Meshark mwanzo alikua hataki kuongelea imani davista ukamforce akaanza kuongea leo umemzuia tena 😂😂 alichokua anakikwepa umekishuhudia mwenyew. Haya tuendelee na testimony. Hongera sana davista kwa ukwel unawapa watu elimu na kuwaondolea mawazo.
Devistar,Don't interrupt Dev,Meshaki please leave him to clarify testimony accordingly,I think Devistar you fear to loss your followers in this channel.
Davista unaonekana kuna upande anauogopa halaf hii mada ni very sensitive inaweza ikaja ikazua mkanganyiko huko mbele au story nyingi zikawa zinalenga kuongelea dini wakutanishe wapambane mwenye maarifa na hoja za dini tumjue maana wataishia kusemana kweny chaneli nyingine wakat uwezo wa kuwakutanisha upo
Meshack baba nakuelewa saaana,,,,Afu ninakupenda Sana ndugu yangu katika YESU KRISTO 😘😘...Nafurahia kila kitu Toka kwako yaani Nakuombea YESU KRISTO akufiche🙏.Davista usiogope pia tunakuombea Sana,,,hatusikilizi tuuu Bali Na kuwaombea muwe salama kwa Jina la YESU 💪
Davister nimegundua ana kichwa kigumu kimtindo… Hivi ulitaka Yesu aelezewe utoto wake kama alichezea magari ya udongo, kukimbizana na wenzake, n.k. Kwa kifupi biblia inasisitiza mambo muhimu ya wokovu wa mwanadamu kujikwamua kutoka dhambini. Hivi kwa mfano wewe ukiandika kitabu kuhusu maisha yako mpaka sasa unaweza kuandika kila tukio tangu saa ya kuzaliwa kwako. I Think utachambua yaliyo muhimu na tija kwa wasomaji. Acha bro Meshack awashe moto, kaa kando upate joto. 🔥🔥🤣🤣
Hapa nikama Davister aliingiliwa na wazee wa kazi kuvuruga kipindi.. Mfano maisha ya utoto ya Rais Suluhu sio muhimu kwa Mtanzania, ila utawala wake ndio muhimu, hivo pia kwa Yesu na manabii wote..
Wazungu wanasema ukitaka kuwaficha kitu watu kiweke kwenye maandishi. DAVISTAR Meshack kakwambia ukitaka kujua maisha ya Yesu toka utotoni hadi miaka 30 nenda Bible school, kakujibu hivyo sababu kuna vitabu nje ya bible ambavyo vimeandika maisha ya Yesu huko Bible School vinatumika kufundishia, hivyo Davistar acha maswali yasiyo na msaada katika MIKASA ya MESHACK, kama wewe na wenzako mnataka kukua maisha ya YESU acha uvivu soma vitabu
Davista broooo, maswali yako sometimes yanakua nje ya reli kichizi na ni kama unamlazimisha mtu adanganye, si lazima Meshack ajue kila kitu na usiforce aonekane hajui, umuache azungumze anachokijua, na tukijua Yesu alikua anakula ugali na maharage ina significance gani?? Mchungaji akifundisha, anachagua vitu ambavyo ni relevant. Kafanye research Google bwana sometimes itakupa majibu. Meshack bigup
Yaani hawezi kujibu hoja, alitakiwa ajibu hoja kwa maandiko yeye anazungumza pointless, uelewa wa yule shk ni mdogo yaani Hana ushawishi wa hoja kimaandiko anaishi kulalamika
@@engzuberir.akilenza1764 kwa kawaida personal attack ni majibu ya kwamba mtu kashindwa hoja....🤣🤣na waislamu wakisha shikwa kwenye ukweli na wakishandwa kabisa kudanganya..wanaanza kutukuna eti ni suna za mtume🤣
Maswali yanayotakiwa kujibiwa na Ostadhi. 1.Inakuaje Allah akashusha uchawi kupitia malaika wake maaluta na haluta? Je haoni huyo Allah ni Shetani? 2. Kuna aya inasema " Allah is the best of creators".Km Allah ni mmoja kwa nini awe muumbaji bora kuliko waumbaji wengine? 3. Kabla ya Muhammad kupokea "Wahai"au ufunuo wa Quran akiwa na miaka 40, alikuwa akiamini dini ipi? 4. Ni miujiza gani aliyowahi kuifanya mtume Muhammad inayomfanya awe mtume bora kuliko mitume wengine hasa kulinganisha na Nabii Issa? Iyeleweke kwamba baadhi ya miujiza inayosemekana aliifanya ni ile aliyowasimulia watu lakini hakuna muujiza wa maana alioufanya mbele za watu,km vile kuponya vipofu,kufufua watu nk. 5.Km kweli alikuwa ni mtume wa kweli wa Mungu kwanini alilogwa(bewitched) na wachawi. Je ni nabii gani kati ya manabii waliopita aliyewahi kulogwa.Maana katika Quran Allah amesema atawalinda mitume na manabii wake. 5. Kwanini Waislamu huenda Maca kufanya ibada kwenye jiwe jeusi? je hiyo si ibada ya Sanamu? Mbaya zaidi eti wanasema jiwe hilo linaweza kusamehe dhambi? Inakuaje jiwe liwe na uwezo wa kusamehe dhambi wakati Quran inasema ni Allah pekee mwenye uwezo wa kusamehe? 6. Kuna hadith katika Qurani inasema,"Km Muislamu anatembea barabarani akikutana na Myahudi au Mkristo asimsalimie bali amsukumizie pembeni mwa barabara( Matopeni). Je kwa hadith hii kwanini Uislamu usiitwe ni dini ya chuki? Hebu tuanzie hapo kwanza. More questions to come.
Hii episode kaiharibu davister na maswali yake ya kitoto...yan mm naweka mb zangu nisikilize testimony af yeye anamaliza episode nzima na maswali yake ya ajabu ajabu... Mbona yule shehe alikuwa hamuulizi maswali ya kijinga....mm nimekereka kunimalizia mb zangu af episode nzima unauliza ujinga tu...unajifanya una ubongo mgandisho
Davistar aiiiii maswali nyingi niyanini , tuko hapa kwa ushuhuda , maswali Yako yamezidi , usiogope kupoteza subscribers sababu tuko hapa kupona tukipona mungu atafurahia akupe hata more subscribers walio wakweli hata supportive!!
Ask relevant questions bana,sa maisha ya Yesu yatakusaidiaje kkuwa kiimani jameni,achana na watu watoe ushuhuda and if must a question don't leave the topic please...maswali yako at a point yanaboooo...
Huyu jamaa hamna lolote ila yupo mahali sahihi yaani masihi dajali ana mawakala wengi Sana. Afadhali kidogo bwana Davister umemuelewa. Huyu jamaa akili yake haiko timamu.
Davista mi naona sio sawa kumkatsha meshak muache aseme kila anachojua mbona waislam unawaacha!! Kama unakatsha katsha kote kwan yule shehe anamkasa gan kama shda ni story tu bas hata shehe achana nae!!!, USIEGEMEE UPANDE MMOJA!!
Kingine nilichokigundua Davistar hayuko huru kuhoji akiwa na Shekhe kulinganisha na apokuwa na Apostle Meshaki.Akiwa na Shekhe anakuwa muoga muoga na hajiamini sana. Sijui km wengine mmeligundua hilo!
Hii Ni kwel kabisa pili kaenda Kwa ostadh hata maswal hana kwenye karatasi anabak kuulza hv vitabu Yan uislam Sio din unaweza kurupuka ukasema utaulza ukifika ety maswal yapo kichwan huwez
Cheki hivi kwa eulogy ya MTU akikufa hua ya somwa vile muhimu muhimu SAA tuseme hivi hii eulogy iandikwe matendo ya MTU iandikwe ya kila siku tutamzika lini
Davister eeeh maswali mengine yasiyo na maana yan maswali ambayo hata mtoto wa darasa la pili aulizi...usiulize bana.....yan sisi tunasubr testimony af ww episode nzima unauliza maswali yako yasiyo ya msingi
meshak ni muongo nguruwe haijaruhusiwa katika dini ya kiislam. haijaandikwa hivo anasoma nusu nusu hasomi yote anapoteza watu... na hata ukimuangalia anavo soma anaonekana kabisa anachagua ipi ya kusoma na ipi ya kuacha... huyu ni mnafiki.
Wanao sema davster amezdi maswali Hadi anakela gonga like
... 🙄Please Davista... Let Mutumishi make his testimony... Questions iwe video ingine.. Please.. Tunakiuu yaku sikiya ushuuda, 🙄🙄🙄🙄....
Hassan mungu akufunuliee zaidii na zaidi
Meshark mwanzo alikua hataki kuongelea imani davista ukamforce akaanza kuongea leo umemzuia tena 😂😂 alichokua anakikwepa umekishuhudia mwenyew. Haya tuendelee na testimony.
Hongera sana davista kwa ukwel unawapa watu elimu na kuwaondolea mawazo.
Mwana kulitaka mwana kulipata🤣🤣🤣🤣🤣
Devistar,Don't interrupt Dev,Meshaki please leave him to clarify testimony accordingly,I think Devistar you fear to loss your followers in this channel.
Exactly!!💯
I totally agree with you
He always interrupt this guy
totally
Yes of course davista anatafuta unga sio mafunzo 😁😁
Davista unaonekana kuna upande anauogopa halaf hii mada ni very sensitive inaweza ikaja ikazua mkanganyiko huko mbele au story nyingi zikawa zinalenga kuongelea dini wakutanishe wapambane mwenye maarifa na hoja za dini tumjue maana wataishia kusemana kweny chaneli nyingine wakat uwezo wa kuwakutanisha upo
Mtumishi wa Mungu Meshaki ubarikiwe mno, kiukweli umenifungua sana ufahamu na namna ya kudhani kwangu.
Meshack baba nakuelewa saaana,,,,Afu ninakupenda Sana ndugu yangu katika YESU KRISTO 😘😘...Nafurahia kila kitu Toka kwako yaani Nakuombea YESU KRISTO akufiche🙏.Davista usiogope pia tunakuombea Sana,,,hatusikilizi tuuu Bali Na kuwaombea muwe salama kwa Jina la YESU 💪
SHUKRAN SANA KWA USHUUDAA MZURI MNOO ASEE BARIKIWA SANAAA
Woow kitimoto hoyeee! + cokacola baridaaaa
Sasa hapo kwenye "kiti moto" ndo utawavuruga kabisaaa!!mishipa ya hasira itawasimama hatari! Taqbiriiiiii! 😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anvuruga nani anawavuruga wajinga wenzake. Huyo jamaa Hana lolote amebadili kanuni za uchawi na ushirikina yupo mahali sahihi.
Unawashwa eeeh 🙄🙄🙄
@@fahadjinni5845 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Allah Akibar
@@engzuberir.akilenza1764 mahali sahihi ni kwenye uislamu sababu ata hao mashehe wenzake ndo wachawi zaidii ata mwalimu wake wa madrasa ni mchawii
.. Exact pigs don't support demons.. That why they choose to die.. 😊Aksanti sana Mutumishi Meschak kwa jibu iyi.. 🤔Akuna kafara ya nguruwe kweli..
True
YESU maisha yake yoote yamezungumziwa....
Bwana yesu asifiwe
Nyama yoyote ile isipopikwa vizuri,ina madhara. Nguruwe ni nyama safi.
Davister nimegundua ana kichwa kigumu kimtindo… Hivi ulitaka Yesu aelezewe utoto wake kama alichezea magari ya udongo, kukimbizana na wenzake, n.k.
Kwa kifupi biblia inasisitiza mambo muhimu ya wokovu wa mwanadamu kujikwamua
kutoka dhambini.
Hivi kwa mfano wewe ukiandika kitabu kuhusu maisha yako mpaka sasa unaweza kuandika kila tukio tangu saa ya kuzaliwa kwako. I Think utachambua yaliyo muhimu na tija kwa wasomaji. Acha bro Meshack awashe moto, kaa kando upate joto. 🔥🔥🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umeona eeh 😀 Davista unavuruga kipindi
😂😂😂
Hapa nikama Davister aliingiliwa na wazee wa kazi kuvuruga kipindi.. Mfano maisha ya utoto ya Rais Suluhu sio muhimu kwa Mtanzania, ila utawala wake ndio muhimu, hivo pia kwa Yesu na manabii wote..
Ubarikiwe mutumishi Meshak
Dev napenda sana unavyouliza maswali ya msingi sana
"Nguruwe mnyama wa watu amewaskosea nini jamani "😂😂😂😂😂
Wazungu wanasema ukitaka kuwaficha kitu watu kiweke kwenye maandishi. DAVISTAR Meshack kakwambia ukitaka kujua maisha ya Yesu toka utotoni hadi miaka 30 nenda Bible school, kakujibu hivyo sababu kuna vitabu nje ya bible ambavyo vimeandika maisha ya Yesu huko Bible School vinatumika kufundishia, hivyo Davistar acha maswali yasiyo na msaada katika MIKASA ya MESHACK, kama wewe na wenzako mnataka kukua maisha ya YESU acha uvivu soma vitabu
Safi Sana broo.achakuuliza maswali yenye hayana manaa
Davistar you delay uploading these videos and when you do they are full of theological qstns. Unamuuliza akianza kujibu unamkataza vipi bro?
hyu dav. anahoji maswali ya kibinadamu Sana. atia mashaka mashaka Sana huenda nay eye ni wa bwana rusifa
Sema davista anazngua anainterupt sana
Davista broooo, maswali yako sometimes yanakua nje ya reli kichizi na ni kama unamlazimisha mtu adanganye, si lazima Meshack ajue kila kitu na usiforce aonekane hajui, umuache azungumze anachokijua, na tukijua Yesu alikua anakula ugali na maharage ina significance gani?? Mchungaji akifundisha, anachagua vitu ambavyo ni relevant. Kafanye research Google bwana sometimes itakupa majibu. Meshack bigup
Mungu alitupa yale aliyofikiria yanayotuhusu. ya ziada vista Biblia inasema mahali ambapo fikira zetu zinakomea ndio mwanzo wa fikra za Mungu
Nguruwe kawakosea nini jamani😎😎😎😂😂😂
Davistar Master .......shusha vitu , ila shekhe wa kule hana kitu coz anaongea vitu bila evidence 🤣🤣🤣🤣😀😀😄
Kwahiyo huyu taahira wako ndiyo ana evidence hivi mnajitoa ufahamu namna gani?
Yaani hawezi kujibu hoja, alitakiwa ajibu hoja kwa maandiko yeye anazungumza pointless, uelewa wa yule shk ni mdogo yaani Hana ushawishi wa hoja kimaandiko anaishi kulalamika
@@engzuberir.akilenza1764 kwa kawaida personal attack ni majibu ya kwamba mtu kashindwa hoja....🤣🤣na waislamu wakisha shikwa kwenye ukweli na wakishandwa kabisa kudanganya..wanaanza kutukuna eti ni suna za mtume🤣
@@engzuberir.akilenza1764 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dav acha maswali yasiyo na maana kilichotakiwa uwakutanishe hao wawili ili wapambane wenyw ww dini huijui vzr
Ajabu kwamba Qurani yasema eti uchawi na uganga ni haramu, ilhali Allah ndiye afundishaye Mashekhe uchawi!
Davista unamuingilia sana huyo mtumishi mwache atoe ushuhuda wake kikamilifu
Davistar go to the point.
Thanks kwa muendelezo🙏
na nimeridhi uisilamu Dio dini.mwenye hezi mungu kasema anaridhi uisilamu .
Ila ktk watu wanafiki DAVISTA yumo
Jaman meshack unajua kuchambua na mtu akitaka kupingangana na ww ajipanga na ajipange vizur✍️✍️
Maswali yanayotakiwa kujibiwa na Ostadhi.
1.Inakuaje Allah akashusha uchawi kupitia malaika wake maaluta na haluta? Je haoni huyo Allah ni Shetani?
2. Kuna aya inasema " Allah is the best of creators".Km Allah ni mmoja kwa nini awe muumbaji bora kuliko waumbaji wengine?
3. Kabla ya Muhammad kupokea "Wahai"au ufunuo wa Quran akiwa na miaka 40, alikuwa akiamini dini ipi?
4. Ni miujiza gani aliyowahi kuifanya mtume Muhammad inayomfanya awe mtume bora kuliko mitume wengine hasa kulinganisha na Nabii Issa? Iyeleweke kwamba baadhi ya miujiza inayosemekana aliifanya ni ile aliyowasimulia watu lakini hakuna muujiza wa maana alioufanya mbele za watu,km vile kuponya vipofu,kufufua watu nk.
5.Km kweli alikuwa ni mtume wa kweli wa Mungu kwanini alilogwa(bewitched) na wachawi. Je ni nabii gani kati ya manabii waliopita aliyewahi kulogwa.Maana katika Quran Allah amesema atawalinda mitume na manabii wake.
5. Kwanini Waislamu huenda Maca kufanya ibada kwenye jiwe jeusi? je hiyo si ibada ya Sanamu? Mbaya zaidi eti wanasema jiwe hilo linaweza kusamehe dhambi? Inakuaje jiwe liwe na uwezo wa kusamehe dhambi wakati Quran inasema ni Allah pekee mwenye uwezo wa kusamehe?
6. Kuna hadith katika Qurani inasema,"Km Muislamu anatembea barabarani akikutana na Myahudi au Mkristo asimsalimie bali amsukumizie pembeni mwa barabara( Matopeni). Je kwa hadith hii kwanini Uislamu usiitwe ni dini ya chuki?
Hebu tuanzie hapo kwanza. More questions to come.
Achana nao hawajui walitendao
umeongea vizur sana
Uko na maswali mazito mpaka nahisi we ndio meshack🤣🤣🤣🤣ubarikiwe
@@tanzaniabestchoice8548 😆😆👊👊
Haya maswali yako mazuri kabisa sijui kama Davista atavisoma haje amuulize yule sheikh
Yesu alikuja akasafisha yote, so kila mnyama ni sawa, mimi nala nguruwe tena naipenda sana
Davista wacha kumkatiza huyu ndugu unafanya apoteze story
Hii episode kaiharibu davister na maswali yake ya kitoto...yan mm naweka mb zangu nisikilize testimony af yeye anamaliza episode nzima na maswali yake ya ajabu ajabu...
Mbona yule shehe alikuwa hamuulizi maswali ya kijinga....mm nimekereka kunimalizia mb zangu af episode nzima unauliza ujinga tu...unajifanya una ubongo mgandisho
Davista anaegemea upande wa Islam. Hana hekima kabisa
Davista punguza Maneno unatuharibia usikivu. Mwache Meshack atoe shuhuda ili tupone. We vipi? Unamvuruga
Tunaomba tuwe live na mtu kama huyu ili tumhulize maswali na mnyesheni pia.
Davistar wacha maswali mengi
Davistar aiiiii maswali nyingi niyanini , tuko hapa kwa ushuhuda , maswali Yako yamezidi , usiogope kupoteza subscribers sababu tuko hapa kupona tukipona mungu atafurahia akupe hata more subscribers walio wakweli hata supportive!!
Meshack bana🤣🤣🤣...eti nguruwe sio kinywaji Bali Ni chakula!!,,,Baba nikuone wapi tukale huyu mdudu?🤣🤣🤣🤣🤣..nimecheka ujueee🤣🤣🤣🤣
Dah pole SN Kwa kupotea nakuonea huruma Adhabu za Allah zina kusubiri Tena itakufika kabla upo hapa duniani
Haya ndio mlimwambia afande sele mkampa wiki na hadi sasa anpiga miezi!!🤣🤣🤣
Hakuna aliyempokea YESU akapotea kumbuka YESU ndiye njia na kweli na uzima.
asante meshaki kwa uendelezo
Ask relevant questions bana,sa maisha ya Yesu yatakusaidiaje kkuwa kiimani jameni,achana na watu watoe ushuhuda and if must a question don't leave the topic please...maswali yako at a point yanaboooo...
Nimefurahi kusikia ulikombolewa na kanisa la Agrikana 😍
Yesu Kristo ndiye aliyemkomboa sio kanisa. Hapo alipita km njie kuelekea wokovuni.
Angrikana 💪🙏👏
Yesu hana zehebu . Yesu alileta wokovu.
Yesu hana zehebu . Yesu alileta wokovu.
@@nickolousrajabu5001 sasa mbona kuna madhehebu
Baada ya mwaka mzima leo nimekua wa kwanza
Huyu jamaa hamna lolote ila yupo mahali sahihi yaani masihi dajali ana mawakala wengi Sana. Afadhali kidogo bwana Davister umemuelewa. Huyu jamaa akili yake haiko timamu.
Sawa Kabisa
Jamani acheni matusi kwa mtumishi wa Mungu
Wewe ndiye hakili yako haiko timamu maana naona amekugusa njoo kwa YESU anakupenda sana
Uchawi umemvuruga huyo ajielewi naamini tutajua Kama mbabaishaju au la
Watu wanaumbuliwa wanaemwabudu ni nani
Mtumishi anajaribu kielezea vzr lakini davister anakaza fuzu...af anatupoteza muda tu
Pakua kitabu kinaitwa the lost books of the Bible,utapata 1st $2nd Gospel of the infancy of Jesus Christ,utajifunza mengi.
Kwanza ndio mambo yanaenda vzr ukioji huku unaoji huku ukweli unajulikana na wenye akili
Meshack kwa niaba ya waislamu na wasabato tumegoma kuhusu kunguruwe.
Endelea na testimony pastor👊
Davista mi naona sio sawa kumkatsha meshak muache aseme kila anachojua mbona waislam unawaacha!! Kama unakatsha katsha kote kwan yule shehe anamkasa gan kama shda ni story tu bas hata shehe achana nae!!!, USIEGEMEE UPANDE MMOJA!!
Davistar nimemuona nimuoga sanaaaa
Au inawezekana kuna mtu kampiga biti
Aisee kichwa ya Meshack IPO TIMAMU sanaa...
Saaaaana 👏
30yr not 33
Davista umegeuka mbishi pia kumpotezea mwelekeo wake wa ushuhuda🤔🤔from🇺🇸
Kwa sababu amuelewi hila anamskiliza tu ndo maana anauliza
but davistar which side are you
He fear and trying to be Muslim side
Your side
@@pilimusa7770 nice one
@@xinyingmiao4996 😏
pray the Lord even some Muslims Africans used to eat pork meat here in China
We mchina mmbeya ww
@@LEO-uq6el true
Alafu we mchina Mdharamo unasikiliza kiswahili alafu unatuandikia kingereza😎😀🤣
Mchina toa maoni yako...
@@upendoluv7197 sorry me wezi andika Swahili
Izudin alwy Ahmed pitia huku
Maisha ya utotoni ya Yesu hayatuhusu muhimu ni Yale aliyotumwa nayo
Yesu ni bwana
Hapo sawa
Du! 🙆♀️
Acha kujikuna bro Dev unaakili sana maswali yatafanya tuelewe zaiid
Pepps kidogo
Ambia devista hivi mwana aliyepotea alienda kulicha nguruwe hawakuwa WA mapambo
Episode inaisha bila testimony we davistar ww mwachie bac atoe testimony jamani
We davistar mzinguaji acha anayetoa ushuhuda ashuhudie ukweli,unamchanganya
in China we don't have problem with pork and people are so healthful
Nyinyi si tuna jua hamutupi kitu
@@rosecruiz4348 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Good comment😅
Mtangazaji unazingua unaharibu kiukwel
Kingine nilichokigundua Davistar hayuko huru kuhoji akiwa na Shekhe kulinganisha na apokuwa na Apostle Meshaki.Akiwa na Shekhe anakuwa muoga muoga na hajiamini sana. Sijui km wengine mmeligundua hilo!
Umeona eh 🤷
Hii Ni kwel kabisa pili kaenda Kwa ostadh hata maswal hana kwenye karatasi anabak kuulza hv vitabu Yan uislam Sio din unaweza kurupuka ukasema utaulza ukifika ety maswal yapo kichwan huwez
Mbona yesu Maisha yake yapo toka utoto kuanzia kuzaliwa Jamani hata kwenye quraan ipo na Alikuwa na muujiza tokea ypo mtoto
Cheki hivi kwa eulogy ya MTU akikufa hua ya somwa vile muhimu muhimu SAA tuseme hivi hii eulogy iandikwe matendo ya MTU iandikwe ya kila siku tutamzika lini
Davista maswali yako mengne hayana mantiki episode kubwa unaongea wewe tu punguza kumuingilia
Tumish ungeacha vitu vingine sio muhimu, ungendelea na stori utajichanganya.
Mr DM "utanza kucheat kwa huyu muhuni "
Ukishurutishwa na njaa , kula ngurue ruksa...
Davister eeeh maswali mengine yasiyo na maana yan maswali ambayo hata mtoto wa darasa la pili aulizi...usiulize bana.....yan sisi tunasubr testimony af ww episode nzima unauliza maswali yako yasiyo ya msingi
kabisa mtu anachoka
Laa hatufayi kula Nyama ya Nguruwe
Kabisaa
Yaan hapo kwenye kitimoto...Meshack hebu nenda pale kwa Tarimo chukua kitimoto kg 1 na ndizi mzuzu 3 nitalipa..
PIA WEWE DEVISTAR NAONA UMEANZA KUMUELEWA HUYU JAMAA
Kabisaa
😀😀🤣😀🤣😀🤣😀🤣Nimecheka Eti ukila kila Maruwani watakukimbia kimbia🤣😂😂
meshak ni muongo nguruwe haijaruhusiwa katika dini ya kiislam. haijaandikwa hivo anasoma nusu nusu hasomi yote anapoteza watu... na hata ukimuangalia anavo soma anaonekana kabisa anachagua ipi ya kusoma na ipi ya kuacha... huyu ni mnafiki.
Kama nihivo hata mbwa analiwa kwasababu anamiguu 4
Davista story nyingi mwache aendelee stori
Davistar unavuruga kipindi kwa kichwa chako kigumu, unazunguka hapohapo tu na unaelezewa ila hutaki kuelewa
Davista muache Mtumishi aongee ukweli acha kupiga break
Nyama zote zina madawa siku hizi. Tunakula vyote. Mamba, nyoka bora maandalizi. Hivi mtawahubiria wachina vipi mkiweka vizuizi na wao hula kila mnyama
Endelea na ushuhuda wako.achana na ngurue hatakusaidia,piga injili mwanangu achana na yasiyo muhimu,
Tafuta sinema inayoitwa the young mesiah inagusa maisha ya yesu kabla
Katika bibilia kitabu cha mambo ya malawi kumi na moja usome kuendelea mungu amerodhesha mifugo wanaokuliwa na binadamu.
Nguruwe imo?
hapo kwenye nguruwe umebugi mzee baba soma bible vzr
Kitimotoooooo oyooooo ahaaaaaa
Wapili leo 🇰🇪 🇦🇪
Nawafuatiliaa kutoka kenya
Davista unakera unaongea Sana mpaka Mtumishi wa Mungu anabaki kukuangalia. Au tukuache tuongee wewe yako? Mwache ashuhudie ili tupone.
Devista unagonga nyundo kisha unapuliza
sasa hii esp dav ndo kasimulia