Jinsi ya kurecord Video yenye ubora kwa kutumia Smartphone
HTML-код
- Опубликовано: 30 апр 2018
- Katika video hii nimeelezea mambo ya msingi ya kuzingatia unapo taka kurecord Video yenye ubora kwa kutumia Smartphone
ZINGATIA YAFUATAYO
1. Mwanga
2. Sauti
3. Editing
4. Mpangilio wa picha
iko poa sana
One man with alot of skills
Asante kaka sisi tunafaidika na unachofanya #richskills
❤❤❤ One love brother
Vzr
Safi kaka
Asante nimejifunza vizuri
Asante brow kwamafunzo yako nimazuri nimependa
Dah.thanks brother
safi mkuu nakufuatilia vyema
Safi sana ngoja nifanyie kazi hilisomo.
Kazi Nzurii keep it broo
Nashkr xn kk kw somo zuri nakubali xn kazi zk
Asante sana mkuu hapo umeelezea vzr zaidi hata mtu akitumia camera kubwa asipofuata muongozo huo atapata picha mbov tuu
Camera video 👍
Bro nimeelew kazi yako kiukwel unafndisha vizur natamn kuwa mwanafunzi wako ntajisikia furaha saaana maana hii fani naipenda
izo mic za kunasa sauti ni tazipataje kwauku ARUSHA na ni bei gan brother
thanks nmejifunza kitu🙏
good sana kaka, mm pia nataman sana kuwa director nashukueu kwamchango wako
Pamoja Mwalimu
Kaka mm nxhukur xan ila
Nawezaj kupat stand kam hyo uloitumia hap na bei yak ipoj
Habr bro hiyo stand ndogo ni gharama kiasi gani na ntaipataje
Nakuelewa sana kaka! Keep on pushing
Naombi Kama Unaweza kunifundisha jinsi ya kudanlwoad video Transaction for Adobe premiere pro
shukurani kaka
Safisana
Broooo this is wat I needed
nice sana kaka vp utu unawezaje kuweka rangi kwenye video ya wimbo au picha
Tunashukru Sana kwa elimu zuri
Thanx bro, keep it up
Big up.. Broo
Thanks Alot
Kizazi sana ndugu
Huwa natumia sana sm ku shoot lakini sauti inakua ndogo, sasa mic ya bei rehisi inaitwaje niweze kuipata kaka
Nimeelewa vizurii
Ebwana Richstar safi sana, Ila mm nna suali nataka kuuliza hiv! Je ni vitu gani vya muhimu kurikod ktk shughuli yaani harusi au chai?
Asante sana
Kk naomba msada Wa link ya adobe
Asee xafi xana fanya kufungua chuo me ntakua wa Kwanza kujoin
Bro nimerudi nmekukuta kazi Nzuri bro
Asante
*Phone rotation* pia Ni muhimu? au sio bro
Asalamu aleiku naomba usauri ya kuchukua video kupitiya cm na video ikapendeza na isiingie sauti za nznje
asante kaka
rich ivi ni wapi ntapata tripod kwa apa dar...izo ndogo za sim? plz help
Richstar asante rich be blessed
Hongera sana mwezeshaji, mimi naomba uniambie kama unajua mic. ya bei ya chini kabisa, ni sh ngap
Asanteh cn bro
Kaka ninawezaje kupata microphone ya simu na inauzwa shingap
Nishow ni simu gani yenye kamera safi hata kushoot video
Saf kk naomba namba yako kk
naam hapo ni jumlisha na zidisha, hamna toa wala gawanya.
uko vizuri sana ila tu hapo mwishoni hujavunja cm kweli make.
ila pongez mkuu kwa mambo yako mzur, mm nikirecord huwa natumia kuedt kwa software iitwayo Kinemaster
Nitumie ile ambayo iko full kaka yangu inakataa.
ASANTE SANA MKUU
Hongera sana mwezeshaji, mimi naomba uniambie kama unajua mic. ya bei ya chini kabisa
Bro richstar naomba link ya adobe cc2015
Exactly
Njinsi ya kurecodi nyimbo ukitumia smart phone
Dj nataka korekod sm nyingne
Naomba namba yako kamanda
UNAELEWEKA SANA
Smart phone inachukua video yenye mb nyingi sana je wakati wa editing mb zinaweza kupungua?
Enategemeana na programu utakayo editia, ila mara nyingi hupungua
Nmependa sana hiyo behind the scene 😂😂
Upo vizuri sana
Nimeipenda
kaka na iyo maic naweza kupata kwa shiling ngapi
Thanks bro
Hassani88
🇺🇸 NAKUKUBALI SANA
Kaka rich mm nmepakua app ya adobe premiere kwenye simu yangu . Ila nikiifungua inadai email na nikisha weka email bado inakataa yani sioni muelekeo kabsaa
Hawa wanakuwaga waongo wanataka viws nyingi kwenye channel zao wanavyo eleza vitu ukifanya wewe nu unafuatilia vile vile unakuta inashindikana
Kaka Arusha tunakuitaji utufundishe tunapenda kz zako
Aisee asanteni sana nitaluja tuombe Uhai
Thixha
Unapatikana wapi
Ivi w3 inauwezo wa kushut
Bro editing ndo bado inanizngua nielekeze how kupitia laptop
Bro Nakubali Sana,ila Me huwa Natumia Viva video Pro Ata kuedit Music Video Na video Ikatoka Fresh Kama Imeedit Computer,ila Hiyo app ya Adobe Ya Kweny smatPhone cjawah Kuiona Inapatkana Wap??
Fail unalo recodia linaitwaje
Mi ninashida sana ya kuongea na wewe Kwa simu kama kijanamwezangu nakuomba sana namba ya simu ni 0757925745
stevenkugomba@gmail.com
au Facebook Steven Kugomba nitumie namba yako nitakupigia plz
Naomba kuuliza bro, natumia fl studio 10 niki clone nakua sioni zile keys nilizopiga awali
Na clone pattern
Samahani, Kama utaweza nielekeze
Kaka Rich nina shida na wewe, shida ya kibiashara naomba namba yako au naomba nicheki kwa hapa 0769823407
Hello manbo vp eti drone zinaanz na shingapi
1.5M
😂😂😂😂😂😂😂😂
bro mi nashida na namba yk
mi yangu ii 0621419282
MTU akitak kujifunza
Uandaaji wa video kudizine kava
Uandaaji wa video kudizine kava
Asante sana
Karibu