Mnatakiwa mcheze fainali mbona mnakuwa waoga sasa nyinyi si wakimstaifa wakubwa mlisema ili kombe la malooser sasa mmebadilisha mmelitukuza tumekubali haya fikeni fainali basi 😅😅😅😅😅😅
Mnaotukana anzisheni ligi yenu ya matusi mbona mpo wengi sna mnatosha kwa ligi na inaweza kuwachukua miaka miwili kumaliza msimu. Hawa wanaotukana wangehojiwa wao ndo wangeonge ushwain ( 🐮 ) kuliko hata Shwain mwenyewe😂😂😂😂
Allah akulipe wewe uliyemkumbusha muda wa swala Momo!
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭
Yanga Africans oyeee oyeee hayaa Twendeee kazi wananchi eee
Mchecheme mpaka wapi? Note: Libya ni war torn country mjue!
Kasema kweli kimpira sio ushabiki
Mnatakiwa mcheze fainali mbona mnakuwa waoga sasa nyinyi si wakimstaifa wakubwa mlisema ili kombe la malooser sasa mmebadilisha mmelitukuza tumekubali haya fikeni fainali basi 😅😅😅😅😅😅
Mchumbuzii Gani apanikiiii mpeni majiiiii uyooo kooo itakaukaa
Hoja za msingi,,, Momo
Papatu papatu FC 😂😂😂😂😊
😂😂😂😂😂mnahoji vipi watu kama hawa?
Momo mbona anaeleweka anatoka kimapenzi na Ally Kamwe😂
Jamaaaa una wivu na simba wewe eti magori ya papatupapatu acha hizo Mungu hapendi,mwenzio akifanya vinzuri mpongeze
Ndio ukweli
😂😂😂😂😂😂
Yupo sahihi
Sema simba yanga achananao wee roho inakuuuma simba kushnda
Anasema ukweli wewe😮. Mliliita KOMBE la loosers Kwa nguvu, Sasa fikeni walau fainali
Hahahahahaha roho inauuuuuumaaa chizi uyooooo
Momo upo sahihi kabisa malengo yawe nikuchukua kombe tu hakuna excuse yoyote hapo
MOMO acha QIBR, watu wanakukumbusha SWALA, watu zaid ya wa-4
Hujali uko busy na FOOTBALL
Watu kuelewa wenye akili unachokisema
Mwacheni huyo aende kuswali huyo mna mchelewesha
Momo wewe ni kichwa
Ww ni chizi tu usiyejielewa
Shida.yako momo nyodo unaongea kama unajuwa sana, hatukupendi bwn sio siri
Mnaotukana anzisheni ligi yenu ya matusi mbona mpo wengi sna mnatosha kwa ligi na inaweza kuwachukua miaka miwili kumaliza msimu. Hawa wanaotukana wangehojiwa wao ndo wangeonge ushwain ( 🐮 ) kuliko hata Shwain mwenyewe😂😂😂😂
Kama kawaida wanaotukana wengi ni MADUNDUKA/MAKOLO, jamaa ni mihemko mno sababu ya timu PAPATUPAPATU😂
namimi nitakuwa kama GSM Wao
Hiyo hajui hata kule wasaf wata mufukuza
Mnawakati mgumu Simba misimu hii namlivyokosa subira faraja yenu ni matusi tu.
Tumechika kw Asante kushirik fikeni fainali km yanga,,
Ndio maana mke kakumbia mɓwa wewe
Kwani kolo, unateseka?
Huyo mnamhoji wa nini
Wakuhoji ww
Mkund wa mama yako
KASEMA UKWELI 100%
Upi, nifafanulie!