Mawaziri wadaiwa kupanga njama ya kumuua Naibu Rais William Ruto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Mawaziri wanne wamekanusha kufanya mikutano ya kupanga kumuua Naibu Rais William Ruto. Mawaziri hao wakiwa ni pamoja na Peter Munya, Sicily Kariuki, Joe Mucheru na James Macharia pamoja na makatibu wanadaiwa kufanya mikutano hiyo katika hoteli moja hapa jijini Nairobi. Kwa mujibu wa Munya, mikutano hiyo ilifanyika ila tu ilikuwa ya kupanga mipango ya maendeleo ya Mlima Kenya
    Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.co...
    / citizentvkenya

Комментарии • 4

  • @joyann985
    @joyann985 5 лет назад +1

    Kwani what is happening in kenya every day ?why don't you fight with corruption in the country

  • @wamichiratv5314
    @wamichiratv5314 5 лет назад

    *huyu munywa anakaa tu kupanga hizo vitu...Ruto is unstoppable*

  • @wamichiratv5314
    @wamichiratv5314 5 лет назад

    *wangekuwa wamelala ndani*

  • @abdulsudeistheuntouchableo6325
    @abdulsudeistheuntouchableo6325 5 лет назад

    Nonsense allegation......kwni kna watu wangapi waliokufa since Independence??