ila huyu madebe aache tu kuigiza filamu maana n jamaa mnafki kwenye mafundisho yke y filamu maana uku kajifanya anajua maisha uku analiagai familia yke na kutelekeza mkewe akili sufuria kw kweli ww ikiwa waigiza vizuri hivi ila nyumbani kwako aujui kulinda basi ww nenda ukawe mvuvi tu nilidani ww n jamaa matata sn na pia mwenye busara kumbe upolo 2
Good good 👍🏾
Hiyo song n latest alie imba ako best sana
Wa pili
UBUYUU NIMEIPENDA HII IMEKULA KWAKO BWANA KUOA KUACHA LEO KIMEKURAMBA
Tamu sna ya leo ❤❤❤
Harusi imeingia doa 😂😂😂 unaoa dem wamshikaji
Wakwaza❤️❤️❤️🇧🇮
Huu wimbo wa ficho ni mzuri sana jamani.. anejua audio inaitwaje aniambie .
Watatu tunaisubiri sana
Watuongezee dk
Haya bhana
Tupo sanaaa
Haki ya Mungu Madebe wew ni bomba
Tuna subiri kwa hamu
Nimependa kidore gumba na madebe ❤❤❤❤❤
❤love u tooo
Shwaaaahhhhh tulokuw tunasubir gonga like❤❤❤❤
Mov tamuuuuuu lakin et dk 10 hiii mov au kichekesh watuongezee dk angalau hata 20 bwan aaaaaaa😅😅😅😅😅
❤❤❤❤❤
🙏😭😂
Madebe ilo kanzuu unakimbia kama yesu alivokimbizwa na wana izrael..😅😅
Peleka motto huseni
Harakisha hii movie madebe
ila huyu madebe aache tu kuigiza filamu maana n jamaa mnafki kwenye mafundisho yke y filamu maana uku kajifanya anajua maisha uku analiagai familia yke na kutelekeza mkewe akili sufuria kw kweli ww ikiwa waigiza vizuri hivi ila nyumbani kwako aujui kulinda basi ww nenda ukawe mvuvi tu nilidani ww n jamaa matata sn na pia mwenye busara kumbe upolo 2
Waenza SEMA ni harusi ya movie kumbe ndio ameoa kweli mnafiki mm hata naanza kuchukua movie zake
Nyie mnaangalia mafundisho au mate do yake
Nenda ukaolewe ww basi
@@OmarKongo-dj5kn mbona unamakasirko na umtoto wakiume tabia zakike 😏😏😏😏
Hawana jipya mchezo wa kifala sana dakika kidg palipoishia wameekaa humohumo aaaaaa shida
Madebe nimesha mshusha saman kabisa kwa mambo machaf anayo yafanya