MSHUKIWA WA MAUAJI YA MWANAMITINDO EDWIN ADAI MAREHEMU KUMSALITI
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Polisi Nchini Kenya wamemkamata Mshukiwa anaedaiwa kumuua Mwanamitindo na Mtetezi wa Mapenzi ya Jinsia moja Edwin Kiptoo Chiloba. Mshukiwa Jackton Odhiambo baada ya Kukamatwa amekiri kumuua Chiloba kwa kumsaliti