtangazaji unazingua unaharibu kiukwel

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 3 года назад +3

    Kingine nilichokigundua Davistar hayuko huru kuhoji akiwa na Shekhe kulinganisha na apokuwa na Apostle Meshaki.Akiwa na Shekhe anakuwa muoga muoga na hajiamini sana. Sijui km wengine mmeligundua hilo!

    • @furahahappiness110
      @furahahappiness110 3 года назад +1

      Umeona eh 🤷

    • @badymsuya6093
      @badymsuya6093 3 года назад

      Hii Ni kwel kabisa pili kaenda Kwa ostadh hata maswal hana kwenye karatasi anabak kuulza hv vitabu Yan uislam Sio din unaweza kurupuka ukasema utaulza ukifika ety maswal yapo kichwan huwez

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 3 года назад +1

    Mbona yesu Maisha yake yapo toka utoto kuanzia kuzaliwa Jamani hata kwenye quraan ipo na Alikuwa na muujiza tokea ypo mtoto

  • @jamesautomajorjimmy7895
    @jamesautomajorjimmy7895 2 года назад

    Cheki hivi kwa eulogy ya MTU akikufa hua ya somwa vile muhimu muhimu SAA tuseme hivi hii eulogy iandikwe matendo ya MTU iandikwe ya kila siku tutamzika lini

  • @idrisooabdallah3546
    @idrisooabdallah3546 3 года назад +2

    Davista maswali yako mengne hayana mantiki episode kubwa unaongea wewe tu punguza kumuingilia

  • @kasembojackson6850
    @kasembojackson6850 Год назад

    Tumish ungeacha vitu vingine sio muhimu, ungendelea na stori utajichanganya.

  • @kusahbrown436
    @kusahbrown436 3 года назад

    Mr DM "utanza kucheat kwa huyu muhuni "

  • @frankmtei3017
    @frankmtei3017 3 года назад

    Ukishurutishwa na njaa , kula ngurue ruksa...

  • @michaelrweramila7551
    @michaelrweramila7551 3 года назад +2

    Davister eeeh maswali mengine yasiyo na maana yan maswali ambayo hata mtoto wa darasa la pili aulizi...usiulize bana.....yan sisi tunasubr testimony af ww episode nzima unauliza maswali yako yasiyo ya msingi

  • @jesusismyking5292
    @jesusismyking5292 3 года назад

    Laa hatufayi kula Nyama ya Nguruwe

  • @tayanabenard4392
    @tayanabenard4392 3 года назад

    Yaan hapo kwenye kitimoto...Meshack hebu nenda pale kwa Tarimo chukua kitimoto kg 1 na ndizi mzuzu 3 nitalipa..

  • @musamatheka2968
    @musamatheka2968 3 года назад +2

    PIA WEWE DEVISTAR NAONA UMEANZA KUMUELEWA HUYU JAMAA

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 3 года назад

    😀😀🤣😀🤣😀🤣😀🤣Nimecheka Eti ukila kila Maruwani watakukimbia kimbia🤣😂😂

  • @arifosman3500
    @arifosman3500 3 года назад +1

    meshak ni muongo nguruwe haijaruhusiwa katika dini ya kiislam. haijaandikwa hivo anasoma nusu nusu hasomi yote anapoteza watu... na hata ukimuangalia anavo soma anaonekana kabisa anachagua ipi ya kusoma na ipi ya kuacha... huyu ni mnafiki.

  • @huseniomari3990
    @huseniomari3990 3 года назад

    Kama nihivo hata mbwa analiwa kwasababu anamiguu 4

  • @hellenwilliam27
    @hellenwilliam27 3 года назад

    Davista story nyingi mwache aendelee stori

  • @davidnyambuche352
    @davidnyambuche352 2 года назад

    Davistar unavuruga kipindi kwa kichwa chako kigumu, unazunguka hapohapo tu na unaelezewa ila hutaki kuelewa

  • @fredrickmichael2317
    @fredrickmichael2317 3 года назад

    Davista muache Mtumishi aongee ukweli acha kupiga break

  • @mercyetago4020
    @mercyetago4020 Год назад

    Nyama zote zina madawa siku hizi. Tunakula vyote. Mamba, nyoka bora maandalizi. Hivi mtawahubiria wachina vipi mkiweka vizuizi na wao hula kila mnyama

  • @kasembojackson6850
    @kasembojackson6850 Год назад

    Endelea na ushuhuda wako.achana na ngurue hatakusaidia,piga injili mwanangu achana na yasiyo muhimu,

  • @bobbybyansi7773
    @bobbybyansi7773 3 года назад

    Tafuta sinema inayoitwa the young mesiah inagusa maisha ya yesu kabla

  • @linetm5356
    @linetm5356 3 года назад

    Katika bibilia kitabu cha mambo ya malawi kumi na moja usome kuendelea mungu amerodhesha mifugo wanaokuliwa na binadamu.

  • @jamesngalijah3710
    @jamesngalijah3710 3 года назад

    hapo kwenye nguruwe umebugi mzee baba soma bible vzr

  • @jorammwakatobe5078
    @jorammwakatobe5078 3 года назад

    Kitimotoooooo oyooooo ahaaaaaa

  • @amosjblack9614
    @amosjblack9614 3 года назад

    Wapili leo 🇰🇪 🇦🇪

  • @kennah03m
    @kennah03m 3 года назад

    Nawafuatiliaa kutoka kenya

  • @martinamturano2152
    @martinamturano2152 3 года назад

    Davista unakera unaongea Sana mpaka Mtumishi wa Mungu anabaki kukuangalia. Au tukuache tuongee wewe yako? Mwache ashuhudie ili tupone.

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 года назад

    Devista unagonga nyundo kisha unapuliza

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    sasa hii esp dav ndo kasimulia