FICHO EP 06

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 янв 2024
  • КиноКино

Комментарии • 30

  • @Gamba81
    @Gamba81 5 месяцев назад +1

    Good good 👍🏾

  • @ZachariaKoroso
    @ZachariaKoroso 7 дней назад

    Hiyo song n latest alie imba ako best sana

  • @lunanyota2932
    @lunanyota2932 5 месяцев назад +3

    Wa pili

  • @psj1564
    @psj1564 5 месяцев назад +1

    UBUYUU NIMEIPENDA HII IMEKULA KWAKO BWANA KUOA KUACHA LEO KIMEKURAMBA

  • @mwanarusi9818
    @mwanarusi9818 5 месяцев назад +2

    Tamu sna ya leo ❤❤❤

  • @VIPBOYS123.4
    @VIPBOYS123.4 5 месяцев назад +2

    Harusi imeingia doa 😂😂😂 unaoa dem wamshikaji

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 5 месяцев назад +2

    Wakwaza❤️❤️❤️🇧🇮

  • @brownbreezzy4136
    @brownbreezzy4136 13 дней назад

    Huu wimbo wa ficho ni mzuri sana jamani.. anejua audio inaitwaje aniambie .

  • @jabumuhina6276
    @jabumuhina6276 5 месяцев назад +3

    Watatu tunaisubiri sana

  • @alfredmussa7763
    @alfredmussa7763 5 месяцев назад +2

    Haya bhana

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 5 месяцев назад +2

    Tupo sanaaa

  • @blaisekadhafi3559
    @blaisekadhafi3559 5 месяцев назад +1

    Haki ya Mungu Madebe wew ni bomba

  • @lunanyota2932
    @lunanyota2932 5 месяцев назад +2

    Tuna subiri kwa hamu

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 5 месяцев назад +2

    Nimependa kidore gumba na madebe ❤❤❤❤❤

  • @saidhaitham
    @saidhaitham 5 месяцев назад +2

    Shwaaaahhhhh tulokuw tunasubir gonga like❤❤❤❤

    • @user-eo6jx6nq3v
      @user-eo6jx6nq3v 5 месяцев назад

      Mov tamuuuuuu lakin et dk 10 hiii mov au kichekesh watuongezee dk angalau hata 20 bwan aaaaaaa😅😅😅😅😅

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @muhamedyunus9118
    @muhamedyunus9118 2 месяца назад

    Madebe ilo kanzuu unakimbia kama yesu alivokimbizwa na wana izrael..😅😅

  • @vincentogot6246
    @vincentogot6246 5 месяцев назад +2

    Peleka motto huseni

  • @davidmutwiimutuku2998
    @davidmutwiimutuku2998 5 месяцев назад +1

    Harakisha hii movie madebe

  • @dablejay6404
    @dablejay6404 5 месяцев назад +5

    ila huyu madebe aache tu kuigiza filamu maana n jamaa mnafki kwenye mafundisho yke y filamu maana uku kajifanya anajua maisha uku analiagai familia yke na kutelekeza mkewe akili sufuria kw kweli ww ikiwa waigiza vizuri hivi ila nyumbani kwako aujui kulinda basi ww nenda ukawe mvuvi tu nilidani ww n jamaa matata sn na pia mwenye busara kumbe upolo 2

    • @SaudaKhamisi-wm6xy
      @SaudaKhamisi-wm6xy 5 месяцев назад +1

      Waenza SEMA ni harusi ya movie kumbe ndio ameoa kweli mnafiki mm hata naanza kuchukua movie zake

    • @olivanooraladin5436
      @olivanooraladin5436 5 месяцев назад

      Nyie mnaangalia mafundisho au mate do yake

    • @OmarKongo-dj5kn
      @OmarKongo-dj5kn 5 месяцев назад

      Nenda ukaolewe ww basi

    • @SaudaKhamisi-wm6xy
      @SaudaKhamisi-wm6xy 5 месяцев назад

      @@OmarKongo-dj5kn mbona unamakasirko na umtoto wakiume tabia zakike 😏😏😏😏

  • @zuanshimchina2278
    @zuanshimchina2278 5 месяцев назад +1

    Hawana jipya mchezo wa kifala sana dakika kidg palipoishia wameekaa humohumo aaaaaa shida

  • @Tabora999
    @Tabora999 5 месяцев назад +2

    Madebe nimesha mshusha saman kabisa kwa mambo machaf anayo yafanya