Diamond: Mimi ndiye sababu ya tuzo za muziki Tanzania kufa, nilinyimwa wakapewa wengine
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Credits to BBC Swahili & Salim Kikeke
Disclaimer: No copyright infringement intended
All rights and credits reserved to the BBC
Email info@snstz.com for removal
...dg kazoea kuojiwa n presenter wke anawaonea 😁 chec maswal ynavyoulizwa kisom dg anaaangaika t salim🔥
Kaka heshima itawale kwako 🙏🇧🇮
Kaka yetu Salim kikeke huwa namuangalia Sana amebahatika kukutana na kila aina ya binadamu mwenye kila nafasi yake kwenye hii dunia awe rais awe mwana soka awe msanii
TRUE LOVE TRUE LIFE KWAKWELI MUNGU AMBARIKI SANA HII NI HATARI FIRE HAHAHAH 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯👌👌👌👌👌👌👌
So proud of you chibu
TV presenter ni professional kBsa😂🔥
kikeke is much blessed
Big up Sana Simba we love you and after Album tunahitaji kupiga show kubwa Sana O2 arena
Love you Kikeke, hakuna kupepesa macho ongea ukweli, hakuna kiki BBC London kama WBC.
Nasubiria full interview
Mashaallah simba BIG 💥🔥❤💪🏾
Nimependa,Leo wamemsuprise.
Kikeke nimpenda ulivyomalizia kwamba chibu dangote💎💎💎🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿❤️
Mmmmh Domo hajui kujieleza
Dah....jaman miaka 30 anajiita mvulana na wale wa A'level na O'level tuwaiteje wabongo wenzangu????
Only one Diamond platinums in tz , East Africa, Africa and to entirely world.😊
mzeeeee anamuuliza maswali matamu sema chibu anaonekana anamueshimu sana🙏🏼anajibu kiufaswaaaaa
Diamond tatizo una umimi sana bwana mdogo
Honestly speaking jamaa ànafanya mAkubwa
#Asee kikeke mtu mzito sana #Diamond hajiamin kma anavyowajibug Wana hbari wa #HUKU....🚦😁😁
Kumbe naww umegundua hlo😂😂
ndio ni mtu mzito na mkubwa ni hii interview sio kama hizo anazofanyiwa nghafla nghafla kwaio lazima ujiheshimu na uheshimu hii media maana ni kubwa
Umeona eeh! wabongo wa huku hatuishi kwa kiki, we want honest just like our stars here they say it like it is. Kudanganya danganya fans for kiki is so long gone! it is soo last century we live in a big data world, you have got no where to hide whether you are a celebrity or not.
Acha kujikuta Mkubwa Ww Nani,,,Si paka kama paka Wengine tu
Nakukubali
Diamond ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Tengeneza hits songs ...so promo promo
Anashindwa kuoa mvna anatetemeka kukurupuka huko kiki nyingi mpaka unashindwa kujibu maswali mtaje mke sasa
Tuzo ya mtumbuizaji bora alipewa alikiba wkt mondi alikuwa on fire walikuja kumpa kiba ili wamludishe kweny game
Kumbeee
Mkund kwel wewe
Yah nakumbuka
Mmmh,jamani kuimba alikiba anajua tuache ushabiki mandazi
Kwaiyo kiba hakua on fire ?
Simba platnamz mfalme wa afrika 🦁
Salute Broo
A big stage of interview where you can't talk bring lot "kiki" he can't say if really he wanna marry nor not
Mtetezi wa Mziki wa East Africa Simba Baba Lao Album itakua Moto maana EP Yenyewe noma sana !!!!🔥🔥🔥
Simbaaaa wonderful
Basi zimerudi nenda kachukuwe,au subiri za marekani.na red carpet
Ximbaaa 🔥🔥
Eti tuzo nyingi Duniani hahahaha
Labda Dunia yenu cyo Hii mbwaaaaaa
Haaaahaaa...!Kwa hiyo yeye ndie alisababisha Tuzo zisitolewe Miaka.Yote hiyoo..? Kivipi yaanii kwanza..? Na Kwa hiyo analaamika Kuwa Alinyimwa au ..?Hayo mambo Hats ulaya yapo Kuanzia Mziki mpaka mpira unaona Kabisa Flan Ali satahili ila Hkuna Pata na bado hawasusii na Hazisitishwi kutolewaaa..Yaaani Huuu ujinga wa TZ Sisi sijui tutaacha Liniii...
True huyu jaman ana roho mbaya sana alafu muongo anakosoa tunzo wakati yeye alipata tunzo ya heshima tuzo .. na lin alinyimwa tuzo??
Nikweli na inawezekana ulikuwa mtoto kipindi hicho
@@benjaminjulius8021 Haaaaaahaaaaa....! Umenifurahisha Sanaaa Ngja ninyamaze tuu kwa Taarifa yako Ndogo Tu Diamond wakati ndio kinda tu anatoka Na Ngom yake Nenda kamwambie..Nimeshamaliza na Kusoma Sec hadi Chuo..
Mvulana anaeelekea kuwa mwanaume😂😂😂😂😂
Hajitambui😅😅😅 hajui wavulana ni wale chini ya miaka 18
Simbaa baba lao
Waiting for that interview
Simba fanya urudi maana wanyama wala majani wamevamia mashamba huku wanakula mazao njoo japo uungurume tu
Diamond is so Lucky
Et mimi kama mfulana naelekea kuwa mwanamume sahihi duhuuu kwahiyo saiv sio mwanamume sahihi😁
Kiukweli diamond platmamz ww ndio mkombozi wa mziki wa tanzania
Msiwakosee heshima waliotangulia, mkombozi anayechukia wengine na kulipa watu ili ku demoralise other artist? Duniani Tanzania haiwezi julikana just for one artist atauua mziki wenu kwa style hiyo.
Hamna muoaji hapo akwende
Leta Full Interview Broo
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Eti kama mvulana bado hajawa mwanaume 🤣
LIONNN
big up simba 🎉🎉🎉🎉🎉
Mutangazaji iko vizuri sana kwa maswali
Jaamaaaa haiow uyo
Unaambiwa itakua ♨️ hiyo album
Simba kama simba🥰🔥🔥🔥
Alishaanza drama zake tunashukuru kikeke umetupandishia swali😁😁
😂😄
Kwa kweli 🤣
Tulia
Drama gan saaasa hapo kaanza
Amempandanishia swalii😂😂😂😂😂
mzee wa thate fast mr misifa😂
Tafuta pesa kaka nawe utoboe
kafel yeye n nani ndo kaua tuzo jamaa anafell anajikuta yeye nani kwahiyo lazima apewe tuzo ndo ziwe zimekamilika mshamba dogo bado
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mtangazajiii noma
Ila wewe c ulisema huzitaki tuzozao? Imekuajetenaa
Hakuna muoaji hapo 🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂
Aoi uyo Mana vigugumizi vingi
Kikeke bamkubali sanaa huyu jamaa gud guys
So you are the one who started music in Tanzania it means those days before you were born there were no Muscians in Tz ?
Mbona uko tofauti na mada?
Uyo mond kaongea utumbo bro acha kiushabiki
@@hamooummar7298 mimi nauliza kulingana na hivyo kulivyo andikwa kuhusu Diamond
🦁🦁
KAJITOKEZA NA MAVAZI KAMA SHEITAN (GHOST DRESSED APPEARANCE)
Kama kama kama zoteeeee😂😂😂😂
Uyundie chibu bana
Mmakonde sasa hivi nayeye utamsikia kaenda huko 😃😃😃 anasubiri wenzie waanze yeye aje amalizie
🤣🤣🤣🤣
Nice
Icon
big up
💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥
Platinum
Mwamba ❤
Wewe Nani Sasa, Tuzo Za Tanzania Zipo Kabla Yako Na Hata Kama Haujashirik Zitaendelea Tu
🦁🔥🌍🌎🦁
Salim Kikeke ameamua kumuuliza Habari za Kuoa baada ya kuona Jamaa anaanza kuongea Utumbo eti Tuzo zilikufa kisa yeye!!
Kama kuna ukweli asiseme ety
i mean tuzo za kwenda kuomba nonsense
🤣🤣🤣🤣
🔥🔥🔥🔥🦁🦁🦁
Tuzo Tuzo Tuzo!
Et yey ndo sabb y tuzo kufa, kwel punga
In UK pple their speak English, hii interview eastafrica tuu sio ya UK
Kuna BbmBC International na BBC Swahili kote kafanya Interview
Hiyo Ni bbc Swahili wewe tuliza ubongo
mOndi Acha ubachela, Lakn tunamjua ni Airtel
Huna imani vp mwehu wewe wakati wakati kila m2 anajipendekeza yeye mwenyewe
Tipe Vito
Elimu niyamuhimu hajuwi anachoongea kweli ngada mbaya jamani
Boya ww
@@franklinmganga736 kum@nyok zako
Kifyono
Yeye ndio alishiriki unasema hajui wewe hujashiriki ndio unaelewa?
Fuala mmoja
Majibu hayaeleweki. Ni kujing’ata ng’ata tu
🙌🙌🙌🤣🤣
😂😂😂 Hili jamaa hujiona kama mungu mdogo huku duniani yani.Sasa Tuzo zikufe kisa yeye? Tatizo ni anataka ashinde yeye akiwekwa na team yake yote, wakishindwa Tuzo zipo na maonevu.
Essence wimbo wa wizkid ulitikisa dunia mzima na mauzo yapo wazi lakini juzi grammy zikashindwa na angelique kidjo. Sasa Tuzo za grammy zilikufa?
Sio lazima akubali hizo Tuzo anaeza subiri zake zenye anapenda.
hayo ni maoni yako
@@davidsonstevenson2653, it’s not an opinion but facts. There are many artists in World that have been nominated for Grammy but never won. Life’s goes on but you can’t expect to win all the time. Diamond is being cocky that’s all.
@@moham.279 Exactly you can't expect to win each and every time you are nominated. Not winning doesn't change the fact that your music is doing so well.
@@goldenfingers287, Most of his supporters are sentimental and can’t face the truth
Ameongelea kipindi cha nyuma wew usikurupuke kuandika utopolo na chuki zako
Simba simba
Kweli
Ww sio mvulana bali ni mwanaume, acha kujifanya u bado mvulana
👑👑👑💝💝💝
Ata ikiwa ivo Ila 🦣ni🐘💪💪💪teacher💪#kondboy
🐘🐘🔥🔥🔥
Upgrade your game bro when it comes to responding!
@aggy george 2 huh he meant what he meant
Chili uko
No matter what he does some people always complain
Let him be
😍😍😍😍😍
Aaah aha 😂😂😂 utaoa lin
Ongera yake ila kuoa bado sana chibuuu na muolewaji hayupo zengine ni kupita tu
Kileja hicho
Simba kama Simba uyo
Huna lolote
Hili jamaa ni liongooo hili pumbvu et sababu ni yeye tunzo kufa pumbvu ww
Kawajibu vizuri wewe
Tuzo zenyewe hazina mvuto kabisa sababu wasanii wakubwa hawamo humo
Mchambaaa wa mafanikio
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Kwahyo jambazi kuu ulipokosa tuzo ulienda kuwashtaki waandaji kwa wadhamini ili waache kutoa pesa?..jamaa mbinafsi sana na roho mbaya sana.
Jambazi mamako
Kama ndo ufaham wako huo hufahamishiki heb mcklz vzr
Jmaa unachuki sana dah punguza bc
Wewe linjinga
@@smileboy6199Wenye uwezo mdogo wa kufikiri hamuwezi kuona ukubwa wa anachokisema. Tulieni hapo endelezeni ukondoo