FULL : TAMAA YA MALI ILIVYONIPONZA
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- HABARI NJEMA! AUDIO ya simulizi ya SEPTEMBA 11 kutoka PART 1 Mpaka Part 5 ziko tayari. Lipia TSH 10,000 TU kwa M-PESA +255757432348 jina FOMA ENTERTAINMENT MEDIA COMPANY LIMITED. Ukishalipia tuma risiti WHATSAPP +255757432348 kisha fuata maelekezo, utaipata. BEI HII HAITAPUNGUA KABISA KAMA SIMULIZI YA COVID 19.
Siku zote tamaa ni mbaya sana turizike na tunachokipata huku tukiweka Imani Kwa mwenyezi mungu Kwa Kila jambo maana kama siyo yeye hakuna chochote kile....much love from 🇶🇦🇹🇿♥️♥️
Hiii mambo ya kuwa na marafiki wabaya nikazi
SIMULIZI ZENU SHULE KUBWA SANA HONGERA ANANIAS AND OSCAR ❤🎉❤🎉❤🎉
Hongera raisi magufuli kwa maendeleo uliyo fanya😢
Hayo mashart hapana jmn 😂😂😂😂 mganga angesema tu sitak kukupa utajir
Maskini tafuteni hela,mimi utajiri wangu hauna shaka nimeusaka kiuhalali.
Today I'm the first one make sure you remove your shoes as entering the comment section 😅
Hadith nzuri sana
normally short cut makes life shorter
MUNGU + BIDII&MAARIFA + USHIRIKIANO = MAFANIKIO
Very good story 😊
Ndio maana ubakaji umezidi mbaka unashangaa 😢wanawake wote hawa!!!mtu anabakaje wtt?kumbe kwenye kubaka maagizo yanatoka kwa waganga😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 apo kwa masharti, nguo moja, kuoga kwa jia pana, kutembele gari bovu,
@@Sandra39823 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Naombeni namba za huyo muganga
Kaka Jana nimelala saa 7 kwa sitoli zako Leo nipo kazin na aaza na hii mb zangu za 5000 Kila siku unakula kaka ongela sana angalia hapo ktk sitoli zako liki zsngu zipo
Jich la Tatu
Story nzuri?
Dhuu sasa mzeeh ndahuka anatowaga wapi hizi story?
😂😂😂😂 Khatari Sana