Комментарии •

  • @user-ji4rq4km3f
    @user-ji4rq4km3f Месяц назад

    BADDEST mapepe 2

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 Месяц назад +1

    Rick midia my family🎉

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 Месяц назад +1

    Sarafina bint wa Jeri nilikumiss aise kukuona nimefurahi ❤❤

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 Месяц назад +1

    This is what we expect after release the song,,,, go enjoy gud music Harmonize ft Rayvan Senssema

  • @FrankMlonganile
    @FrankMlonganile Месяц назад

    Saraphimina jery ni bonge la mtu mwenyesauti nzuri

  • @_ChachaWao
    @_ChachaWao Месяц назад +2

    kwenye hiyo ngoma tunasikia ile OKAAAY, ambayo mara nyingi tunatambua kama ni kionjo cha baddest 47 kwenye ngoma zake...sasa humo kimefikaje fikaje..?

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo Месяц назад

    Baddest pole mwenetu😭😭😭

  • @user-ii6li4sq6u
    @user-ii6li4sq6u Месяц назад

    1:30Pl

  • @user-si9oi8uj8s
    @user-si9oi8uj8s Месяц назад

    Hiyo aidia ni ya kinyakyusa tumeimba sana tulivo kuwa wadogo wamechukua nyimbo ya mtu nikweli ila ni ya zamani sana

  • @AnitajuliasMussa
    @AnitajuliasMussa Месяц назад +1

    Ukwel

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 Месяц назад

    Rayvan kaishiwa kwa sasa hana lolote

  • @StancerTk
    @StancerTk Месяц назад +2

    SO SAD BADEST POULE.........any way guys sikilizeni wimbo wa TIKTOKER BY STANCER

  • @broja255
    @broja255 Месяц назад +6

    Badest ni muongo idea ya wimbo SENSEMA C yake huu wimbo ni pendwa sana huku unyakyusani.

    • @fatherjaytz
      @fatherjaytz Месяц назад

      Kwsni baddest ni wa wapi???

  • @barakawiseman5073
    @barakawiseman5073 Месяц назад +1

    uyu dada muongo bana BADDEST au pizo touch kama tunavyo mjua, hakuanzia chunya. uyu jamaa ni wakyela na alikuwa official dj wa kyela fm. b4 that alikuwa na duka la nguo pale pale kyela mjini na ni washikaji zake walikuwa wakina ajensi 😬 nikagongee nyagi ndo wimbo uliomtoa.

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 Месяц назад +1

    Rick is just delusional.. hakna wimbo haunaga idea

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 Месяц назад

    Leo na wao pia wameiba nyimbo harmonize rayvann mana kila siku nasikia ni diamond ndie anaeiba nyimbo za watu leo zamu yao wao kuiba aaaaaa 😂😂😂😂😂

  • @DeogratiusMadeje-os5ur
    @DeogratiusMadeje-os5ur Месяц назад

    Sensema nyimbo ya kitambo, labda walalamike wa kitambo

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 Месяц назад

    Rick midia my family🎉

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 Месяц назад

    Sarafina bint wa Jeri nilikumiss aise kukuona nimefurahi ❤❤

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 Месяц назад

    Rick midia my family🎉