Mziki wa dansi zilipendwa- DDC-Pata potea

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии •

  • @AbdallahMatemba
    @AbdallahMatemba Год назад +6

    Solo hapo Mulenga,bass Abel, rhythm Gama,Sax King Enock,waimbaji Gulumo,Bichuka na Maalim Kinyasi,hiyo timu ya Taifa haijawahi na haitotokea tena nchi hii

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 Год назад +4

    Lakini nakurudishia uamuzi wako! Asante Bichuka na sikinde kwa ngoma hii kali! Tena raha yake sikiliza mpaka mwisho yaani hizo ala,drum na gitaa ni tamu balaa!,Unabaki tu ukijitingisha tingisha huku ukikata mauno! Daah! sinkinde.... Napenda sana ngoma zenu!

  • @abdallamatemba7484
    @abdallamatemba7484 Год назад +2

    Kwa kweli king Michael Enock kwenye midomo ya Bata hapo kanikumbusha enzi za utoto wangu na redio ya mbao -277

  • @yusufumatumbo6865
    @yusufumatumbo6865 4 месяца назад

    The real or genuine Tanzanian musicians.

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 4 года назад +4

    Enzi hizo redio inakuwa karibu na baba tu ikiwa imenikwa na kitambaa safi kilichofumwa kwa ufundi na Mama, Hapa redio zilizokuwa zinatumika ni zile National za mbao nyuma inakuwa na picha ya mende na maandishi ya DUDU PROOF, Na redio aina ya Philips,Hakika nyimbo hizi ni kumbukumbu nzuri.

  • @RamadhanGube-xl2vp
    @RamadhanGube-xl2vp Год назад +2

    Nakumbuka nilikuwa steel rolling mills mwaka 1982 kiwanda cha chuma tanga drawn wire section

  • @alawiymohd6003
    @alawiymohd6003 5 лет назад +6

    Nyimbo hizi ukizisikia unaweza tokwa na machozi

  • @stephendanielmsangi6043
    @stephendanielmsangi6043 8 лет назад +8

    Mheshimiwa Eddie, this is incredible! huwa unazipata wapi? Huu wimbo unanikumbusha sana Uncle J. Nyaisangah, enzi hizo Club Rahaleo Show, mwaka 1982

    • @eddienassor480
      @eddienassor480  8 лет назад +1

      Hahahaa,Stephen burudika kaka zipo nyingi tu wewe pekua tu

  • @jumamganga5136
    @jumamganga5136 3 года назад +4

    Machozi ata siwezi kufuta yakaisha

  • @twilamtumbi2647
    @twilamtumbi2647 9 лет назад +4

    Yes wanamilimani park walikuwa wametimia full nondo asante Ali Jamwaka na tumba zako

  • @paulangoloko8642
    @paulangoloko8642 2 года назад +2

    Maneno ayo jamani😭

  • @issaramadhani8874
    @issaramadhani8874 6 лет назад +1

    Kitu Safi saaaaana zaidi ya saaaaana 1919 bado nzuri

  • @erickwambia2653
    @erickwambia2653 10 лет назад +2

    Hapa kikosi cha DDC Milimani Park ilikamilika
    Thanks Eddie for this.
    Chakura chakura maktaba.ukipata ngoma yoyote ya kimulimuli ni shukrani tu

  • @abdallamatemba7484
    @abdallamatemba7484 Год назад

    Kwa kweli solo gitaa aliyepiga ni mtaaalam, king Enock ndio kamaliza kila kitu, hizo sauti Sasa zinatusahaulisha hata na matatizo tuyonayo sasa

  • @petersamwelm7279
    @petersamwelm7279 2 года назад +1

    Huu ni utunzi wa Mulenga-King spoiler akimpa kijembe Chidubule cosmas 1982 alivyohama bend

    • @abdallaabdulrahman8319
      @abdallaabdulrahman8319 2 года назад +1

      Alihamia bendi gani baada ya kutoka Mliman Park?

    • @BarakaWaya
      @BarakaWaya 2 года назад

      @@abdallaabdulrahman8319 Bendi ya Remmy Ongala

    • @AlexKing-yg2cc
      @AlexKing-yg2cc Год назад +1

      ​@@abdallaabdulrahman8319Vijana jazz

  • @freddymanongi854
    @freddymanongi854 5 лет назад +2

    Hamis Juma, Muhidini, Bichuka mko poa

  • @josephkitainda8419
    @josephkitainda8419 2 года назад +1

    Solo hiyo ya nyuzi 12-kombora ,Hamisi Juma alikuwa Maalim Kweli amewahi kufundisha Madras

    • @BarakaWaya
      @BarakaWaya 10 месяцев назад

      Solo ya Mulenga baraaa

  • @mwinsadiamiri
    @mwinsadiamiri Год назад +1

    Duh,nani anasema siku hazigandi?

  • @AbdallahMatemba
    @AbdallahMatemba Год назад

    Kwa hiyo huu wimbo na Neema wa cosmas ipi uliotoka mapena?naomba kujuta wapigaji wa solo,rhithym na bass gitaaa

    • @allynayomo485
      @allynayomo485 7 месяцев назад

      Huu wimbo patapotea ulikuwa wa kwanza ,mwaka 1982,NEEMA ulitoka 1985