Nilichojifunza kwenye vifo vya kuvamiwa na kupigwa risasi hapa,Star yoyote atakiwi kuonesha location ya sehemu walipo maana makundi au magenge ya kijmbazi uwa yako on mda wotee,ukionesha location umekwisha
Pamoja na yote police wa marekani huwa wanafanya kazi vizuri sana, yani lazima wamkamate mhusika hata kama itachukua muda gani!? Sema marekani imelaanika vitoto vya miaka 18 vinaua kama hivyo.
Waimbaji bongo fleva a.k.a. Kipofu kaons jogoo (hivyo hadi farasi ni mdogo kuliko jogoo)mpoo? Nyie ndo mwaiga hadi kukataa wazazi wenu! Lisa EMINEM kafanya! Na wadada kutembea “madishi” nje eti kuiga wanna Hollywood! Hadi wanaume kuvaa kishoga!
Nimejifunza..ambiwa tafuta pesa ila usipige nazo pisha.. hya ndo majibu ssa
Nilichojifunza kwenye vifo vya kuvamiwa na kupigwa risasi hapa,Star yoyote atakiwi kuonesha location ya sehemu walipo maana makundi au magenge ya kijmbazi uwa yako on mda wotee,ukionesha location umekwisha
Pamoja na yote police wa marekani huwa wanafanya kazi vizuri sana, yani lazima wamkamate mhusika hata kama itachukua muda gani!? Sema marekani imelaanika vitoto vya miaka 18 vinaua kama hivyo.
Wa Kwanza kaka shedi please show some love sasa twende kazi ☺️
0
Blame it on gun laws,poverty and ego etc...these boys never learn..so sad!
Marekani sio inchi salama kweli
Shed We Mnyama Sana Nakubali Baba♥️ Nasubiri Takeoff
Wakati ww unafanya mzaha na sifa wenzako wanachukua point za kukumaliza watu wapo kazini na ww bila kujua kosea wapatie wao
nashukuru bro nime jifundisha na nimefuta post zanguzote hakinime batwana uwoga
Nakupongeza kwa kufatilia brother
Sauti kaka sauti😢😍😍
😄😄 mtafutane
Nimejifunza kitu kupitia tukio hili
Sasha twende KAZI💪💯✔️
Together my Big brother 🤝
Umetisha kaka from Zanzibar
Kizazi mzee
Wasanii wetu ndio mjifunze Kwa wenzenu,Kila mnachokifanya mnakiweka mtandaoni
Kaka lete story kuhusu story za magenge ya kuharifu ya marekani kaka
Asanteni sana Bongo fasta
R.I.P Takeoff imeniuma sanaaa sababu yeye ndio my favorite 🎶❤️🎶
Jamaa akiungana na offset na na mwenzao QAVO wana jua sana syo kidogo
@@mnyilingatv kwel lakon pengo lake ngum kufichika
@@gallodecor2773 ndo ivo mwamba kasha tuacha
Majigambo sio Mazuri
Uislam.umekataza.k8utangaza.neema.zinaHasadiwa.ndyi.matok8eohayo
Wasanii wetu wa bongo wajifunze kitu hapo
Kazi safi
Kuna vingi vya kujifunz has kuhus mitandao
Pop Smoke-Dior
Walifungwa Moana mingapi..ndio stori
inasikitisha broh tuletee iyo story ya takeoff
Sio poa aisee
sasa kwanini tusiendelee na take off kuliko kuchukua muda mrefu kumzungumzia pop smoke
Wazungu wametuharibia ndugu zetu.
Dar R.I.P Pop smoke
Hatar. Tupunguze ushamba namajigambo
Kaka unahakili sana
God 🙏
Pop smoke
Twende kazi
Kuna Kitu cha kujifunza hapa
Duh jaman
Panya load walio soma....Bongo wakalale
kaka twende kaz tupe madini
SASA TWENDE KAZIIII
Nimejifunza kitu
Detective
Illuminati tu hakuna lolote
Bongo Amani Sana hatuuani
Tuley ya take off
👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾
daaaah 😭😭
R.i.p pop smoke
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏
Bado ya xxxatation
Dooh kudadenya
Waimbaji bongo fleva a.k.a. Kipofu kaons jogoo (hivyo hadi farasi ni mdogo kuliko jogoo)mpoo?
Nyie ndo mwaiga hadi kukataa wazazi wenu! Lisa EMINEM kafanya! Na wadada kutembea “madishi” nje eti kuiga wanna Hollywood! Hadi wanaume kuvaa kishoga!
This is why 2pac is not coming back soon