RICARDO MOMO AYACHAMBUA MAKUNDI YA SIMBA, YANGA CAF, YANGA WATACHEZA FAINALI, SIMBA HAWANA EXCUSE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 37

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 4 дня назад +3

    Allah akulipe wewe uliyemkumbusha muda wa swala Momo!
    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭

  • @hafia.056
    @hafia.056 4 дня назад +2

    Yanga Africans oyeee oyeee hayaa Twendeee kazi wananchi eee

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 4 дня назад +2

    Mchecheme mpaka wapi? Note: Libya ni war torn country mjue!

  • @ShabanJaffery-ie3xm
    @ShabanJaffery-ie3xm 4 дня назад +1

    Kasema kweli kimpira sio ushabiki

  • @DENISMAKALA
    @DENISMAKALA 4 дня назад +1

    Mnatakiwa mcheze fainali mbona mnakuwa waoga sasa nyinyi si wakimstaifa wakubwa mlisema ili kombe la malooser sasa mmebadilisha mmelitukuza tumekubali haya fikeni fainali basi 😅😅😅😅😅😅

  • @GeradGmwambe
    @GeradGmwambe 4 дня назад +1

    Mchumbuzii Gani apanikiiii mpeni majiiiii uyooo kooo itakaukaa

  • @romanmwaisela
    @romanmwaisela 3 дня назад

    Hoja za msingi,,, Momo

  • @sakinamsafiri8660
    @sakinamsafiri8660 3 дня назад

    Papatu papatu FC 😂😂😂😂😊

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 дня назад

    😂😂😂😂😂mnahoji vipi watu kama hawa?

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 4 дня назад

    Momo mbona anaeleweka anatoka kimapenzi na Ally Kamwe😂

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 4 дня назад +2

    Jamaaaa una wivu na simba wewe eti magori ya papatupapatu acha hizo Mungu hapendi,mwenzio akifanya vinzuri mpongeze

  • @GeradGmwambe
    @GeradGmwambe 4 дня назад

    Sema simba yanga achananao wee roho inakuuuma simba kushnda

    • @namfukamaismailna8203
      @namfukamaismailna8203 2 дня назад

      Anasema ukweli wewe😮. Mliliita KOMBE la loosers Kwa nguvu, Sasa fikeni walau fainali

  • @GeradGmwambe
    @GeradGmwambe 4 дня назад

    Hahahahahaha roho inauuuuuumaaa chizi uyooooo

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 4 дня назад

    Momo upo sahihi kabisa malengo yawe nikuchukua kombe tu hakuna excuse yoyote hapo

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY 2 дня назад

    MOMO acha QIBR, watu wanakukumbusha SWALA, watu zaid ya wa-4
    Hujali uko busy na FOOTBALL

  • @binaisaissa
    @binaisaissa 3 дня назад

    Watu kuelewa wenye akili unachokisema

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 4 дня назад

    Mwacheni huyo aende kuswali huyo mna mchelewesha

  • @binaisaissa
    @binaisaissa 3 дня назад

    Momo wewe ni kichwa

  • @RehemaabasiAlly
    @RehemaabasiAlly 4 дня назад

    Ww ni chizi tu usiyejielewa

  • @EdwardMayega
    @EdwardMayega 4 дня назад

    Shida.yako momo nyodo unaongea kama unajuwa sana, hatukupendi bwn sio siri

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 4 дня назад

    Mnaotukana anzisheni ligi yenu ya matusi mbona mpo wengi sna mnatosha kwa ligi na inaweza kuwachukua miaka miwili kumaliza msimu. Hawa wanaotukana wangehojiwa wao ndo wangeonge ushwain ( 🐮 ) kuliko hata Shwain mwenyewe😂😂😂😂

    • @namfukamaismailna8203
      @namfukamaismailna8203 2 дня назад

      Kama kawaida wanaotukana wengi ni MADUNDUKA/MAKOLO, jamaa ni mihemko mno sababu ya timu PAPATUPAPATU😂

    • @MwitaMarwa-s6u
      @MwitaMarwa-s6u 2 дня назад

      namimi nitakuwa kama GSM Wao

  • @zunguSimon
    @zunguSimon 4 дня назад

    Hiyo hajui hata kule wasaf wata mufukuza

    • @WilliamHerman-e4r
      @WilliamHerman-e4r 3 дня назад

      Mnawakati mgumu Simba misimu hii namlivyokosa subira faraja yenu ni matusi tu.

  • @EmmanuelMrimi-v1r
    @EmmanuelMrimi-v1r 4 дня назад

    Tumechika kw Asante kushirik fikeni fainali km yanga,,

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 4 дня назад

    Ndio maana mke kakumbia mɓwa wewe

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 4 дня назад

    Huyo mnamhoji wa nini

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 4 дня назад

    Mkund wa mama yako

  • @asifznz
    @asifznz 4 дня назад +2

    KASEMA UKWELI 100%