RISKY |《 02 》

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
    FOLLOW US IN
    +255659096471
    FACEBOOK; / angess.nsyengula
    INSTARGRAM;www.instagram....
    TIKTOK ; / boncena_gottalent
    YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
    OR BONCENA GOT TALENT
    INSTAGRAM; BONCENA_TZ
    IIKTOK ;BONCENA_TZ

Комментарии • 259

  • @JimmyKavishe
    @JimmyKavishe 5 месяцев назад +13

    Hongera saa ila episodi ya kwanza kama siyo ya pili kuna maneno ya biblia umekosea Yesu alimwaga damu yake siyo yetu 18:32 😊

  • @LewisHamiltonGLD
    @LewisHamiltonGLD 5 месяцев назад +8

    Boncena hii n more fire bana ety mungu wako anakwambia usikue na mwanamke unajua kuingiza hongera sanaaa 🎉🎉🎉

  • @FattyDapetty-tj9vr
    @FattyDapetty-tj9vr 5 месяцев назад +10

    Hongera Boniface nnachojivunia kwa boni hua anatoa muv kwa wakat na ndefu sana sana sana yaani acha t nampenda sana huy kaka

    • @nikorasnyenge5940
      @nikorasnyenge5940 5 месяцев назад

      Wowowoooo

    • @innomchaga
      @innomchaga 5 месяцев назад

      Yupo vizur but kwenye hizo dk ametupiga dk 33 but imeishia dk 16😄

  • @boncenagottalent
    @boncenagottalent  5 месяцев назад +25

    Atakae Shere kwa watu 10000 nampa laki 2 ili wajifunze kupitia hii #risk

  • @KhadijaKhadija-i3h
    @KhadijaKhadija-i3h 5 месяцев назад +8

    Nimefika Toka Kenya kz nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RaimamomedSaidi-wz1yu
    @RaimamomedSaidi-wz1yu 5 месяцев назад +5

    Chizi kapewa rungu 😂😂naona unamapepe sana chizi wetu km kuna kitu kinakusumbua kichwani😮

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 5 месяцев назад +1

    Haya mambo ni real life,na sio kwa pastor tu hadi watu hutafuta utajiri kwa njia kama izi...wengine hawaruhusiwi kuoa wengine hawaezi zalisha😢#kazi nzuri 🎉🎉🎉 ila bony utakufa na ugwadu 🙌 🙌 🙌

  • @AshuraMohammed-p2q
    @AshuraMohammed-p2q 5 месяцев назад +4

    Ki ukweli risk ni nzuri mno,hongera bonsena kazi nzuri

  • @Matimila_Boy
    @Matimila_Boy 5 месяцев назад +3

    Kazi Kali sana,, sijaelewa mwisho wa ep1 na mwanzo wa ep2 mdada anapotea kwa effect tofauti

  • @roseyourjosiah3307
    @roseyourjosiah3307 5 месяцев назад +3

    Uko vzr ukituliaa unatoagaa movie nzurii mnoo ongeraa zakooo

    • @sumsum9493
      @sumsum9493 5 месяцев назад

      Sasa sijaelewa bon umekuwa padiri?

  • @h.boytvtanzania7090
    @h.boytvtanzania7090 3 месяца назад

    Kaka safi sana hii I dea ya kitofauti sana Sanaa komaa mzee nakukubali mwanangu wa home mbeya

  • @SÙAREZMAHANGOBYAOMBE
    @SÙAREZMAHANGOBYAOMBE 5 месяцев назад +2

    Kazi nzuri boncena kiukweli tunataka kuona vitu kamahivi kwenye ubora wa filam tanzania

  • @elisechance5553
    @elisechance5553 5 месяцев назад

    Vizuri saana kabisa, tunaomba ijayo from DRC

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 5 месяцев назад +1

    Nakuombea uwwndelee hivohivo mungu asidi kukuinua❤❤❤❤

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc 5 месяцев назад +1

    Kijachaa ameweza sana Kaz mzr❤❤🎉🎉 Frome omani apa

  • @Fundi_feck4248
    @Fundi_feck4248 5 месяцев назад +1

    Movie kalisana broo kila unachofanya moto nakupa mauwa yako🎉🎉🎉🎉

  • @RUTH-g8r
    @RUTH-g8r 5 месяцев назад +1

    Nitamu sana kama asali,ni ruth from kenya,congratulations bro man vip man.

  • @mgenitv
    @mgenitv 5 месяцев назад +2

    aloo movie kali jamani sasa ruta ume kuwa una fanya sasa

  • @abdicasiskasim6168
    @abdicasiskasim6168 5 месяцев назад +3

    Boncena usikoseye mungu lako afadali muji iite messenger ama mufanya kazi ya mungu ama mutu ya mungu usiji iite nabii maana ni nabii wale mwenyezi mungu amechaguwa kama nabi adam nabi nuhu ma nabii nyingi mpaka nabii mohamed ile inne mungu kapewa vitabu zabur ni ya nabii daud towrad ni ya nabii musa injiil ni ya nabii issa furkaan ndiyo kitabu ya mungu mwishoni ni ya nabii muhamed S.A.W sasa uki ji iita nabii hu ogobi laana ya mwenyezi mungu tena malibo ya mungu hakuna lowyer fikiriya nduguyangu bouncena usikoseye munguyako

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 5 месяцев назад +1

    Walai nimeipenda hiyo bit inanikumbusha wakati wa Steven kanumba boncena got talent god job man

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq 5 месяцев назад

    Jamani wagen kama mamimi karibuni 😂😂❤❤❤🎉🎉 tuangalie move hii tamuuuuu😅

  • @Don_Will.i.am07
    @Don_Will.i.am07 5 месяцев назад +1

    Bonny umepigaje apo... Nice work bro.

  • @NgomanzizaIssa
    @NgomanzizaIssa Месяц назад

    Hiyi noma kutoka Tz kbs sisi wana BDI tuna wapa ongela sana

  • @JacobEston
    @JacobEston 5 месяцев назад +1

    Am the first one much love from ndola zm

  • @kallandoking6561
    @kallandoking6561 5 месяцев назад +15

    Hii movie ipo seriously!! Imetulia beat nzuri mazingira pia yamekaa vyema!!

  • @mrmajengotz.
    @mrmajengotz. 5 месяцев назад +3

    💪

  • @TitusKurui
    @TitusKurui 5 месяцев назад +1

    Kali hiyo nimeipend sana❤

  • @NichorausRichard
    @NichorausRichard 5 месяцев назад +1

    Kaz nzuri boncenaa

  • @tnumber7556
    @tnumber7556 5 месяцев назад

    Nakukubali sana mwmba unajuwa

  • @JustinPandase
    @JustinPandase 4 месяца назад

    Patate apa sasa. Filamu nzuri sana.

  • @boazkasyoki3172
    @boazkasyoki3172 5 месяцев назад +1

    KAZI njema

  • @Fodengastudio
    @Fodengastudio 5 месяцев назад +1

    Joyce 😂😂😂😂😂

  • @zuberpaulo7577
    @zuberpaulo7577 3 месяца назад +1

    Hluhusiwi kuingia ndan

  • @amosmasele1398
    @amosmasele1398 3 месяца назад

    Kama vile yesu alivyomwaga damu yetu msalabani..!

  • @AhadiBwanyungu-j6s
    @AhadiBwanyungu-j6s 5 месяцев назад +1

    Saluti Boncana unajuwa

  • @CleantickClinton
    @CleantickClinton 5 месяцев назад +3

    Nishatangulia, likes zangu jee?

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj 2 месяца назад +1

    Mbona nabii ruta kama vile analazimishw unabii

  • @Odreille
    @Odreille 5 месяцев назад

    Much lov from 🇧🇮

  • @ZacariasClementeMangule
    @ZacariasClementeMangule 5 месяцев назад

    Love Mocambique

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 5 месяцев назад +1

    Chizi ana bible mpya😂😂

  • @Lionel1157
    @Lionel1157 5 месяцев назад +1

    😂😂😂Ni enjoy😂😂😂 ila naitaji kumuona kobelo

  • @NeemaDalmass
    @NeemaDalmass 5 месяцев назад +1

    Hongera sana bonsina

  • @زهرةكيني-ث3ل
    @زهرةكيني-ث3ل 5 месяцев назад +1

    Hongeren sana 🔥💯

  • @dustlandentertainment6610
    @dustlandentertainment6610 5 месяцев назад +1

    Unatry kumean Mungu wao tofauti na wako

  • @Nyanchama-c1n
    @Nyanchama-c1n 5 месяцев назад

    Bonface hataki mahusiano na ako serious wah mwenzangu unachekesha😂😂 hongera lakini

  • @Chris-hb7fv
    @Chris-hb7fv 5 месяцев назад

    Baba kemea pepo👆👆👆

  • @YasriRamadhani-f1b
    @YasriRamadhani-f1b 5 месяцев назад +1

    Rutaman anajua jamn tumpeni pongezi

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 5 месяцев назад

    Boncena umetisha sana❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Kassmiddayoh00068
    @Kassmiddayoh00068 5 месяцев назад

    Boncena endelea hivi hivi unaturudisha enzi za marehemu kanumba

  • @sharonayesa-ri3kh
    @sharonayesa-ri3kh 3 месяца назад

    Utaugumiwa boniface

  • @AliMustafa-z1q
    @AliMustafa-z1q 5 месяцев назад +1

    Ongera Sana.

  • @PhilipoLeonard-q5w
    @PhilipoLeonard-q5w 5 месяцев назад

    Nyie mbwa Tumalizieni unyago bas

  • @officialdinaize
    @officialdinaize 5 месяцев назад

    Baba kemea pepo😅😂

  • @naifatshafii2504
    @naifatshafii2504 4 месяца назад

    Lkn huyu binti anazingua ingekuwa yeye kuweza kwenye hela zote zile

  • @macochprojects
    @macochprojects 5 месяцев назад +1

    Keep it up

  • @nikorasnyenge5940
    @nikorasnyenge5940 5 месяцев назад

    Wangapi wanamuona mpenzi wa boncina analilia unyama tena kwa kulikia wa boncina

  • @ManaseMoleli
    @ManaseMoleli 5 месяцев назад +1

    nmeielewa muvi lakini sehemu ya malaika badilisha asiwe anakuja kama mwnafunz boresha atokee na vazi jeupe.

    • @DamOfficial-kn6bc
      @DamOfficial-kn6bc 5 месяцев назад +2

      Lazima kuna kitu ndomana anatokea kama mwanafunzi sidhani kama mwamba kakurupuka

  • @Jumamitimilefu
    @Jumamitimilefu 5 месяцев назад

    Iyo man kali man

  • @aminielenock2050
    @aminielenock2050 5 месяцев назад

    Hongereni sana kwa kazi nzuri ❤

  • @AHMEDTURHAN
    @AHMEDTURHAN 5 месяцев назад +3

    Mgeni wa kijiji tumemiss

  • @Fevouredjussey
    @Fevouredjussey 5 месяцев назад

    Mi ndio nimefunga😂 much love from kenyq

  • @moniveretz-ij7qk
    @moniveretz-ij7qk 5 месяцев назад +1

    Kazinzuri kaka🙏🙏🙏🙏

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 5 месяцев назад +1

    😢😢😢😢😢😢😢mbona imeishia mbali ivo😮😮😮

  • @MokgaetsiRoseSibanyoni-se6xi
    @MokgaetsiRoseSibanyoni-se6xi 5 месяцев назад

    Mbona haija Isha part 2

  • @arikibok4735
    @arikibok4735 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @mdmtanzania
    @mdmtanzania 5 месяцев назад

    ebanaeee hii movie ruta man

  • @NkwabiCharles
    @NkwabiCharles 5 месяцев назад

    Hongera kwa kazi nzuli

  • @Tumwaminifute123
    @Tumwaminifute123 5 месяцев назад +1

    Karibu Tz nchi ambayo kichaa ananyoa nywele kihuni 🤣🤣

  • @ViolahKulwa
    @ViolahKulwa 5 месяцев назад +1

    Wa kwanza leo

  • @Zuka_Prince_Of_Hearts
    @Zuka_Prince_Of_Hearts 5 месяцев назад +1

    Mmmmh ruta man Tanzania Rubby Michael ❤

  • @abdulrazaqkatoma5648
    @abdulrazaqkatoma5648 5 месяцев назад

    Nakukubali sana boncena😊😊

  • @everdhekay4924
    @everdhekay4924 5 месяцев назад

    Kazi zuri 🔥🔥🔥

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 5 месяцев назад

    Mambo ni moto 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @Kakabenard_tz
    @Kakabenard_tz 5 месяцев назад

    Nakubali Saana Boncen🎉

  • @RusmahMtangi-f8w
    @RusmahMtangi-f8w 5 месяцев назад +1

    Kazi nzuri

  • @sophiewangu7936
    @sophiewangu7936 5 месяцев назад

    Congratulations

  • @BarakaaloyceMahenge
    @BarakaaloyceMahenge 5 месяцев назад +1

    nyapako am here

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 5 месяцев назад

    Fupi san boncena 😢😢

  • @joanbwahama-rx3tc
    @joanbwahama-rx3tc 5 месяцев назад

    Kanisa yupo na uniform zake 😂😂😂😂😂

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 5 месяцев назад

    Leo ni nusummmmm

  • @Angelededonat
    @Angelededonat 5 месяцев назад

    Goubwa ni shizi ana pendezeana naaliyake kabisa jameni 😅😅😅😅😅

  • @bwayobby7352
    @bwayobby7352 5 месяцев назад

    RUTA MAN VIP MAN UNAACHA NYAMA MAN

  • @naymgavino1157
    @naymgavino1157 5 месяцев назад

    Unatobowa Kaka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥🔥

  • @rehemamgata224
    @rehemamgata224 5 месяцев назад +1

    Et wa 10

  • @Ibrahim-me6cd
    @Ibrahim-me6cd 5 месяцев назад

    Kaz nzul san nimeipendaaa mnooo

  • @dottokona207
    @dottokona207 5 месяцев назад

    Kazi mzur sana

  • @yusuphjames3367
    @yusuphjames3367 5 месяцев назад

    akika muvi ni nzuri inafundisha na inaelimsha kwa kweri

  • @manchuji3408
    @manchuji3408 5 месяцев назад

    Yaan kipande umeandika kina dk 33 afu kinaishia dk ya 16 aaaah sio pouwa mzee

  • @washhjojo4840
    @washhjojo4840 5 месяцев назад

    Hatareeeeeee boneguy❤

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 4 месяца назад

    Nice ❤❤

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 5 месяцев назад

    😂❤❤❤❤❤❤😂😂❤❤❤❤😂😂😂😂raha

  • @tambatambamangala
    @tambatambamangala 5 месяцев назад

    Sijamuona kobelo na Rosi

  • @RachelMalekela
    @RachelMalekela 5 месяцев назад

    Uko vzr mgeniwa kijiji vp?

  • @JayBazamba
    @JayBazamba 5 месяцев назад

    Ongea bwana mjomba naon iyi cinema ina kitu ndan yakee....tuna zid kukufatiliy....ila tun subiria mgen wa kijiji bwana .....tumuon mgang baisa

  • @ShauriboraMapenzininini
    @ShauriboraMapenzininini 5 месяцев назад

    Félicitations ❤❤❤❤🎉🎉

  • @joshuasakwa1548
    @joshuasakwa1548 5 месяцев назад

    Sasa brother mbona movie ni dakika 16 na unaweka dakika 32 surely, shida wapi

  • @AssumanejoseCardoso
    @AssumanejoseCardoso 5 месяцев назад

    Boncena unaatali sana

  • @sarahkararinyakinyua3618
    @sarahkararinyakinyua3618 5 месяцев назад

    Kasehemu kafupi sana

  • @Msaniitz
    @Msaniitz 5 месяцев назад

    Naeza jiunga nanyi Kwa kuigiza?

  • @AkongDieu-merci
    @AkongDieu-merci 5 месяцев назад

    I love you form congo RDC