TUCHUKUE HATUA, TUUKATAE USHOGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Mbunge wa jimbo la Makete, Festo Sanga ameitaka Serikali kuchukua hatua na kutolifumbia macho Suala la mapenzi ya jinsia moja ambapo amedai kuwa endapo halitafanyiwa kazi basi miaka 30 ijayo bunge na nyumba za ibada zitakuwa zikiongozwa na watu wanaojihusisha na mambo hayo jambo ambalo sio Utamaduni wetu. @senator__sanga

Комментарии •