Tatizo la sisi Watanzania tunakua na tabia ya kubishana bila kutaja vigezo vilivyofanya Tanzania ifikie "UCHUMI WA KATI" Mimi binafsi nimesomea mambo ya uchumi nijiuliza hawa watu kila kukicha Watanzania walio wengi wanawaita Wazungu "MABEBERU". Watu walioko kwenye Bank ya Dunia walio wengi ni Wazungu. Inakuwaje wanasema tumefikia "UCHUMI WA KATI" wakati Dola 1 ya Marekani ni shillingi za Tanzania 2310/=, Paundi 1 ya Uingereza ni shilingi za Tanzania 2290/=, Euro 1 ni shilingi za Tanzania 2740/=, Dinari 1 ya Kuwaiti ni shilingi za Tanzania 7600/=, Dila 1 ya Marekani ni sawa na Kenyan shillings 100/=, sasa niapeni vigezo vilivyotumika kuiweka Tanzania kwenye uchumi wa Kati wakati Watanzania walio wengi kipato chao ni chini ya dola 1 ya Marekani kwa siku. Wazungu ni watu wenye mbinu nyingi sana katika kuweka hadharani maendeleo ya nchi. Wanajua kabisa wakiambia Serekali ya Tanzania "UCHUMI WENU UMEKUWA" wasomi na wana Siasa watapinga tena kwa hoja. Majukwaa yote ya Siasa za Tanzania wapinzani wanapinga kwa nguvu zote na sababu kubwa ni kwamba hali za Watanzania ni mbaya sana. Miradi mikubwa ya kuzalisha kipato imekufa vikiwemo viwanda, Uwekezaji wa ndani na nje, Mashirika ya Umma yamekufa, Miradi ya vijiji imefilisika, Wafanya biashara wakubwa wamefilisika na wengine wamekimbia nchi. Magufuli amefanya kazi kubwa kwa upeo wa fikra zake lakini akasahau ajira za Watanzania na ndizo zinamtesa sasa hivi. Wapinzani wamevuna wanachama wengi sana kutoka ndani ya CCM, wale unaoona wanarudi CCM toka upinzani ni watu waoga wanaosikiliza hotuba za mheshimiwa Magufuli ambazo mara nyingi amekuwa akijisahau kuwa aliwahi kusema tena hadharani kuwa "MAENDELEO HAYANA CHAMA". Akarudi akajisahau kule Musoma akasema "MKICHAGUA MADIWANI NA WABUNGE WA UPINZANI SITAPELEKA MAENDELEO MAENEO HAYO". Kiongozi wa nchi ukisha kuwa na mtoto wa Tumboni na Mgongoni umeigawa nchi na ndio maana sasa hivi kuna watu wa Magufuli, Tundu Lissu, Zitto Kabwe, na wengineo. Angalia mikutano ya Wana Siasa ilivyoigawa nchi. Mheshimiwa Magufuli anaenda na Wana Muziki kwenye mikutano yake sasa huwezi jua watu wamefuata Sera zake au Muziki. Lissu akiwa kwenye Mikutano yake amejaza watu huwezi jua wanamfuata kwa Sera zake au kwa mshangao kuwa Binadamu atakuaje hai huku amepigwa risasi 16 wakati Tembo anapigwa risasi moja tu na kufa. Watanzania wanajiuliza nchi yenye utwala wa kisheria binadamu anapoteaje, Waandishi wa habari wanapoteaje, Raia wa kawaida wenye mapenzi na vyama vya upinzani wanapoteaje, Wafanya Biashara wenye mapenzi na upinzani wanafilisiwa. Madakitari wametishwa wasitoe ripoti za COVID19, Tanzania na Kenya nani wanajua kwenda Kanisani na Misikitini. Katika watu wenye mpaka mrefu sana ni Kenya na Tanzania. Kutoka Lake Victoria mpaka Indian Ocean. Wafanyakazi hawaongezewi mishahara, Wafanyakazi wametumbuliwa sana na kufukuzwa bila kulipwa stahiki zao. Rais wa nchi anaweka ndugu zake HAZINA ya umma ili akichukua fedha isijulikane. Rais wa nchi ni mbaguzi, Mkabila, Mnafiki, Mwongo, Jeuri, Katili, uliona wapi Rais anatoa amri watu Wachome vifaranga. Rais anauliza risiti za wanywaji wa chai lakini hakuna mradi hata mmoja wa Serekali aliofanya Magufuli wenye risiti. Magufuli amejipatia dola Miloni 390 kwenye manunuzi ya ndege za Air Tanzania. Kama anazo aweke kwenye gazeti la Serekali. Wasimamizi wa uchaguzi Mwaka huu watashuhudia makubwa Tanzania. Kama Tume haitatenda haki na kusimamia uchaguzi kwa umakini mkubwa sana Wataingiza Tanzania kwenye uvunjifu wa amani na hili litasababisha baadhi ya viongozi au Tume yenyewe kufikishwa Mhakama ya Kimataifa ICJ. "SAFARI HII CCM WAJIPIME"
Desagu manze,, all comedian brought together can't equal you... You are a century ahead
This officer is writing 😂😂😂😂😂😂😂
Iyo gari ilikuwa kwa ndoto ulikuwa na licence?...tukirudi kwa ndoto nitaangalia...likes za Alex mathenge ziko wapi jameni?
Hahahaaa
Hio police station ya kina Desagu iko na Till Number....ya kulipa hongo😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Nawatch nikiwa Bahrain nipeni hata kama ni ka like kamonja
Pro tip: watch movies on Flixzone. I've been using it for watching lots of of movies these days.
@Zayne Grey yup, I have been watching on flixzone for months myself :)
Lol lol her make me laugh so much love it
Sasa hii hamuwezi niruka,first view,likes zikam.
@Henry DeSagu fanya mambo kabla ulale fofofo
Nmeamka😁😀😂
Leo nalala na viatu🤸🤸🤸🤸🤸 nataka hiyo ghost!!!
Umeamka kukuku
@@jameskimani3698 na akija ile mbio uta enda 😂😂😂😂😂😂.........
@mutua mumbua,huyo dame ni mrembo na amenyooka nyoko nyoko😂😂😂😂😂siwezi potea pote pote
Kenyans will never allow me to be commentor number 1 🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Leo ni mm nilikuwa no. 1🤸🤸🤸🤸🤸 @mumbi magua
Wait for Corona. It it will eliminate idlers
@@jameskimani3698 afadhali wewe aki 🤣
@@zanazui 🤣🤣🤣🤣🤣 my goodness current situation --------------->>😷😷😷
@Almerc Live mama mia 🤣🤣 kwisha mimi
Anxiously waiting for Pastor Ng'ang'a to feature in next episode. Can't wait! 🤣
Watching from queens nyc usa 🗽 keep this ghost thing going
Atleast mngeweka a classic appearing of the ghost...which would make the two of them run....😂🤣😂😂😂
Nice point
Ndoto attack,,,,,you really make me smile
Desagu this is wanderful job....amazing creativity......
Mchana chocho 😂😂😂😂😂😂Desagu never disappoints
Naomben like jmn kwa Mara yakwanza aty
Wow big bro you are just the guy 😁😁kwnz iyobpart ya maji!!
Plz nipeeni likes zote znu plz
Tafadhali nipeeni ata Kama ni likes 5
🙏🙏🙏🙏
@Almerc Live 😂😂😂 asante
Upeleke wapi🤣🤣🤣🤣
Nime sukuma yangu +44
Ati gari ilikuwa na lisence kama umesikia kitu ka hyo gonga like
@@silversamtv662 show
Love Desagu from Somali❤🇸🇴🙏
xusen Carab one love also qabadka was😂🤣
@@Abdihakinali800 😂😂😂😂😂🇸🇴✌
@@Abdihakinali800 RUclips kada miya kan
Aka dissolve kwa thin air😂😂😂
First viewer. Keep entertaining us Mwihoko King
I have been waiting for this episode aki. interesting sana.
I love this guy so much 😂😂❤️🇬🇧
This is awesome, keep it up Desagu
Desagu that awesome❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Waiting for part 4 of it🙄🙄🙄
Henry joh life and death hahahaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ukipendwaaaa pendekaaa kenyans plz like this post for crazy desaguu
Aki ya mama
Madam nlikua nme enda.... 😂😂😂... Napenda io
Ati am a nomadic driver 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂desagu u have made my day bro
Sauti ya desagu...ooh my ears!
Alex mathenge, r u related to Murkomen?
Sirkali😂😂😂....anyway Desagu you are my favorite
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣waaahhh...u made my nit leo
Leo am number 1 siamini🤣🤣🤣
Receiveeeeee receiveeeeeeee holy ghost fire hahahahaha
desagu the king of mwihoko keep entertaining
na penda likes zake
Desagu all the way all day.. 😂😂😂😂💥💪👊
😂😂😂😂😂Desagu the topest comedian
Waiting for part two
Hainishtui!!! Hainishtui!!! Kumbe inashtua 🤣🤣😂
Ndoto series.... Desagu taniua😂😂😂😂
Desangu i love ya creativity
Tatizo la sisi Watanzania tunakua na tabia ya kubishana bila kutaja vigezo vilivyofanya Tanzania ifikie "UCHUMI WA KATI" Mimi binafsi nimesomea mambo ya uchumi nijiuliza hawa watu kila kukicha Watanzania walio wengi wanawaita Wazungu "MABEBERU". Watu walioko kwenye Bank ya Dunia walio wengi ni Wazungu. Inakuwaje wanasema tumefikia "UCHUMI WA KATI" wakati Dola 1 ya Marekani ni shillingi za Tanzania 2310/=, Paundi 1 ya Uingereza ni shilingi za Tanzania 2290/=, Euro 1 ni shilingi za Tanzania 2740/=, Dinari 1 ya Kuwaiti ni shilingi za Tanzania 7600/=, Dila 1 ya Marekani ni sawa na Kenyan shillings 100/=, sasa niapeni vigezo vilivyotumika kuiweka Tanzania kwenye uchumi wa Kati wakati Watanzania walio wengi kipato chao ni chini ya dola 1 ya Marekani kwa siku. Wazungu ni watu wenye mbinu nyingi sana katika kuweka hadharani maendeleo ya nchi. Wanajua kabisa wakiambia Serekali ya Tanzania "UCHUMI WENU UMEKUWA" wasomi na wana Siasa watapinga tena kwa hoja. Majukwaa yote ya Siasa za Tanzania wapinzani wanapinga kwa nguvu zote na sababu kubwa ni kwamba hali za Watanzania ni mbaya sana. Miradi mikubwa ya kuzalisha kipato imekufa vikiwemo viwanda, Uwekezaji wa ndani na nje, Mashirika ya Umma yamekufa, Miradi ya vijiji imefilisika, Wafanya biashara wakubwa wamefilisika na wengine wamekimbia nchi. Magufuli amefanya kazi kubwa kwa upeo wa fikra zake lakini akasahau ajira za Watanzania na ndizo zinamtesa sasa hivi. Wapinzani wamevuna wanachama wengi sana kutoka ndani ya CCM, wale unaoona wanarudi CCM toka upinzani ni watu waoga wanaosikiliza hotuba za mheshimiwa Magufuli ambazo mara nyingi amekuwa akijisahau kuwa aliwahi kusema tena hadharani kuwa "MAENDELEO HAYANA CHAMA". Akarudi akajisahau kule Musoma akasema "MKICHAGUA MADIWANI NA WABUNGE WA UPINZANI SITAPELEKA MAENDELEO MAENEO HAYO". Kiongozi wa nchi ukisha kuwa na mtoto wa Tumboni na Mgongoni umeigawa nchi na ndio maana sasa hivi kuna watu wa Magufuli, Tundu Lissu, Zitto Kabwe, na wengineo. Angalia mikutano ya Wana Siasa ilivyoigawa nchi. Mheshimiwa Magufuli anaenda na Wana Muziki kwenye mikutano yake sasa huwezi jua watu wamefuata Sera zake au Muziki. Lissu akiwa kwenye Mikutano yake amejaza watu huwezi jua wanamfuata
kwa Sera zake au kwa mshangao kuwa Binadamu atakuaje hai huku amepigwa risasi 16 wakati Tembo anapigwa risasi moja tu na kufa. Watanzania wanajiuliza nchi yenye utwala wa kisheria binadamu anapoteaje, Waandishi wa habari wanapoteaje, Raia wa kawaida wenye mapenzi na vyama vya upinzani wanapoteaje, Wafanya Biashara wenye mapenzi na upinzani wanafilisiwa. Madakitari wametishwa wasitoe ripoti za COVID19, Tanzania na Kenya nani wanajua kwenda Kanisani na Misikitini. Katika watu wenye mpaka mrefu sana ni Kenya na Tanzania. Kutoka Lake Victoria mpaka Indian Ocean. Wafanyakazi hawaongezewi mishahara, Wafanyakazi wametumbuliwa sana na kufukuzwa bila kulipwa stahiki zao. Rais wa nchi anaweka ndugu zake HAZINA ya umma ili akichukua fedha isijulikane. Rais wa nchi ni mbaguzi, Mkabila, Mnafiki, Mwongo, Jeuri, Katili, uliona wapi Rais anatoa amri watu Wachome vifaranga. Rais anauliza risiti za wanywaji wa chai lakini hakuna mradi hata mmoja wa Serekali aliofanya Magufuli wenye risiti. Magufuli amejipatia dola Miloni 390 kwenye manunuzi ya ndege za Air Tanzania. Kama anazo aweke kwenye gazeti la Serekali. Wasimamizi wa uchaguzi Mwaka huu watashuhudia makubwa Tanzania. Kama Tume haitatenda haki na kusimamia uchaguzi kwa umakini mkubwa sana Wataingiza Tanzania kwenye uvunjifu wa amani na hili litasababisha baadhi ya viongozi au Tume yenyewe kufikishwa Mhakama ya Kimataifa ICJ. "SAFARI HII CCM WAJIPIME"
I'm first for the first time
Usijilie
Huyu ghost anafunga seatbelt🤣🤣🤣🤣
Nomadic driver🤣🤣🤣
Best video ever🙌🏾🙌🏾😹😹🙈🙈
Kenya sihami any way mnipee like Ya Desagu ata kama Ni 3
Kindly nipeeni likes za desagu
Very interesting Desagu, nice one...
Haha census iliisha 1st commenter 🤪
The flow is above the standards.
King of mwihoko always on top👊👊
I love your creativity aki
scientists say Desagu Will reply 😂😂.anyway mob love Notification Gang
the woman appears in the air jameni waaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
Nani ameskia mchana chochocho😂😂
Yaani nikama mlikuwa mnaongoja
I wonder y Kenyans will never develop being childish
Completing whose first......c'mon guys....😊😀😀😀
Don't take life seriously bwana
I better be child na nikue number moja
@@jameskimani3698 whatever u r trying to say say it directly
@@jameskimani3698
For sure i don't know the advantage of being the first to comment
@@petermwangi3987 next time be the first one and you will know the advantage
Ati Ata kwa ndoto hauwezi na gari yako😂😂🔥🔥🔥
Oooh,, desagu am happy 4 the guud wak.... Amazing creativity
🤣🤣 Desagu hatawai nona.. mimi pia
1st viewer🥰😂😂
Sauti Haiwezi kuwa ya mwanaume unless ni waider 😂😂😂💔💔najua mmeelewa wajanja
😂😂😂😂aki desagu keep it up
Sijui kama ni mini naona all of a sudden umeifanya ndoto
ati ndoto ilikuwa series
HAHAHA..,DESAGU TO THE WORD
Mchana chochocho🤣🤣🤣
😂😂😂 nice one ati sauti nyororo haiezi kua ya mwanaume unless ni weider
Big up bro ur such amazing
notification gang lets know ourselves
Kwahio doto ulimnage kukimbia aje ju kama n mm ningeshokwa😂😂
Desagu never fails to impress
Kufu dead😂😂😂
Nakufuatilia sana mzee ila huyo Bibi a takuuwa umetoa sili
Wakenya Tujuane humu
1st viewer.team desagu
Desagu this is so good mahn...talent.,,,but you need to improve on your scary face,unashtuka na bado unataka kucheka apo kwa scene
C huyo ghost anikamiie leo
Hizi ndoto za desagu 🔥🔥🔥
Mchana chochoto 😳😳🙆♂️🙆♂️😂😂😂😂😂💥
aki desagu wewe n chizi sana unafanya mtu acheke akiwa amejificha bigup blo
Mchana chochocho😂😂😂😂
Desagu hii iendelee tunaingoja unaona vile wasee wako rada😂😂🔥
Haiezi kuwa ya mwanaume unless ni weida😂😂😂😂
Eti ulikuwa na license kwa hiyo dream ....Alex 😝😝😝😂🤣
nice one
Mchana cho cho cho!!😂😂........😂😂😂io gari ulikuwa unaedesha kwa ndoto ilikuwa na license ......nikatoka nyau nyau 🐈😂......she stopped reggae 😂😂
46th viewer😂😂😂💥
Ndoto ilikuwa series...Jajaja
Desagu is becoming Crepy. It's not funny evoking spirits of the dead.
Mwihoko price u will kill me one day
Kwani ilikuwa ndoto😂😂😂
Sauti haiwezikua ya mwanaume unless ni weighder 🤣🤣
Aki nimesubscribe
hahhaaaaaahhaa eti haiwezi kuwa ya Mwanaume unless ni weider
Mchana Cho Cho Cho 😂😂😂
Unadai maombi
😂😂😂
Likes za Ole Kuyioni hapa
Team Desagu😊
Henry DeSagu Al the way Manze...
Julius supa oleng sir
mutunkei john supa oleng brother
Ati haiez kuwa ya mwanaumw unless ni......... ?
Hiyo ndoto iko na episodes..1 2 3
Tafadhali hata Kama Ni 20 Subscribe for meh
Hii inafaa kuwa headlined #accusing the dream about ghost lady#