Shuhudia Rais Samia alivyopokelewa kwa kishindo nchini China

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Комментарии • 82

  • @latifalayla9990
    @latifalayla9990 Год назад +4

    Nanukuu..Nina yajua mengi Sana ndugu zangu..Mtanikumbuka kw Mengi..R.I.P

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +3

    Watanzania wengi walipata pesa walivyoanza biashara za kwenda china

  • @Malaikalaizer-d2q
    @Malaikalaizer-d2q 6 месяцев назад +1

    Eheee kanzi yake kuangaikatu

  • @jackgerald7338
    @jackgerald7338 Год назад +2

    Nakpenda Bure Rais Wang !! Piga Kaz Wabongo maneno kawaida

  • @dr.muhamadhamduhaji1640
    @dr.muhamadhamduhaji1640 Год назад +1

    Sasa uyu anaesema mama azulula amefikiri?
    Unafikiria ukikaa tu kwenye kiti diplomasia ya uchumi utaipata? Khaa. Mwache akaongeze fursa za scholorship . Wenzetu wapakistan wanaenda kila mwaka maelfu ya wanafunzi, leo sisi tanzania kila mwaka 200 hatutimii

  • @ModestaMduda-n9s
    @ModestaMduda-n9s 8 месяцев назад +1

    chapa kazi mama hetu kipenzi

  • @BraonLomunyaki-n5t
    @BraonLomunyaki-n5t 7 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉 hongera sana rais wetu

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Год назад +4

    Piga kazi mama , ushirikiano wa kimataifa muhimu, husisahau kwenda kwa Putin ..

    • @ameirdarueshi2593
      @ameirdarueshi2593 Год назад

      Na ikiwezekana upeleke Hadi majeshi yetu uko wakasaidie vita

    • @nurdinngwegwe2943
      @nurdinngwegwe2943 Год назад

      kiywnyewe bab Putin Rastafarian. PC Sana HAINA Unyonge

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Год назад

      @@ameirdarueshi2593 hhhh

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад +5

    Mama anazulula Huyu kaaaaah Yan tofauti na Magufuli.

    • @barakamatovu4277
      @barakamatovu4277 Год назад

      Kukaa kimya ni jawabu tosha. Au hata kusoma husomi? Huyo kaalikwa na unamfaham vzr chimbuko la Uhusiano wa Tanzania na China? Au Kuna sherehe gani China? Na Africa wamealikwa Maraisi Wangapi?

    • @zainabubalama8869
      @zainabubalama8869 Год назад

      @@barakamatovu4277 Sijui kusoma kusoma unajua Ww

    • @masteradriank1087
      @masteradriank1087 Год назад

      Magufuli alikufa enda mfufue

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 Год назад

      @@masteradriank1087 mbona Hilo ni zamu zamu tu usihofu siku zako zahesabika pia

    • @zainabubalama8869
      @zainabubalama8869 Год назад

      @@masteradriank1087 Sawa

  • @lukoalaw816
    @lukoalaw816 Год назад +2

    China anaimani akiweza kufanya jambo lolote tz basi Afrika kaiweza kwni tz ndy moyo wa Afrika

  • @FrancisRM-ex8vf
    @FrancisRM-ex8vf 23 дня назад

    Rais wetu inabidi uwe unaenda na vijana wenye talents za kuiba teknolojia, angalau na sisi tuwe hata na viwanda bora na bidhaa za "😂😂😂made in Tanzania"

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Год назад +2

    mama unaupiga mwingi hatari.

  • @jacksonmakasi
    @jacksonmakasi Год назад +2

    Nyumban Huku umeme umeanza kuwa wavijiko, hatujuw hata Hali ya uchumi kwa Sasa mamaa

  • @ModestaMduda-n9s
    @ModestaMduda-n9s 8 месяцев назад

    mungu akutangulie kwa kila jambo mama

  • @abdimohamed1340
    @abdimohamed1340 Год назад +2

    Mama tupo pamoja

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Год назад +1

    Afadhali huku kuliko kwa wazungu

  • @frankmangera3339
    @frankmangera3339 Год назад

    Perfect

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Год назад +1

    Loh huyu mama mara kashafika China Mungu wng wee jaman tumepigwa na kitu kizito kuanzia 2021😪

    • @ayubuidd6664
      @ayubuidd6664 Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Год назад +1

      @@ayubuidd6664 🤣🤣

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 Год назад +1

      Tutajua tu

    • @mimahally8025
      @mimahally8025 Год назад +1

      😂😂😂😂😂sjui saa ngp man alkua dodoma ana fany hesab ya watu

    • @ayubuidd6664
      @ayubuidd6664 Год назад +1

      @@mimahally8025 dah maza hakamatiki 🤣🤣🤣 kama ndo kuupiga mwingi kwakwel anaupiga sio mchezo🤣🤣🙌

  • @mabujuma9355
    @mabujuma9355 Год назад

    Duh

  • @AmraniAmani-zd6jl
    @AmraniAmani-zd6jl 7 месяцев назад

    Ni wanawake pekeyake wataona nisawa mama samia kutoka mana nikawaidayao kutoka toka

  • @double8boy802
    @double8boy802 Год назад +1

    ndinga kali

  • @d-media
    @d-media Год назад +1

    Apite na kwa PUTIN basi

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis6544 Год назад

    Mama jitahidi nchi 2 usijekosa kwenda ukitoka hapo, Korea kaskazini na Urusi nenda katuletee mafuta

  • @paoloiacona5721
    @paoloiacona5721 Год назад

    Voi siete il nuovo mondo 👏

  • @margaretmueni4595
    @margaretmueni4595 Год назад

    Hata huko mnataka aongee kiswahili?

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Год назад

    Bora Hawa wanathamin kidog wafrica kuliko wale wakupandidha kweny ngorika

  • @barakadanieli1440
    @barakadanieli1440 Год назад

    Kapeleka matokeo ya sesa Kwan nyie hamjui ?

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Tuletee matajir wa kichina mama

  • @hujacharles2223
    @hujacharles2223 Год назад

    Uyo guard mwenye suti nyeusi mbabe, kampus askari was china

  • @aryanchuumu362
    @aryanchuumu362 Год назад

    Rais yup china nchi yenye Kila kitu haoni aibu unaondoka unaacha nyumbn kwako watt wanakufa kwa kiu hawaogi,hawa safiri kwa Raha,wanashinda kutwa umeme hamna mama unaenda kula Raha iyo gharama za kusafr basi ungetununulia hata maji yakapt yanagaiwa mtaan angalau tuongesh vichanga vyetu wallah mungu atajib maombi ya watanzania maskini kwa Aya unayowafanyia mzee wawatu alikuwa sahihi kabisa ... jmniii mwynyz mungu amlze mahala pema peponi

  • @partsonlupenza9666
    @partsonlupenza9666 Год назад

    Sijaona kishindo chochote labda wengine

  • @jacksonypp9340
    @jacksonypp9340 Год назад

    Mama kaenda kuomba msaada wa maji maana maji yamekua tatz itakua kaenda kuomba maji

  • @jacksonmakasi
    @jacksonmakasi Год назад

    Bora wachina

  • @JohnStewart223
    @JohnStewart223 Год назад

    Nchi ishauzwa😂😂😂

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 Год назад +1

    WAKOLONI WAJANJA SANA NISHIE HAPO

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Katika safar nilitaman uende muda mrefu kutujengea mahusiano mazur ni china nashukur San mungu ameskia ombi langu ili watanzania tuongezee safar za china kujifunza kupitia wachina

    • @smartthug9566
      @smartthug9566 Год назад

      achaa ujingaa

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Год назад +1

      @@smartthug9566 mjinga wewe

    • @kambiyusuf3665
      @kambiyusuf3665 Год назад

      Hongera sana Mama chaina Ni ndugu zetu mengi tumekua tukishirikiana nao M/mungu adumishe mahusiano yetu na chaina. #amina#

  • @barakaelkaaya40
    @barakaelkaaya40 Год назад

    mpango wa bandari ya Bagamoyo lazima ufanikiwe...

    • @ototek8037
      @ototek8037 Год назад +1

      Unaakili sana! Kumbe unajuwa taifa lako linavyopelekwa chaka, wachache sana ndo tunaenda na kipindi..we mjanja.

    • @nurdinngwegwe2943
      @nurdinngwegwe2943 Год назад

      mingo. Watu skiliz wanaanzia shinani.

    • @nurdinngwegwe2943
      @nurdinngwegwe2943 Год назад

      ​@@ototek8037 AMINI kwamba. full mingo wazee WA kuvua samaki. hatutoki wamba. labda God amaind kuingilia chezo.

  • @gebrastemu5010
    @gebrastemu5010 Год назад

    Omba wachina watujengee kiuri Cha Nuclear Cha kuzalisha UMEME.Malighafi ya uranium tunayo tele kule Kongwa, Gallapo na pori la Sluu

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Год назад

    Baxi yeye ndo anapenda kweli hivi

  • @omaryabunwas9937
    @omaryabunwas9937 Год назад

    Mama lete mihela ya kichina

  • @AmraniAmani-zd6jl
    @AmraniAmani-zd6jl 7 месяцев назад

    Ujinga usio naakili sawa mbona anasafili lakina ajifunzi maendeleo kwamajilan

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Год назад

    Mbona hamkagui uwa ilo raisu akizulika shsuliyenu

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 Год назад

    Wekumbatia tu utajikuta umelipuka

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Bora utuletee wachina Tanzania waje watujengeee viwanda hatutaki wazungu

  • @originalplan2723
    @originalplan2723 Год назад

    Wanawake wote wanapenda mitoko

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 Год назад +2

    Kazi nzuri mama raisi lazima atoke akutane na mataifa makubwa mungu aendelee kukubariki.