PAULA AFANYA MAAMUZI MAGUMU KWA MAMA YAKE 'KAJALA', HARMONIZE ADAIWA KUWA CHANZO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 май 2022

Комментарии • 222

  • @BuraK-bk9iw
    @BuraK-bk9iw 2 года назад +23

    *Bwana paula yuko sawa yaan mtu alitembea na mama ake na bado akamtaka na paula mwenyewe afu bado mama anamsamehe dauhh*

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 2 года назад

      Wakati baba yake analalamikia tabia zao walimu ona bwege acha wapambane sasa, kama mama kama mtoto

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel6616 2 года назад +5

    Mtoto hawez mpangia mama ake m2 wa kuwa nae asiumize kichwa🤣🤣🤣

  • @kellybreezytz2491
    @kellybreezytz2491 2 года назад +11

    Usikute paula ndio anaitaka nafasi ya kuwa Mom Konde 😂

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 2 года назад +1

      Atakuwa anamtaka konge mana aliuona mjegeju 😆😆😆

    • @officialbossy2767
      @officialbossy2767 2 года назад

      😂😂😂😂😂uzuri mungu anakuona

  • @jessykadaraja2691
    @jessykadaraja2691 2 года назад +15

    I think it is an opportunity for Paula and her mother to open up a reality show and we will be more than happy to follow it.

  • @blackman6379
    @blackman6379 2 года назад +4

    That’s her Mom’s relationship , Paula should get married where she wants 🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️not to interrupt her Mom’s relationship

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 года назад +19

    Paula tulia mamaako alimiss muhogo wa harmo 😜

    • @hajimuhammed4442
      @hajimuhammed4442 2 года назад

      Ndoivi Sasa anamaindi kama kama mhogo anapewa yeye amuache tu mamaake ale muhogo

    • @ireneimbuhira7759
      @ireneimbuhira7759 2 года назад

      🤣🤣🤣

  • @nataliakenny9499
    @nataliakenny9499 2 года назад +5

    Paula nae alidanganywa na rayvanny ndomaana yoote yakatokea na vdio akavujisha lkn msamaha ni kitu kizuri sasna kwann watu wanaumia hamornise kusamehewa na kajala wakt wanapendana ?? Watu wanalala na ndg wa dam au ata daddy zao lkn mwisho wa sku yanaisha,,,Sasa Paula anajivalisha utupu mbele ya harmoo Sasa angefanyaje na yeye ni rijali 😃 mi naona hamna ubaya wowote

  • @elizabetharon6334
    @elizabetharon6334 2 года назад +7

    Paula atabaki kuwa mtoto wa kajala analeta ubabe mbele ya mama akee,hata akimu unfollow BADO atabaki kuwa mama akee hawezi kumbadilisha,alichokifanya mama akee ni kutafuta furaha yake,anaweza akapewa pesa nyingi huko alikokua lkn akakosa furaha.kingine kajala jinsi anavyomlea MWANAE ndo hayo matunda yake sasa mtoto anampanda kichwani mpk inafika kipindi wananuniana hawasemeshani!!!!utandawazi na kumdekeza mtoto kuta mcost kajala sanaaa.mi naamini ata monalisa wanagombanaga na MWANAE lkn huwezi kuskia mitandaoni sio kwamba wao wapumbafu. Naskia hasira sana.kifupi mi nawapenda kajala na bamo basiiii mengine watajijuaa

  • @yusuphcharles1497
    @yusuphcharles1497 2 года назад +4

    Acha wayamaliza family jamani
    Hapa duniani hakuna aliyekamilika

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 года назад +8

    Yeye yanamuhusu nini atoke hapa mtoto mdogo mambo makubwa

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki9640 2 года назад +2

    Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥💥
    ________________
    Karibuni

  • @37thstreetradioandtv
    @37thstreetradioandtv 2 года назад

    Big fan from KENYA

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 года назад +2

    Pole sana Poula yako yanakushinda mmmmmh!aibu sana

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 года назад +2

    Haha safi mtu na mama ake top in town

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 года назад +3

    Poula una tia Aibu sana , sasa mama yako unataka awe na Nani? Au unataka kumtafutia mwanaume wa Kuwa nae mmmmmh Shem on youu Poula Aibu sana.

  • @shimadosun
    @shimadosun 2 года назад

    💥💥

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 года назад +18

    Poula Wewe ni mtoto mdogo sana uwezi kuingilia mapenzi ya mama yako Maana siyo heshima kabisaaa

    • @aishaomary4498
      @aishaomary4498 2 года назад +1

      Mmh yupo sahihi hivi baba amtake mtoto na amtumie uume afu bado umuite baba kweli

    • @johamussa1413
      @johamussa1413 2 года назад

      hpn paul yuko saw kbc

  • @d1w4n1dmoko9
    @d1w4n1dmoko9 2 года назад +4

    Sas jmn kosa la paula ni nn mama hana akili je mtot angetembea na harmo kipindikile mngemuinaje mtt yupo saw kabisa

    • @annalubango9899
      @annalubango9899 2 года назад +1

      Kama.mamake aliyemzaa hana akili akatafute mama mwingine amzae upya paula.anania.raha ya mamake ipo wapi akwede

    • @annalubango9899
      @annalubango9899 2 года назад

      Kama.mamake aliyemzaa hana akili akatafute mama mwingine amzae upya paula.anania.raha ya mamake ipo wapi akwede

    • @twaine40
      @twaine40 2 года назад

      Una uhakika gani? Mind your own business yasiyokuhusu yasikupe pressure, watz munapenda sana kuifuatilia maisha ya mtu

    • @annalubango9899
      @annalubango9899 2 года назад

      Ugeanza wewe kukupita yasokuhusu.hata mimi nigepita tu lakini hayakuhusu ila ukasema mama hana hakili.

    • @uladatech
      @uladatech 2 года назад

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html

  • @simbaasad5811
    @simbaasad5811 2 года назад

    Now I can believe the news@millardAyo. You never lie in your reports

  • @Malkey4real.Alleytha_d330
    @Malkey4real.Alleytha_d330 2 года назад

    Sio mbaya

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 2 года назад +4

    Mwambieni Paula hawezi kuingilia mapenzi ya mama yake ikumbukwe ,yeye alimwambia asipokuwa na uhusiano na Rayvanny atakufa kwa nn na yy asimurusu mama yake kama alivyo achwa yy

  • @salomeabel6721
    @salomeabel6721 2 года назад +1

    Akwende zake uko uyo Paul yake yanamshida mama yake alimwacha afanye anachokita ,kujitegemea tu awez amwache mama yake amtafutie maisha ' mapenz ayaingiliwi

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 2 года назад +3

    Waheshimu Baba na Mama yako upate miaka mingi na heri(success), Duniani. Amri hii ya Mungu haijabainisha endapo kakufanyia vibaya basi usimuheshimu, Bali Kwa Hali zozote zile, maadam ni mzazi wako. Huyu mtoto analotafuta Kwa mzazi wake atalipa. Huwezi mchagulia mama yako Mume.

    • @dayanandama8873
      @dayanandama8873 2 года назад

      Cdhani kama vitabu vya dini vinaongelea kuheshimu mzazi anakuhitaji kimwili au baba wa kambo wacojiheshimu

  • @ladykimnan902
    @ladykimnan902 2 года назад

    Mmmmh sisi niwatazamaji wahili limove😎

  • @mbawalamakomae5094
    @mbawalamakomae5094 2 года назад +4

    Mtoto anaadabu anamchagulia mama mume htareeeeeee xnaaa

    • @stellachalamila7455
      @stellachalamila7455 2 года назад

      Wewe unge weza kushea mwanaume namtoto wako au nyie niwachawi

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 2 года назад +1

    No comment

  • @malkiawanguvu3150
    @malkiawanguvu3150 2 года назад +1

    Huu ni ujinga wa kutupoteza maboya sisi! Juzi tu walikuwa zenji woote mama mtu na mtoto na mmakonde🥤🤗🤗🤗

    • @rukiamziwanda7458
      @rukiamziwanda7458 2 года назад

      Paula yupo sahihi huyu mama Hana akili mtt amekwakwambia huyu baba hafai amenifunulia utupu wake na kakuonyesha ushaidi wewe mama bado unamludia huyu baba kweli

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 2 года назад +5

    Kwani we Paula unamtaka hamo!! Mbona wivu mwingi!!

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 2 года назад +2

    Huyu mtt anampangia mamaake maisha ww ndy chanzo hata mama ako akaachana na harmo mtt inackilza sana watu hata ukifuta bado atabak kuwa mama tu hakunaga mama wawil

    • @annkim2690
      @annkim2690 2 года назад

      🤣🤣🤣 lakini baba wako wawili

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 2 года назад +3

    Kidole mama kido

  • @shaniashani7026
    @shaniashani7026 2 года назад +13

    Mtoto msimtukane yupo sahii2 angetembea na huyo bwana asinge sema ikaja julikana badae mngemuonaje simngesema mtoto mbaya huyu kuna kesi nyingi sana mnaziona za wababa wa kambo kutembea na watoto wa wanawake zao mbona tunakuwaga tunalaumu watoto mbona ukusema hapo wapowanao bebeshwa mimba na wana ambukizwa magonjwa kwa mzazi huyu hakupaswa bwana kurudiana nae mtoto mmoja utaishi mbari nae umfraishe bwana anenepe mtoto akonde mmh

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 года назад +1

      Ww uliwai kumsikia popote Paula akiongea kuwa alitaka kuliwa na harmonize?? Munapenda sana propaganda guys

    • @shaniashani7026
      @shaniashani7026 2 года назад

      @@omarymohamed9834 Wesamahani sana babu vipi unatazama mitandao sana sindio mbona haukuwai kwenda polisi hama mitanda yote ilokuwa ikizungumzia swala hili la baba kumtaka mtoto vipi uniwakie mimi tafadhari sana tena ushindwe

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 2 года назад

      @@omarymohamed9834 we acha ujinga ungekuwa we demu sijui ungeongea huo ujinga

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 года назад

      @@karasuyazidi8547 we hakili hauna. Ungekuwa we mwanaume ungekubali mtoto amkataze mama ake kuwa na ww

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 года назад

      @@shaniashani7026 we polisi ulienda?? Na unajuwa kilichowapeleka polisi ni nn?? Au ndo fuatilia sana drama

  • @angelinahassani3097
    @angelinahassani3097 2 года назад +1

    Mama anuniwi acha ubwege Paula mtt usiekuwa na akil uwezi kumpangia mama yako mwanaume wakuwa nae pia kingine wewe ndio ulikuwa unacherewesha kumbe msamaha kukubaliwa ata mama yako kumbe alikuwa anampenda konde Ila wewe tu ndio ulikuwa ttz acha mama ako apate muhogo wa mmakonde bwana

  • @eunicethoya6021
    @eunicethoya6021 2 года назад

    🤣🤣🤣 Paula a nafikiria 2 dude akiingia chumbani kwake kule mama yuala raha yeye yuaumia na hisia

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 2 года назад +3

    Paula awe na adabu kwa wazazi wake(mama yake mzazi na baba wa kambo

  • @nellyflo9736
    @nellyflo9736 2 года назад

    Paula respect your mum decision.kwani utamuoa,😂😂💔

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 2 года назад

    Mmmmmmh yangu macho wasanii bhana mnamaigiz kesho tu mnaachana tushawazoea na Harmon hizo pesa unazochezea ipo siku utalia cjui umelogwa

  • @slicehamfrey3504
    @slicehamfrey3504 2 года назад +1

    Mtoto atakiwi kukuchagulia maisho anatakiwa akubali matokeo yoyote kwake ni baba

  • @ntabyoetienne2508
    @ntabyoetienne2508 2 года назад +1

    Hiyo ni mipango yawo wote wa tatu,paula akatae RANGE ROVER 3 nani atakataa wewe subutu iyo wamepanga tu

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 года назад +3

    Paula anataka dudu ya babaake🤣🤣🤣🤣🤣

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 2 года назад

      Kabisa 😆😆😆

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 2 года назад

      @@malichanda3146 😂😂😂

    • @uladatech
      @uladatech 2 года назад

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html

  • @zennahmtoto1867
    @zennahmtoto1867 2 года назад +3

    Huyu paula anamcontrol mamake mtoto mjinga snaa huyu😄😄😄Paula fata furaha yako ilipo mtoto umzae mwenyewe kisha akupande kichwa uwongo

    • @bwiseleloesse6808
      @bwiseleloesse6808 2 года назад

      Bumbafu zako kabisa wewe

    • @zennahmtoto1867
      @zennahmtoto1867 2 года назад

      @@bwiseleloesse6808 Na zako pumbu ziko wapi😄😄😄

    • @bwiseleloesse6808
      @bwiseleloesse6808 2 года назад

      @@zennahmtoto1867 hivi kwa nini wa Tanzania wengi hamunaga akili nashindwaga sana kuelewa

    • @zennahmtoto1867
      @zennahmtoto1867 2 года назад

      @@bwiseleloesse6808 Alo kwambie mm mtanzania nani😄😄🤗

    • @bwiseleloesse6808
      @bwiseleloesse6808 2 года назад

      @@zennahmtoto1867 unafikiria paula ni mjinga kama yake,ni mambo ya aibu sana

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 2 года назад +30

    Paula Yuko Sawa .. Ana Haki Ya Kummaindi Bi Mkubwa ,na Hii Inaonesha Ni Kiasi Gani Kajala Kakua Kiakili ,Lazima Awe Soource Ya Kumtoa Ujinga & Ndumba 😅Alizopewa Mppk Kuwa Mpuuzi Kiasi Hiko ,Siku Zote usiongozwe Na Tamaa & Hisia ...ongozwa Na Akilli kwanza ,Kwa Akili Ya Kawaida Unaweza Kumsamehe Mtu Aliyetaka Kumla Mwanao ?? ...Mwanao Unamtambulishaje Baba Yake Aliyewah Kumtongoza Na Kumtumia Mambo Ya Hovyooo ...Very Stupid Mother

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 года назад +3

      Ww hyo ni siri yao we unaudhibitisho gan kuwa alitaka kumla mwanae. Paula anawivu

    • @nasramohamedi4095
      @nasramohamedi4095 2 года назад +6

      @@omarymohamed9834 huna akili kijana acha ushabiki mavi

    • @twaine40
      @twaine40 2 года назад +2

      Dada povu lakutoka hivyo kwani ulikua wataka @harmonize akufuate wewe Nini? Punguza jazba na ujipe shuhuli in short hayakuhusu fuatilia tu kinachoendelea

    • @chizashungu8364
      @chizashungu8364 2 года назад +4

      @Einstein mboje, Upo sahihi yule mama ni hovyo,inaonyesha jinsi gani akili zake ni matope.Paula kama kweli anataka kuwa salama aachane kabisa na Huyo mama ni hatari kubwa kwa her sanity.Huyo mama amekuwa robot.......na inavyoonyesha yupo tayari kwa lolote as long as kuna harufu ya hela.Paula go back to your daddy,let that mama go down on her own.

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 2 года назад

      Hakuna mkate mgumu mbele ya chai 😄😄😄😄

  • @janeshigami8769
    @janeshigami8769 2 года назад

    Pole Sana Paula... Rayvanny ndio huyoooooo amekuaja....

  • @islabocco478
    @islabocco478 2 года назад +2

    Kajala atajuta.hata mm ningea kua paul nisinge kubali yani mwanaume amuonyeshe mdudu ambao huo huo anamuingiza mama mtu Alf nitulie tu

    • @munirahassan6313
      @munirahassan6313 2 года назад

      Paul nyupo saw mama amezingua sana

    • @islabocco478
      @islabocco478 2 года назад

      @@munirahassan6313 kinoma Alf Kuna mafala wanamtetea kajala

    • @uladatech
      @uladatech 2 года назад

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html

  • @leahchalresi5632
    @leahchalresi5632 2 года назад +2

    Mm naomba Kama kweli wameludiana nibola wafunge ndoa tuu

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 года назад +11

    Poula una tia Aibu sana unamuonea mama yako wivu! Badala ya kumuacha mama yako awe na furaha 😆Wewe Ndiyo shida kwenye mahusiano ya mama yako

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 года назад

      🤣🤣🤣 kunywa soda nakuja kulipa

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 2 года назад +1

      Kwa hiyo ingekuwa wewe ungekubali bwana wako atake kumtomba mtoto wako nyie ndo unaochangia bwana na watoto wenu

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 года назад

      @@karasuyazidi8547 wewe unaushaidi gan?? Unajuwa watanzania weng wanapenda sana drama aisee

    • @lallysaidsaid7219
      @lallysaidsaid7219 2 года назад +1

      Kweli anawivu anamchagulia mama mwanaume

    • @uladatech
      @uladatech 2 года назад

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html

  • @kaisamjunior3692
    @kaisamjunior3692 2 года назад +1

    Paula hauna adab huwezi kumchagulia mama yako mwanaume wakuwa nae

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 2 года назад +1

    familia ya uzinzi ni uzinzi tuu. hili hata kwa mwanae utalikuta tupeane muda. vinginevyo abadilike

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 2 года назад

    Uyo mama ajielew kajawa tamaa za anasa tu

  • @nyandwiniyera5535
    @nyandwiniyera5535 2 года назад

    Paula atulie tu mbona yy alivyo kua anatoka na Mume wamutu mama yake alikua bele kwabele kumusimamia mwanae kwakila kitu jamani paula tulia bibie ww uweke masomo mbele huwezi kushidana na mumazi wako hata iweje mama atabakia kua mama mm sio tatizo ama kosa mama yako aliyo fanya ww kubaliana nayo kama yy alivyo kubalia na ww kipindi ulivyo kua kwenye mahusiona na ray Mume wa fayhma..

  • @mutavijeniffer8895
    @mutavijeniffer8895 2 года назад +1

    Mtoto yupo såhihi jamani, mama yake mzazi anamdhalilisha, Ana kila haki ya kukasirika.
    Atabaki kuwa mamake, ila kwa sasa Ana haki ya kukusirika, mama anajidhalilisha jamani🚮🚮🚮🚮🚮

  • @shazceo6853
    @shazceo6853 2 года назад

    Ebuuu bwana atulie kdg tujivunie sisi K❤️H

  • @stellachalamila7455
    @stellachalamila7455 2 года назад +1

    Hata ningekuwa Mimi ninge fanyahiyio

    • @editz5430
      @editz5430 2 года назад

      ndoman ww sio iVo... msenge

  • @annkim2690
    @annkim2690 2 года назад +1

    Hii ndio taabu ya kuzaa mtoto mmoja

  • @jrm9448
    @jrm9448 2 года назад +3

    Maigizo tu. Mama na mtoto kula yao inategemea nyuchi zao. Hii yote ni kiki tu ya kuhalalisha mzunguko wa umalaya wao.
    Safari Harmonize asicheleweshe apige mimba wote wawili fasta.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад

    Hamnaga mambo ya kuongelea maendeleo? . Kila siku hayo hayo

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 2 года назад +1

    Hamo anatakiwa atoke na Paula

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 года назад

    Hivi kajala anafanya shuguli gani?
    Nakumbuka huyu dada alikuwaga kumbukumbu primary school

  • @samielmbay8495
    @samielmbay8495 2 года назад

    poa Kaka yangu

  • @hawahabibu3881
    @hawahabibu3881 2 года назад +2

    Kama hajakubaliana waludiane bac itakuwa anamtaka yy uyo Harmo

    • @surehaaman8112
      @surehaaman8112 2 года назад

      Basi mtoto alitembea Nate kweli msibishe Wenda walilala wote

    • @protas6108
      @protas6108 2 года назад +1

      Kaona range 2 kapagawa nazo anatamani angekuwa yeye ila kwani vanny amnunulii ndinga kalikali kama harmo anavyofanya kwa kajala

    • @uladatech
      @uladatech 2 года назад

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 2 года назад

    Wewe huna kazi ya kufaya kweda kupoteza muda kuzgumzia life zawatu yiyi wandishi wa Habari mbona mbatia aibu mkuwa kama mashoga

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 года назад

    WW PAULA HEBU TULIA USIMUINGILIA MAMA YAKO WW MTOTO

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 2 года назад +1

    Huo ni ulimbukeni

  • @omarymohamed9834
    @omarymohamed9834 2 года назад +2

    Huyo mtoto ni malaya anamtaka harmonize itakuwa

    • @stellachalamila7455
      @stellachalamila7455 2 года назад +2

      Huna akiliwewe

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 года назад

      @@stellachalamila7455 me akili za nini we mbwa. Akili kuwa nazo wewe😅😅 na ww ingilia mahusiano ya wazazi wako

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 2 года назад +1

    Script tu hzo movie bado inaendelea

  • @edwardcosmas6359
    @edwardcosmas6359 2 года назад

    Rayvanny nae 😃😃😃😃

  • @mwajabummbaga6302
    @mwajabummbaga6302 2 года назад

    Kwahiyo na nyie mmeshakua kama page za umbea,mnakeraa,wamesha rudiana,na paula kashamfollow mama ake,na mm ake ameshamfollow paula

  • @aginessmgaza9899
    @aginessmgaza9899 2 года назад

    Mh

  • @nelimajoy5412
    @nelimajoy5412 2 года назад +1

    A jealous daughter is a dangerous daughter,Paula arudi Kwa babake mzazi coz hakuna siku baba wa kambo atakua baba mzazi Kwa mtoto wa kike ambaye hakumzaa,,,if she can't be happy for her mum iyo ni wivu au alitaka monize mwanzo bt he chose her mom,it's a wicked world bt it is what it is,ameomba msamaha kasamehewa maana duniani hakuna aliyekamilika,angekuwa under 18 ndio tungesema harmo mbwaaaaaa lakini she's old enough to stay away from the step dad

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad2692 2 года назад

    Acheni machawa waongee sio wakiteleza mnawaita mafala,
    Na sio kila kitu uongee nipo na briana unaniuliza kajala una punguza utamu.

  • @filberthabashi2870
    @filberthabashi2870 2 года назад +2

    Mwache mamake apate raha, maama hizo raha wwe huwez mpa, wwe pewa na rayvany,

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 года назад +1

    MTANGAZAJI MBONA USISEME WEWE UNA TOKA NA ANTI EZEKIEL KUNA VIDEO NILIONA.

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 года назад +4

    Naomba nikukumbushe kuwa mama ni mama tu hata kama Kilema , kichwa hatabaki kuwa mama tu, acha kuingilia mahusiano wewe ni mtoto mdogo sana Tulia fanya mambo yako

  • @edigamwagala2133
    @edigamwagala2133 2 года назад

    Ushezi mtupuuuuu!!!

  • @erickmichaelmugele2107
    @erickmichaelmugele2107 2 года назад

    Ukikosa Akili kitu kibaya sana....

  • @meshakimwantimwa537
    @meshakimwantimwa537 2 года назад +1

    Sasa kinachomfanya achukie ni nini anawivu hadi kwa mama yake , au alitaka aombwe yeye msamaha na aolewe yeye

    • @eunicethoya6021
      @eunicethoya6021 2 года назад

      Si harmo kaomba msamaha Kote kwa mama kwa mtoto akahakikisha haitatokea tena"am sorry my daughter" hakuna mkamilifu duniani Paula aelewe hilo

  • @kebibasherry3117
    @kebibasherry3117 2 года назад

    Back to tz😂😂

  • @tariqbutt9516
    @tariqbutt9516 2 года назад

    Ushuzi Wa ngomani haukawii kupita

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana7289 2 года назад

    Huyo Paula Hajielewi,tena akae kimya anampangiaje mama yake mapenzi,

  • @double8boy802
    @double8boy802 2 года назад

    Kajala karemba kidogo kama vile kinondoni hajaona kitu,ila pipi moja tu chupi limetupwa chini

  • @mautopolo
    @mautopolo 2 года назад

    Mtoto ana wivu Kwa mamake

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 2 года назад

    Paula mwache mama yko hawe na furaha utafanyaje ataukinunua ni mama yko usishindane naye ni mama

  • @omaryjuma8002
    @omaryjuma8002 2 года назад

    ihii inanipa picha kwamba wasanii wa kike wataishia kuchezewa tu Harmo nafikili uyo sio mwanamke wa ndoto zake kajara anatakiwa kuwa na mume bola anakua kama mtoto mdogo dah

  • @hamelzakaria2439
    @hamelzakaria2439 2 года назад

    Ukidakwa si hatupo

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Heka heka mtoni.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад

    Huyo Paula anakuwa na wivu wa nini?ye

  • @crownprince3956
    @crownprince3956 2 года назад +2

    Team wcb huyo mapenzi ya wazazi hayaingiliwi Kama yeye alivyokuwa na rayvanny Kumbe inaumaaaaa😂

    • @zainabufeka87
      @zainabufeka87 2 года назад

      Huyo paula fara tuu anaingilia vip mapenz yamama yake niutovu wananidham

    • @stellachalamila7455
      @stellachalamila7455 2 года назад

      Muchawi mkubwa wewe

    • @crownprince3956
      @crownprince3956 2 года назад

      @@stellachalamila7455 mchawi mwenyew na Paula wako asiyejielewa

    • @freelancer6368
      @freelancer6368 2 года назад

      Team wcb tunaingilia wapi kwenye huu uchafu wenu

    • @uladatech
      @uladatech 2 года назад

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 2 года назад

    Makubwaa

  • @AbdulGermany210
    @AbdulGermany210 2 года назад

    Wanawake tunawaheshimu ila akili zenu mnazijua wenyewe

  • @tariqbutt9516
    @tariqbutt9516 2 года назад

    Waswahili husema Ushuzi wa ngomani haukawii kupita

  • @djnajma5627
    @djnajma5627 2 года назад +1

    MAMBO 5 YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA,
    DAWA YA KANSA YA AINA YOYOTE
    m.ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html

  • @blackamerica7086
    @blackamerica7086 2 года назад

    Au dogo alimpenda harmonise 😹😹😹 paula tulia nyege sio saizi yako

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 2 года назад

    Kajala anampenda sana.mwanae watu waache kuingilia tofouti zao wataelewana tu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад +5

    Vidoc mtoto asitake anataka MAMA yake ameshampende MAKONDE kwisha.Watoto mara nyingi sana yanakuwaga na mawivu ya kijinga sana sio Paula tu.

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 2 года назад

      Wewe utongozwe na baba wa kambo je utamruhusu kuingia kwenu kama baba ako tena?

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 2 года назад

      @@maujanjatv24h41 huku ulaya hakuna jina linaloitwa PAULA hilo jina linaitwa POULA kwa sababu limetoka kwenye jina PAUL ambalo linasomeka Poul

  • @daimondelfina5689
    @daimondelfina5689 2 года назад

    Paula yuko sahihi

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 года назад

    Yamungu mengi ya watu maneno

  • @silyvya2408
    @silyvya2408 2 года назад

    Mama ni mama hata akifanya nisichopenda

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 года назад +2

    Poula nikushauri kitu tulia endelea na Mambo Yako Maana sikio halizidi kichwa ☺️Wewe ni mtoto tu acha Mambo ya kipumbavu

  • @liliankapia451
    @liliankapia451 2 года назад

    Achaa utoto dogooo muache mama anapopenda ndo apoapo

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 2 года назад

    Vidox nawe mbea sikuhizi mhh ila nawapenda wakweli tu kuliko wengine wote

  • @catrinavampire8547
    @catrinavampire8547 2 года назад

    Sasa anakaa kwa nani ahame na nyumba sasa