uyu dada muongo bana BADDEST au pizo touch kama tunavyo mjua, hakuanzia chunya. uyu jamaa ni wakyela na alikuwa official dj wa kyela fm. b4 that alikuwa na duka la nguo pale pale kyela mjini na ni washikaji zake walikuwa wakina ajensi 😬 nikagongee nyagi ndo wimbo uliomtoa.
BADDEST mapepe 2
Rick midia my family🎉
Sarafina bint wa Jeri nilikumiss aise kukuona nimefurahi ❤❤
This is what we expect after release the song,,,, go enjoy gud music Harmonize ft Rayvan Senssema
Saraphimina jery ni bonge la mtu mwenyesauti nzuri
kwenye hiyo ngoma tunasikia ile OKAAAY, ambayo mara nyingi tunatambua kama ni kionjo cha baddest 47 kwenye ngoma zake...sasa humo kimefikaje fikaje..?
Baddest pole mwenetu😭😭😭
1:30Pl
Hiyo aidia ni ya kinyakyusa tumeimba sana tulivo kuwa wadogo wamechukua nyimbo ya mtu nikweli ila ni ya zamani sana
Ukwel
Rayvan kaishiwa kwa sasa hana lolote
SO SAD BADEST POULE.........any way guys sikilizeni wimbo wa TIKTOKER BY STANCER
Okay
Badest ni muongo idea ya wimbo SENSEMA C yake huu wimbo ni pendwa sana huku unyakyusani.
Kwsni baddest ni wa wapi???
uyu dada muongo bana BADDEST au pizo touch kama tunavyo mjua, hakuanzia chunya. uyu jamaa ni wakyela na alikuwa official dj wa kyela fm. b4 that alikuwa na duka la nguo pale pale kyela mjini na ni washikaji zake walikuwa wakina ajensi 😬 nikagongee nyagi ndo wimbo uliomtoa.
Rick is just delusional.. hakna wimbo haunaga idea
Leo na wao pia wameiba nyimbo harmonize rayvann mana kila siku nasikia ni diamond ndie anaeiba nyimbo za watu leo zamu yao wao kuiba aaaaaa 😂😂😂😂😂
Sensema nyimbo ya kitambo, labda walalamike wa kitambo
Rick midia my family🎉
Sarafina bint wa Jeri nilikumiss aise kukuona nimefurahi ❤❤
Rick midia my family🎉