GPS: Zelensky ajitutumua na kumuita PUTIN 'Mzee mgonjwa anayetishia kila mtu na kitufe chekundu'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 358

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 19 дней назад +73

    Team urusi naomba like zangu wakwanza leo 🎉🎉

    • @allykwaya
      @allykwaya 18 дней назад +5

      Team msimamo

    • @hatibumohamedi3471
      @hatibumohamedi3471 18 дней назад +1

      @@allykwaya Yes team kazi huko ukrain leo umeme akuna wna lala giza alfu wana ivamia urusi 😂😂😂 dah semani zeresk bwana

    • @allykwaya
      @allykwaya 16 дней назад

      @@hatibumohamedi3471 NATO wamemsukumia ZELESKY kuwatoa Askari wake kafara, kwakili ya kawaida tu Rusia USA anamuogopa kwanini asifikirie hilo,

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 17 дней назад +3

    Thanks God DJ.Sma is back.
    🎉🎉🎉

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 18 дней назад +8

    Karibu Gerald and big up bro! Ila kaza msuli fuatilia na uchimbe kwel kwel

  • @ahmadabdu2998
    @ahmadabdu2998 18 дней назад +11

    Nakukubali snaa dj smaa😊

  • @abuubekaabeid9870
    @abuubekaabeid9870 18 дней назад +9

    Huyo jamaa asirudi tena Hapo kwenye Meza ya GPS plz 😅😅😅 naomba like kama unakubaliana

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 19 дней назад +28

    Embu fikiria Putin aamuwe kuwa mkatili km Israel, sasa hv tungekuwa tunaongea mambo mengine 😅

    • @user-vi7ly9zh1q
      @user-vi7ly9zh1q 18 дней назад +2

      Haswaa 👌

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 18 дней назад

      Hawezi kumua atadili namabwana zake wanaemtumia hovyo kuiharibu urkain 😂😂😂😂

    • @allykwaya
      @allykwaya 18 дней назад

      ​@@uwimana6533fuatilia vizuri ujue sababu za Oporation ya Urusi dhidi ya Ukraine.

    • @allykwaya
      @allykwaya 18 дней назад +3

      Putin ni kiongozi Tofauti mwenye Utu na huruma,

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 18 дней назад

      ​@@allykwaya🤣

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 18 дней назад +3

    Dj smaaa,very smart,anafuatilia mambo kiundanisana

  • @faridhamad3678
    @faridhamad3678 18 дней назад +4

    Maa shaa Allah Alhabiib Smaa nakukubali sana ✊️

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 19 дней назад +7

    Top kwa Dj smaa

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 18 дней назад +9

    Dj Smaa ni mchambuzi bora sana na ukweli hana upande wowote

    • @user-ig3qn9zw6b
      @user-ig3qn9zw6b 18 дней назад +1

      Hummm.. nani hana upande? 😂

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 18 дней назад +1

      Wewe utakuwa mgeni hapa GPS😅

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 18 дней назад +1

      😮ni mgeni wewe hapa GPS huyu sama kwanza siku zote anaipinga marekani na washirika wake wote wa NATO

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 18 дней назад

      ​@@zuricakes6817mgeni huyo

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 18 дней назад

      ​@@user-ig3qn9zw6bmgeni huyo

  • @MohamediAthumani-xs5zl
    @MohamediAthumani-xs5zl 19 дней назад +13

    Braza uyo kijana afanye mazoezi
    Hana ushaidi

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 18 дней назад +1

      Wewe uyu ni kaka yake ali masubi 😂

    • @allykwaya
      @allykwaya 18 дней назад

      ​@@aishaarusha894😂

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 18 дней назад

      ​@@aishaarusha894hana maajabu

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 18 дней назад +3

      ​@@aishaarusha894 Masubi hawezi kuwa na kaka wa hivi, huyu atakuwa mwanafunzi wa fuse kaona kakua naye

    • @allymohamed4764
      @allymohamed4764 15 дней назад

      ​@@mpjozzegalvanize4926😂😂😂 Mimi uyooo

  • @emaneez
    @emaneez 16 дней назад

    Dj sma . Best uko deeply sana

  • @rabomunde3550
    @rabomunde3550 18 дней назад

    Dj sma shukran sana

  • @FadhiliAlly-fy2tx
    @FadhiliAlly-fy2tx 18 дней назад +1

    Smaa umelud kwenye ubora wako big up broo

  • @LoneWolf-ng8yg
    @LoneWolf-ng8yg 17 дней назад +1

    Smaa upo vizur sana unachambua mpaka mtu anaelewa vizur 😊

  • @kassiannyamba805
    @kassiannyamba805 17 дней назад +1

    Naomba mtufanyie story ya chechnya pamoja na states nyingine za Russia.

  • @nyereresulle7813
    @nyereresulle7813 15 дней назад

    I like this discusion

  • @imaniisaya-np9md
    @imaniisaya-np9md 17 дней назад +1

    DJ smaa mtu makini sana

  • @fahmanalbulushi2925
    @fahmanalbulushi2925 18 дней назад +3

    Chechnya wao ndio waliomba frontline kwa ajili ya hio Vita na upo right dj smaa kikosi bora kwa urban war ni chechen or akmart na geografia ya kursk ni deltas na mito and swamp kwa hio rusiabwatatumia advantage na kwa vile hakuna supply Ukraine wapo exosted wanakufa kwa maradhi na njaa na kuchoka

  • @allykwaya
    @allykwaya 18 дней назад +2

    GPS, pamoja sana

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 18 дней назад +1

    Djsma. Siasa zake zinaegemea urusi na washilika wake

  • @richardtimoth7865
    @richardtimoth7865 18 дней назад +1

    1."Ukraine sio vita vyake lakni kule Hezbollah ni vita vyake; "
    2."ukrane ni omba omba lakini kule Hezbolla wamejipanga na wanamakombora ya kisasa"(sasa sjui wao hawaombi)
    HUU UCHAMBUZI HUU

  • @PatrickNdomba-u6s
    @PatrickNdomba-u6s 18 дней назад

    Hongera kwa Wote
    Plus Our New Comer

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj 18 дней назад +7

    Kaka SKY huyu Gerald wiki ijayo muite tena jamaa anajua sana tena sana na anaongea kwa facts and logic, hawa wasiompenda ndio wasiotaka habari za balanced.Huyu na Ally Masubi wako vizuri sana kiuchambuzi hawana upande wala ushabiki.

    • @richardtimoth7865
      @richardtimoth7865 18 дней назад +1

      Hakika bro....SMA hata kama jambo liko wazi lazima atetee tu. Hasa Hezbola na Urusi yaani ukimsikiliza unaona upande wake

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 18 дней назад +1

      @@richardtimoth7865 Ndo shida ya jamaa hajui tofautisha ukweli, uhalisia na mahaba yaliyokubuhu.Ila wengine wachambuzi wako vizuri sana tena sana.

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 18 дней назад +1

      ​@@richardtimoth7865DjSma shida inakujaga kwenye ku join dots...Kwa kiswahili tutasema, kutabiri😊. Sasa hapa kwenye kutabiri ndio anatetea upande wake (Waarabu na Mrusi).

    • @khamisfarouk9493
      @khamisfarouk9493 18 дней назад

      ​@@richardtimoth7865dj smaa hawez kua upande wa mashoga uislamu hausapoti ushoga nyie mechagua upande wa mashoga

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 18 дней назад +1

      Haha

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict5431 19 дней назад +3

    Nawakubali gps

  • @yanja69
    @yanja69 18 дней назад +2

    Tatizo wasikilizaji wengi wanataka yasemwe yale yatakayo wafurahisha wao na ukisemwa ukwelii wengii wanachukiaaa maaana wengi wao wanaamini western Media kama BBC na CNN ambazo zinachuja Taarifa Dj Smaa endelea kuongea zaidi kwa Facts keep what you are doing because you can not create an equal society 🎉🎉🎉

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p 16 дней назад

    Smaa mashallah Ila samahani vipi kuhusu cheni na dini yako ili lipoje

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 18 дней назад

    Happy to see Dj Smah

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 15 дней назад

    Dj sm weninoma daaa

  • @bernardocazula-ze3ow
    @bernardocazula-ze3ow 18 дней назад +1

    DJ smaa ínio kibokoo

  • @JumaMwanga-xd9gy
    @JumaMwanga-xd9gy 19 дней назад +3

    Djsma kichwa Sana uyu jama!!!

  • @ronaldwangila3913
    @ronaldwangila3913 18 дней назад

    Kazi safi GPS

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 18 дней назад +1

    Nato huwa hawatangaz vifo sana ili kumficha adui hasijue kinachoendelea na aendelee kujichanganya.unapoweka vifo waz mwenzio anajipanga vzur na anaweza kupanic na kuanza kutumia silaha mbaya ila mateka unatamka

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 18 дней назад +1

    Oyah #SKY uyo #DJSMA ata akiumwa awe anapelekewa mic pale pale ospitali au popote atakapokuepo😀 #GPS inamhitaji kila saa kila dakika

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 18 дней назад +1

    NI BORA MZEE MGONJWA KULIKONI KUWA KIJANA SHOGA ASIEJITAMBUA. VIVA PUTIN

  • @AnjelMwaluka
    @AnjelMwaluka 18 дней назад

    You're welcome Gerald

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 18 дней назад +2

    Smaa kwa mifano umetisha.
    Moto wa kifua unawaka fuluuuu nakuzima ziiii 😂😂😂

  • @mussayasini4130
    @mussayasini4130 18 дней назад +1

    kaka asante nimeitafuta ile clip mandela alivyomjibu mwandishi wa habari alimjibu vizuri sana

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 19 дней назад +6

    Huyu ana tofauti na yule Dr. Jimmy chansa, umagharibi mwingi😢

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 18 дней назад +3

    Uraaaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @ShawnBeatz
    @ShawnBeatz 12 дней назад

    Dj sma ni total anti-west

  • @abdullahmapesa
    @abdullahmapesa 18 дней назад +1

    ⭐⭐⭐⭐⭐

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 19 дней назад +4

    Anajifariji tu comedian anadhani bado tu ni jukwaa la uchekeshaji.

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 18 дней назад +2

    Dj SMA ameongea mpaka amchoka😢😢 masubi okoa jahazi

  • @fahmanalbulushi2925
    @fahmanalbulushi2925 18 дней назад +2

    Sio uzabkinstan ni azabijan dj smaa

  • @spearnyondo4590
    @spearnyondo4590 18 дней назад

    Sns bring more guys of different views i like the guy in grasses

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 18 дней назад +1

    Hamjaona majeshi ya Russia yakikusanya miili ya wanajeshi wa Ukren....

  • @ahlamsaleh670
    @ahlamsaleh670 18 дней назад

    Henry na ali wako vizuri pia wangikuwepo inigikuwa poa sana

  • @fredmartin9633
    @fredmartin9633 17 дней назад +1

    DJ Asma ni kwerre

  • @Muhammedramadhan-xl6yg
    @Muhammedramadhan-xl6yg 19 дней назад +2

    Mshikaji mpe mdakidgo bado sana pointi zake dhaifu bro wale wengne wako wapi?

  • @94winga
    @94winga 18 дней назад +3

    Yaan haijanoga kabsa huyo jamaa simuelewi,lete masubi na henry ni wana chemistry nzuri sana hao jamaa ndo wametufanya tuipende GPS.ila huyo jamaa toa hapo

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 18 дней назад +1

    Dj smaa anajua sanaaa

    • @allykwaya
      @allykwaya 18 дней назад

      Kabukua sana jamaa

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 19 дней назад +2

    GPS kipindi bora kabisa

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1x 13 дней назад

    Nimecheka sana DJ SMA alivyosema Jeshi la Urusii lilisema MATOPE yaliwasaidia. TEAM RUSSIA tupo wengi sana

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 18 дней назад +1

    Acha. Ajishaue. Mungu kamuacha. Zelensiki. Abwabwaje. Kwa. Mda ipo cku atalia

  • @JosephBenson-p3s
    @JosephBenson-p3s 9 дней назад

    Hall Kimberly Thomas Sarah Brown Joseph

  • @HamduniYasir
    @HamduniYasir 18 дней назад

    Yani uyu jamaa ajui kitu aisee dah 😢

  • @hamadikassim3091
    @hamadikassim3091 18 дней назад

    Huwa si comment bt leo itabidi. Bro sky huyu jamaa usituletee tena. Ni khery Aly na wakili wa record kwa njia ya voice. Chemistry haiendani. Tafadhali fanya jambo c u shabiki ni uhalisia raha ya gbs ni combination ya dj sma, Ally, wakili na nahodha mwenywe kaka sky. Ni maoni yng

  • @biomedicaleliatosha7485
    @biomedicaleliatosha7485 19 дней назад +2

    Urusi bado haijatumia nguvu zake. Inamuachia tu ukareini. Kinachotafutwa hapa ni new world order Urusi akimaliza vita atakua bado hajatimiza lengo. Lengo nikuzibana nchi za magharibi hadi zifike hatua ziseme sasa tuingie kwenye mfumo mpya wa dunia.

  • @AyoubKhatib-p4k
    @AyoubKhatib-p4k 19 дней назад +2

    Uchambuzi wako uliyo vaa miwanihauna kichwa wala miguu dj samaa tupe uchambuzi buburudike

  • @iddykivu050
    @iddykivu050 18 дней назад +1

    Sky Unaanza kukialibu kipindi kwa kuanza kuokota Watu ambao hawana Uelewa wa Kuchambua Mambo ya vita na Wsla Hajui Maswala Mazima ya Gps

    • @golebenson4597
      @golebenson4597 18 дней назад

      Nafikiri anatemgeneza GPS iwe Pana Zaid. Nivizuri kuwakaribisha wageni Kwa malengo ya baadae

  • @amirinestory
    @amirinestory 18 дней назад +1

    DJ smaa...bado kilometer ngapi urusi aikamate donbas yote?

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 14 дней назад

    Putin ni mtu muungwana sana angekuwa USO wa mbuzi kamaa nyahu ...angewakaanga kwenye mafuta hao NATO😠😠😠
    #kadrov❤lukashenko🔥

  • @RaymondPaul-bs7su
    @RaymondPaul-bs7su 18 дней назад

    Nimekua mfutiliaji wa makala mbalimbali za hapa sns hususni za dj smaa nimejua kujoin dots backward bado ku read between the lines....halafu ntakuja hapoo studio sns kama mwanafunzi wa sns kuchambua pamojaaa🎉🎉💪

  • @joshuayengu3624
    @joshuayengu3624 17 дней назад

    Naomba mzungumzie vizur urusi maana kashusha mvua ya glide bombs huko Kursk

  • @mfupakhamis9751
    @mfupakhamis9751 18 дней назад +1

    Putin amefanya ziara kwa baadhi ya nchi ni kwa sababu mfumo mpya wa uchumi (road map).
    Ufalme wa Mungu usimame.
    Amin.

  • @kitosio
    @kitosio 19 дней назад +1

    Angenyamaza Kimyaa. Kama sio msaada wa Wakubwa zake angefanya nini?

  • @ridhiwankanjoe2078
    @ridhiwankanjoe2078 19 дней назад +1

    Brother sky huyo jamaa,hajui kuchambua coz anaongea maneno matupu bila evidence kama navyoongea dj smaa na ally masubi na mwanuke

  • @allykirunginyamka9171
    @allykirunginyamka9171 18 дней назад

    Huu dj smaa,
    Akili yake anaijua mwenyewe, wapo watu wanakuzidi AKILI kuliko ufikiriavyo.

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 16 дней назад

    Ni kweli sisi wa Afrika tujitambue tusiwe tunaburuzwa kama mikokoteni uliobeba ndizi na hawa wazungu

  • @mbajimargarette7146
    @mbajimargarette7146 18 дней назад

    Sky huyu mgeni waleo sio level za dj smaa kuchambua mambo.ajirudia sana.

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 19 дней назад +2

    Russia itashinda kwavyovyote vile na ikibidi hata sis Tanzania 🇹🇿 tutaisapoti Russia 🇷🇺 kijexh
    Maana Tanzania 🇹🇿 ni nchi yenye kilakitu

    • @FleurieNahimana-zh2se
      @FleurieNahimana-zh2se 19 дней назад +1

      Wewe unachezea vita 🤦🤦

    • @theempire4058
      @theempire4058 19 дней назад +1

      ​@@FleurieNahimana-zh2se kuna watu wanaamuaga kuchekesha umma

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 19 дней назад +2

      ​@@FleurieNahimana-zh2se kama hujui Tz tumeshiriki vita nyingi sana duniani ila tu hatujitangazi kama wengine wanavyo jitangaza.

    • @golebenson4597
      @golebenson4597 18 дней назад +1

      ​@aminasittusaid3830 hatuna tulichovuna Kuwasaidia

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 18 дней назад +1

      @@golebenson4597 tumevuna vingi lakini kama ambavyo hatujitangazi tunapoenda vitani basi ndio hivyo hivyo hatutangazi tulivyovuna.

  • @user-qh9gw2vr6k
    @user-qh9gw2vr6k 19 дней назад +2

    Mimi nipo hapa nimekaa kitako tuliiii pande za Uroa skuli Zanzibar wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa

  • @tutorialsPlatform
    @tutorialsPlatform 19 дней назад +2

    Niki connect Dots naona hii vita inahusika na kafara

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 18 дней назад

    Leo Hamnà kitu hàpo mmechemka,

  • @ThérèseNICIMPAYE
    @ThérèseNICIMPAYE 18 дней назад +2

    Nimekua nime miss san dj smaa

    • @AlexGwiha
      @AlexGwiha 18 дней назад +1

      Usijali kama ulikuwa umemis akimakiza mjadala atakupaka mafuta nyuma musenge ww unamumiss mwanaume mwenzio

  • @user-pg2tw8yt4l
    @user-pg2tw8yt4l 18 дней назад

    Oya brother sky huyu jamaa mpya wa leo mie sijamuelewa hata kidogo naomba jitahidi kua na wale wale wa kila siku

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc 18 дней назад +3

    Gerald upo vizuri Slava UKRAIN

  • @fahmanalbulushi2925
    @fahmanalbulushi2925 18 дней назад +3

    GPS hicho kichwa hapo ni cha kuku ninavyo amino GPS ni higher thinking capacity na inaongozwa na fact and logic hapo sijaona logic wala fact nimeona personal opinion na ushabik binasi sioni Kama anafaa kwa GPS anaweza kufata kwa vipindi vyengine Skywalker rudisha vichwa Ali na Henry

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz 18 дней назад +1

    Hiyu mwenye miwani kajipambanua kabisa analeta ushabiki hapo chambua broo siasa hiko kipindi watu wengi wanasikiliza usilete umagharibi hapa

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 18 дней назад

      Ww ndo unaleta ushabiki maandazi, Tatizo mmekaririshwa tu upumbavu wa upande 1 jamaa anajitahidi kuwa balanced na uchambuzi ila ww mbwa mwenye fangasi ndo shida hutak kuelewa.

  • @AdnaneisufomomadeMomade
    @AdnaneisufomomadeMomade 17 дней назад

    Lakini yote hayo yanatokea kutegemeana na mifumo yetu (unajua viongozi wengi waafrika muda mfupi wamadaraka

  • @user-rk9sd4kc4d
    @user-rk9sd4kc4d 18 дней назад

    Asalam Alaykum, huyu mgeni mpeni mdakwanza, ila naomba mngemleta sabiti mrangi ana jua sana kuliko dj smaa pls

  • @AnjelMwaluka
    @AnjelMwaluka 18 дней назад

    Ila smaa haepend marekan na Israel sjuw walimfanya nn doo 😮😮😮

  • @joycemalundo1055
    @joycemalundo1055 18 дней назад

    Gerald safi ., watu wanaoshabikia urusi ndio awaelewi ., mmebalanc story labda hapo aongezeke ally masubi

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 19 дней назад +2

    Na Jana asubuhi silaha za nato zimechomwachomwa.

  • @ashawairimu4039
    @ashawairimu4039 18 дней назад

    Dj smaa ako sawa

  • @mswadicksongoro7973
    @mswadicksongoro7973 18 дней назад +1

    Nauliza kweli Zelensik anakula unga?

    • @allykwaya
      @allykwaya 18 дней назад +1

      Mnh! Kwa siri sana😅

    • @rabomunde3550
      @rabomunde3550 18 дней назад +1

      Kama nyoka😂😂😂

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga 18 дней назад

    Suala la ziara za Putin nje ya urusi hazikuanza baada ya NATO kuingia Kursk kashatembea Sana kabla.

  • @nyawawawanyawawa935
    @nyawawawanyawawa935 18 дней назад

    Dj upo vizuri katika uchambuzi lakini ni vizuri kukawa na negative thoughts ijapokuwa huyo kijana mwingine uchambuzi wake bado ni mwepesi mno Ajitahidi kufutilia na kuleta uchambuzi yenye fact zitazo kizi

  • @RhondaPerez-m3b
    @RhondaPerez-m3b 2 дня назад

    Martin Frank Robinson James Walker Deborah

  • @FredyChemba
    @FredyChemba 18 дней назад

    Dj smaa 🔥🔥

  • @researchmedia-tanzania4450
    @researchmedia-tanzania4450 18 дней назад +2

    Kuhusu casualties hamjafuatilia vizuri toka mwanzo.... actually Ukraine was the most honest nation kwenye taarifa mwanzoni mwa vita back in 2022 hiyo tabia waliirithi kutoka Western medias wanaopenda kutoa taarifa za ukweli..baada ya muda waliona kwamba taarifa za ukweli kuhusu casualties zilikuwa zinawademotivate wapiganaji wapya kujiunga na vita....but now wote ni waongo wanatoa taarifa za uongo kuhusu casualties hakuna mkweli kama mnavyosema Russia ni mkweli nooo thats not true

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 18 дней назад +1

    Kuhusu vita ya pili ya dunia urusi alishazidiwa na ujerumani kilichotokea marekani akampiga vbaya ujerumani kwa siri akadhoofisha maghala ya silaha na Miji ya kimkakati ya Berlin na Hamburg pale na pia ujerumani alipokua anasonga mbele kumpiga mrusi akashangaa anapigwa kwa nyuma kutokea ujerumani na Poland hakawa hajui apigane wapi kumbe mmarekani ndio anayempiga nyuma akitokea poland pia na angani....la sivyo hasingeshinda maana shule walitudanganya wajeruman walizidiwa sbb ya barafu kumbe uSA

    • @user-vj8eu7ih4k
      @user-vj8eu7ih4k 18 дней назад +1

      Umekariri historyl ya form one hyo 😅😅😅 hujui kitu 😅

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 18 дней назад +1

      @@user-vj8eu7ih4k hahaha pole sana tena pole yako...tena pole sana

    • @josephmkindi4633
      @josephmkindi4633 18 дней назад

      We ulikuepo😂😂

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 18 дней назад +1

    DJ Smaa mchambuzi mzuri,lakin yy ameshajipambanuwa upande wa Urusi, anaegemea sana sana upande wa Urusi.vyovyote anavyoongea..huna cha kumwambia kwa Urusi,kila kitu kipo wazi.

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 18 дней назад

      Nimuono wako duniani ukitaka kuongea ukweli utachukiwa nawatu 😂😂😂 ukiwa muongo pia utapendwa nawatu zaidi 😂😂😂😂

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 18 дней назад

      ​@@uwimana6533nawewe ni mtazamo wako huo,ila picha liko wazi kitaaambo,au wewe ni mgeni na DJ Sma!?

    • @hudumablack9339
      @hudumablack9339 18 дней назад

      Ukiwa mkweli utaitwa shabiki wa Urusi ila sote tunajua Ukraine bila msaada toka NATO hakuna kitu. Tumpe Putin Hongera zake jamani, Nchi moja dhidi ya nato? Tuwe wakweli.

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 18 дней назад

      @@hudumablack9339 hatawaungane mataifa 100 watapigwa , wao wanalijua

  • @mfupakhamis9751
    @mfupakhamis9751 18 дней назад

    Wagina ya sasa wako sawa na ile ya mpishi?
    Gps nauliza.
    Ufalme wa Mungu usimame
    Amin

  • @mustafarajabu4005
    @mustafarajabu4005 19 дней назад +1

    Ukraine Putin hatawamaliza taifa lote,Ukrainian mtaifa siohujinga kuweka siraa juu mkashindwa hili uwalinde ukrainian laiya wako

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj 18 дней назад

    Humu mashabiki wengi wanataka kusikia tu positive kwa Russia hawataki mtu awe balanced na habari.Huyo Gerald yuko sahihi sana ila tu mashabiki maandazi humu ndo hawapendi kusikia negative kwa Russia.

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 18 дней назад

    Uyo jamaaa nilimsikia mahali fulani yupo vizr Sana asante Kwa kumleta GPS

  • @omariddi
    @omariddi 18 дней назад

    Mmmm

  • @allykirunginyamka9171
    @allykirunginyamka9171 18 дней назад

    Unajigonga mwenyewe,
    Wanavyo ipamba ndio akina nani?
    Wewe unavyo itapa Russia 🇷🇺 ulitegemea kuingiliwa vile?
    Uliwalaumu Iran 🇮🇷 kwa vifo vya Viongozi wao? Leo yupo shaken ila sio kwa ukubwa hadi una mecha Israel 🇮🇱?