Комментарии •

  • @classiccell9671
    @classiccell9671 4 года назад +11

    Wanaume wanaitwa kevin ni wajanja wa ajabu, akinyi amekuvumilia miaka 7 yote ukimtesa but akawa2 anakuvumilia sahizi ameamuwa sasa unamfatafata,ulikuwa unadhani ukimwambia umeoa ndo atarudibio?oole sana kevo , hivo ndivo tuliumbwa na mungu sisi wanawake tulipewa roho ya uvumilivu sana roho nyepwsi kma nyama . But tukichoka na tuwamuwe hiyo roho ya nyama hugeuka na iwe ngumu kama chuma. Hata ufanye nini haiezi rudi nyuma tena. Bravo akinyi songa mbele na life acha kevo aendelee kuowa akibadilisha wanawaka kama nguo

  • @lydiahkioi5366
    @lydiahkioi5366 4 года назад +5

    Gidi na ghost asubuhi... I love this show..
    Aki jameni mwaweza record show yote mpaka maoni ya wanajambo.🇩🇪🇰🇪 hasa huu wakati wa quarantine

  • @Omosula
    @Omosula 4 года назад +12

    Gidi post maouni ya watu so we can enjoy long patanisho until the lock down is over

  • @prettybabygalmichelson6557
    @prettybabygalmichelson6557 4 года назад +7

    No 7 Leo from Saudi Arabia

  • @maurinekhasila3326
    @maurinekhasila3326 4 года назад +5

    Pole sana kaka na hii corona adi nimefeel your pain..Cool down God we'll give gud wife

  • @mamaafricankenya2501
    @mamaafricankenya2501 3 года назад

    Hiii tabia yakuita Bibi mam sio vizuri

  • @lilymummy7973
    @lilymummy7973 4 года назад +5

    No one hahah ,,mambo Gidi na Ghosti😍😍🤭

  • @kaihugacangacangimlachake1862
    @kaihugacangacangimlachake1862 4 года назад

    GIDI aki unajioneanga mambo🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @stellahmiles2369
    @stellahmiles2369 4 года назад

    Team Doha Qatar Hawa makevo na mabrayo ni mikora tupu na sijataja mtu eeeeh single is my bae forever Bluetooth connection makevo💃💃💃👂

    • @fabyscarl
      @fabyscarl 4 года назад +1

      Ushatoka USA😂😂😂enti kathaba

    • @stellahmiles2369
      @stellahmiles2369 4 года назад +1

      @@fabyscarl 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hellennjeri2431
    @hellennjeri2431 4 года назад +4

    Gidi nasubiri unganisho jioni pale FB 😍😍😂😂

  • @teresiabrauer
    @teresiabrauer 4 года назад +3

    +49 tuned in

  • @dinahdianah9653
    @dinahdianah9653 4 года назад

    Late hour +1961, gidi vile nmekutegea kwa unganisho Live fb

  • @stargal906
    @stargal906 4 года назад +6

    Ila ukiona mwanamke umekaa nae hiyo muda wote miaka Saba na akaamua kuondoka ni mengi amepitia mimi siwezi laumu akinyi.

  • @aminanzavi4267
    @aminanzavi4267 4 года назад +2

    Leo nimejaribu no 2

  • @BabyAlexxia6734.
    @BabyAlexxia6734. 4 года назад +3

    Hello gidi and ghost listening from Italy lockdown maneno

    • @amaa6353
      @amaa6353 4 года назад

      Dove Sud Lazio o Nord

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 4 года назад

      Pole sana na hard time dear Mungu atasaidia na we are praying for you

  • @dotdots7868
    @dotdots7868 4 года назад +1

    Oa dame fresh huyo ana mtoto sio wako na kiburi anacho

  • @sabinamuhanda9903
    @sabinamuhanda9903 4 года назад

    Hii ni town...mapatanisho zasikuizi zinani aribu

    • @lioness8207
      @lioness8207 4 года назад +1

      Huyu dem ashapata mtu wa kudanganya.kevin kuja uniite mum

  • @sallyokumu6456
    @sallyokumu6456 4 года назад +1

    Welcome Akinyi, team kujiamini tuko ngangari 👊👊👊

  • @fabyscarl
    @fabyscarl 4 года назад +5

    Aki mum samehea uyu kijana yawaa he's regretting his actions.

  • @youngmummy3838
    @youngmummy3838 4 года назад +1

    First one +90

  • @sweetmumwake9729
    @sweetmumwake9729 4 года назад +1

    Gidi na Ghost NIko hapa kuchelewa ndio zangu

  • @patrickmwangi133
    @patrickmwangi133 2 года назад

    Huyu jamaa anaitwa ghost hafai kuwa kwa patanisho,,husheka watu sana ,,huniudhi sana

  • @linahkery676
    @linahkery676 4 года назад +6

    Akinyi rudisha hasira chini kevo bado anakupenda na anakupenda bila mtoto but wacha kumchapa be a man enough +966 patanisho lazma anyway tukutane unganisho show 8pm bila kuchelewa

  • @mtotowako5708
    @mtotowako5708 4 года назад +3

    T'eam Dubaï tuko ndani

  • @Ruthbosibori-uu7eq
    @Ruthbosibori-uu7eq 4 года назад

    Present tu

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar357 4 года назад +1

    kakiringa achana nakoo

  • @jamesgathaiya6450
    @jamesgathaiya6450 4 года назад +5

    Enda utafute bibi wakuchapa Kelvin siku hizi hatuchapani

  • @prettybabygalmichelson6557
    @prettybabygalmichelson6557 4 года назад +5

    Nliwasikiza 8:30 Mrng .nlikua nawait mu update ni comment

  • @jullyotie89no77
    @jullyotie89no77 4 года назад

    Team Kevo.

  • @everlyneauko5523
    @everlyneauko5523 4 года назад +2

    Kevo Mum mamayangu

  • @fibimike1192
    @fibimike1192 4 года назад +2

    Makevo na mabrio
    😃😄😁😆

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 4 года назад +3

    Who has counted how many times the name mum has been mentioned😃😃😃

    • @wakiama9609
      @wakiama9609 4 года назад

      34😃

    • @godsfavour1603
      @godsfavour1603 4 года назад

      @@wakiama9609 😂😂😂😂😂😂😂you've been counting

  • @lorraineatieno6544
    @lorraineatieno6544 4 года назад

    Huyu dem sio luck yako. Mpe time kiasi BT ikishindikana utapata mke mwengine.

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 года назад +2

    Songa mbele kama injili dada Akinyi

  • @leahjoram7693
    @leahjoram7693 4 года назад +1

    Natafuta bwana au mume wakuniita mum nasio beb, napenda kuitwa hivo aki...

    • @leahjoram7693
      @leahjoram7693 4 года назад +1

      @@hamisihassan2620 utanikubali na watoto, lakini hii mum hutokea ujaluoni tu

    • @hamisihassan2620
      @hamisihassan2620 4 года назад

      Ndio watoto sio shida nipe number tuonge vizuri

    • @hamisihassan2620
      @hamisihassan2620 4 года назад

      Thanks

  • @esthermuthoni4395
    @esthermuthoni4395 3 года назад

    Pesa c kila kitu heshimu ndio muhimu

  • @chullakoi1508
    @chullakoi1508 4 года назад

    Bro kachanganyikiwa

  • @yahabibiyahayatiyahayuni7339
    @yahabibiyahayatiyahayuni7339 4 года назад

    watu wanaitwa kevo hao ni ogopa Dj Gidi na Ghost musiwe mnapatanisha akina kevo

  • @fridahnalisi8841
    @fridahnalisi8841 4 года назад +3

    This marriage was not just meant to be they are not compatible they are just far world apart

  • @carolinenjoroge9092
    @carolinenjoroge9092 Год назад

    Ameita Gidi 80 times
    Ameita mum 50 times
    Alichapa bibi
    Aliishi kumshuku
    Ako na mtoto, pengine wewe ndo huna uwezo.
    Sawa mum?

  • @godsfavour1603
    @godsfavour1603 4 года назад

    That guy who is laughing the other presenter..anafanya mtu acheke ata kama hutaki😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @goleadgolead4044
    @goleadgolead4044 4 года назад

    Waaaaaaaaaaaa hii n kali

  • @beatricekarisa7145
    @beatricekarisa7145 4 года назад +1

    Mum ameweka lockdown utajua hujui😅

  • @kevohwapipelinetransami4351
    @kevohwapipelinetransami4351 4 года назад +1

    Wah

  • @wakiama9609
    @wakiama9609 4 года назад

    Kevin wewe ndie ulikua mdogo akinyi alikua tiyari amezaa mkioana😃

  • @emilywanjiku7221
    @emilywanjiku7221 4 года назад +1

    This woman is mature than the guy and that's the big problem.

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar357 4 года назад

    MEN tuko shida, sai ndo mum

  • @maurinekhasila3326
    @maurinekhasila3326 4 года назад +1

    Mwanadada amepiga duruuu naakakata simu huuuuuuwiiii

  • @nancynjogu4
    @nancynjogu4 4 года назад

    Kevo,,, Kevo,,,, leo ni kevo na akinyi,,,,,,,,, saudi mpo

  • @eunicenyaboke749
    @eunicenyaboke749 4 года назад

    Kutoka Qatar rudisha video tuwaone

  • @marynyaga8555
    @marynyaga8555 4 года назад

    Hizo mum ni nyingi

  • @nancyruoruo1025
    @nancyruoruo1025 4 года назад +3

    Kevo...Brian..players tu😂😂😂😂

  • @happytimes9747
    @happytimes9747 4 года назад

    Gidi na Ghost mumeosha mikono? Tuko pamoja patanisho

  • @agneswanjihia1383
    @agneswanjihia1383 4 года назад +1

    Kuchelewa nayo

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar357 2 года назад

    unaitwa hadi mum but huoni

  • @gloriatoo22
    @gloriatoo22 4 года назад

    Pole Kevin but iwe funzo kwa wanaochezea ndoa

  • @doreenbae866
    @doreenbae866 4 года назад

    Hati Mliona mkiwa watoto hahahha,,what abt kunyanduana jinga kabisa😂😂😂

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm3381 4 года назад

    First borns wako na shida kabisa

  • @thomashezekiah4656
    @thomashezekiah4656 4 года назад +2

    Team chapchap mpo wapi?

  • @sharontoo7400
    @sharontoo7400 4 года назад

    Gidi na Ghost kuuliza tu..mtu akitaka patanisho na ako outside kenya itawezekana kweli?

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 4 года назад

      Nafikili itawezekana, muweke air time kwa simu za kina jambo

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 4 года назад

    Kevo let go chukua 6mnth ukipata mwengine oa but amesema you be aman

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад

    Ndoa ndoano.

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 года назад +6

    ‘Mum’ lugha ya conmen

  • @alichweya4778
    @alichweya4778 4 года назад

    once ukipiga bibi umejikosea heshima bibi ni mtu wa kupiga kwa kitanda proper unampea vitu hadi kesho yake hawezi tembea ni vile umelima but kupinga kwa mkono hio zii

    • @betty541
      @betty541 3 года назад

      Hahahahahaaaa..!

  • @alfredoonyango9353
    @alfredoonyango9353 4 года назад

    Akinyi no matter how beautiful you are stop boasting, remember baboons and gorillas also attract tourists, my advice to Kevin take life easy, its too short,take your time get another nyako modich kod dak we akinyi ocham raha.

  • @sweetthirty7671
    @sweetthirty7671 4 года назад

    Next time Gidi waambie wazime radio..its irritating.

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 года назад

    Hi

  • @maryschroeder521
    @maryschroeder521 4 года назад

    Woi

  • @nellypheans2248
    @nellypheans2248 4 года назад

    Kevin ajipange Akinyi hana mda wake

  • @carolnatalie8320
    @carolnatalie8320 4 года назад +1

    Listening +961

  • @bettyoluoch9774
    @bettyoluoch9774 4 года назад

    Akinyi wacha madharau Kevo pole 7yr mpe muda kama ni wako atarudi but Akinyi uko na kichwa ngumu nani atakupenda bila mtoi kaa chini ufikiria siz

  • @wakiama9609
    @wakiama9609 4 года назад

    Ongea kuhusu wewe wachana na wanawake akinyi

  • @kaihugacangacangimlachake1862
    @kaihugacangacangimlachake1862 4 года назад

    Kimeumana jameni..🙄🙄🙄😳😳

  • @annrose4574
    @annrose4574 4 года назад

    Ati mum🤣🤣🤣🤣🤣

  • @everlyneauko5523
    @everlyneauko5523 4 года назад

    Wewe bado nimdogo unanyonya kuwamwanaume

  • @fatmamacharia3593
    @fatmamacharia3593 4 года назад +1

    Aki Ghost 🤣🤣🤣🤣

  • @Bayothomusic
    @Bayothomusic 4 года назад +1

    Nakukaribisha kuitazama hii
    ruclips.net/video/Tm3uQ_t1D64/видео.html
    subscribe na like plz

  • @luckydubebello1131
    @luckydubebello1131 4 года назад +1

    Team Qatar mpo?

  • @DavidAnaswa
    @DavidAnaswa 4 года назад +5

    Marrying a woman with a kid is very tricky,it never works

    • @emilywanjiku7221
      @emilywanjiku7221 4 года назад +1

      It might be tricky but siku hizi you don't put your hands on a woman. It's a sign of disrespect.

    • @wambugu3752
      @wambugu3752 4 года назад

      That's true guys should man up the game........

  • @doreenbae866
    @doreenbae866 4 года назад +1

    Gidi na ghost hao makevo ni wajanja sana ...fast ni maplayer wanapendanga madem wanawapatia pesa🤣🤣..Akinyi move on uwezi ishi na mtu anakupiga....unaeza jaribu sasa brayo

  • @veralyne5152
    @veralyne5152 4 года назад

    Mum ...Mum talk less b a man

  • @felkadumas9863
    @felkadumas9863 4 года назад

    Woie nimemhurumia karibu I devorce mine and marry him. Kelvin drop your number itapata bibi huku even without a child and conceive immediately

  • @wambugu3752
    @wambugu3752 4 года назад

    Akinyi you are boastful,Men stop Marrying women with kids,Akinyi a respect to the guy bringing u n ur kid up sio mchezo..Kevo man up dont beg for love..Men always have 3p's in life...

  • @lastborn2044
    @lastborn2044 4 года назад +2

    Mm mtu aniite mum🚮🚮🚮hta siwez ongea nawewe tena

  • @harrietnjeru4310
    @harrietnjeru4310 4 года назад

    Kujeni muone Kevo M-humble, huyu ni fake
    Mum this...mum that.... mum mum...boring

  • @milkahmwangi1178
    @milkahmwangi1178 4 года назад +1

    I hate mwanaume akiitana mum