AHMED ALLY: ATAMBA NA MUKWALA & AHOUA | AMJIBU ALLY KAMWE | AWACHEKA AZAM | SIMBA 4-0 FOUNTAIN GATE.
HTML-код
- Опубликовано: 12 сен 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Semaji ilo likinguruma❤❤❤❤❤
Wa kwanza like zangu🤣
I love you simba dam dam ❤❤❤❤
Ubayaaaa ubwelaaa ❤❤😂😂😂😂
Mdogo mdogo tutaelewana tu🦁💪❤️💯
Ubaya ubwelaa🎉🎉
Semaji la top7 africa ubaya ubwela
Mukwala ni mzuri sana , kocha ampunguzie majukumu ya movement ya nje ya box akae ndani ya maeneo ya kutengewa nafasi atafunga saaaana
Simba leo imecheza vzr ❤❤❤
Semaji sio mawili ni matatu amechangia mawili ame asist moja amefunga yupo moto ni hatar
Simba❤❤❤
Ubaya ubwela❤❤❤❤😂
Ubaya ubwela😂😂😂
Eti nisiwe mnafiki 😂😂😂😂😂
SIMBA mguvu mojaaaaaa 💖💖💖💖💖 UBAYA ubwelaaaaaa
Ubaya ubwela, I love simbaa❤❤
Simba nguvu moja❤❤❤❤
Tupo vizuri sana
Mavambo aliye mleta pepo inahusu 😂😂😂😂😂
This is simba
Ukiwa na semaji kama hili unaweza acha kuangalia mpira ukasubili kuja kumsikiliza yeye akitoa cheche😂😂😂
Amehusika magoli matatu leo sio mawili tu #AHOUA
Mungu ibaliku simba
ubaya ubwelaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wana simbaaaa ❤❤❤❤
Ukiona Simba anaongoza ligi ujue Yanga haijacheza
😂😂😂
🎉🎉🎉🎉
Msemaj bora na mwenye akili nyingiiii🎉🎉🎉
Ubaya Ubwela mdg mdg kama nyimbo ya mond
❤❤🎉🎉
Semajii
MUNGU baliki SIMBA yetu
Me wa pili leo🤣
Hii ndio simba tunayoitaka
simba sio wa 7 simba ni wa 6 jana caf wamesema simba wa 6
Ubaya ubwela
Hii ndio simba ya ubaya ubwela❤❤❤❤
Simba nguvu moja
Good
Oyaaaa hii simba ni hatari sasa hapo hajaingia okhejepha
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤
Semaj la caf
Simba oyeeeeee❤❤❤
Ubaya ubwela ❤❤❤
Fire fire
Nguvu moja💪💪💪
ubaya ubwela
Hongereni mudunduka mmepiga bomu mochwari😅😅😅😅
Ninyi hamjawahi kuwafunga?
😂😂😂ira nyie Jan mlikutan na nini wivu utawasumbua San na bad
Tim mbov mmekutana na vibwengo 😂😂😂😂
Hata hao unaowaita vibwengo msemaji wao alituita simba timu mbovu hutuwezi kuwafunga Leo amekimbia vyombo vya habari
😂😂😂 na nyie mbn mapov yanawatok san
Kila mmoja ashinde mechi yake,tuache na timu yetu
Tulishawazoea mkiwa mnacheza pekee yenu kuongoza kama bua kwa kuchagua vitimu mlivyozoea kuvifunga wakija wenye ligi Azam ,coastal na yanga utanyamaza punga upepo mapema kijana
😂😂😂 acha makasiriko mpira auko ivyo
Umeamua kukariri maisha 😅😅😅
Kama azamu ame furahi je yanga
Ali kamwe level nyingine kaa kimya yanga sio level yako fountain gate hakuna timu hapo
Leta mama ako acheze kama fountain get siyo timu
Nyinyi yanga mnatisha mmemfunga Vitalo ya Burundi hatari
Wewe unaona vitalo ndo timu ? Unavimba kichwa kwenye timu ya round ya kwanza level zenu bado sana endeleen kucheza kmykmy msiropoke utopolo nyie
@@JamesKimisha-vb3se we hukifungwa na yanga ndo maana nakwambia yanga level nyingine
Mmecheza na watu saba uwanjani kisha Pia mnajigambo
Siyo Dibra unakosea jina la mtu ni Debora unabadilishaje?
Wewe unaonekana unatamka kienyeji , knife utatamka kinife.
😂😂😂😂 unamtak nini
😂😂😂
Wivu tu uto
Simba nguvu moja❤❤❤❤
Ubaya ubwela
Ubaya ubwela
Ubaya ubwela
Ubaya ubwela