Sasa uyu anaesema mama azulula amefikiri? Unafikiria ukikaa tu kwenye kiti diplomasia ya uchumi utaipata? Khaa. Mwache akaongeze fursa za scholorship . Wenzetu wapakistan wanaenda kila mwaka maelfu ya wanafunzi, leo sisi tanzania kila mwaka 200 hatutimii
Kukaa kimya ni jawabu tosha. Au hata kusoma husomi? Huyo kaalikwa na unamfaham vzr chimbuko la Uhusiano wa Tanzania na China? Au Kuna sherehe gani China? Na Africa wamealikwa Maraisi Wangapi?
Rais wetu inabidi uwe unaenda na vijana wenye talents za kuiba teknolojia, angalau na sisi tuwe hata na viwanda bora na bidhaa za "😂😂😂made in Tanzania"
Rais yup china nchi yenye Kila kitu haoni aibu unaondoka unaacha nyumbn kwako watt wanakufa kwa kiu hawaogi,hawa safiri kwa Raha,wanashinda kutwa umeme hamna mama unaenda kula Raha iyo gharama za kusafr basi ungetununulia hata maji yakapt yanagaiwa mtaan angalau tuongesh vichanga vyetu wallah mungu atajib maombi ya watanzania maskini kwa Aya unayowafanyia mzee wawatu alikuwa sahihi kabisa ... jmniii mwynyz mungu amlze mahala pema peponi
Katika safar nilitaman uende muda mrefu kutujengea mahusiano mazur ni china nashukur San mungu ameskia ombi langu ili watanzania tuongezee safar za china kujifunza kupitia wachina
Nanukuu..Nina yajua mengi Sana ndugu zangu..Mtanikumbuka kw Mengi..R.I.P
Watanzania wengi walipata pesa walivyoanza biashara za kwenda china
Eheee kanzi yake kuangaikatu
Nakpenda Bure Rais Wang !! Piga Kaz Wabongo maneno kawaida
Sasa uyu anaesema mama azulula amefikiri?
Unafikiria ukikaa tu kwenye kiti diplomasia ya uchumi utaipata? Khaa. Mwache akaongeze fursa za scholorship . Wenzetu wapakistan wanaenda kila mwaka maelfu ya wanafunzi, leo sisi tanzania kila mwaka 200 hatutimii
chapa kazi mama hetu kipenzi
🎉🎉🎉🎉 hongera sana rais wetu
Piga kazi mama , ushirikiano wa kimataifa muhimu, husisahau kwenda kwa Putin ..
Na ikiwezekana upeleke Hadi majeshi yetu uko wakasaidie vita
kiywnyewe bab Putin Rastafarian. PC Sana HAINA Unyonge
@@ameirdarueshi2593 hhhh
Mama anazulula Huyu kaaaaah Yan tofauti na Magufuli.
Kukaa kimya ni jawabu tosha. Au hata kusoma husomi? Huyo kaalikwa na unamfaham vzr chimbuko la Uhusiano wa Tanzania na China? Au Kuna sherehe gani China? Na Africa wamealikwa Maraisi Wangapi?
@@barakamatovu4277 Sijui kusoma kusoma unajua Ww
Magufuli alikufa enda mfufue
@@masteradriank1087 mbona Hilo ni zamu zamu tu usihofu siku zako zahesabika pia
@@masteradriank1087 Sawa
China anaimani akiweza kufanya jambo lolote tz basi Afrika kaiweza kwni tz ndy moyo wa Afrika
full
Rais wetu inabidi uwe unaenda na vijana wenye talents za kuiba teknolojia, angalau na sisi tuwe hata na viwanda bora na bidhaa za "😂😂😂made in Tanzania"
mama unaupiga mwingi hatari.
Nyumban Huku umeme umeanza kuwa wavijiko, hatujuw hata Hali ya uchumi kwa Sasa mamaa
Leo yenyew umekatika. Michosho kichiz.
mungu akutangulie kwa kila jambo mama
Mama tupo pamoja
Afadhali huku kuliko kwa wazungu
Perfect
Loh huyu mama mara kashafika China Mungu wng wee jaman tumepigwa na kitu kizito kuanzia 2021😪
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@@ayubuidd6664 🤣🤣
Tutajua tu
😂😂😂😂😂sjui saa ngp man alkua dodoma ana fany hesab ya watu
@@mimahally8025 dah maza hakamatiki 🤣🤣🤣 kama ndo kuupiga mwingi kwakwel anaupiga sio mchezo🤣🤣🙌
Duh
Ni wanawake pekeyake wataona nisawa mama samia kutoka mana nikawaidayao kutoka toka
ndinga kali
migoma migoma Babu. Kingi nyingiii.
Apite na kwa PUTIN basi
pamoja mjanja. sikupingi . NUKTA.
Mama jitahidi nchi 2 usijekosa kwenda ukitoka hapo, Korea kaskazini na Urusi nenda katuletee mafuta
Voi siete il nuovo mondo 👏
Hata huko mnataka aongee kiswahili?
Bora Hawa wanathamin kidog wafrica kuliko wale wakupandidha kweny ngorika
Kapeleka matokeo ya sesa Kwan nyie hamjui ?
😁😁😁😁
Tuletee matajir wa kichina mama
Uyo guard mwenye suti nyeusi mbabe, kampus askari was china
Rais yup china nchi yenye Kila kitu haoni aibu unaondoka unaacha nyumbn kwako watt wanakufa kwa kiu hawaogi,hawa safiri kwa Raha,wanashinda kutwa umeme hamna mama unaenda kula Raha iyo gharama za kusafr basi ungetununulia hata maji yakapt yanagaiwa mtaan angalau tuongesh vichanga vyetu wallah mungu atajib maombi ya watanzania maskini kwa Aya unayowafanyia mzee wawatu alikuwa sahihi kabisa ... jmniii mwynyz mungu amlze mahala pema peponi
Apo alipo kuepo magufuli akawa haja safiri maji yalikuepo
Ukikua utaelewa
Sijaona kishindo chochote labda wengine
Mama kaenda kuomba msaada wa maji maana maji yamekua tatz itakua kaenda kuomba maji
Bora wachina
Nchi ishauzwa😂😂😂
WAKOLONI WAJANJA SANA NISHIE HAPO
calculation.
Katika safar nilitaman uende muda mrefu kutujengea mahusiano mazur ni china nashukur San mungu ameskia ombi langu ili watanzania tuongezee safar za china kujifunza kupitia wachina
achaa ujingaa
@@smartthug9566 mjinga wewe
Hongera sana Mama chaina Ni ndugu zetu mengi tumekua tukishirikiana nao M/mungu adumishe mahusiano yetu na chaina. #amina#
mpango wa bandari ya Bagamoyo lazima ufanikiwe...
Unaakili sana! Kumbe unajuwa taifa lako linavyopelekwa chaka, wachache sana ndo tunaenda na kipindi..we mjanja.
mingo. Watu skiliz wanaanzia shinani.
@@ototek8037 AMINI kwamba. full mingo wazee WA kuvua samaki. hatutoki wamba. labda God amaind kuingilia chezo.
Omba wachina watujengee kiuri Cha Nuclear Cha kuzalisha UMEME.Malighafi ya uranium tunayo tele kule Kongwa, Gallapo na pori la Sluu
Baxi yeye ndo anapenda kweli hivi
Gaspar kwa sana tu
Mama lete mihela ya kichina
😁😁😂😂
Ujinga usio naakili sawa mbona anasafili lakina ajifunzi maendeleo kwamajilan
Mbona hamkagui uwa ilo raisu akizulika shsuliyenu
Mbona magufuli kawa mwendazake kwani yeye nani
Wekumbatia tu utajikuta umelipuka
Bora utuletee wachina Tanzania waje watujengeee viwanda hatutaki wazungu
Wanawake wote wanapenda mitoko
😁
Kazi nzuri mama raisi lazima atoke akutane na mataifa makubwa mungu aendelee kukubariki.