AMINA. Kutotimizia nadhiri Mungu Amekuhesabu ukiwa mwenye dhambi. Alafu ukimbie kumwambia Mtumishi wa Mungu haukuwa unataka kuweka nadhiri. Wakati mwingine unatetesha Mungu unamuuliza kwa nini Alikuahidi na Hajatenda, shida sio Mungu ni wewe uliweka nadhiri na haukutimiza.
Amen 🙏😢Mimi kuna siku nili jichoma but sikuwa najua nime potea njia 😭 afadhali God ange niambia, Daddy yangu mimi siwezi kubali kuji choma tena 🙆 ilikuwa uchungu sanaa 😢
AMINA. Kutotimizia nadhiri Mungu Amekuhesabu ukiwa mwenye dhambi. Alafu ukimbie kumwambia Mtumishi wa Mungu haukuwa unataka kuweka nadhiri. Wakati mwingine unatetesha Mungu unamuuliza kwa nini Alikuahidi na Hajatenda, shida sio Mungu ni wewe uliweka nadhiri na haukutimiza alafu unakimbia kwa Pasta kumuuliza maswali. Kumbe ni Mungu Amekasirika. Timiza nadhiri yako na kile umeahidi Mungu. Sio kwamba Mungu Hakukuahidi, sio kwamba Mungu Hakukuambia ukaanze hiyo kazi, unaweza anza na Mungu Aiharibu kwa sababu ya kuweka nadhiri na kukosa kutimiza.
AMINA. Kwa nini kufanya Mungu Akukasirikie na kuharibu kazi yako? Kwa hivyo sometimes sio shetani anaharibu kazi yako. Mungu Akikusarikia Anaharibu kazi yako. Ukiwekea Mungu nadhiri usikawie kuitimiza.
AMINA. Kwa nini kufanya Mungu Akukasirikie na kuharibu kazi yako? Kwa hivyo sometimes sio shetani anaharibu kazi yako. Mungu Akikusarikia Anaharibu kazi yako. Ukiwekea Mungu nadhiri usikawie kuitimiza. Mungu hapendi mpumbavu. Mtu ambaye ameahidi Mungu na hatimizi Mungu Anamuita mpumbavu. Tekeleza ulichoahidi. Ni afadhali kutoweka nadhiri. Afadhali usiongee kitu yoyote kuliko kuweka nadhiri na ukose kutimiza. Angalia mdomo wako usikuingize kwenye dhambi.Kwa hivyo kutotimiza nadhiri na yale umeahidi Mungu ni kufanya dhambi.
True, thank you for this revelation
Naomba msamaha kwa Mungu. I am the greatest sinner ever on earth
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏 hallelujah
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏
Naomba msamaha Kwa mungu.Apostle mwai uliniombea mguu na mgongo.bado uniombe maumivu iende kabisaa 🙏
Mungu naomba unisamehe leo natubu baba nisamehe🙌
Amen 🙏
Amen amen
AMINA. Kutotimizia nadhiri Mungu Amekuhesabu ukiwa mwenye dhambi. Alafu ukimbie kumwambia Mtumishi wa Mungu haukuwa unataka kuweka nadhiri. Wakati mwingine unatetesha Mungu unamuuliza kwa nini Alikuahidi na Hajatenda, shida sio Mungu ni wewe uliweka nadhiri na haukutimiza.
❤❤❤❤❤
Hallelujah
Amen 🙏😢Mimi kuna siku nili jichoma but sikuwa najua nime potea njia 😭 afadhali God ange niambia, Daddy yangu mimi siwezi kubali kuji choma tena 🙆 ilikuwa uchungu sanaa 😢
God have mercy, nisamehe and from now hence forth nitakuwa nikitimiza
AMINA. Kutotimizia nadhiri Mungu Amekuhesabu ukiwa mwenye dhambi. Alafu ukimbie kumwambia Mtumishi wa Mungu haukuwa unataka kuweka nadhiri. Wakati mwingine unatetesha Mungu unamuuliza kwa nini Alikuahidi na Hajatenda, shida sio Mungu ni wewe uliweka nadhiri na haukutimiza alafu unakimbia kwa Pasta kumuuliza maswali. Kumbe ni Mungu Amekasirika. Timiza nadhiri yako na kile umeahidi Mungu. Sio kwamba Mungu Hakukuahidi, sio kwamba Mungu Hakukuambia ukaanze hiyo kazi, unaweza anza na Mungu Aiharibu kwa sababu ya kuweka nadhiri na kukosa kutimiza.
God forgive me
AMINA. Kwa nini kufanya Mungu Akukasirikie na kuharibu kazi yako? Kwa hivyo sometimes sio shetani anaharibu kazi yako. Mungu Akikusarikia Anaharibu kazi yako. Ukiwekea Mungu nadhiri usikawie kuitimiza.
AMINA. Kwa nini kufanya Mungu Akukasirikie na kuharibu kazi yako? Kwa hivyo sometimes sio shetani anaharibu kazi yako. Mungu Akikusarikia Anaharibu kazi yako. Ukiwekea Mungu nadhiri usikawie kuitimiza. Mungu hapendi mpumbavu. Mtu ambaye ameahidi Mungu na hatimizi Mungu Anamuita mpumbavu. Tekeleza ulichoahidi. Ni afadhali kutoweka nadhiri. Afadhali usiongee kitu yoyote kuliko kuweka nadhiri na ukose kutimiza. Angalia mdomo wako usikuingize kwenye dhambi.Kwa hivyo kutotimiza nadhiri na yale umeahidi Mungu ni kufanya dhambi.
Bishop Mwai Tafadhali twambie ..what is the solution please?
Unatoa sadaka ya kufunja
Amen 🙏