TAZAMA VITUKO VYA JOTI,MWIJAKU,BABA LEVO VILIVYOMUACHA HOI WAZIRI MKUU WAKAT KUCHANGIA TIMU ZA TAIFA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 38

  • @RiddoRiddo-jj1bx
    @RiddoRiddo-jj1bx 8 месяцев назад +14

    Babalevo Analopok san... anamsumbua san diamond alikiba nusu aampige kofi alivogeuk

    • @suleimankb0210
      @suleimankb0210 8 месяцев назад

      😂

    • @Estella122-m1v
      @Estella122-m1v 8 месяцев назад +2

      Jamanii wewe huo ni utani mbona alliy na daimondi na malafiki tuu hiyo ni Kiki ndugu yangu

    • @RiddoRiddo-jj1bx
      @RiddoRiddo-jj1bx 8 месяцев назад

      @@Estella122-m1v alikiba hanaga shobo na utan na huyu jamaa

  • @gladnessfinda7534
    @gladnessfinda7534 8 месяцев назад +5

    joti atateseka kwa hawa watu!!!!!
    Hahahahhaahhhh!!!!!!

  • @hamidghaleeb5467
    @hamidghaleeb5467 8 месяцев назад

    Dah aibu sana mzee inchi yetu itaendelea hadi lini kuwa omba omba kipindi cha mzee Magufuli haya hatukuyaskia

  • @SelemaniHatibu-e5r
    @SelemaniHatibu-e5r 8 месяцев назад +7

    Joti anazunguuka zunguuka2 duuh😂😂😂

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe 8 месяцев назад +2

    Baba level unalopoka sana anamsumbua daimond ndiyo maneno gani hayo mbele za waziri mkuu .hayo maneno ya kenye mitandao ndiyo unaleta kwenye sehemu kama hiyo kuwa makini unamvuniia hesshima kiba

  • @epimackoscar25
    @epimackoscar25 8 месяцев назад +4

    Joti rudi tu kwa wanao The Commedy ukarudishe heshima yako kwa sasa hawa machawa wanashine

  • @IsmailyBatistaLukindu84
    @IsmailyBatistaLukindu84 8 месяцев назад +4

    Hivi hawa joti hawamwoni anavo waita jamani

    • @mbalilax162
      @mbalilax162 8 месяцев назад

      Wanamdharau wanajiona wakubwa😂

  • @franceKolmban-yq4ww
    @franceKolmban-yq4ww 8 месяцев назад +1

    Peramiho Sound . . Homeland wangonii tumefikiwa 😅😂😂😅...!!!

  • @paschaljunior3478
    @paschaljunior3478 8 месяцев назад +3

    Joti wanammask saana! Amekutana na wachambaji 😢😢

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm 8 месяцев назад +9

    Joti afadhali angerudi kukaa hawa Machawa wamemfunika sana

  • @ukhtysasha
    @ukhtysasha 8 месяцев назад

    skiya baba levo eti hakusema kuhusu hele huyu😅😅😅

  • @AliMasudi-td7gy
    @AliMasudi-td7gy 8 месяцев назад +2

    Pesa zana inchi zinapigiwa mnada live

  • @ThierryHarouna
    @ThierryHarouna 8 месяцев назад +1

    Joti usitaje watu ambao hukuongea nao😀😀😀😀

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 8 месяцев назад

    Covid ni uji na mgonjwa tz..kama mambo nihivyo microphone moya🤣🤣

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 8 месяцев назад

    Ao waha ni shida

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 8 месяцев назад +1

    Naona mziki wa peramiho songea upo hapo😅😅😅😂😂

  • @mohamedkissima4893
    @mohamedkissima4893 8 месяцев назад +1

    Mbona sijasikia DABILIYU SIBII wamechangia bei gani??

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583 8 месяцев назад

    Aaah , kalohokangumieeeee 😅😅😅

  • @musicschool_tz7014
    @musicschool_tz7014 8 месяцев назад

    Joti alitakiwa protocally apate heshima kama Alikiba yaañi brand yake ni kubwa alikatakiwa kukaa kama boss anayewakilisha makampuni makubwa

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba8803 8 месяцев назад

    pale kwa KARIYA nimempenda JOTI

  • @RichardSenkondo-se7md
    @RichardSenkondo-se7md 8 месяцев назад +5

    Mbona joti hawampi nafasi

  • @Dorissambala
    @Dorissambala 8 месяцев назад

    mwijaku kaw na adabu

  • @alhajisabigoro2408
    @alhajisabigoro2408 8 месяцев назад

    💛

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba8513 8 месяцев назад

    Hizo hera zitatolewa kweli😂😂

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 8 месяцев назад +2

    Boss wa Simba mbona simuoni je.

    • @JoyceMwita-e3w
      @JoyceMwita-e3w 8 месяцев назад

      Hawana ela simba

    • @Muhsin-t9w
      @Muhsin-t9w 5 месяцев назад

      Angalia upande wa kuxhoto line ya pili kutka mwixho mtu alie vaa xuti ya peke yake kwa pembni yake.kama ukibahatika kumuona na me utanionexha

  • @daniellourencojaime
    @daniellourencojaime 8 месяцев назад

    Jot