INSTAGRAM ILIVYOSABABISHA KIF0 CHA MWANAMUZIKI HUYU NDANI YA MASAA 16

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 61

  • @totooz5853
    @totooz5853 Год назад +5

    Nimejifunza..ambiwa tafuta pesa ila usipige nazo pisha.. hya ndo majibu ssa

  • @princekarani7836
    @princekarani7836 Год назад +3

    Nilichojifunza kwenye vifo vya kuvamiwa na kupigwa risasi hapa,Star yoyote atakiwi kuonesha location ya sehemu walipo maana makundi au magenge ya kijmbazi uwa yako on mda wotee,ukionesha location umekwisha

  • @mathiaslaurent756
    @mathiaslaurent756 Год назад +5

    Pamoja na yote police wa marekani huwa wanafanya kazi vizuri sana, yani lazima wamkamate mhusika hata kama itachukua muda gani!? Sema marekani imelaanika vitoto vya miaka 18 vinaua kama hivyo.

  • @maryannkariuki1795
    @maryannkariuki1795 Год назад +23

    Wa Kwanza kaka shedi please show some love sasa twende kazi ☺️

  • @Honest_Man
    @Honest_Man Год назад +5

    Blame it on gun laws,poverty and ego etc...these boys never learn..so sad!

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Год назад +3

    Marekani sio inchi salama kweli

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 Год назад +2

    Shed We Mnyama Sana Nakubali Baba♥️ Nasubiri Takeoff

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 Год назад +1

    Wakati ww unafanya mzaha na sifa wenzako wanachukua point za kukumaliza watu wapo kazini na ww bila kujua kosea wapatie wao

  • @muhsenali123
    @muhsenali123 Год назад

    nashukuru bro nime jifundisha na nimefuta post zanguzote hakinime batwana uwoga

  • @jacksonmedard6182
    @jacksonmedard6182 Год назад +1

    Nakupongeza kwa kufatilia brother

  • @VeejayUpdates
    @VeejayUpdates Год назад +4

    Sauti kaka sauti😢😍😍

  • @hermanfrank6727
    @hermanfrank6727 Год назад +4

    Nimejifunza kitu kupitia tukio hili

  • @abasskambi6239
    @abasskambi6239 Год назад +1

    Sasha twende KAZI💪💯✔️

  • @kazimilyvoice7
    @kazimilyvoice7 Год назад +3

    Together my Big brother 🤝

  • @hassanabuu6
    @hassanabuu6 Год назад +2

    Umetisha kaka from Zanzibar

  • @edithajohn9600
    @edithajohn9600 Год назад

    Wasanii wetu ndio mjifunze Kwa wenzenu,Kila mnachokifanya mnakiweka mtandaoni

  • @jeshiichazz9915
    @jeshiichazz9915 Год назад +3

    Kaka lete story kuhusu story za magenge ya kuharifu ya marekani kaka

  • @expert5898
    @expert5898 Год назад

    Asanteni sana Bongo fasta

  • @gallodecor2773
    @gallodecor2773 Год назад +6

    R.I.P Takeoff imeniuma sanaaa sababu yeye ndio my favorite 🎶❤️🎶

    • @mnyilingatv
      @mnyilingatv Год назад

      Jamaa akiungana na offset na na mwenzao QAVO wana jua sana syo kidogo

    • @gallodecor2773
      @gallodecor2773 Год назад +1

      @@mnyilingatv kwel lakon pengo lake ngum kufichika

    • @mnyilingatv
      @mnyilingatv Год назад

      @@gallodecor2773 ndo ivo mwamba kasha tuacha

  • @martinfrancis9808
    @martinfrancis9808 Год назад +3

    Majigambo sio Mazuri

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 Год назад

      Uislam.umekataza.k8utangaza.neema.zinaHasadiwa.ndyi.matok8eohayo

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Год назад +1

    Wasanii wetu wa bongo wajifunze kitu hapo

  • @malikimohammed8918
    @malikimohammed8918 Год назад +1

    Kazi safi

  • @jenniferinnocent94
    @jenniferinnocent94 Год назад +1

    Kuna vingi vya kujifunz has kuhus mitandao

  • @guccij6236
    @guccij6236 Год назад +1

    Pop Smoke-Dior

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Год назад

    Walifungwa Moana mingapi..ndio stori

  • @filbertmuro3233
    @filbertmuro3233 Год назад

    inasikitisha broh tuletee iyo story ya takeoff

  • @husbaroonlinetv8813
    @husbaroonlinetv8813 Год назад +1

    Sio poa aisee

  • @daudimbeyale2999
    @daudimbeyale2999 Год назад

    sasa kwanini tusiendelee na take off kuliko kuchukua muda mrefu kumzungumzia pop smoke

  • @hilarymtepa9811
    @hilarymtepa9811 Год назад

    Wazungu wametuharibia ndugu zetu.

  • @abduldjay3034
    @abduldjay3034 Год назад +1

    Dar R.I.P Pop smoke

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Год назад

    Hatar. Tupunguze ushamba namajigambo

  • @antirusia6942
    @antirusia6942 Год назад

    Kaka unahakili sana

  • @fredricklucian7155
    @fredricklucian7155 Год назад

    God 🙏

  • @ashuramohamed2251
    @ashuramohamed2251 Год назад +1

    Pop smoke

  • @glorytogod2806
    @glorytogod2806 Год назад

    Twende kazi

  • @henryj3304
    @henryj3304 Год назад

    Kuna Kitu cha kujifunza hapa

  • @ntanga9318
    @ntanga9318 Год назад +1

    Duh jaman

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Год назад

    Panya load walio soma....Bongo wakalale

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya9654 Год назад

    kaka twende kaz tupe madini

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Год назад

    SASA TWENDE KAZIIII

  • @rashidisalumu3095
    @rashidisalumu3095 Год назад

    Nimejifunza kitu

  • @danieldavid4733
    @danieldavid4733 Год назад

    Detective

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 Год назад

    Illuminati tu hakuna lolote

  • @protasmtechula9705
    @protasmtechula9705 Год назад

    Bongo Amani Sana hatuuani

  • @amidaamissi9206
    @amidaamissi9206 Год назад

    Tuley ya take off

  • @elvisbahati243
    @elvisbahati243 Год назад

    👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾

  • @mrcarry5393
    @mrcarry5393 Год назад

    daaaah 😭😭

  • @johnbeukes7498
    @johnbeukes7498 Год назад +1

    R.i.p pop smoke

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏

  • @abuumaisara8340
    @abuumaisara8340 Год назад

    Bado ya xxxatation

  • @mtagechota1002
    @mtagechota1002 Год назад

    Dooh kudadenya

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад

    Waimbaji bongo fleva a.k.a. Kipofu kaons jogoo (hivyo hadi farasi ni mdogo kuliko jogoo)mpoo?
    Nyie ndo mwaiga hadi kukataa wazazi wenu! Lisa EMINEM kafanya! Na wadada kutembea “madishi” nje eti kuiga wanna Hollywood! Hadi wanaume kuvaa kishoga!

  • @joyk3075
    @joyk3075 Год назад

    This is why 2pac is not coming back soon