vevo alipokuwa uchekesaji nilikuwa naye, na alipohana na kuwa silias pia nimehama nae.nampenda kwa uwezo wake,tena huko kwenye tamthiria ndo kauwa kabisaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉maua yake kwakweli.
Poasana Steve mweusi nandalo watuwema kabisa ameuka sisi kama watu was Uganda tunaflasana kutoka Tanzania namimi ninketamani kufika Tanzania majina mabuka Ivan ninkeompa number ya Steve pamoja nandalo nisungumuze nao😅😅😅
Napenda jinsi Mr Mwanya anavyoweza kuchekesha na kugusa maisha ya kila siku. Anajua jinsi ya kutufurahisha
Ucheshi wa Steve Mweusi ni wa asili na unanivutia sana. Ni mchekeshaji namba moja kwangu
Kabisa ❤
Ndaro wangu jamani 🙌🔥🔥
Dullvan ni mchekeshaji wa hali ya juu sana. Video zake zinanifanya nicheke na kuhisi furaha kila wakati
Steve Mweusi ni mchekeshaji wa kipekee sana. Naipenda jinsi anavyoweza kugeuza hali ya kawaida kuwa kichekesho kikubwa.
Clam Vevo anajua jinsi ya kunifanya nicheke hadi machozi yatoke. Video zake zinatia furaha kila siku❤❤❤
Napenda ucheshi wa Mr Navy OG. Anaweza kubadilisha siku yangu kuwa bora kwa vichekesho vyake
Steve nakukupamauwa unajuwasana❤❤❤❤
Jaman steve wangu
Steve anajuwa sana tena sana wenyeniwangu
Mr Mwanya ni mchekeshaji anayeleta furaha isiyo na kifani. Ucheshi wake unanifanya niwe na siku nzuri kila mara.
vevo alipokuwa uchekesaji nilikuwa naye, na alipohana na kuwa silias pia nimehama nae.nampenda kwa uwezo wake,tena huko kwenye tamthiria ndo kauwa kabisaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉maua yake kwakweli.
🔥🔥🙌
Shaffi Brand ni mchekeshaji bora sana. Ucheshi wake ni wa hali ya juu na unanifurahisha kila mara
8:07 ni noma
Steve namba one
❤ Steve ❤
Ndaro ni mchekeshaji namba moja kwangu. Ucheshi wake ni wa asili na unanifanya nicheke kila mara😂
Sasa c wako sawa sawa na stve mweusi
Steve unajuwasa namiyeuna nivutiyaka
Ucheshi wa Hakika Ruben ni wa kipekee na unanifanya nicheke kwa sauti kubwa. Keep up the good work
Steven number moja🇨🇩
Poasana Steve mweusi nandalo watuwema kabisa ameuka sisi kama watu was Uganda tunaflasana kutoka Tanzania namimi ninketamani kufika Tanzania majina mabuka Ivan ninkeompa number ya Steve pamoja nandalo nisungumuze nao😅😅😅
Hakuna anayenifanya nicheke kama Mboneke. Ucheshi wake ni wa hali ya juu na unanivutia kila mara."
Steve ndo namba 1 tukisema ukwel
Kicheche Achana Nae 😅 Umbwa Sisi
Napenda ucheshi wa Dullvan. Ni mbunifu na anajua jinsi ya kuvutia watazamaji wake kwa vichekesho vya kweli.
Matop 10 ma Nini 😅 shafii ni noma
Hakuna kama Clam Vevo! Ucheshi wake ni wa kipekee na unaniweka kwenye furaha kila mara. Keep it up
Stivu ndo namba 1
🎉🎉🎉🎉🎉 good 🎉🎉🎉
Safi vevo❤
Mimi nampenda clam vevo
Ninavutiwa sana na ucheshi wa Kicheche. Ana kipaji cha kipekee cha kuburudisha na kufurahisha
Steve 🇲🇿
Steve na NDARO ndo noma wengine utoporo
Kila video ya Ndaro ni kichekesho kikubwa. Ana kipaji cha kipekee cha kuburudisha na kufurahisha!"
Kicheche nakuja tz nipo congo nakupenda sana ❤❤❤
Hakika Ruben ni mchekeshaji mwenye kipaji cha kipekee. Video zake zinanifanya nicheke kila siku😊
Hongera dg ndaro
Mr Navy OG ni kipaji halisi. Video zake zinafurahisha na kutufanya tucheke kwa sauti kubwa
Kicheche ana uwezo wa kunifanya nicheke hata siku yenye huzuni. Video zake ni dawa ya furaha
Kama una mkubali Mr Mwanya kama mm dondosha like 👍
Matajiri au wana maisha mazuri awaijui njaa kwa sasa
😅😅😅
Mr mwanya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Kicheche ndio number moja😅😅😅utacheka mpaka uchanganyikiwe pumbavu Zaki
Mboneke ni kipaji halisi! Kila video yake inaburudisha na kutufanya tucheke kwa sauti kubwa
Clam Vevo nakubar sana
Hatariaoo😜😋🤩😎🥺🇹🇿
Namkubali Sana hakika ruben
Clam kwang ni no 1 anavutia sana
🎉🎉🎉🎉🎉
Nawapenda wote kwa ajili ya Allah ❤❤❤
stive bana number one
Ndaro namba Moja Tz
Namkubali kicheche
Stive anaweza
Kila video ya Shaffi Brand inanifanya nicheke. Ana kipaji cha kipekee cha kuburudisha na kufurahisha
Kicheche ndio number moja
Pamoja
Good
Wewe ni mbwa
Steeve mweusi ni Noma nyie
amna chaurembo moto mtupu wanajikokoteya
Fanya upya research yako mfano mmoja tu kuna comedian anaitwa Zero brainer0 ana zaidi ya followers million 7.8 na ni mtanzania
ni sports content creator sio comedian
𝑆𝑡𝑒𝑣𝑒 𝑛𝑎𝑚𝑏𝑎 𝑜𝑛𝑒
Kicheche ndio number moja😅😅😅utacheka mpaka uchanganyikiwe pumbavu Zako