SONIA MONALISA AJIBU KUSHINDANISHWA NA PAULA "SINA ULIMBUKENI WA INSTA"/"SIWEZI KUSOMA CHUO BONGO"
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
She is Smart...the way She Speak Express her maturity in mind..Nice
She is right about her mom , amazing description about her mom. I love all of them 3 generation from her grand mom, mom to her , beautiful women. Mungu awajaalie sana . Nawapenda
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Binti mzuri,mwenye elimu nzuri na anajieleza vizuri,mcheshi yaani hadi raha,Mungu akuongoze binti,walimwengu ndo hawahawa
Jimkk
J
Masha Allah hongera binti unajua kujieleza ,hongera kwako binti na MLEZI aliyekulea
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Safi sana kuwa na hofu ya Mungu ndo kila kitu! Big up my young!
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Mungu azidi kukubariki sonia Huna baya ulilo ongea Sema binadamu kila mtu na upeo wake wa kutafsiri jambo au neno na huwezi kuelewesha watu wote wakuelewe ndiomaana Kuna kufell na kufahuru so we forcuse na kile unacho amini upo nacho collect ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nimependa kujiamini kwako, tunamshukuru marehemu Tyson Kwa kuiachia dunia image yake. Isipokuwa mwanangu Sonia nikushauri kitu, Katika ulimwengu huu watu hawata kusifia, wala kukukumbuka Kwa elimu kubwa uliyo nayo, Bali Kwa kile ulichoifanyia dunia. Kwa hiyo unapokwenda masomo yako ya juu kuwa muangalifu Sana kwenye kuchagua cha kusoma, ili uje ukitumie kuifanya dunia itoke Hapa ilipofikishwa isonge mbele. Asante
Hua sina tabia ya kutazama interview hadi mwisho hasa hizi za wasafi ,ila kwa binti huyu nimeimaliza anajua kujieleza Mungu amuongoze
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Yaaan 2ko wt ht mm leo nimeanglia had mwisho
@@ashakidide9982 Pamoja Asha kidide
Huyu mtoto ana akili za kuridhi ndio mana ata ukiuliza swali la kutaka kumchonganisha na upande wa pili anakurudisha kwenye mada big up monalisa kwa malezi bora hayo mengine muachie mungu atamlinda na kumpitisha kwenye njia sahihi iko siku atakufuta machozi
mm nampenda sana amemuheshimisha mama nabibi yake
She is very smart ,,manzari yupo vizuri kwenye masomo yake na anazingatia shida ipo wapi mavani ni moja ya ujana tu watu wengi hupitia
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Mmmh nimzur kama mama yake
@@saumumaliki5462 sanaa
Safi sana....Hofu ya Mungu ni kila kitu.Nakuoenda sana dogo.Mungu akulinde daima.Msalimie mamiiiii...❤️♥️🙏
True! Stop comparing her to others...(Big up babygirl....I love yr reasoning)...👏👏💪💪
All I can say is she is smart and confident
She is very Smart*🥰🥰🥰🥰🥰
She's so beautiful, ebony, Melanie whiskey voice wow! Mashaallah
Kid is so good on all aspects
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Hapo kwenye hofu ya Mungu nimekuelewa sana Mungu akubaliki
God bless you lady..
She is totally smart...live your life achana na wasenge wamitandaoni
Uko poa ustishwe na walimwengu Mtoto mzurii ❤️
Safi Sana Roho mtakatifu anamuongoza💪✌️
Beauty with Brains....go gal..! 💪💪
She looks like her mom
True.....🙆
She get coffidence i like that
#BLESSINGS.... UKO VIZURI SANA KIAKILI; KUJIELEWA; KUWA NA UELEWA MKUBWA KATIKA KUJIELEZA NA KIKUBWA ZAIDI NI KUJIAMINI KWAKO.....#GO...DAUGHTER ...GO...
Confidence 10/10
Intelligence 10/10
Swag 10/10
Beauty. 10/10
Talent 10/10
Paula hana chochote kwenye hii list ,ni sex machine tu,,,, msimlinganishe .
😆😆😆
Usiongelee mabaya kwa Paula mungu Hupendi
Hahaaaa
😂😂😂😂 Ten nil
Hapo kwenye beauty umebug paula ni mzuri zaidi ila tatizo mungu hakup vyote
Very matured understanding from Snia
Safi sana Sonia unajielewa sana ww mtoto kwahiyo hata nyie mnae hoji mnaongeza maneno wakati mwengine sio vizuli mnagombanisha watu
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Yaan kabint kana Akili Mashaallah kanajua kujibu vizuri
Safi sana mtoto mzuri endelea kuwa na hofu ya MUNGU pongezi kwa monalisa na bibi yako kwa malezi mazuri
Hongera kipnz Mungu azidi kukusimamia kwa kila jambo dear
🤣🤣🤣🤣🤣 SIJASEMA MH MH MH SIJASEMA🤭🤭 Love u baby girl unaongea vya ukweli kabisaaaah 😘😘😘
Ka beautiful sanaa and smart girl
Very interesting I love you Sonia
Uko vizuri Sana sonia
I like her voice as she speaks so cool
Napenda kibezi chake 😂😂anaoñgea vzr
Kweli hongera sana ukiwa na off ya Mungu utayaweza yote na utafaidi maisha yako hongera sana
Soniaaaa nakupendaga weyeeee
Kzr sana🥰🥰🥰🥰
Like mother like daughter
Very smart
Aunt hongera mtt wako unamlea vzr sana nimependa anahofu yamungu
Sonia yupo smart to the best.............hadi she outsmarted huyoo anayehojii...
Nice
Hongera mtoto mzuri
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Sonia una akili alafu una sauti nzuri,hongera Monalisa nakukubali
Mbona ajaongea vibaya kuhuc kutosoma vyuo vya bongo Ila jamani wa watu wamekuza sanaaa ilo swalaaa duuh!
Kazuriiii
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Soma mtoto mungu akubariki umlee mama yako soma kwa nguvu zote
Growth up girl, katulize Akili uko lkn nako kunawalimwengu chamhmu kujitambua
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Shout out kwa duwe santana na thisisaaliyaah na refresh kwa ujumla na wasafi media kwa kazi nzuri 🤝👏👏
Good sister I love ue naomb mung akuzdishie
Kwaiyo paula amefata njia ya mama yake kajala🤔
🤣🤣🤣
Kwaunavyo dai😂
😅😅😅😅nyiee
Ajasema hilooooo usimtafutie balaaa SONIA akikusikia weweee shauri yako! Hahaha
@@masalakulwa7601 🤣🤣🤣🤣
Sauti 😘😘😘😘😘❤️
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Uwwwiiiiiii
Umeona ee sauti inatisha kwakweli duuh
Btw am a big fan of yr Mom!!...very Mature...
UnajielewA_Mungu_akusaidie
Nice nakupenda sonia
Mungu akurinde kipenzi
Daaah IQ kali safi sana
Mashaallaha , neno moja t kutoka kwangu mngu akupe msimamo huo , hongera sana
Exactly mama your papers are more Important, it feels good to have your papers
Wewe nimzuri sanaaa Sonia nakupenda
Wambie waache kukufuatilia Kwanzaa umejitunza Sana na unajiheshimu
She sounds like gigy money🙌🏽 bt yupo bright
Wow🥰
Ninyi Yupo vzr totally yaan
Sonia mdog wanG ngoma ikivuma snaa hupasuka na maneno ya waja yanarejeshaa nyuma maendeleo...boraa achaa maisha ya insta baki homee
Kweli kusoma raha soma wee, ungekuwa huna akili kwl lkn akili za kusoma unazo na pesa zp SOMA
Kwani khofu yamungu ikoje???nashangaa uvae nguo uchiii kisha udai unakhofu yamungo no..hapo khofu yamungu haijafahamika
Dah respect Sana sister
Self discipline is all In life, period.
Men she's upcoming star
Kuwa na hofu ya Mungu nimekupenda bulee Mungu akuongoze binti mzurii
Àsante ukiwa nahof ya mungu bca🙏🏾
Sauti ya Sonia jamani Kama ya mama Wa miaka 40, na anajua kujielezaaa
Sexy voice napenda sauti ya kuzinaa kama hiyi
Kuzindaa**
Sauti yenye mamlaka
Bora ukasomee nje na ukae uko kikazi.sio usome nje, kaz tz utakula hasaraa...all the best cute girl
Kufnya ,kazi na mambo mengine ni majaaliwa yake mungu
Nlichogundua she is very smart
Very smart. Maswali ya mtego ya Kiswahili ya huyu mtangazaji ameyalipua kiuhakika. Very Smart indeed.
Wow kanapenda kusoma kana penda kazi mungu akusimamie hata mm napenda mama yangu aitwe mama yake dr jeny KUSOMA RAHA
Mama sonia malezi umebobea homgera mama❤
Positive mindset 💪
Big up
ruclips.net/video/x0VwFoGQLkY/видео.html
Voice so sweet 😘🥰🎀😻
Wonderful baby Girl
Huyu mtoto anaakili kichizi
Damu ya ki Kenya hiyo,si unajua wakenya na shule😀
@@patriciacarlo7236 subutu eti damu ya kikenya wala baba yake hakuwa mkenya ni alikuwa mtanzania anae ishi kenya upo masatula yani tushawazoea nyinyi mpaka samata mnasema mkenya kumbe loh nihicho English tu chakuongea lakini hamna lolote tunawashinda kwa kila kitu loh tz yetu kama ulaya ila kenya vumbi tupu tunawasubiria mpigane vita vya wenyewe kwa wenyewe tuwaletee msaada wa mahindi upo
@@aishaarusha894 kuywa soda habibty nitalipa wakenya wanajiona sana ndoo maana wasomali wanawatawala
@@aishaarusha894 na wa Kenya wachafu jamani khaaaaaaa wakija Tz wanajishaua kumbe hakuna kitu mfyuuuuuuu watuachia Sonia wetu
Mtoto mzuriii❤
👌
Sonia mrembo Kama mama yake
SONIA KWELI KABISA KUSOMA RAHA HASWA PALE UNAPO KUTANA NA WASOMI WENZAKO MAMBUMBUMBU KAZI KUTUMBUA MIMACHO NA KUCHONGA MIDOMOO SOMA MENGINE YOOTE UTAYAKUTA NA KUYACHAGUA SOMA BG UP KWAKO NA KWA MONA NA MAMA MONA
Mbona mbumbumbu 🤣🤣🤣🤣🤣
@@witnessmbilinyi3281 Nan ten
Maskini Sonia mungu ssidoe
Kafanana mamaake
Bora wali maharage kuliko walimwengu
Mungu anisaidie nipate mtoto km sonia
Sonia unaakili san mtu alosom huwez kujilinganish na ww usiosom weng wao tunajua ukisom mpk upate kazi lakin hapan ukisom unakuw na akili y kuwza mambo makubw na vitu vingn Na kingn utajua kuitunz brand yk mungu akusimamie mama cc tusosom ndo tunajua umuhim wa elim m napnd san rfk alosom najua atanip mawz mazur
Watu wakimiya waogopeni 😂😂😂😂😂
Kwa kwel.Nmekapend aka ka binti kanajieleza vzul sana
Akili mingi
Sonia subiri kwenda chuo tu achana na paula huyo muhuni amelelewa vibaya na mama yake
Mashallah maboork katoto karembo 😘😍😘😍🙏
🔥🔥🔥
Monalisa version...