Paula nae alidanganywa na rayvanny ndomaana yoote yakatokea na vdio akavujisha lkn msamaha ni kitu kizuri sasna kwann watu wanaumia hamornise kusamehewa na kajala wakt wanapendana ?? Watu wanalala na ndg wa dam au ata daddy zao lkn mwisho wa sku yanaisha,,,Sasa Paula anajivalisha utupu mbele ya harmoo Sasa angefanyaje na yeye ni rijali 😃 mi naona hamna ubaya wowote
Paula atabaki kuwa mtoto wa kajala analeta ubabe mbele ya mama akee,hata akimu unfollow BADO atabaki kuwa mama akee hawezi kumbadilisha,alichokifanya mama akee ni kutafuta furaha yake,anaweza akapewa pesa nyingi huko alikokua lkn akakosa furaha.kingine kajala jinsi anavyomlea MWANAE ndo hayo matunda yake sasa mtoto anampanda kichwani mpk inafika kipindi wananuniana hawasemeshani!!!!utandawazi na kumdekeza mtoto kuta mcost kajala sanaaa.mi naamini ata monalisa wanagombanaga na MWANAE lkn huwezi kuskia mitandaoni sio kwamba wao wapumbafu. Naskia hasira sana.kifupi mi nawapenda kajala na bamo basiiii mengine watajijuaa
Mwambieni Paula hawezi kuingilia mapenzi ya mama yake ikumbukwe ,yeye alimwambia asipokuwa na uhusiano na Rayvanny atakufa kwa nn na yy asimurusu mama yake kama alivyo achwa yy
Akwende zake uko uyo Paul yake yanamshida mama yake alimwacha afanye anachokita ,kujitegemea tu awez amwache mama yake amtafutie maisha ' mapenz ayaingiliwi
Waheshimu Baba na Mama yako upate miaka mingi na heri(success), Duniani. Amri hii ya Mungu haijabainisha endapo kakufanyia vibaya basi usimuheshimu, Bali Kwa Hali zozote zile, maadam ni mzazi wako. Huyu mtoto analotafuta Kwa mzazi wake atalipa. Huwezi mchagulia mama yako Mume.
Paula yupo sahihi huyu mama Hana akili mtt amekwakwambia huyu baba hafai amenifunulia utupu wake na kakuonyesha ushaidi wewe mama bado unamludia huyu baba kweli
Huyu mtt anampangia mamaake maisha ww ndy chanzo hata mama ako akaachana na harmo mtt inackilza sana watu hata ukifuta bado atabak kuwa mama tu hakunaga mama wawil
Mtoto msimtukane yupo sahii2 angetembea na huyo bwana asinge sema ikaja julikana badae mngemuonaje simngesema mtoto mbaya huyu kuna kesi nyingi sana mnaziona za wababa wa kambo kutembea na watoto wa wanawake zao mbona tunakuwaga tunalaumu watoto mbona ukusema hapo wapowanao bebeshwa mimba na wana ambukizwa magonjwa kwa mzazi huyu hakupaswa bwana kurudiana nae mtoto mmoja utaishi mbari nae umfraishe bwana anenepe mtoto akonde mmh
@@omarymohamed9834 Wesamahani sana babu vipi unatazama mitandao sana sindio mbona haukuwai kwenda polisi hama mitanda yote ilokuwa ikizungumzia swala hili la baba kumtaka mtoto vipi uniwakie mimi tafadhari sana tena ushindwe
Mama anuniwi acha ubwege Paula mtt usiekuwa na akil uwezi kumpangia mama yako mwanaume wakuwa nae pia kingine wewe ndio ulikuwa unacherewesha kumbe msamaha kukubaliwa ata mama yako kumbe alikuwa anampenda konde Ila wewe tu ndio ulikuwa ttz acha mama ako apate muhogo wa mmakonde bwana
Paula Yuko Sawa .. Ana Haki Ya Kummaindi Bi Mkubwa ,na Hii Inaonesha Ni Kiasi Gani Kajala Kakua Kiakili ,Lazima Awe Soource Ya Kumtoa Ujinga & Ndumba 😅Alizopewa Mppk Kuwa Mpuuzi Kiasi Hiko ,Siku Zote usiongozwe Na Tamaa & Hisia ...ongozwa Na Akilli kwanza ,Kwa Akili Ya Kawaida Unaweza Kumsamehe Mtu Aliyetaka Kumla Mwanao ?? ...Mwanao Unamtambulishaje Baba Yake Aliyewah Kumtongoza Na Kumtumia Mambo Ya Hovyooo ...Very Stupid Mother
Dada povu lakutoka hivyo kwani ulikua wataka @harmonize akufuate wewe Nini? Punguza jazba na ujipe shuhuli in short hayakuhusu fuatilia tu kinachoendelea
@Einstein mboje, Upo sahihi yule mama ni hovyo,inaonyesha jinsi gani akili zake ni matope.Paula kama kweli anataka kuwa salama aachane kabisa na Huyo mama ni hatari kubwa kwa her sanity.Huyo mama amekuwa robot.......na inavyoonyesha yupo tayari kwa lolote as long as kuna harufu ya hela.Paula go back to your daddy,let that mama go down on her own.
Paula atulie tu mbona yy alivyo kua anatoka na Mume wamutu mama yake alikua bele kwabele kumusimamia mwanae kwakila kitu jamani paula tulia bibie ww uweke masomo mbele huwezi kushidana na mumazi wako hata iweje mama atabakia kua mama mm sio tatizo ama kosa mama yako aliyo fanya ww kubaliana nayo kama yy alivyo kubalia na ww kipindi ulivyo kua kwenye mahusiona na ray Mume wa fayhma..
Mtoto yupo såhihi jamani, mama yake mzazi anamdhalilisha, Ana kila haki ya kukasirika. Atabaki kuwa mamake, ila kwa sasa Ana haki ya kukusirika, mama anajidhalilisha jamani🚮🚮🚮🚮🚮
Maigizo tu. Mama na mtoto kula yao inategemea nyuchi zao. Hii yote ni kiki tu ya kuhalalisha mzunguko wa umalaya wao. Safari Harmonize asicheleweshe apige mimba wote wawili fasta.
A jealous daughter is a dangerous daughter,Paula arudi Kwa babake mzazi coz hakuna siku baba wa kambo atakua baba mzazi Kwa mtoto wa kike ambaye hakumzaa,,,if she can't be happy for her mum iyo ni wivu au alitaka monize mwanzo bt he chose her mom,it's a wicked world bt it is what it is,ameomba msamaha kasamehewa maana duniani hakuna aliyekamilika,angekuwa under 18 ndio tungesema harmo mbwaaaaaa lakini she's old enough to stay away from the step dad
Naomba nikukumbushe kuwa mama ni mama tu hata kama Kilema , kichwa hatabaki kuwa mama tu, acha kuingilia mahusiano wewe ni mtoto mdogo sana Tulia fanya mambo yako
ihii inanipa picha kwamba wasanii wa kike wataishia kuchezewa tu Harmo nafikili uyo sio mwanamke wa ndoto zake kajara anatakiwa kuwa na mume bola anakua kama mtoto mdogo dah
*Bwana paula yuko sawa yaan mtu alitembea na mama ake na bado akamtaka na paula mwenyewe afu bado mama anamsamehe dauhh*
Wakati baba yake analalamikia tabia zao walimu ona bwege acha wapambane sasa, kama mama kama mtoto
Mtoto hawez mpangia mama ake m2 wa kuwa nae asiumize kichwa🤣🤣🤣
Usikute paula ndio anaitaka nafasi ya kuwa Mom Konde 😂
Atakuwa anamtaka konge mana aliuona mjegeju 😆😆😆
😂😂😂😂😂uzuri mungu anakuona
I think it is an opportunity for Paula and her mother to open up a reality show and we will be more than happy to follow it.
That’s her Mom’s relationship , Paula should get married where she wants 🤷🏾♂️🤷🏾♂️not to interrupt her Mom’s relationship
Paula tulia mamaako alimiss muhogo wa harmo 😜
Ndoivi Sasa anamaindi kama kama mhogo anapewa yeye amuache tu mamaake ale muhogo
🤣🤣🤣
Paula nae alidanganywa na rayvanny ndomaana yoote yakatokea na vdio akavujisha lkn msamaha ni kitu kizuri sasna kwann watu wanaumia hamornise kusamehewa na kajala wakt wanapendana ?? Watu wanalala na ndg wa dam au ata daddy zao lkn mwisho wa sku yanaisha,,,Sasa Paula anajivalisha utupu mbele ya harmoo Sasa angefanyaje na yeye ni rijali 😃 mi naona hamna ubaya wowote
Paula atabaki kuwa mtoto wa kajala analeta ubabe mbele ya mama akee,hata akimu unfollow BADO atabaki kuwa mama akee hawezi kumbadilisha,alichokifanya mama akee ni kutafuta furaha yake,anaweza akapewa pesa nyingi huko alikokua lkn akakosa furaha.kingine kajala jinsi anavyomlea MWANAE ndo hayo matunda yake sasa mtoto anampanda kichwani mpk inafika kipindi wananuniana hawasemeshani!!!!utandawazi na kumdekeza mtoto kuta mcost kajala sanaaa.mi naamini ata monalisa wanagombanaga na MWANAE lkn huwezi kuskia mitandaoni sio kwamba wao wapumbafu. Naskia hasira sana.kifupi mi nawapenda kajala na bamo basiiii mengine watajijuaa
Acha wayamaliza family jamani
Hapa duniani hakuna aliyekamilika
Yeye yanamuhusu nini atoke hapa mtoto mdogo mambo makubwa
🤣🤣
Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥💥
________________
Karibuni
Big fan from KENYA
Pole sana Poula yako yanakushinda mmmmmh!aibu sana
Haha safi mtu na mama ake top in town
Poula una tia Aibu sana , sasa mama yako unataka awe na Nani? Au unataka kumtafutia mwanaume wa Kuwa nae mmmmmh Shem on youu Poula Aibu sana.
💥💥
Poula Wewe ni mtoto mdogo sana uwezi kuingilia mapenzi ya mama yako Maana siyo heshima kabisaaa
Mmh yupo sahihi hivi baba amtake mtoto na amtumie uume afu bado umuite baba kweli
hpn paul yuko saw kbc
Sas jmn kosa la paula ni nn mama hana akili je mtot angetembea na harmo kipindikile mngemuinaje mtt yupo saw kabisa
Kama.mamake aliyemzaa hana akili akatafute mama mwingine amzae upya paula.anania.raha ya mamake ipo wapi akwede
Kama.mamake aliyemzaa hana akili akatafute mama mwingine amzae upya paula.anania.raha ya mamake ipo wapi akwede
Una uhakika gani? Mind your own business yasiyokuhusu yasikupe pressure, watz munapenda sana kuifuatilia maisha ya mtu
Ugeanza wewe kukupita yasokuhusu.hata mimi nigepita tu lakini hayakuhusu ila ukasema mama hana hakili.
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
.
ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html
Now I can believe the news@millardAyo. You never lie in your reports
Sio mbaya
Mwambieni Paula hawezi kuingilia mapenzi ya mama yake ikumbukwe ,yeye alimwambia asipokuwa na uhusiano na Rayvanny atakufa kwa nn na yy asimurusu mama yake kama alivyo achwa yy
Akwende zake uko uyo Paul yake yanamshida mama yake alimwacha afanye anachokita ,kujitegemea tu awez amwache mama yake amtafutie maisha ' mapenz ayaingiliwi
Waheshimu Baba na Mama yako upate miaka mingi na heri(success), Duniani. Amri hii ya Mungu haijabainisha endapo kakufanyia vibaya basi usimuheshimu, Bali Kwa Hali zozote zile, maadam ni mzazi wako. Huyu mtoto analotafuta Kwa mzazi wake atalipa. Huwezi mchagulia mama yako Mume.
Cdhani kama vitabu vya dini vinaongelea kuheshimu mzazi anakuhitaji kimwili au baba wa kambo wacojiheshimu
Mmmmh sisi niwatazamaji wahili limove😎
Mtoto anaadabu anamchagulia mama mume htareeeeeee xnaaa
Wewe unge weza kushea mwanaume namtoto wako au nyie niwachawi
No comment
Huu ni ujinga wa kutupoteza maboya sisi! Juzi tu walikuwa zenji woote mama mtu na mtoto na mmakonde🥤🤗🤗🤗
Paula yupo sahihi huyu mama Hana akili mtt amekwakwambia huyu baba hafai amenifunulia utupu wake na kakuonyesha ushaidi wewe mama bado unamludia huyu baba kweli
Kwani we Paula unamtaka hamo!! Mbona wivu mwingi!!
Huyu mtt anampangia mamaake maisha ww ndy chanzo hata mama ako akaachana na harmo mtt inackilza sana watu hata ukifuta bado atabak kuwa mama tu hakunaga mama wawil
🤣🤣🤣 lakini baba wako wawili
Kidole mama kido
Kidole mama kidooo
Mtoto msimtukane yupo sahii2 angetembea na huyo bwana asinge sema ikaja julikana badae mngemuonaje simngesema mtoto mbaya huyu kuna kesi nyingi sana mnaziona za wababa wa kambo kutembea na watoto wa wanawake zao mbona tunakuwaga tunalaumu watoto mbona ukusema hapo wapowanao bebeshwa mimba na wana ambukizwa magonjwa kwa mzazi huyu hakupaswa bwana kurudiana nae mtoto mmoja utaishi mbari nae umfraishe bwana anenepe mtoto akonde mmh
Ww uliwai kumsikia popote Paula akiongea kuwa alitaka kuliwa na harmonize?? Munapenda sana propaganda guys
@@omarymohamed9834 Wesamahani sana babu vipi unatazama mitandao sana sindio mbona haukuwai kwenda polisi hama mitanda yote ilokuwa ikizungumzia swala hili la baba kumtaka mtoto vipi uniwakie mimi tafadhari sana tena ushindwe
@@omarymohamed9834 we acha ujinga ungekuwa we demu sijui ungeongea huo ujinga
@@karasuyazidi8547 we hakili hauna. Ungekuwa we mwanaume ungekubali mtoto amkataze mama ake kuwa na ww
@@shaniashani7026 we polisi ulienda?? Na unajuwa kilichowapeleka polisi ni nn?? Au ndo fuatilia sana drama
Mama anuniwi acha ubwege Paula mtt usiekuwa na akil uwezi kumpangia mama yako mwanaume wakuwa nae pia kingine wewe ndio ulikuwa unacherewesha kumbe msamaha kukubaliwa ata mama yako kumbe alikuwa anampenda konde Ila wewe tu ndio ulikuwa ttz acha mama ako apate muhogo wa mmakonde bwana
🤣🤣🤣 Paula a nafikiria 2 dude akiingia chumbani kwake kule mama yuala raha yeye yuaumia na hisia
Paula awe na adabu kwa wazazi wake(mama yake mzazi na baba wa kambo
Umenichekesha😂😂😂😂😂
Paula respect your mum decision.kwani utamuoa,😂😂💔
Mmmmmmh yangu macho wasanii bhana mnamaigiz kesho tu mnaachana tushawazoea na Harmon hizo pesa unazochezea ipo siku utalia cjui umelogwa
Mtoto atakiwi kukuchagulia maisho anatakiwa akubali matokeo yoyote kwake ni baba
Hiyo ni mipango yawo wote wa tatu,paula akatae RANGE ROVER 3 nani atakataa wewe subutu iyo wamepanga tu
Paula anataka dudu ya babaake🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisa 😆😆😆
@@malichanda3146 😂😂😂
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
.
ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html
Huyu paula anamcontrol mamake mtoto mjinga snaa huyu😄😄😄Paula fata furaha yako ilipo mtoto umzae mwenyewe kisha akupande kichwa uwongo
Bumbafu zako kabisa wewe
@@bwiseleloesse6808 Na zako pumbu ziko wapi😄😄😄
@@zennahmtoto1867 hivi kwa nini wa Tanzania wengi hamunaga akili nashindwaga sana kuelewa
@@bwiseleloesse6808 Alo kwambie mm mtanzania nani😄😄🤗
@@zennahmtoto1867 unafikiria paula ni mjinga kama yake,ni mambo ya aibu sana
Paula Yuko Sawa .. Ana Haki Ya Kummaindi Bi Mkubwa ,na Hii Inaonesha Ni Kiasi Gani Kajala Kakua Kiakili ,Lazima Awe Soource Ya Kumtoa Ujinga & Ndumba 😅Alizopewa Mppk Kuwa Mpuuzi Kiasi Hiko ,Siku Zote usiongozwe Na Tamaa & Hisia ...ongozwa Na Akilli kwanza ,Kwa Akili Ya Kawaida Unaweza Kumsamehe Mtu Aliyetaka Kumla Mwanao ?? ...Mwanao Unamtambulishaje Baba Yake Aliyewah Kumtongoza Na Kumtumia Mambo Ya Hovyooo ...Very Stupid Mother
Ww hyo ni siri yao we unaudhibitisho gan kuwa alitaka kumla mwanae. Paula anawivu
@@omarymohamed9834 huna akili kijana acha ushabiki mavi
Dada povu lakutoka hivyo kwani ulikua wataka @harmonize akufuate wewe Nini? Punguza jazba na ujipe shuhuli in short hayakuhusu fuatilia tu kinachoendelea
@Einstein mboje, Upo sahihi yule mama ni hovyo,inaonyesha jinsi gani akili zake ni matope.Paula kama kweli anataka kuwa salama aachane kabisa na Huyo mama ni hatari kubwa kwa her sanity.Huyo mama amekuwa robot.......na inavyoonyesha yupo tayari kwa lolote as long as kuna harufu ya hela.Paula go back to your daddy,let that mama go down on her own.
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai 😄😄😄😄
Pole Sana Paula... Rayvanny ndio huyoooooo amekuaja....
Kajala atajuta.hata mm ningea kua paul nisinge kubali yani mwanaume amuonyeshe mdudu ambao huo huo anamuingiza mama mtu Alf nitulie tu
Paul nyupo saw mama amezingua sana
@@munirahassan6313 kinoma Alf Kuna mafala wanamtetea kajala
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
.
ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html
Mm naomba Kama kweli wameludiana nibola wafunge ndoa tuu
Poula una tia Aibu sana unamuonea mama yako wivu! Badala ya kumuacha mama yako awe na furaha 😆Wewe Ndiyo shida kwenye mahusiano ya mama yako
🤣🤣🤣 kunywa soda nakuja kulipa
Kwa hiyo ingekuwa wewe ungekubali bwana wako atake kumtomba mtoto wako nyie ndo unaochangia bwana na watoto wenu
@@karasuyazidi8547 wewe unaushaidi gan?? Unajuwa watanzania weng wanapenda sana drama aisee
Kweli anawivu anamchagulia mama mwanaume
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
.
ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html
Paula hauna adab huwezi kumchagulia mama yako mwanaume wakuwa nae
familia ya uzinzi ni uzinzi tuu. hili hata kwa mwanae utalikuta tupeane muda. vinginevyo abadilike
Uyo mama ajielew kajawa tamaa za anasa tu
Paula atulie tu mbona yy alivyo kua anatoka na Mume wamutu mama yake alikua bele kwabele kumusimamia mwanae kwakila kitu jamani paula tulia bibie ww uweke masomo mbele huwezi kushidana na mumazi wako hata iweje mama atabakia kua mama mm sio tatizo ama kosa mama yako aliyo fanya ww kubaliana nayo kama yy alivyo kubalia na ww kipindi ulivyo kua kwenye mahusiona na ray Mume wa fayhma..
Mtoto yupo såhihi jamani, mama yake mzazi anamdhalilisha, Ana kila haki ya kukasirika.
Atabaki kuwa mamake, ila kwa sasa Ana haki ya kukusirika, mama anajidhalilisha jamani🚮🚮🚮🚮🚮
Wote ni 🚮
Ebuuu bwana atulie kdg tujivunie sisi K❤️H
Hata ningekuwa Mimi ninge fanyahiyio
ndoman ww sio iVo... msenge
Hii ndio taabu ya kuzaa mtoto mmoja
Maigizo tu. Mama na mtoto kula yao inategemea nyuchi zao. Hii yote ni kiki tu ya kuhalalisha mzunguko wa umalaya wao.
Safari Harmonize asicheleweshe apige mimba wote wawili fasta.
Hamnaga mambo ya kuongelea maendeleo? . Kila siku hayo hayo
Hamo anatakiwa atoke na Paula
Hivi kajala anafanya shuguli gani?
Nakumbuka huyu dada alikuwaga kumbukumbu primary school
poa Kaka yangu
Kama hajakubaliana waludiane bac itakuwa anamtaka yy uyo Harmo
Basi mtoto alitembea Nate kweli msibishe Wenda walilala wote
Kaona range 2 kapagawa nazo anatamani angekuwa yeye ila kwani vanny amnunulii ndinga kalikali kama harmo anavyofanya kwa kajala
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
.
ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html
Wewe huna kazi ya kufaya kweda kupoteza muda kuzgumzia life zawatu yiyi wandishi wa Habari mbona mbatia aibu mkuwa kama mashoga
WW PAULA HEBU TULIA USIMUINGILIA MAMA YAKO WW MTOTO
Huo ni ulimbukeni
Huyo mtoto ni malaya anamtaka harmonize itakuwa
Huna akiliwewe
@@stellachalamila7455 me akili za nini we mbwa. Akili kuwa nazo wewe😅😅 na ww ingilia mahusiano ya wazazi wako
Script tu hzo movie bado inaendelea
Rayvanny nae 😃😃😃😃
Kwahiyo na nyie mmeshakua kama page za umbea,mnakeraa,wamesha rudiana,na paula kashamfollow mama ake,na mm ake ameshamfollow paula
Mh
A jealous daughter is a dangerous daughter,Paula arudi Kwa babake mzazi coz hakuna siku baba wa kambo atakua baba mzazi Kwa mtoto wa kike ambaye hakumzaa,,,if she can't be happy for her mum iyo ni wivu au alitaka monize mwanzo bt he chose her mom,it's a wicked world bt it is what it is,ameomba msamaha kasamehewa maana duniani hakuna aliyekamilika,angekuwa under 18 ndio tungesema harmo mbwaaaaaa lakini she's old enough to stay away from the step dad
Acheni machawa waongee sio wakiteleza mnawaita mafala,
Na sio kila kitu uongee nipo na briana unaniuliza kajala una punguza utamu.
Naingiza beat hapa😂😂😂
Mwache mamake apate raha, maama hizo raha wwe huwez mpa, wwe pewa na rayvany,
Kabisa🥰🥰
MTANGAZAJI MBONA USISEME WEWE UNA TOKA NA ANTI EZEKIEL KUNA VIDEO NILIONA.
Naomba nikukumbushe kuwa mama ni mama tu hata kama Kilema , kichwa hatabaki kuwa mama tu, acha kuingilia mahusiano wewe ni mtoto mdogo sana Tulia fanya mambo yako
Ushezi mtupuuuuu!!!
Ukikosa Akili kitu kibaya sana....
Sasa kinachomfanya achukie ni nini anawivu hadi kwa mama yake , au alitaka aombwe yeye msamaha na aolewe yeye
Si harmo kaomba msamaha Kote kwa mama kwa mtoto akahakikisha haitatokea tena"am sorry my daughter" hakuna mkamilifu duniani Paula aelewe hilo
Back to tz😂😂
Ushuzi Wa ngomani haukawii kupita
Huyo Paula Hajielewi,tena akae kimya anampangiaje mama yake mapenzi,
Kajala karemba kidogo kama vile kinondoni hajaona kitu,ila pipi moja tu chupi limetupwa chini
Mtoto ana wivu Kwa mamake
Paula mwache mama yko hawe na furaha utafanyaje ataukinunua ni mama yko usishindane naye ni mama
ihii inanipa picha kwamba wasanii wa kike wataishia kuchezewa tu Harmo nafikili uyo sio mwanamke wa ndoto zake kajara anatakiwa kuwa na mume bola anakua kama mtoto mdogo dah
Ukidakwa si hatupo
Heka heka mtoni.
Huyo Paula anakuwa na wivu wa nini?ye
Team wcb huyo mapenzi ya wazazi hayaingiliwi Kama yeye alivyokuwa na rayvanny Kumbe inaumaaaaa😂
Huyo paula fara tuu anaingilia vip mapenz yamama yake niutovu wananidham
Muchawi mkubwa wewe
@@stellachalamila7455 mchawi mwenyew na Paula wako asiyejielewa
Team wcb tunaingilia wapi kwenye huu uchafu wenu
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
.
ruclips.net/video/3hV3k4sUVAg/видео.html
Makubwaa
Wanawake tunawaheshimu ila akili zenu mnazijua wenyewe
Waswahili husema Ushuzi wa ngomani haukawii kupita
MAMBO 5 YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA,
DAWA YA KANSA YA AINA YOYOTE
m.ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html
Au dogo alimpenda harmonise 😹😹😹 paula tulia nyege sio saizi yako
Kajala anampenda sana.mwanae watu waache kuingilia tofouti zao wataelewana tu
Hakuna tofauti wanatuzingua tu! Lao. Moja
Vidoc mtoto asitake anataka MAMA yake ameshampende MAKONDE kwisha.Watoto mara nyingi sana yanakuwaga na mawivu ya kijinga sana sio Paula tu.
Wewe utongozwe na baba wa kambo je utamruhusu kuingia kwenu kama baba ako tena?
@@maujanjatv24h41 huku ulaya hakuna jina linaloitwa PAULA hilo jina linaitwa POULA kwa sababu limetoka kwenye jina PAUL ambalo linasomeka Poul
Paula yuko sahihi
Yamungu mengi ya watu maneno
Ya Kuku mayai🤔
Mama ni mama hata akifanya nisichopenda
Poula nikushauri kitu tulia endelea na Mambo Yako Maana sikio halizidi kichwa ☺️Wewe ni mtoto tu acha Mambo ya kipumbavu
Hauna akili wewe
Achaa utoto dogooo muache mama anapopenda ndo apoapo
Vidox nawe mbea sikuhizi mhh ila nawapenda wakweli tu kuliko wengine wote
Sasa anakaa kwa nani ahame na nyumba sasa