Sheikh Hassan bin Ameir

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Share by Sleyum AlGheithy

Комментарии • 23

  • @cesarustadh795
    @cesarustadh795 5 лет назад +7

    Mola amrahamu mwanachuoni wetu huyu,mashallah asante kwa historia hii.vitabu vyake tumeviona tena kwa lugha ya kiarabu khaswa sherhe ya vitabu vilotungwa arabuni na wanazuoni wakiarabu.wanazuoni wa arabuni walimkubali sana.nashangaa kuona humu watu wasokuwa na hadhi hata ya kuitwa wanafunzi,wakosa adabu kwa kukosowa baadhi ya kazi za mwanachuoni huyu,si adabu wala sio heshima kwa mtu awaami wa kawaida kama hawa wakosaji adabu wa kubwa kumjadili au kujaidili ilmu na jitihada ya mwanachuoni,tuwe na adabu.

  • @mtumwasamaki
    @mtumwasamaki Год назад

    Nassor bachu anaweza akavitupa chini vitabi vyake,

  • @Fredrickmarinya
    @Fredrickmarinya 5 лет назад +3

    Mwenyezi Mungu amrehemu mwalimu wa waalimu Almaruhumu Shekh Hassan bin Ameir.

  • @hassanisaidi4594
    @hassanisaidi4594 4 года назад +1

    Allahumma ghfirlahu warhamhuu waafu an'hu yaa Rabbi

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 4 года назад

    Ameen

  • @mohamedchorah8514
    @mohamedchorah8514 4 года назад

    Swadakta

  • @MURIDIWASHEIKHE
    @MURIDIWASHEIKHE 3 месяца назад

    Astaghfir ya mjomba wako

  • @dkmasengamrisho912
    @dkmasengamrisho912 5 лет назад

    Ikiwa ulamaa atadai ni sahihi wewe mbumbumbu udai sisahh umfate nani?

    • @أبوفيصل-د3ش
      @أبوفيصل-د3ش 5 лет назад

      wa Kufuatwa Ni Mtume Mohammad ni Kwa Hadith zake au Matendo ya Madahaba Ridhwaanu llah alayhim

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 года назад

      @@أبوفيصل-د3ش Atafuatwa vipi Mtume Muhammad SAW na hayupo? Ni lazima tufuate kupitia wanachuoni. Muislam atekeleze dini kwa njia 4:-
      1. Qur-an - Ipo kimafumbo sana ni lazima Wanachuoni. Mfano imesema usali haikusema usali vipi.
      2. Sunna - Ni lazima Wanachuoni.
      3. Jamhur ya Wanachuoni
      4. Kysi - Ni dhaifu sana Wanachuoni wameachana sana hapa.

    • @أبوفيصل-د3ش
      @أبوفيصل-د3ش 4 года назад

      @@hajihassan5433 Lete Dalili na Sio Maneno?? huko ni kuwalaza watu wasiosoma.

  • @omarmjombo1351
    @omarmjombo1351 4 года назад

    e bwan hatutak utusokote bwan souf 1 mumekthir kuwasif maulamaa wenu wa kisouf had mnaingia katka shirk na kuchafua tauhid yen

    • @Manimajura
      @Manimajura 4 года назад

      Dahh kuna baya gani hapo amelifanya? Kuwasifu na kutoa historia ya mazuri na jitahada zilizofanywa na maulamaa ni Shirk? Ni kipi waislamu tujifagharishe nacho? Ni mifano ipi tuitumie kuwahamasisha wengine katika kutafuta elimu na kulingania wengine? Tusifike huko waislam, mana mda mwengine unaweza kuingia katika madhambi makubwa bila ya kujijua. Tuwasifu mashekh zetu, tuwatangaze wajulikane na tujifagharishe nao pamoja na kufata nyayo zao katika kulingania dini. Tusibaguane na kupigana vita kwa tofauti ndogo za kimtazamo. Allah atuongoze na tuishike kamba yake ya umoja

    • @omarmjombo1351
      @omarmjombo1351 4 года назад

      hapna haijakatzw tazkia ama sifa kwa maulamaa hao ila kilichokatzwa n kuvuka mipka kupitiliz had ukampa sifa mtu asiostahik mfano hao masouf hua wakiomba dua wajaalia mashekhe wao kua n watu wa kati baina yao na Allah na hilo n jarima kubwa mbele ya Allah mtume anasem dhamb iliyokua kubwa n kumjaalia Allah mshirka wakat yeye amekuumba naendelea kusema wachunge xana .

    • @omarmjombo1351
      @omarmjombo1351 4 года назад

      Wallah nakuunga mkon kabsa twatakiw tuwe kitu kimoja ila huwez kuwa pamoja na mtu anaemtukan Abubakar na Omar uwe nae pamoja et kwakua anajiita muislam hiy n mifano ya makund ya waislam wapo hiv je hao pia tuwe nao pamoja? kwaiyo tuwe pamoja na kila anaefuata uislam sahihi sio yoyot na ukikosolew unapendwa hio ndio maana ya undung wa kiimani

  • @kulilyhassankulily521
    @kulilyhassankulily521 6 лет назад

    Huyu shekh ndie Aliekipitia kitabu Cha ahlilbadry na kudai kuwa yaliyomo ndani yake ni sahhh
    Astaghfirullah

    • @cesarustadh795
      @cesarustadh795 5 лет назад

      Hivi wewe unayapima maneno yako?lau ungelikuwa mwanachuoni maneno yako haya yangekuwa sawa kwa kuwa hawezi kusimama na mwanachuoni illa mwanachuoni,ama mtu awaami wa kawaida kama wewe tafuta mtu daraja yako ndio uswahihishe maneno yake na kusema iko sawa au haiko sawa.

    • @cesarustadh795
      @cesarustadh795 5 лет назад +1

      Sio eti wanazuoni hawakosea mtume wetu mpendwa sayyiduna Muhammad SAW atuambia mtu akijitahidi akapata ktk kujitahidi kwake ana ujira mara mbili,ama akikosea ktk kujitahidi kwake ana ujira mmoja,na mwenye kujitahidi ni mwanachuoni na sio mtu awaami wa kawaida,الإجتهاد ni kwa wanazuoni kama ilivyomaarufu.kwa hiyo ikiwa mwanachuoni kujitahidi kwa mas'ala fulani akiswibu ana thawabu mara mbili,na akikosea thawabu mara moja,wala haimfanyi kukosea kwake kuwa sio mwanachuoni,na mwenye kumrudi na kumtanabaisha kuwa sivyo huwa ni mwanachuoni kama yeye mwenye maarifa na sio watu wa kawaida awaami kama mwingine hapa anavyojaribu kufanya,tuwe na adabu.sawa ameswahihisha ahl badri wewe waona au umesikiya hawa wazungumzaji wa kisasa wa kiikashifu al badiri,kwa hiyo una chukulia kuwa shekhe kafanya kosa kubwa kabisa mpaka wapiga astaghfirullah,wanazuoni wa arabuni walimkubali kuwa ni mwanachuoni kazi yake mpaka leo ipo vitabu vyake vipo umevisoma ?hao au huyo alokuhadaa ana vitabu viongozi ?ama wewe mwenyewe binafsi una vitabu vingapi ?huyu shekhe amefariki lakini mpaka leo ana mchango kubwa ktk uisilamu,kwa kutunga vitabu vya kidini kutowa wanafunzi wengi waloenea na kueneza ilimu Africa ya mashariki,hivi una mchango upi ktk uisilamu ?

    • @kababayeemc6714
      @kababayeemc6714 5 лет назад

      @@cesarustadh795 upo vizuri ndugu unajua hivi vijitu vingine vikisoma juzuu amma basi vinaanza Kutoa fatwa yan vinanikera sasa wambie watunge wao vitabu

    • @yususfsalehu7427
      @yususfsalehu7427 4 года назад

      Kwanza mkapige goti kwa mashekh wacheni kuponda mambo msio yajuwa huo ni ujaahil murakab

    • @yususfsalehu7427
      @yususfsalehu7427 4 года назад

      Hawa wanaoponda haya makarama ya wanazuoni si waislam hawaa